No video

JEMEDARI WA VITA- Boaz Danken ft Gwamaka Mwakalinga

  Рет қаралды 645,685

BOAZ DANKEN

BOAZ DANKEN

Күн бұрын

Karibu Sana Kumwabudu MUNGU pamoja nasi MUNGU Pamoja huu wimbo Ni Ibada pia ni Maombi naamini Utafunguliwa utapata Neema ya kuomba itakujaa sana na Kumtaka Bwana kwa namna amabayo hujawa kupata. Mungu akutane na haja ya moyo wako katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Amen
JEMEDARI WA VITA means Mighty Man Of War
MUNGU awabaliki Sana Watu wote waliosimama kwa Sadaka zao kufanikisha Maandalizi ya Ibada Hii Kila sehemu Mungu akiwahudumia watu kupitia Wimbo Huu; Baraka nyingi ziwafikie wote waliomuandalia Bwana kwa Sadaka ya Muda, Fedha na Maombi.
JEMEDARI WA VITA Recorded at Rock City Mall parking Area, Mwanza, TANZANIA.
Music Arranged & Directed by Jimmy Kimtuo
Vocal Arranged by Sir Jimmy Kimutuo
First keys: Sephone Sospeter
Second keys: Samwel Sospeter
Third Keys: John Ntete
Fourth keys: Augustino Batista
Drums: Baraka Ngowi
Percussion: Pastor David Silwimba
Bass guitar: Amani Victor
Lead guitar 1: Haggai Makuzo
Lead guitar 2: Erick Chitungo
Saxophone: Dickson Maige
Back Vocals From BMCC PRAISE TEAM
Event Coordinated by Kelvin Mbeveta
Translated to English by Mr&Mrs Pst.James Kalekwa
*Audio Captured and Mastered by Chosen Records Int’l #SamMboya
*Video Captured and Mastered by Cyber Pic #Sylvester
*Sound By #SoundSolution Moses Edard
*Sound Engineer: Gad Mwanga
*LED screen: Elly Jo
*Lights By Nyakalo Stage and Lighting Com. #DavidSengati

Пікірлер: 675
@ambweneobadiamwasongwe
@ambweneobadiamwasongwe 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana mtumishi wa Mungu, kazi kubwa yenye Baraka sana ndani ya mioyo yetu
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Asante sana kaka Utukufu na heshima kwa Yesu
@lukapastory
@lukapastory 2 жыл бұрын
@@boazdanken Nakupenda Sana kaka danken, YESU anakutumia, mm ni Mwinjilisti from kasulu kgoma, Nakukimbsha Uwaambie hao wadada na mke wako pia nywele bandia ni dhambi ,zmepeleka wamama watumishi wengi kuzimu, rangi mdomoni, kucha bandia , meshi, Rasta mawigi, please achen
@lukapastory
@lukapastory 2 жыл бұрын
Kilio changu ni kwa akina Dada , mahereni, nywele bandia , NI Mali za pepo Yezeberi, please wambie , maana ni kumkosoa uumbaji wa BWANA, Isaya 29:16, Fuatilia PROMOVER TV ushuhuda wa Esther, Recho na Rinda rika, utapata ujumbe kutoka kwa YESU
@dorcusamubi577
@dorcusamubi577 Жыл бұрын
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu Umeniibariki sana... Naskia kunyenyekea ninaposkia wimbo huu ubarikiwe sana
@christinme4573
@christinme4573 Жыл бұрын
@@lukapastory lijue neno uwe huru☺️
@worshiplibrary7157
@worshiplibrary7157 2 жыл бұрын
My daughter is going thru a very rough patch right now shes only 22 years old. I listern to this song n feel the holly spirit lifting me up so that I have strength to lift her up! 😭😭😭 may the good Lord open up a better path for her!
@speranzakiragu3491
@speranzakiragu3491 2 жыл бұрын
Ameeeeeen🙏
@judithabdallah4594
@judithabdallah4594 2 жыл бұрын
I call upon the God of heaven, the creator of heaven and earth to come through for your daughter.... He is the great physician..God will heal her in Jesus Mighty Name.. Amen!
