Poleni ndungu zetu wa Tz . pia sisi tumeumizwa na kifo cha ndungu yetu.from kenya
@emmahndunda56912 ай бұрын
Sio Jambo rahisi, Mwenyezi Mungu hawafariji Zablon Singers na aiweke roho yake mahali salama. From Kenya
@MaryMuli-co9sf2 ай бұрын
Rip Marcos Joseph, tulikupenda lakini mungu amekupenda zaidi . Najua ni uchungu kumpoteza ndugu yenu. Sisi wa Kenya twasema pole sana. Tunalia pamoja na mungu awafariji zabron singer's na wa Tanzania wote.
@yucabethdavis40722 ай бұрын
Poleni ndugu zetu wa TZ. My condolences 💐 to the Zabron singer’s family. Pole zangu from USA 🇺🇸. I love your ministry na maombi kwenu nyote wana ZABLON SINGERS 😭😭😭😭😭😭🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
@isaacmaomba2 ай бұрын
🙏🙏🙏 💔💔 shukrani
@maggiemandela35262 ай бұрын
Yehova awafajiri familia ,ndungu na marafiki pamoja na taifa mzima la Tanzania. Hugs from Kenya 🇰🇪. Tunaomboleza pamoja nayi.
@JescaKisinza2 ай бұрын
Daaaaah pole sana , wanafamilia wa zabron Mungu awatie nguvu kwa kipindi hiki kigumu, Mungu ailaze Roho ya marehemu mahali pema peponi.
@wilfrednyandusi51482 ай бұрын
Condolences to Zabron singers in general and Tanzania. We are proud of your songs. Hence receive our condolences from Kenya
@susannyairabu2 ай бұрын
Poleni sana zabron singers, poleni Tanzania,, Mungu awatie nguvu kwa wakati huu mgumu,, kutoka Kenya
@DeboraThomas-i4t2 ай бұрын
Poleni jamani dah si rahisi lakn Acha mungu awatie na awape faraja kama wana familia
@VirginiaKitheko2 ай бұрын
Weee si raisi ila poleni sana wana zablon singers ndungu na familia kwa ujumla na ss mashabiki pia tuwe pole kazi yake ameimaliza bado na ss tumalize yetu tuweni pole sana ss wote from kenya 🇰🇪 inauma sana❤😢 ila mungu kashampenda zaidi lala salama Marco kuume kwa bwana amen 🙏 😢 😢
@EvelyneShadrack2 ай бұрын
Tume huzunika sana sio tu Tanzania pekee kenya kwa ujumula ina uma sanaa kumupoteza muimbaji maarufu my heart condolences to the entire friends family and zabron singers may our Lord God strengthen you all
@MilaKavwai2 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@victoriauno53942 ай бұрын
Sad unbelievable we will never see him again oh God😢.Wife n kids mungu awape nguvu.
@victoriauno53942 ай бұрын
Victoria may the Lord strengthen you.
@liliankimathi69732 ай бұрын
My condolences to his family and Zablon singers
@alicekaita2 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪wakenya tumelia sana
@noelmukasia3762 ай бұрын
Poleni sana Wana Zabron Singers...Mungu Ndio Mfariji Mkuu...Awafariji sana...Mungu Ailaze roho ya Marco mahali pema Kwake
@Teacherrononck2 ай бұрын
From Kenya 🇰🇪 poleni sanaa 😢😢
@korirkipyegon77322 ай бұрын
Makiwa kutoka Kenya. Honestly, this loss came too soon. May God anchor zabron singers and his immediate family through this low moment
@abigaelmwendwa53742 ай бұрын
Poleni Sana Wana Zabron singers, familia na Tanzania, Sisi Mashabiki wa Zabron singers tumeumia Sana , Joseph Mungu amuifadhi Hadi siku ya mwisho.
@jacksonsimiyu64922 ай бұрын
Pigo kuu kwetu mashabiki wa Zabron singers.Mwenyezi Mungu aifariji familia na aiweke roho yake mahali pema.
