Askofu Kakobe Mbele ya Magufuli "Wewe ni Shujaa"

  Рет қаралды 81,948

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 89
@gedionelius55
@gedionelius55 4 жыл бұрын
MUNGU Akubariki Sana Askofu Zachari Kakobe, Kwakuanza Na NENO Kwanza,, MUNGU Azidi Kukupa Ujasiri,,,,,,,
@akilimalimasala2942
@akilimalimasala2942 5 жыл бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu kwa NENO nzuri la Kujenga nchi Yetu.
@dawillygene
@dawillygene 5 жыл бұрын
Naiona Tz ya tofauti ,waooooooo baba askofu umenena maneno mazito na ya baraka baba ubarikiwe sana.
@mahamemapunda8482
@mahamemapunda8482 5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Baba Askofu kakobe kwa kunena neno la MUNGU kwa ushujaa mkubwa.
@wilsontemba7252
@wilsontemba7252 5 жыл бұрын
Amen mtumishi wa Mungu,tuzidi kumuombea Rais wetu
@manassehleonard2879
@manassehleonard2879 5 жыл бұрын
Baba yangu Askofu Kakobe nakupenda sana.
@SelestinoMnyema-kv1vm
@SelestinoMnyema-kv1vm 6 ай бұрын
Nakupenda sana Askofu Kakobe
@maombitv4118
@maombitv4118 5 жыл бұрын
askofu ameongea vizuri sana mbele ya Raisi, pia tunampongeza Raisi wetu kwa kutambua kila mtu ni muhimu sana na kufanya vikao pamoja nao glory be to God Abba father.
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 5 жыл бұрын
Askofu kwa kweli huwa uko vizuri kwa sbb huwa unaitumia nafasi yako ipasavyo bila hofu, ndio maana unaendelea kuaminiwa. Uko muwazi, unasimama vyema katika NAFASI yako ya utumishi wa Mungu.
@fundieddy9164
@fundieddy9164 5 жыл бұрын
Askofu Kakobe, mara zote huwa anahubiri yenye mashiko. '... umaskini unaanza katika fikra...' GREAT SPEECH.
@gideonimathew6491
@gideonimathew6491 5 жыл бұрын
Nakupenda Askofu Kakobe.... Mungu akuinue zaidi
@irenejohn2025
@irenejohn2025 3 жыл бұрын
Nakupenda na nakuheshimu sanaaaMTUMISHI WA MUNGU....MUNGU AZIDI KUKUBARIKI
@eliakimchai8933
@eliakimchai8933 5 жыл бұрын
Amen baba Z kakobe Mungu amsadie Rais Magufuli kwa historia mpya ya Tanzania mpya ikiwezekana miaka mingi uishi raisi shujaaa
@adammponzi4371
@adammponzi4371 5 жыл бұрын
Tunashukur sana mtumishi kwa hutuba yko Mungu azid kkpa hekima na busara
@ashapearubart2624
@ashapearubart2624 5 жыл бұрын
Mungu tulidie Rais wetu. Wewe dio ulie tuletea.
@samuelndalahwa3423
@samuelndalahwa3423 5 жыл бұрын
Ni kweli mdomo unaumba thanks Bishop kuleta badiliko LA fikra
@michaelnhende8505
@michaelnhende8505 5 жыл бұрын
Mungu azidi kukuinua baba yetu Zachary Kakobe ili Taifa lizidi kubarikiwa kwa maombi yako
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 4 жыл бұрын
Naam rais mungu amepa akili NA uaminifu sana hii sbabu ya kua tanzania nchi tajiri lakinl kabla kuja huyu raisi makufuli ilkua maskini hongera kwa wa tanzania pili uingi wa uslaam katika tanzania Anglau angiamka shekh moja NA aksema sh shote suali hapa ni yes kristo mtoto wa mungu NA mama yake ni marriya sasa nani aliye muoba marriya hapa ni mungu sasa itakuaje mungu anaye mtoto NA indiye aliye muoba mama yake uslaam enakanushs kabisa mungo kua ana mtoto
@merrypaul2055
@merrypaul2055 5 жыл бұрын
Ubarikiwe baba kinywa huumba
@mkombozidrivingschool8160
@mkombozidrivingschool8160 5 жыл бұрын
Kama umemuona gwajima anasikiliza kwa makini sana tujuane kwa like tafadhari.