@brianmuriuki9271
@brianmuriuki9271 2 жыл бұрын
JUSUS IS GOING TO DOMIT TRUST HIM TU...MAY HE DO MORE THAN U EXPECT
@naomiwangari4794
@naomiwangari4794 Жыл бұрын
Amen.neema iwatoshee.keep the faith
@zafaraniduguza4950
@zafaraniduguza4950 Жыл бұрын
May God come through for you
@boazdanken
@boazdanken Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please if your Blessed this ministry kindly subscribe our channel
@paulotieno2223
@paulotieno2223 2 жыл бұрын
Asante Tanzania kwa umbali. Ni kweli Mungu wetu anajibu..iwas waiting for this.God bless you all and take you another level 🙏 🙌
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo
@mercyprecious98
@mercyprecious98 2 жыл бұрын
Jesus Christ you're really "JEMEDARI WA VITA" Lord the battles you have fought for me ,I personally couldn't fight for myself,I honor and exalt your Holy name,Yeshua, Messiah,you deserve the sweet names ever.Thank you Jesus,bless Tanzania,Kenya , Africa and world at large.@Boaz Duncan,may God keep you to continue blessing generations.AMEN🙏
@davidkalinga5580
@davidkalinga5580 2 жыл бұрын
Jemedari wa vita
@user-uh2we9ec3p
@user-uh2we9ec3p 5 ай бұрын
Wacha Mungu azidii kuinuwa man of God u bless me with all Ur song so powerful man of God
@furahakombe6786
@furahakombe6786 Күн бұрын
​@@boazdanken❤❤
@akimjoseph2818
@akimjoseph2818 Жыл бұрын
As i was driving this morning we were listening to JEMEDARI WA VITA with my wife. The power of God fell upon her and she started speaking in other tongues. May God continue to give more revelation for future songs as you reach so many souls through singing. Continue Staying humble and blessed.
@newboy1995
@newboy1995 Жыл бұрын
Congratulation ! thats a testimony of Humble Heart ! Praise the living GOD !📯 YESU ! 📯
@lydiaabel-uo1qn
@lydiaabel-uo1qn Жыл бұрын
e
@IsraelCiza-eq1ot
@IsraelCiza-eq1ot 6 ай бұрын
Baba Boaz mimi muimbaji Israël ciza nikiwa inchini kongo kila Niki imba nyimbo zako n'a sikia ngufu zamungu ziki ni Jana naamini mungu wako ata nipa ujasiri ni WE muimbaji maarufu Sawa nyiye
@jacklinemwongeli8365
@jacklinemwongeli8365 2 жыл бұрын
Hakuna mlima waeza stahimili sauti yako.l'm really blessed by this from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu
@ab71210
@ab71210 2 жыл бұрын
God gave me this song when i needed it "Milima yatayeyuka kwa sauti yako juu,maana wewe ni Jemedari wa vita, hakuna kama wewe Mungu", na neno lako litimizwe
@CeciliaJoel-ty5eb
@CeciliaJoel-ty5eb 26 күн бұрын
Mungu akubariki sana Fanya kazi ya Mungu kwa kuisikia sauti ya Mungu binafs kuna sauti zingine zipo kwa ajili ya kunyamanzisha huduma
@CosmasYambazi
@CosmasYambazi Күн бұрын
Amen sana barikiwa mtumish wa Mungu 🙏🙏🔥
@eunicedan
@eunicedan 2 жыл бұрын
Powerful combination 💪.....love of God kutoka hapa Kenya 🇰🇪 hallelujah 🙌
@janethnarsis188
@janethnarsis188 Жыл бұрын
Naenda kupata hii kazi kwa jina la Yesu Jemedari wa vita zangu zote. Nitarudi kushuhudia kwa jina la Yesu
@janethnarsis188