@emmanuelbiketi92012 ай бұрын
Poleni sana ndugu zetu wa Tanzania.. Mungu afariji Familia yake.. Pia Wakenya tumelia sana.. Safiri salama Ndugu Joseph.. tutaonana baadaye
@ANNHILDAMWANGI2 ай бұрын
Oh God... remember the entire family 🙏... love from Kenya..RIP
@mchunguziclemenc46782 ай бұрын
Pole sana kwakweli Mungu azidi kuwapa nguvu katika kipindi hichi vita amevipiga vya kutosha na mwendo ameumaliza Jina lake Bwana litukuzwe Amina
@JoelKimutai-e1j2 ай бұрын
Zablon singers let God give you strength.waimbaji wazuri sana.ndugu zetu watanzania Pia Sisi wakenya tuko na uzuni Sana wacha mungu awake Roho Yake mahali pema pazuri mbinguni
@DorcasMutili-b8l2 ай бұрын
Oooh,mwimbaji tuliyemtambua,mwimbaji wa nyimbo za ijiri,Mungu akuweke mahali alipojichakulia,poleni sana,Mungu awatie nguvu,asa,asa hii familia❤, Pole,poleni sana,pia nasi tunauchungu sana,na kifo chake.
@emilymwadime54782 ай бұрын
From Kenya poleni sana
@ZubedaVicent2 ай бұрын
Mwenyezi Mungu ampe pumziko njema, polen sana wapendwa Mwenyezi Mungu awaited nguvu ktk kipindi hiki kigum
@eunice38762 ай бұрын
God strengthen his wife and children.so painfully aky..poleni Sana
@enockmaina6292 ай бұрын
Pole sana Familia ya zablon singers. Mungu awepe faraja kipindi hiki kigumu. Mimi Kama kipenzi cha kwaya ya zablon singers naumia kwa kweli. Ni uchungu....... May God grant you strength and comfort during this trying moment
@CathreenMexigan2 ай бұрын
We were with Zabron singers at kisumu last Saturday during campmeeting Marco was very healthy and happy.i just cannot believe that he's no more.Mungu na aifariji familia yake
@NaomOnywoki2 ай бұрын
Weuh pia naumia poleni sana from Kenya may our lord comfort you during this difficult moment
@rosyjerop42052 ай бұрын
😢😢😢😢😢it's so painful to lose a mentor and God fearing man like you,my sincere condolences to the family and zabron singers, may his soul rest in eternal peace,,go well champion
@daisychepkoech47152 ай бұрын
Wakenya tulimpenda sana kwa kwaya ya zabron...tulihusunika sana wish Tanzania ingequa karibu tuombolexe wote....may his soul rest in eternal peace till we meet again
@danielkyalo55312 ай бұрын
Poleni sana Zabron singers from Kenya Kitui Mungu na awafariji sana.
@aminakasim11982 ай бұрын
Kiukweli kifo ni fumbo mwenyezi atujalie mwisho mwema
@mercylinemuhere76492 ай бұрын
Mwenyezi Mungu awafariji sana Zabron fraternity na taifa la Tz kwa ujumla, pokeeni pole zangu toka Kenya
@stellakusaga49162 ай бұрын
Huuuwi!!eeeeh!!Mungu!!ni ngumu sana kibinadamu!!inaumiza sana!wapendwa wetu wa Zabron Singers Mungu awatie nguvu awape faraja iliyo kuu!!ktk kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mpendwa wetu kaka yetu Marco!!
