BREAKING: LEMA Afunguka MO Dewji Kutekwa, A-Z Kilichotokea!

  Рет қаралды 258,447

Global TV  Online

Global TV Online

5 жыл бұрын

#LEMA #MODEWJI
BREAKING: LEMA Afunguka MO Dewji Kutekwa, A-Z Kilichotokea!
Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, Godbless Lema, leo Oktoba 16, anazungumza na waandishi wa Habari kwa ajili ya kutoa ripoti ya Uchunguzi alioukamilisha kuhusiana na tukio la kutekwa kwa Mfanyabiashara maarufu nchini, Mohamed Dewji, ambaye mpaka sasa bado hajapatikana.
SUBSCRIBE: Global TV Online: goo.gl/nQY3hy
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw
Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL
Website: www.globalpublishers.co.tz
FaceBook: globalpublishers
Instagram: globalpublishers
Twitter: GlobalHabari
Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV
Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 852
@kassimkajasy3139
@kassimkajasy3139 5 жыл бұрын
Hii inatokana na watu kutokuwa na khofu ya aliyewaumba na kujiona wataishi milele hapa duniani kumbukeni kwamba kila nafsi itaonja mauti na tutauliza juu ya yale tuliyokuwa tukiyafanya hapa duniani.
@verdianabanabi5868
@verdianabanabi5868 5 жыл бұрын
kassim kajasy Hiyo ni kweli kassim watu wamesahau kuwa kuna muumba. Ila majibu yataonekana.
@idayagangs124
@idayagangs124 5 жыл бұрын
Umeona kaka ee
@billaanyango8208
@billaanyango8208 5 жыл бұрын
Kumbuka power ikipanda kwenye vichwa ya viongozi....viongozi wanaanza kula watu wao...wenyewe
@moricemaganya6856
@moricemaganya6856 5 жыл бұрын
kassim kajasy =
@nelsonmwaisumo7164
@nelsonmwaisumo7164 5 жыл бұрын
I hate this bring back our mo
@wavigoodjr8524
@wavigoodjr8524 5 жыл бұрын
Kama unaamini mo atapatikana akiwa mzima gonga like 🙏🙏🙏🙏
@maryammarym4437
@maryammarym4437 5 жыл бұрын
Wavigood Jr Inshaa Allah ndio tunaomba Mungu
@amenahussien6134
@amenahussien6134 5 жыл бұрын
Amiin inshaallah Mola atajalia
@annarafael3297
@annarafael3297 5 жыл бұрын
Duuu hatar mungu atutete tuu
@kashambanange6843
@kashambanange6843 5 жыл бұрын
Wavigood Jr Inshaallah mungu amlinde alipo our mo 😢😢😢😢
@munamuna414
@munamuna414 5 жыл бұрын
Allah ajalie hivyo in shaa Allah apatikane akiwa hai
@kambiyusufu5217
@kambiyusufu5217 5 жыл бұрын
Dah kama unaamini mo aspopatikana uchumi lazima utayumba weka like
@franaelipalanjo3584
@franaelipalanjo3584 5 жыл бұрын
Kambi Yusufu
@munisilivingjr5263
@munisilivingjr5263 5 жыл бұрын
poa sana lema kama una mkubali lema gonga like
@donaldsinkamba4867
@donaldsinkamba4867 5 жыл бұрын
Gonga Like kwa Lema Kwa kuongea ukweli wenye MAANA Kwa Faida YA Taifa.
@pancraspaschal2983
@pancraspaschal2983 5 жыл бұрын
Donald Sinkamba Le ma yuko sahii kabisa kwa sababu ii nchi inaelekea pabaya, na uchumi utapolomoka sana
@manalibaby4192
@manalibaby4192 5 жыл бұрын
Shikamoo lema..wenye kuelewa washakuelewa mungu mrudishe mo akiwa hai insha Allah.