@janethnarsis188 Жыл бұрын
I got it kwa hakika. Mungu amenishindia Mengi. Leo 31.12.2022 ninamshukuru haikuwa rahisi@2022
@FLOH9876
@FLOH9876 5 ай бұрын
Jemedari wa Vita🎉 Hallelujah 🙌 He will also give me A Job And I will come to testify like you have
@fredmutuma1594
@fredmutuma1594 Жыл бұрын
Boaz boaz ,🙏🙌 nzambe apambola yo!! Hata nikaskia sauti ya kinanda ,yanipasha upenyo wa mungu Ngai akurathime muno ,saana ,Ntuku cionthe Much 💘 love from ameru republic ❤❤
@njerujohnson
@njerujohnson Жыл бұрын
This son elevates my spirit to another level @ Boaz God has used you to lift the spirit of worship in me may Good lord increase you bro🇰🇪🇰🇪
@dovekaloki
@dovekaloki 5 күн бұрын
Indeed this is a powerful song God bless you minister Boaz
@adv.elishaserikali1015
@adv.elishaserikali1015 2 жыл бұрын
My brother Boaz, Mungu na azidishe neema aliyoweka kwako.. you are a blessing of our generation 🙏🏾🙏🏾
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share to many ukiweza
@floziekiriinya9889
@floziekiriinya9889 Жыл бұрын
Napenda vile boaz uimba akimanisha God bless you
@jeffrweza4089
@jeffrweza4089 2 жыл бұрын
Trully speaking I was waiting for these....nlitamani saana collaboo yako na Gwamaka...and God has done it.....barikiwa Boaz
@Mwavipa_stev2514
@Mwavipa_stev2514 2 жыл бұрын
Huyu Yesu hatokuja tokea mwingine kama yeye I'm speechless of him I LOVE YOU JESUS ❣️
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Amen utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa wengi ukiweza
@vumiliabaraka3326
@vumiliabaraka3326 7 ай бұрын
​@@boazdankenMungu akubariki sana Baba kwani tunaendelea kabarikiwa na kuponywa na nyimbo zako hata hii 2024 Atukuzwe Yesu kwa kuondoa kila mlima maisha mwetu mwaka huu UKAWE WA BARAKA TELE kwetu 2024🙏❤️
@winniemwangi1610
@winniemwangi1610 2 жыл бұрын
This is such a powerful song🙏🔥 He is indeed a powerful God He is melting down all situations Am Blessed from Kenya 🇰🇪
@chrispingibson7200
@chrispingibson7200 2 жыл бұрын
Anointing over anointing, God is wonderful, he is who he say he is. Be blessed man of God
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share kwa wengi ukiweza
@jyn3439
@jyn3439 2 жыл бұрын
Oh my.....powerful worship to Him The Most High... To be honest this brother is annointed..Keep going....Blessed in Kenya
@Betty__Sankale__Muzik
@Betty__Sankale__Muzik 2 жыл бұрын
Nyimbo zako zanibariki kila siku❤️❤️ Barikiwa mtumishi wa Mungu wetu 🙌
@jonathankeya854
@jonathankeya854 Жыл бұрын
Kwakweli
@emmanuelmtwanamanjama2265
@emmanuelmtwanamanjama2265 2 жыл бұрын
Wow🔥🔥🔥Milima kwa Kwelii Mtumishi Ya Yeyuka katika Jina la Yesu. Magonjwa si Sehemu yetu (Isaiah 33:24),Madeni yotee Yameyeyuka.
@DrSarahKmusic
@DrSarahKmusic 2 жыл бұрын
Yesu ndiye jemedari wa vita..
@patricianyawira9553
@patricianyawira9553 2 жыл бұрын
Wimbo una Nguvu sana. Mungu awazidishie Neema yake. Twa waenzi sana hapa Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪.To God be the glory!