@KamantheJohn2 ай бұрын
Soo bad ,😢😢 heri walalao wakiwa ndani ya yesu ,maana Huwa pamoja na mungu ,shine on your ways shujaa wa nyimbo,😭😭from Kenya , condolences to all his family & Tz na wote wanaomjua ,makiwa
@NancyMgonja2 ай бұрын
Zabron’s singers Family Mungu wa Mbinguni awape faraja ya pekee kutoka mbinguni, Mungu amfariji mke wa marehemu na watoto pamoja na familia yote kwa ujumla 🙏🙏🙏
@jacksonfamba17482 ай бұрын
Poleni sana ndugu zetu watanzania.....so painful to loose such a vibrant soul .... rest easy Marco Joseph..... from kenya
@carolinekaburi26132 ай бұрын
My heart condolences to the family and friend's....I know it's a hard time loosing a talented singer Marco ...may he rest in eternal peace...his songs are inspirational to more generations May God grant his family grace 🙏
@evancekamilembe2 ай бұрын
Daaaah! Tumehuzunika Sana na kifo Cha mpendwa wetu hakika Mungu ailaze roho ya marehemu mahara pema peponi, apumzike kwa amani, AMINA.
@Maria-ic5kp2 ай бұрын
From us here Tacoma WA Heavenly Consolations and May he rest in Heavenly Peace Through Risen Christ Our LORD Amen .❤
@PaulineNdutaWanjira2 ай бұрын
Poleni sana familia, na Tanzania Ni ngumu, lakini Mungu anajua kwanini Bwana Yesu awape nguve na moyo wa kuitikia lilofanyika. Ndugu yetu Markos Pumzika kwa amani.Mungu alitupa ana Mungu amemchukua, Jina lake lisifiwe.
@sarahke42982 ай бұрын
My heartfelt condolences to the family of Marco and the Zablon singers. May God comfort you and grant you sufficient grace as you mourn your loved one.
@claudettepeterkin41862 ай бұрын
My condolence to the Zabron Family.Pray I'll meet you in Glory Marco.❤
@HylineBwonda2 ай бұрын
From Kenya my condolences to the family and Zabron singers at large Nimeumia roho sana😢😢😢😢😢
@FatumaMvungi-u5h2 ай бұрын
Mungu wa mbinguni awape faraja idumuyo familia nzima ya zabrone singers,na mke wake kipz 😊
@sallykiptoo2 ай бұрын
Poleni sana kwa familia and zabron singers at large...God wil wipe your tears...
@wanjirawarui42152 ай бұрын
🎉poleni sanaaa Wana zabron singers especially familia yake may Our good Lord have mercy on you
@wairimumurua93512 ай бұрын
Poleni sana family na Zabron singers.May our brother in Christ rest in peace. From Kenya.
@HapyNessShirima2 ай бұрын
Pole San ndugu wa marehem na rafiki na jamiii Kwa ujumla tulikupenda San ila mungu amekupenda zaidi upumzikee salam Marco Joseph
@mugagithome21432 ай бұрын
Poleni sana the Zablons, hili ni pigo kubwa sio kwenu peke yake lakini hata sisi wapenzi wenu the Zablon singers. Mungu awape nguvu
@RizikiKalamaАй бұрын
Msivunjike moyo namsikate tamaa Wana zablon singer mzidi kufanya maombi shetani asipate nafasi yakuwasabaratisha ju ya Marko pia mungu awatie nguvu wakat huu mungumu, pia mim naomba niwe na mwisho mwema! from Kenya
@EstherMwongela-n9u2 ай бұрын
From Kenya 🇰🇪 poleni sana 😢it has hit us hard too
@FaustinMmeitsi2 ай бұрын
Poleni sana wa Tz.Mungu ailaze roho ya ndugu pahali pema
@Kenyalydiahmonayo2 ай бұрын
From Kenya, poleni sana. 🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
@evancebarden42 ай бұрын
Pole ndugu Na jamaa. Tunawapenda Na Upendo was Yesu. Mungu awafariji. Tunawaombea Sana Kwa jaribu Hilo.
@mulesi682 ай бұрын
Poleni sana WanaZabron singers. Poleni sana wote mlioguswa na msiba huu. Mungu Mwenyezi tunazidi kuomba faraja yako kuu isitupungukie.
@tracykogo35422 ай бұрын
Kutoka Kenya our deepest condolences to the family, friends and the Zablon singers. Mungu awafariji..