@abermstafa2873
@abermstafa2873 3 жыл бұрын
Huyu mtu ni hazina watumishi wa mungu wengine wajifunze
@bonifasiemanueli2708
@bonifasiemanueli2708 5 жыл бұрын
KAKOBE umetisha bado kumbe hujashuka kiwango,wakuangalie kwa makini na kukupa ushilikiano unaweza kuwa msaada ktk inchi hii,
@richardmwakapalila6195
@richardmwakapalila6195 5 жыл бұрын
Mungu akutumie Sana baba yetu
@richardmanyilizu8400
@richardmanyilizu8400 5 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi Mungu azidikukutumia
@mosesmanguzu2674
@mosesmanguzu2674 5 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi Bwn kwa hekima ya Mungu kweli Mungu anakusudi na nchi yetu ongera mh Rais JPM kwa maono hayo
@alexfesto6476
@alexfesto6476 5 жыл бұрын
Amen Askofu kakobe
@financialloan9818
@financialloan9818 5 жыл бұрын
Raha kua ndani ya yesu watu wenye aman wapole wavumilivu roha mzuri daah ukiwa ndani ya yesu rahaaaa
@pendokatindasa2281
@pendokatindasa2281 5 жыл бұрын
Kakobe. Tunashukuru, Umemaliza kazi.
@eliamwangomale7282
@eliamwangomale7282 5 жыл бұрын
Ongera sana baba yetu askofu kakobe,mungu anajivunia kuwa MTU wake
@akanishabani5789
@akanishabani5789 5 жыл бұрын
Askofu Kakobe ni hazina Tanzania, nchi hii utawala wa Magufuli utakuwa wa kuigwa kwa kuheshim watumishi wa Mungu.
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 5 жыл бұрын
Akani Shabani sanaaaa,kawaweka karibu sanaaaaa
@sylvestermsafiri4372
@sylvestermsafiri4372 5 жыл бұрын
Yes! Neno kwanza.
@edinamutakyawa6872
@edinamutakyawa6872 5 жыл бұрын
ubarikiwe sana mtumishi
@nisetameena9276
@nisetameena9276 5 жыл бұрын
Nikiangalia sana na kutafakari uongozi wa Magufuli huwa nafurahi mpaka nalia, asante MUNGU kwa kutukumbuka, umpe raisi afya njema.
@jacksonnnonjela348
@jacksonnnonjela348 3 жыл бұрын
😭😭
@tezuramziray8700
@tezuramziray8700 5 жыл бұрын
Nimeipenda speech ya Kakobe saaana. Hongera
@maryhaule6448
@maryhaule6448 5 жыл бұрын
Mtumishi kakobe umetulia katika bwanaaaaaaa
@Cecile5005
@Cecile5005 5 жыл бұрын
Balikiwa Sana papa nimependa maneno yoko
@charlespeter5557
@charlespeter5557 5 жыл бұрын
Askofu kakobe umetisha baba
@deogrationgodfrey8493
@deogrationgodfrey8493 5 жыл бұрын
Nimekuelewa na huwa nakuelewa sana... Hongera sana JPM hizo ni baraka. Tawala miaka 1000
@museand732
@museand732 5 жыл бұрын
Fala sna wwe
@mabulajohn3129
@mabulajohn3129 5 жыл бұрын
Baba askofu uko sawa nimependa na huo ndio ukwel
@allykabongo260
@allykabongo260 5 жыл бұрын
Ni kweli kabisa.