@janetmwangi3868
@janetmwangi3868 5 жыл бұрын
Asante ndugu Lema, Mungu akulinde kwa kungea ya ukweli. Namuombea ndugu MO apatikane. Mungu ndo mwenye uwezo wote.
@cosmasbugomola6533
@cosmasbugomola6533 5 жыл бұрын
Serikali nayo hata siku moja moja ifanyie kazi maneno ya wapinzani sio kila kitu kupuuzia tu.Ushirikiano wa uchunguzi wa kimataifa sio kuonekana mtu au serikali ni dhaifu.
@kingson6568
@kingson6568 5 жыл бұрын
lema ningekuwa na uwezo ningekuweka waziri wa mambo ya ndani uwakamate wote waliohusika na utekaji . mambo ya kishamba kabisa.
@thadeipeter2592
@thadeipeter2592 5 жыл бұрын
Lema wewe ni true soldier.
@fatmahchambo2037
@fatmahchambo2037 5 жыл бұрын
Ahsante baba kwa kuongea ukweli, ila naomba M'mungu akulinde kwa huu ukweli wako uliousema usikuletee shida.
@abbythabit8500
@abbythabit8500 5 жыл бұрын
Sister ake mambo vipi? Mimi humu huwa nasoma comments nakusepa. Ila tuache unafki mshikaji kaonge vitu vya msingi kinyamaaa
@fatmahchambo2037
@fatmahchambo2037 5 жыл бұрын
Niko poa bro.... sana tu nimependa alivyoongea
@ramadhanisalum8321
@ramadhanisalum8321 5 жыл бұрын
Umeongea Point sana Lema...Kwa mwenye akili akikusikiliza lazima atagundua kitu...
@michaelharon6352
@michaelharon6352 5 жыл бұрын
I like it
@youngxhadah7951
@youngxhadah7951 5 жыл бұрын
acha nitabiri mo atapatikana kabla ya cku 3 kama unakubaliana na Mimi gonga like yako apa
@amenahussien6134
@amenahussien6134 5 жыл бұрын
Na iwe hivyo
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 5 жыл бұрын
Baada ya siku 2,Mungu turudishie huyu mtu akiwa vizuri
@makalanikweli9383
@makalanikweli9383 5 жыл бұрын
Young Xhadah hadi Leo siku ya ngapi
@youngxhadah7951
@youngxhadah7951 5 жыл бұрын
hesabu leo siku ya kwanza
@machilafaustin9473
@machilafaustin9473 5 жыл бұрын
Namuomba rais aunde kikosi maalumu Cha kufuatilia haya Matukio kama aliunda juu ya acacia kwa nn asiunde juu ya haya
@queenlinda255
@queenlinda255 5 жыл бұрын
I really don’t know much about this guy but he is Absolutely right .
@thomasheinogeorge2578
@thomasheinogeorge2578 5 жыл бұрын
He is still making a political scene out of the situation. I don't have any political party, though the concern which he shows is relevant.
@elymollel
@elymollel 5 жыл бұрын
U already know him.
@thomasheinogeorge2578
@thomasheinogeorge2578 5 жыл бұрын
@@elymollel From the media.
@kelvinmahona9237
@kelvinmahona9237 5 жыл бұрын
Bora ningezaliwa mbwa ulaya
@elymollel
@elymollel 5 жыл бұрын
@@kelvinmahona9237 ungepata bahati ya kufika ulaya ungeufuta huo usemi. Jithamini jinsi ulivyo na ulipo.