@PriscusCosmas
@PriscusCosmas 24 күн бұрын
Barikiwa Sanaa mtumishi wa MUNGU
@nandwarobai7149
@nandwarobai7149 2 жыл бұрын
Kuna uhai wa Mungu kwa huu wimbo,, May God lift you to another level, you're highly anointed great servants of God
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu
@user-lm3nj4ld3v
@user-lm3nj4ld3v Ай бұрын
God bless you man of god mei God continue I using you and yo team thank gou
@drgee4736
@drgee4736 2 жыл бұрын
He is the Great King Might Man of war! 💪🏾
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Amen utukufu na heshima kwa Yesu
@favouriteswangechi9697
@favouriteswangechi9697 Жыл бұрын
Jehovah Thankyou for raising true worshippers in these last days😭😭😭. My heart spirit body is edified. The Lord uplift you more servant of the Lord as you continue yielding 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
@johnanyandwile8947
@johnanyandwile8947 2 жыл бұрын
We bless You God for your anointing and for the power of the holy Spirit within these men of God, BOAZ DANKEN & GWAMAKA MWAKALINGA.
@slyviajared6214
@slyviajared6214 Жыл бұрын
Bcvvvbvbvv
@mercyprecious98
@mercyprecious98 Жыл бұрын
God is real 🙏🙌🙌Jemedari wa vita,amenipigania mahali kwingi ,siku zote nashukuru from Mombasa Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@P.W.I.P.I_MINISTRIES
@P.W.I.P.I_MINISTRIES 7 ай бұрын
Mighty Man of War Jemedari wa Vita hakuna kama wewe🙌🙌🙌🙌
@mwende4420
@mwende4420 2 жыл бұрын
Milima ya maisha inayeyuka hallelujah 🙌...it's indeed the song of the season. Uwepo wa bwana hata ofisini jameni.
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Amen Glory and Honor to Jesus
@speranzakiragu3491
@speranzakiragu3491 2 жыл бұрын
Wooooooow this is great..... He's the mighty man of War.... More Grace bros .... God has won for Kenyans already🙏, he has heard our cry for the past 5years😭😭😭😭
@lydiagathuru242
@lydiagathuru242 Жыл бұрын
May God continue pouring His oil apon you search a blessing to us🇰🇪
@isaacsimalif6185
@isaacsimalif6185 Жыл бұрын
Neema ya Mungu iwe nyanyi watumishi Kwa kazi nzuri katika ufalume wa mbingu
@user-sx9wb7nq3b
@user-sx9wb7nq3b Ай бұрын
It's been a year since this song was released, I've listened to it severally but today every word of it is bringing me to my knees..God is so real...Mungu anayeyusha milima
@ntulikapologwe6162
@ntulikapologwe6162 Жыл бұрын
what a combination of my two lovely brothers ! Such a powerful worship song, Mungu azidi kuwainua watumishi
@rizikipyuzza3411
@rizikipyuzza3411 2 жыл бұрын
Might man of war I worship you🙌🙌🙌🙌
@patrickmbau5760
@patrickmbau5760 27 күн бұрын
God bless you sir for allowing His spirit to lead you in writing songs.
@JoseLittoh-
@JoseLittoh- 2 жыл бұрын
Powerful song. Listening from 🇰🇪 🇰🇪 and being blessed
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo
@lukapastory
@lukapastory 2 жыл бұрын
@@boazdanken safi, lakn Boaz usisahau kuwa mapambo kwa wadada nywele bandia ,hereni n k ni dhambi
@edibilym.manyaga8314
@edibilym.manyaga8314 2 жыл бұрын
@@lukapastory duh kaka hapa umezidisha...! Sitaki kusema sana...! Ila shika ulichonacho tu baba ikutoshe, wenzio tunabarikiwa na muonekano wao...! Tena wamependeza sana kwa utukufu wa Mungu
@Geo_88
@Geo_88 2 жыл бұрын
He's a Winning God Indeed🔥🔥👌 God Bless you Brother Boaz🌟🌟 You're a gift from Heaven! Blessings from Kenya🇰🇪
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share to many ukiweza
@Geo_88
@Geo_88 Жыл бұрын
I'm spreading it widely😊❤
@violetvinaywa4921
@violetvinaywa4921 24 күн бұрын
Kwa hakika ni Jemedari wa vita 🙏🙏
@mankamacha4383
@mankamacha4383 Жыл бұрын
Vidonda vya tumbo vinavyonisumbua vinayeyuka mbele zako BWANA,madeni yote yayeyuka mbele zako BWANA.UTUKUKUZWE MILELE 🙏,AMEN
@user-gu7mw8zs6c
@user-gu7mw8zs6c Ай бұрын
Amen San naamin hakuna mlima utakao baki umesimama ktk maishaa yangu napokea kwa jina la YESU👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@user-ex7es6fe3c