@safhe-mpungi6075
@safhe-mpungi6075 5 жыл бұрын
🛐aamen
@nyanda427
@nyanda427 5 жыл бұрын
Aimen
@brightdeogratias6664
@brightdeogratias6664 3 жыл бұрын
Waooo
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 5 жыл бұрын
Kakobe umeomba vzr,Bible imebeba Kila kitu duuu
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 5 жыл бұрын
Imebeba mpaka tanzania ndio maana mnauwa wanzazibari tu iko siku itakuja u mtakiona tuoneeni tu
@financialloan9818
@financialloan9818 5 жыл бұрын
@@ukweliunauma4570 pepo sana ww Zanzibar nani kauliwa?mbona waislam akili zenu fupi sasa apo mauaji yanajngia vp mbona nyinyi mnalipua makanisa mnaua wakristo mbona usemi boko haramu wameteka na kuua wakristo mbona upigi kelele ?uko Zanzibar nani kauwawa au shobo?kwanza iyo Zanzibar mzima wamezunguka mashoga wanaume wachache mji umelaaniwa amjui mungu mpo busy kufuga majini
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 5 жыл бұрын
@@financialloan9818 umejuaje kama na wewe sio shoga au mshirikina. Rabda wazanzibar washa haribu tako ilo
@financialloan9818
@financialloan9818 5 жыл бұрын
@@ukweliunauma4570 sasa mwanamke anakua shoga?au tako linakuwasha ww unasema nimejuaje?kwaiyo unakataa Zanzibar sio kisima cha mashoga?Zanzibar ni sehemu ya majini kuliko sehemu yyte tz aho aho majini ndio wanawafanya ivyo wotee uko mmelegea adi macho lol Zanzibar kila kona mapunga kibaooo miaka 5 ilio pita awakufanya shindano la mamis wa kiume mashoga au ujui?mshindi akashinda sm na ela shoga moja ivi la Dar pumbavuuuuu kbs nyinyi waume tuu wanawafira wake zao alafu unajiita wa dini subutuuuuu ushetani uko ndio ulio tawala
@richardmwakapalila6195
@richardmwakapalila6195 5 жыл бұрын
Amina
@joshuakihaka7551
@joshuakihaka7551 5 жыл бұрын
Facts Baba
@anthonydcosta4888
@anthonydcosta4888 5 жыл бұрын
AMEN
@pendokatindasa2281
@pendokatindasa2281 5 жыл бұрын
Tunashukuru kwa historia hiyo fupi yenye maudhui muhimu juu ya Rais wetu mpendwa JPM na Watanzania kwa Ujumla.
@sophyeliah954
@sophyeliah954 5 жыл бұрын
Yes LORD!
@bonifacekisinga5908
@bonifacekisinga5908 5 жыл бұрын
True
@denisbomani8275
@denisbomani8275 5 жыл бұрын
Gud......daddy!
@Elisha-sr3we
@Elisha-sr3we 5 ай бұрын
Elisha
@romanamassawe814
@romanamassawe814 Жыл бұрын
Hivi Sasa hivi kakobe Yuko wapi ?. Enzi za wanafiki zimepita, hakuna mtu mnafiki Kama maaskofu wa Tanzania
@kilimanjaroelectricsolutio3573
@kilimanjaroelectricsolutio3573 5 жыл бұрын
amen askof
@patrickmogella5737
@patrickmogella5737 5 жыл бұрын
Wewe ni hazina Rais na Wa Tz wasiache kukutumia.
@frankmakori1481
@frankmakori1481 5 жыл бұрын
Hakika Tanzania Tuna Wapakwa Mafuta This is Tanzania Watashidaanaaa lakini Tutashinda Bwana yupo Pamoja nasi na Makufuli yameshawekwa Tayari Kuyafunga Laana zao na Umaskini Unaondolewa Ishi nami Tanzania
@taimaliga7635
@taimaliga7635 5 жыл бұрын
Ama kweli wewe ni mtumishi wa Mungu. Ila nasikitika serikali imechelewa kukutambua.
@manassehleonard2879
@manassehleonard2879 5 жыл бұрын
Ni kweli kabisa. Natamani wangemtambua tangu mwaka 1989.
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 5 жыл бұрын
Tai Maliga serikali imechelewa Sana kumtumia,ila Magu amegundua hilo
@taimaliga7635
@taimaliga7635 5 жыл бұрын
Ila Tz itapata umaarufu kupitia injili na sio Mpira wa Miguu.
@manassehleonard2879
@manassehleonard2879 5 жыл бұрын
@@taimaliga7635 hayo maneno aliyasema tangu 1989 na ndo yanatimia sasa.
@shalomizrael667
@shalomizrael667 4 жыл бұрын
Kwakila jambo kuna majira na wakati wake,, haya ndiyo majira ambayo MUNGU aliyapanga kwa ASKOFU KAKOBE kutumika kwa serikali.