@kashambanange6843
@kashambanange6843 5 жыл бұрын
Duh... Lema mungu akuzidishie kinywa dhabiti na umakini uluonao ..naamini kwa kauli hii itawagusa na watatuletea mo wetu... Haki umempigania na hukuegemea chama
@simonisaya7035
@simonisaya7035 5 жыл бұрын
uko vzr tupige kelele kwel wanaiharbu nchi yetu
@luciakiwale736
@luciakiwale736 5 жыл бұрын
Mbona hi Tanzania inatia aibu tunamtaka Mo lema sema usiogope
@peninamkamba3141
@peninamkamba3141 5 жыл бұрын
Emungu Fanya njia pasipo nanjia mo apatikan kwanguvu zako tunatumain ataludi kwan tunakutegemea ww
@elisante6838
@elisante6838 5 жыл бұрын
Kama lema anaongea ukwel nipe LIKE yangu
@aminamol266
@aminamol266 5 жыл бұрын
Ahsante bab umeongea point. Inshaallah Mo atarud salama kwa uwezo wa Allah
@paulomarwa4720
@paulomarwa4720 5 жыл бұрын
Amina Mol apatikane
@annamollel2527
@annamollel2527 5 жыл бұрын
Ongea tu baba ,sisi raia wa kawaida tumekata tamaa kabisa hatujui nini kinaendelea
@verdianabanabi5868
@verdianabanabi5868 5 жыл бұрын
Anna Mollel Ni kweli Anna tumekata tamaa na serikali yetu.
@fatufatu5754
@fatufatu5754 5 жыл бұрын
Jmn kwann hivi vitu vinatokea jmn nchi yetu inaenda wapi
@abibusalimu9523
@abibusalimu9523 5 жыл бұрын
wanamuchafuarais
@michaelyoboss9071
@michaelyoboss9071 5 жыл бұрын
Lema nakubari sana
@kisomizaidi4909
@kisomizaidi4909 5 жыл бұрын
nakusikiliza mpaka sahivi unaongea point mkuuu
@husseinrashidy5962
@husseinrashidy5962 5 жыл бұрын
Hujawahi kosea kaka wambie ukweli
@josephfidia1693
@josephfidia1693 5 жыл бұрын
ongea baba tunataka mo wetu
@eustadanastaz4737
@eustadanastaz4737 5 жыл бұрын
Mungu wape subira family ya MO
@amenahussien6134
@amenahussien6134 5 жыл бұрын
Amen
@fatufatu5754
@fatufatu5754 5 жыл бұрын
Nakukubali sana brother
@manoahmahuna8212
@manoahmahuna8212 5 жыл бұрын
Fact. What is talking
@thabitpilymo9869
@thabitpilymo9869 5 жыл бұрын
Godbles lema
@estridermsigwa5016
@estridermsigwa5016 5 жыл бұрын
viva lema vivaaa
@abeldindima8073
@abeldindima8073 5 жыл бұрын
duuuuuuh! Leo umeneena kaka
@billaanyango8208
@billaanyango8208 5 жыл бұрын
Lema ur right....let each one of us raise the alarm concerning this issue
@salimmadua5264
@salimmadua5264 5 жыл бұрын
Billa Anyango kwel kabisa
@kaizalymkalimoto6368
@kaizalymkalimoto6368 5 жыл бұрын
duuu rema wewe nizaidi ya mwanaume
@bakariyusuph8727
@bakariyusuph8727 5 жыл бұрын
UKWELI NAPENDA CCM ILA KWA HILI HAPANA WAJIREKEBSHE INANIUMA XNA
@versonernest3514
@versonernest3514 5 жыл бұрын
yaani kwakweli lema kaongea ya kweli kwann wasijie wachungunzi wa kimataifa
@barakambise1970
@barakambise1970 5 жыл бұрын
Unapendaje ccm?
@saidkadara9411
@saidkadara9411 5 жыл бұрын
Lema your perfectly truly tatizo serikali hii imejisahau sana haijui utawala wao unakikomo hawatokaa hapo milele ,kiukweli Mimi nachukia sana yanayoendelea nchini ,hebu acheni kiburi serikali
@rheanmutimanwa3471
@rheanmutimanwa3471 5 жыл бұрын
We baba nakuombea tu mwenyezi mungu akulinde, maana hata ww iyi maneno inaweza kuku leteya shida
@kingson6568
@kingson6568 5 жыл бұрын
ninajua watu wa usalama wanafuatilia sana msg za mitandao lakini ukweli utabakia ukweli .serikali inawajibika kwa suala hili. lazima waje wachunguzi wa nje tuwabaini hawa watu wasiojulikana tuwapate.wasituchafulie nchi yetu
@piusmnanka2755
@piusmnanka2755 5 жыл бұрын
Kuwa na Amani usihofu Just relux...