@user-ex7es6fe3c 7 ай бұрын
Jemedar wa vita hakuna kama wewe na Jehovah ndilo jina lako🔥
@godfreybala4704
@godfreybala4704 2 жыл бұрын
God much bless Tanzania for our artist of gospel.we get victory through this song God continue BLess and win any situation we through. AMEN
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Is not us Is Jesus in us Glory and Honor to Jesus please share to many ukiweza
@godfreybala4704
@godfreybala4704 2 жыл бұрын
Thanks you
@bridgetngendo8494
@bridgetngendo8494 Жыл бұрын
Jemedari wa vita.......pigania dada yangu na mama yangu,: acha wakuone ewe Jehovah Rapha kwa maisha yao. Amen
@jofreybenjamini8805
@jofreybenjamini8805 2 жыл бұрын
Am touched with this kind of worship May the Lord Christ hold your ministry in Jesus Name BlessBless
@favour7152
@favour7152 2 жыл бұрын
Woooow 💕💕 Such a blessing song For sure He is a mighty worrior
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus
@bonifacemsigwa2007
@bonifacemsigwa2007 2 жыл бұрын
Mungu akubariki mwalimu wangu
@williamntipapa6934
@williamntipapa6934 2 жыл бұрын
Along awaited worship #jemedari wa vita@ With this great Giants of the most high God more blessings to you
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus
@hopezawadida
@hopezawadida 2 жыл бұрын
Hallelujah, Jemedari wa vita hakuna kama Wewe Milima yayeyuka kwa sauti Yako tu.... Barikiweni MoG .Im deeply soaked in this song.
@prophetevans7418
@prophetevans7418 Жыл бұрын
This song has touched me Every mountains in my life has be melted , Glory to God
@bettykilonzo3805
@bettykilonzo3805 2 жыл бұрын
Indeed HE is a Mighty Man of war🙌🙌
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share to many ukiweza
@rachelmalimbwi1748
@rachelmalimbwi1748 2 жыл бұрын
Nami natamani sana kuwepo kwenye ibada kama hii lakini sipati taarifa siku nyingine natamani niwepo,kwakweli anaestahili kuabudiwa ni Kristo tuu mbarikiwe sana
@JohnTilya
@JohnTilya Жыл бұрын
E mungu wa mbingun wainue watumishi na uwape maono katika huduma yao
@leadleaders4130
@leadleaders4130 10 ай бұрын
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu na Mungu azidi kuwatunza na kuwaonekania na kuwainua na kuwatumia
@jojalove07
@jojalove07 Ай бұрын
May God bless you servants of God The sound of heaven is in every lyric and melody ❤
@gaudenceponera6123
@gaudenceponera6123 8 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana Minister Boaz Danken
@goodluck6936
@goodluck6936 3 ай бұрын
How I'm i coming across this song a year later,aaah Jeeesus😭😭🙏❤️
@jofreygrace9665
@jofreygrace9665 Жыл бұрын
Ainuliwe yesu zaidi ndani ya nchi yetu
@williamntipapa6934
@williamntipapa6934 2 жыл бұрын
You never disappoint man of God Yesu azidi kukuinuia zaidi kwa viwango vya juu 🔥🔥
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus
@williamntipapa6934
@williamntipapa6934 2 жыл бұрын
Much welcome man of God can't wait to see you soon at our church we really love your song indeed it has really change many hearts Welcome to Kenya 🇰🇪
@evakatani636
@evakatani636 2 жыл бұрын
Hallelujah, Jemedari wa vita hakuna Kama wewe, milima yayeyuka kwa sauti yako🙏 such a powerful song, be blessed abundantly 🙏
@user-mp1ep1en5q
@user-mp1ep1en5q 4 ай бұрын
Wimbo huu unazidi kua mpya kila siku maishani mwangu kama bd tunausikiliza 2024 tuzidi kutiana moyo
@MikeONYII_
@MikeONYII_ 2 жыл бұрын
Hakuna kinachomshinda Jemedari wa vita🙌🙌 Listening from Kenya, blessed as we Trust God awaiting elections in 2days time
@nsikanyigwinshimpinga9132
@nsikanyigwinshimpinga9132 Жыл бұрын
Yes . Ni Jemedali wa vita nauona Mkono wa Bwana
@dennisadala787
@dennisadala787 2 ай бұрын
Jemedari wa vita hakuna kama wewe milima ya yeyuka kwa sauti😭😭😭
@allenmushema5844
@allenmushema5844 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana 🙏🏾
@e-star454
@e-star454 Жыл бұрын
Milima yayeyuka kwa sauti Yako.... powerful.