@EuniceKerubo-n2g2 ай бұрын
Poleni sana ndungu zetu wa Tanzania hata sisi tumeumizwa na kifo chake ndungu yetu .from Kenya
@williamchesoli86222 ай бұрын
Pole sana kwa familia,marafiki na wote.Tunatazamia asubuhi njema tutakapo kutana naye Yesu akija.
@PaulineMkongo-k2d2 ай бұрын
Poleni sana watz tumehuzunishwa sana na kifo Cha mwombaji mungu ailaze roho yake mahala pema wakenya tuko pamoja
@janetkhaoma2 ай бұрын
A humble soul full of Godly humility.....rest easy brother till we meet again
@Christine-ho5us2 ай бұрын
Poleni sana dungu zetu watanzania na familia pamoja zabron singers na Africa mzima tumepondeza my condolences to all God comfort
@Kevin-h5l2 ай бұрын
Rip Joseph you have really transformed not only my life but also lives of people from different countries 😢😢😢😢😢😢😢😢
@SelinaDorcas2 ай бұрын
Mungu awape faraja mioyon mwenu zabron singers
@andrewmungandi-cg9ql2 ай бұрын
It's a sad development my family,, let's give God some praise for the loss , I'm following from Zambia
@elizabethmukeba25282 ай бұрын
Dada Victoria poleni sana famillia yote inauma sana kwetu wote mpenzi wetu
@marymaghuphamary55612 ай бұрын
Poleni sana wana zabron singers mungu awe mfariji wenu from kenya
@DorcasWanjiru-b3f2 ай бұрын
Polen sana ndugu zetu na familia ya Marcos mwenyezi mungu awafariji wakati huu mgumu poleni kutoka kenya
@fabianlaurent61442 ай бұрын
Mungu Amlaze Mahali Pema Peponi, Tutamkumbuka kwa Mazuri yake Pamoja na Huduma Yake kwa Jamii
@Bettermustcome7142 ай бұрын
Poleni sana... Wakenya kwa jumla tunatuma pole zetu kwa familia na kikundi kizima cha Zabron singers
@rachelmaina34762 ай бұрын
Poleni sana na huzuni kubwa .Mungu awafariji zablon family na Tanzania nzima.Wakenya twawapenda.
@Lordrich-m7y2 ай бұрын
Wanzania tunaoishi south Africa tumeumia sana..poleni sana wanafamilia.
@flavianfrank62562 ай бұрын
Mungu awapatie faraja familia ya zabron hakika inauma 😭😭😭😭😭lala salama kaka yetu
@simonkavelaga89642 ай бұрын
Pole dada pole sana mwenyezi mungu akutie nguvu kikubwa tumuombee marco apumzishwe kwa Aman
@charlessamwel9632 ай бұрын
Tutaimisi sauti yake😢
@estherkaranu55832 ай бұрын
Poleni sana WanaZabron na familia kwa jumla😢Mungu ailaze roho ya Marco mahali pema peponi
@kamuhuro2 ай бұрын
Pole to the family and the choir may they find solace at this difficult time,from Kenya poleni sana.
@AndreaAbery2 ай бұрын
Poleni sana wana ndugu na familia kwa ujumla mungu awatie nguvu
@sarahadhiambo78582 ай бұрын
Poleni sana from kenya 🇰🇪 it's not easy loosing such a soul
@aggieallan65172 ай бұрын
Tunatoa pole zetu Kwa ndugu zetu wa Tanzania Kutoka Kenya ..Mungu awafariji
@chassalamu88862 ай бұрын
Poleni saana ZABRON SINGERS msiba ni wetu sote
@Nancymakena-z1d2 ай бұрын
Poleni sana familia, twaomboleza pomoja sisi kama wakenya ndugu yetu amekuwa wa baraka kwetu kupitia nyimbo zake😢😢
@CarolineLangat-sb2bf2 ай бұрын
poleni sana ndugu zetu wa tanzania mungu to awafariji wakati huu mgumu
@joycehaule97172 ай бұрын
Mnawahoji sana jamani khaa hamuwaachi wazike kwanza yan mm ningewagomea kuhojiwa wallah
@chrispinantabaye48662 ай бұрын
Kwakweli mpaka too much,wangewapumzisha kidogo!!!