@sir.josephmbeya7017
@sir.josephmbeya7017 5 жыл бұрын
Umenena vyema sanaaaaa Mh.Lema.Ya sirini yatawekwa hadharani kwa neema za Mungu.
@musasaid7179
@musasaid7179 5 жыл бұрын
Ingawa sisi ni watawaliwa, ila kwenye uonevu tunaona bhana
@musasaid7179
@musasaid7179 5 жыл бұрын
Tulipofikia tz ni aibu, mmejitia
@vanessajames1567
@vanessajames1567 5 жыл бұрын
Katika siku ulizoongea leo ndo umeongea kabisa hatuna aman tunaogopa kweli
@sanagudage5758
@sanagudage5758 5 жыл бұрын
Vanessa James pp
@joshuashalla1394
@joshuashalla1394 5 жыл бұрын
Umeongea point sana.
@sirajibakari2336
@sirajibakari2336 5 жыл бұрын
umemaliza kila kitu lema
@harunimfaume6280
@harunimfaume6280 5 жыл бұрын
kitu nashangaa mm kwann kama kuna gali iliingia ndan inamana hoteli kubwa waliingia bila kuandika chochote mlangon kwa sio jambo la kawaida hapo selikali lipo tatzo wasio julikana kwetu ss masikin ila wenyeewe wanajuana hoteli uingie bila kuacha maelezo sio kweli
@salimmadua5264
@salimmadua5264 5 жыл бұрын
Haruni Mfaume sio wewe tu unashangaa hata mimi nashangaa
@godblessnnyary4955
@godblessnnyary4955 5 жыл бұрын
Hapa maji yamepanda mlima
@shufaafarihya8674
@shufaafarihya8674 5 жыл бұрын
umeongea point kweli hakika tz hii mungu atunusuru tnakoenda siko
@nurudiniliyonjo5757
@nurudiniliyonjo5757 5 жыл бұрын
Hongera lema kwa kuyaona hayo
@enockenockkapinga7659
@enockenockkapinga7659 5 жыл бұрын
good point
@nassoromuhidin4369
@nassoromuhidin4369 5 жыл бұрын
Kwakwel mim ninamashaka sana na viongoz wa ngaz zajuu wanafaham sana kuhusu kutekwa kwa mo yani nchihii ya Tanzania imeshaharibika sana
@consolatamaarufu58
@consolatamaarufu58 5 жыл бұрын
Nassoro Muhidin sana
@beatricekiponda4856
@beatricekiponda4856 5 жыл бұрын
Asante kaka God,Mungu tusaidie mo wetu apatikane
@anithangao5950
@anithangao5950 5 жыл бұрын
Mungu ibariki tz
@kingson6568
@kingson6568 5 жыл бұрын
serikali ndio watekaji nina asilimia 100
@kfastak
@kfastak 5 жыл бұрын
Hatamimi. Tena kinacho nipa kiunganisha fkra Yule mfanya biashara aliekoswakoswa baada ya kujitetea kumpiga risasi usalama wa tafa
@katunzikakulu5601
@katunzikakulu5601 5 жыл бұрын
Haya
@katunzikakulu5601
@katunzikakulu5601 5 жыл бұрын
Safi sana kwa swali hill kijana
@patrickmasawe3539
@patrickmasawe3539 5 жыл бұрын
john alex thanks to know that
@samwelerasto7138
@samwelerasto7138 5 жыл бұрын
john alex 😂😂😂😂😷😷😷😷
@vicentigiboregibore1007
@vicentigiboregibore1007 5 жыл бұрын
jamani mbona awamu nne zilizopita haya hayakuwepo? skuwahi kuyaona mimi
@japhetmwamlenga7078
@japhetmwamlenga7078 5 жыл бұрын
Vicenti Gibore Gibore huna kumbukumbu
@edigamasengo9248
@edigamasengo9248 5 жыл бұрын
ukweli wautafiti binafs ni matarajio ya wenye wivu na wakiamini lazima Aje awe mtawala tena mkubwa kisiasa kijamii naamin ndo chanzo cha utekaji kwa iyo wausika ni viongozi wakubwa kisiasa na selikali wenye wivu wakiamini anamakundi mazuri kwenye jamii na anakubalika hizo ni mbinu za kikoloni za kuwaondoa watu wanaowaona watakuja kuwa na nyazifa kubwa zaidi yao