@salomemjema8242
@salomemjema8242 Жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na wimbo huu. Asanteni sana Watumishi wa Mungu Boaz Danken na Gwamaka Mwakalinga. Jemedari wa vita Hakuna kama Yeye Aliye Mfalme Mkuu, Hallelujah 🙏🏾
@reginaldshirima610
@reginaldshirima610 Жыл бұрын
I glorify God for this Powerful Song. It always draw me closer to God
@joelmosho802
@joelmosho802 2 жыл бұрын
Am Tabtha from Mombasa I love your songs, they are very powerful, God bless you
@mathewmwasangwale4205
@mathewmwasangwale4205 2 жыл бұрын
Ipo Nguvu ya uponyaji inatembea ndani ya uwepo wa Mungu
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Amen Glory and Honor to Jesus
@geofreykinotimajira4603
@geofreykinotimajira4603 Жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌ninani kama yesu🤔🤔🤔🤔🤔 fight all my battles oh lord
@mercytsuma3551
@mercytsuma3551 Жыл бұрын
This worship is powerful.Mungu awabariki Watumishi for ministering to me 🙌🙌🙏🙏
@stephenmuikamba7166
@stephenmuikamba7166 5 ай бұрын
Yuko jemedari wa vita...,Kila milima iliyo mbele yangu yayayuka kwa jina Takatifu la Yesu Kristo...... Amen 🙏🙏🙏
@helinahenry2363
@helinahenry2363 Жыл бұрын
Mlima wa kutojenga uyeyuke kwa jina la Yesu, na mmi nikajenge , nipate kibali Cha kumiliki nyumba nisingoje Tena Hallelujah
@luismalole
@luismalole 2 жыл бұрын
MTAKATIFU YESU,YESU... HALELUJAH 🔥🔥🔥
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus
@pelecymsemwa8107
@pelecymsemwa8107 2 жыл бұрын
Yesu ni jemedari wa vita siku zetu zote ashukuriwe Mungu akutumiaye kudhihirisha utukufu wake na ukuu wake. Utukufu wa Mungu uwe we siku zote mtumishi wake
@gracekihoti5432
@gracekihoti5432 2 жыл бұрын
I love the unity and love with tanzanians artists/minsters.God bless you
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share to many ukiweza
@giftmollel7788
@giftmollel7788 2 жыл бұрын
This song 💪💪💪 Glory Hallelujah Glory Glory to Jesus is what I can say now 🤚🤚🤚
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share to many ukiweza
@alyssa-blessed
@alyssa-blessed 2 жыл бұрын
The song is on replay. God bless you Brother Boaz, Brother Gwamaka and the whole team.