@israelkisaila84012 ай бұрын
😢😢wanakera sana,Mimi HAPO nimeshapiga makamera hukoo😢
@israelkisaila84012 ай бұрын
😢😢wanakera sana,Mimi HAPO nimeshapiga makamera hukoo😢
@SelinaDorcas2 ай бұрын
Wanatafuta kazi tu hao lkn hawaangalii uchungu wa moyo
@MercyMwongeli-q7q2 ай бұрын
Pole aki victoria...I feel it....take heart 😢😢
@davidadorwa2582 ай бұрын
My condolences to the entire family and may God comfort you during this hard time? We are leaved with no words but may the name of almighty God praise in both sad and happiness.
@Hope0shee2 ай бұрын
Am just shocked 😢God of love be with the family rip man of God from kenya we have lost a hero and a regend
@jamesbenjamin-kp4xc2 ай бұрын
MUNGU wetu ni mfariji mkuu, awafariji Familia nzima ya Zabroni Singers, MUNGU atabaki kuwa MUNGU katika nyakati za kila aina | poleni
@Lovergal04232 ай бұрын
From Kenya 🇰🇪 I feel so broken …😭😭may his soul rest in eternal peace
@GatiNyamataga-nk3uw2 ай бұрын
Pole sana familia marafiki na kanisa Kwa ujumla Mungu awatie nguvu
@claudettepeterkin41862 ай бұрын
Your fans from Jamaica W I weep with you Zabron Family ❤.
@onsangojuniorcomedy17392 ай бұрын
Pole zangu kwa zabron singers, watanzania wote na wote wampendao Mungu kupitia utumishi wao zabronbsingers kwa njia ya uimbaji. Kutoka Kenya
@MamaPrince-kd9cw2 ай бұрын
Hapa Kisumu City Kenya tunaomboleza na nyinyi...Mungu awape nguvu na faraja....Ndugu Marco alikuwa angali mdogo....
@Roseline-ld8ed2 ай бұрын
Poleni sana Mungu awafariji familia ya zabron 😭😭 Pumzika kwa Amani 😭
@justinomtili92262 ай бұрын
Poleni sana familia ndugu jamaa na marafiki,mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu 😭😭😭
@juliakingori10992 ай бұрын
I'm so heartbroken but God have the reason for everything. May the lord give the family strength at this trying moments
@samwelchacha69122 ай бұрын
😭😭😭😭 from 🇰🇪 poleni sana mungo ailaze roho yeke mahali palipo na wema 🙏
@EstherKasoki-s5p2 ай бұрын
Nakosa niseme nini ila mungu ajuwa sababu muwe ngufu zabroh mungu afariji jamaa na marafiki na kanisa nzima la wa adventiste
@SaraMaphie2 ай бұрын
Poleni ndugu wote kwa msiba wa ndugu yetu Marco
@joseph.mihambo58422 ай бұрын
Poleni Sana Wana family Mungu wa Mbinguni awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu cha majonzi na Mungu aiweke loho ya malehemu mahala pema peponi Amen 😢😢
@cynthiamelinda99012 ай бұрын
Representing My Fellow Kenyan 😭😭😭😭May God comfort the family my Biggest condolences 😫😰
@carolinekiptoo2 ай бұрын
Poleni sana kwa family, marafiki wote, tulikupenda sana Marco but God love you too rest in peace marco
@RahmaMoon-e3h2 ай бұрын
Poleni sana mungu wa mbinguni awatie nguvu from Kenya
@BensonKingatibenson2 ай бұрын
Poleni sana familia,zabron singers na Tanzania yote kwa ujumla kwa kumpoteza Moja wenu.may God condole your hearts
@patrickmbogo30292 ай бұрын
May God grant you peace at this very difficult time and will fill the gap. Blessed are the peace lover.
@HappynessRobert-j8z2 ай бұрын
Poleni sana nyasubi kwa kuondokewa na mpendwa wetu