@sedetkamwendo9574
@sedetkamwendo9574 5 жыл бұрын
Social Media zilkuw ppor
@vivianrichard9096
@vivianrichard9096 5 жыл бұрын
Kweli kbs
@iddatysupergirl6581
@iddatysupergirl6581 5 жыл бұрын
Kweli Lema umeongea point sana...Mungu ibariki TZ🙇
@ackiberymbyellah8477
@ackiberymbyellah8477 5 жыл бұрын
Sana
@kilamlimited6480
@kilamlimited6480 5 жыл бұрын
Seriously i have a bad feeling about the well being of Mo
@gasperfidelis5120
@gasperfidelis5120 5 жыл бұрын
Leo umeongea point lema serikali tunalia na nyie
@franaelipalanjo3584
@franaelipalanjo3584 5 жыл бұрын
lema mbunge wangu kweli dhambi kubwa kuliko zote uwoga pambana kamanda goodjob
@feyzalyusuph14
@feyzalyusuph14 5 жыл бұрын
faru john alitafutwa kwa gharama kubwa mpaka akaonekana lakini binadamu anayelipa kodi na kuajiri raia wako hadi leo kimya
@piusmnanka2755
@piusmnanka2755 5 жыл бұрын
Mbwa nae alitafutwa kwa masaa 24,tu
@omarymwakitosi8204
@omarymwakitosi8204 5 жыл бұрын
True that's crazy
@gracemgeni5214
@gracemgeni5214 5 жыл бұрын
feyzal Yusuph g
@mbarikiwambarikiwa3988
@mbarikiwambarikiwa3988 5 жыл бұрын
Leo lema umeongea.
@kingkiba3728
@kingkiba3728 5 жыл бұрын
Kwa kweli kabisa baba nimekuwelewa san
@brightcalvin8944
@brightcalvin8944 5 жыл бұрын
Kama tupo pamoja kumuombea mo gonga like
@neemamangesho6986
@neemamangesho6986 5 жыл бұрын
Tunamtaka MO wetu ee Yesu simama kwenye hili tunakuomba baba
@youngramajrtz2215
@youngramajrtz2215 5 жыл бұрын
alafu kuna maboya awwezi ku comenti mpk waombee like pumbavuuu
@amankhalfan4798
@amankhalfan4798 5 жыл бұрын
Ramadhani Gillah hahahahahahahaha dah
@piusmnanka2755
@piusmnanka2755 5 жыл бұрын
Huwa wanataka waone kama walichokikomment ni sahihi
@shakirawaziri4248
@shakirawaziri4248 5 жыл бұрын
Familia fanyen mnaloweza kwa kuleta vyombo vya upelelez kutoka nje nchi gan hii ambayo haitetei hki ya jamii
@youngramajrtz2215
@youngramajrtz2215 5 жыл бұрын
Comenti uende zako 🖕🖕
@josephpaul9438
@josephpaul9438 5 жыл бұрын
Lema hongera Sana kaka
@bejamkusi4336
@bejamkusi4336 5 жыл бұрын
Upo VP vzr sana brother ww nikiongozi unaongea point sana 100%
@kingson6568
@kingson6568 5 жыл бұрын
huyu magufuli ni mtu wa ajabu anashindwa hata kukemea lakini jamaa zake walipozama kule ziwa victoria mbio akalaani na akaunda tume ya unchunguzi
@rickkabakama3781
@rickkabakama3781 5 жыл бұрын
sure
@godilongo5855
@godilongo5855 5 жыл бұрын
john alex
@thomasponera6018
@thomasponera6018 5 жыл бұрын
una element ya ubaguz man
@kingson6568
@kingson6568 5 жыл бұрын
sina ubaguzi wowote lakini huo ndio ukweli waache kuteka watu na kuwatesa .kila raia wana haki sawa
@hafidhibishehe84
@hafidhibishehe84 5 жыл бұрын
john alex kwl
@hajihija5400
@hajihija5400 5 жыл бұрын
ukweli ndio ulioongea ndio mana wote tumekukubali ,kwengine utaambiwa upelelezi bado unaendelea mwisho kimyaaaaa ,husikiiii lolote hapa ndipo tulipofikia .mungu atalipa .