@amonkaranja2695
@amonkaranja2695 Жыл бұрын
😭😭wimbo huu, Milima yayeyuka 😭😭asante Yesu kwa wimbo huu na mtumishi wako Boaz 🙏
@myalanity5207
@myalanity5207 Жыл бұрын
Huwa unanifanya moyo wangu kujiskia kuomba na kuabudu kila naposikiliza nyimbo zako.ubarikiwe saana mtumishi
@rehemamercy1134
@rehemamercy1134 2 жыл бұрын
Hallelujah. Milima yayeyuka kwa sauti yako tu, jemedari wa vita🙌🙌
@mwendwa_m
@mwendwa_m Ай бұрын
Thank you, Jesus, for fighting against my enemies who were too strong for me.
@cpaannwanjau6044
@cpaannwanjau6044 2 жыл бұрын
Oh Lord Jesus we trust in you for a peaceful transition of power in Kenya
@pstphronesis4179
@pstphronesis4179 Жыл бұрын
Love You Sana Servants of God. Thank You So Much for your Powerful Ministration...
@eglahelenkikuli8354
@eglahelenkikuli8354 Жыл бұрын
Wewe ni Jemedari wa Vita,umetukuka Bwana Kila pembe,dunia yote na inyamaze kimya mbele zako...Adonai Mungu mwenye Enzi ni wewe Bwana,Milima yayeyuka mbele zako kwa sauti yako.....ooooh hallelujah hallelujah
@christinetusu9926
@christinetusu9926 2 жыл бұрын
Amen Jemedari wa vita yeyusha milima yote inayozunguka nchi yangu Kenya sasa hivi kwa kina la Yesu.
@carolyneakal4966
@carolyneakal4966 2 жыл бұрын
Milima yayeyuka kwa sauti yako Yesu🙌🙌🙇‍♀️🙇‍♀️🇰🇪
@snyaite44
@snyaite44 Жыл бұрын
I still view
@user-xg8xx2eh1u
@user-xg8xx2eh1u 9 ай бұрын
Mungu awabariki watumishi wa Mungu.
@amonkaranja2695
@amonkaranja2695 2 жыл бұрын
Amen 😭🙌daima na milele tumuabudu huyu Mungu 🙌🙏nabarikiwa sana na wimbo huu 💯💯
@gladnessgodwin9129
@gladnessgodwin9129 11 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana
@WinfridaSylvester
@WinfridaSylvester Жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu aliye hai
@bethwelebei699
@bethwelebei699 2 жыл бұрын
We Kenyan we love you Boaz....tembea adi TURKANA LODWAR leta ministry uku.
@rhodammbone88
@rhodammbone88 2 жыл бұрын
Wow I really like this song.touched song God bless you team Tanzania 💝🙏
@abelmeliu2522
@abelmeliu2522 2 жыл бұрын
Nyimbo zako mtumishi wa Mungu ni za baraka sana katika mwili wa kristo. Hizi ndizo tenzi za rohoni za wakati huu na wakati ujao.
@boazdanken
@boazdanken 2 жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu sio zangu ni za Yesu kwajili ya Kanisa. Utukufu na heshima kwa Yesu. Please share kwa wengi ukiweza
@wilkisterlusuli7084
@wilkisterlusuli7084 Жыл бұрын
@@boazdanken may God continue using you servant of God.am blessed
@rosesiwasimiyu9291
@rosesiwasimiyu9291 2 жыл бұрын
Every mountain in my life melt in Jesus Christ Name. Amen
MUNGU KAMA WEWE HAYUPO - BOAZ DANKEN FT DORCUS AUGUSTINO
26:37
BOAZ DANKEN
Рет қаралды 300 М.
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 39 МЛН
Son ❤️ #shorts by Leisi Show
00:41
Leisi Show
Рет қаралды 11 МЛН
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 13 МЛН
Zabron Singers, Marco Joseph Special Tribute
49:41
Hope Channel Kenya
Рет қаралды 10 М.
SOLOMON MKUBWA POWERFUL MINISTRATION WITH SHAMAYIM MF
1:14:56
SHAMAYIM MUSIC FELLOWSHIP
Рет қаралды 31 М.
Ukae Nami - Henrick Mruma (Official Live Video)
13:06
Henrick Mruma
Рет қаралды 2,8 МЛН
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 39 МЛН