@kobelochamanga9757
@kobelochamanga9757 5 жыл бұрын
Baba unatisha katika wachungaji wote tz
@danielshimora5315
@danielshimora5315 5 жыл бұрын
good
@geofreyngole242
@geofreyngole242 5 жыл бұрын
nikuelewa vizuri mh baba askofu,umenena vema minds za watz zibadilike.tupo na wimbo wa unyonge kuwa sisi ni masikini kwa miaka mingi,sasa tueneze ukweli huu kuwa sisi sio maskini
@danieldaud7958
@danieldaud7958 5 жыл бұрын
pamoja na hayo ila Hakuna utawala uliofanya mabaya kwa raia wake kama utawala wa awamu hii ya magufuli
@jaydenmugisha1663
@jaydenmugisha1663 5 жыл бұрын
Kama ypi ??yataje tuyajue
@maikoandrew58
@maikoandrew58 2 жыл бұрын
Mzee Kakobe ulipotea njia kulipongeza hilo Nebugabreza, Magufuli hakuwa mtu mzuri, viongozi wa kidini mlijikombakomba kwa mwanadamu, leo hii kiko wapi ?
@jacobmakono4399
@jacobmakono4399 Жыл бұрын
Hujui lolote kaa kimya!hapo Mungu anataka kuokoa roho za watu kupitia mtumishi huyu!
@jamesjames5129
@jamesjames5129 5 жыл бұрын
yes tunahitaji watu wenye busara kama huyu hatuangalii dini
@neemasikibigapumrembo9102
@neemasikibigapumrembo9102 3 жыл бұрын
neema johanes kulula niko serenget nahitaji nikombolewe kutoka kwenye dhambi japo nasali katorik
@clemencelisonga8192
@clemencelisonga8192 5 жыл бұрын
haleluya
@kamugishafrank6665
@kamugishafrank6665 5 жыл бұрын
Ubalkiwe
@rafaelitenson7646
@rafaelitenson7646 4 жыл бұрын
askofu.kakobe.nimekuelewa.sana
@zabronmshana3277
@zabronmshana3277 5 жыл бұрын
Ni kweli ombi lako ulilosema adui wa maguli atakuwa adui wa mungu ila maadui wake watakuwa hivyo kama nayeye akitenda haki kwa watu wote na itokanayo na sheria tuliyo iweka ili alinde
@saidkulwa1251
@saidkulwa1251 5 жыл бұрын
ndiyo wape vidonge vyao mana hawa taki kuelewa somo husika Mtumishi
@kobelochamanga9757
@kobelochamanga9757 5 жыл бұрын
Nchi nyingine ata pweza na ngisi awana
@chescokagali5962
@chescokagali5962 5 жыл бұрын
Ukweli humweka MTU huru
@fundieddy9164
@fundieddy9164 5 жыл бұрын
Chesco Kagali, uko vizuri. Bwana akubariki sana.
@valenakomba7686
@valenakomba7686 5 жыл бұрын
Wea tu unajikosha kwa maneno yako ya ovyo uliyokuwa unaropoka.
@Elisha-sr3we
@Elisha-sr3we 5 ай бұрын
Elisha
ASKOFU KAKOBE -  "MAGUFULI Ole Wako, Mimi ni Mbishi Sana"
7:03
Global TV Online
Рет қаралды 37 М.
BREAKING: Kauli ya Askofu Kakobe baada ya kutoka kuhojiwa Uhamiaji
13:04
Human vs Jet Engine
00:19
MrBeast
Рет қаралды 158 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma
00:14
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 84 МЛН
Mbwembwe zangu ziliniponza-Askofu Kakobe
1:44
TBConline
Рет қаралды 2,5 М.
KUTENGENEZA UTAJIRI WA WATU FULL VIDEO - JOEL NANAUKA
49:41
Joel Nanauka
Рет қаралды 49 М.
Hawapambani na Wewe, Wanapambana na Kusudi la Mungu / Rev. Dr. Eliona Kimaro
13:01
Zitto Kabwe VS Waziri Kabudi Bungeni leo 'Siingii mtegoni ng'o'
5:47
Human vs Jet Engine
00:19
MrBeast
Рет қаралды 158 МЛН