@erickchikira1397
@erickchikira1397 5 жыл бұрын
mtetezi wa wenye matatzo n Mungu pekee....kwa imani kabsaa Mo atapatkana yuu hai na salama...na waloyafnya mambo haya aliejuu akapate kuwaaibisha..asante mh. Lema...ulindwe na Mungu
@kingkiya6640
@kingkiya6640 5 жыл бұрын
Daah,,,wanadamu wa Leo huruma imetoweka kabsa hatuna utu yan hata hofu ya Mungu imeisha jmn,,,Mwenyezi Mungu amlinde Mo na wengne wanaopitiha magumu mbali mbali...
@mwatumsaidi5104
@mwatumsaidi5104 5 жыл бұрын
Maneno mazima aliyoongea Allah amlinde huko aliko na wamrejeshe akiwa salaama ishallah
@worldlyricssongs6141
@worldlyricssongs6141 5 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana mh.Godbless lema,, ujasiri wakutoka na kuongelea ili swala bila uoga ni ujasiri Sana,,, Mungu akulinde popote uendapo
@Noname-gg6bx
@Noname-gg6bx 5 жыл бұрын
Gonga like hapa kama unakubali kuwa serikali ndio iliyomuhifadhi Modewji
@harounali1626
@harounali1626 5 жыл бұрын
Gari ya watekaji haija onekana kuingia wala kutoka, lakini watekaji ni wazungu, ulijuwaje kama ni wazungu na camera haija catch images.
@frankrowland2884
@frankrowland2884 5 жыл бұрын
Wamlete MO jaman anawasaidia wanachuo wengi wa vyuo vikuu.....Watanzania wengi watakwama,watoto wa maskini wengi watashindwa kutimiza ndoto zao.
@JoyceGeorge-qv4ck
@JoyceGeorge-qv4ck 5 жыл бұрын
nimekusoma rema umeongea point tupu hapo hakuna usiasa
@angelavayinga914
@angelavayinga914 5 жыл бұрын
Mimi ni Ccm damu lakini kwa hapo umeongea point tupu. Selikari ina kila sababu yakutufanya tusiwe na hofu nchini mwetu. Hatutakiwi kuishi kwa mashaka.
@barakamollel2109
@barakamollel2109 5 жыл бұрын
Lema hata wakisema vibaya ila hakika wewe ni Mwanaume
@annajoseph9959
@annajoseph9959 5 жыл бұрын
Mi ccm ila leo umeongea jambo zur sana
@nobertnyunze2934
@nobertnyunze2934 5 жыл бұрын
Anna Joseph ccm una hisa ngapi
@piusmnanka2755
@piusmnanka2755 5 жыл бұрын
Umeanza kupata nafuu...,!.Mungu akusimamie upone kabisa....
@annajoseph9959
@annajoseph9959 5 жыл бұрын
Hahaha
@mdouharuna6849
@mdouharuna6849 5 жыл бұрын
Everything it true
@jumaomary7635
@jumaomary7635 5 жыл бұрын
Bado sijakuelewa!
@NeemaMedia
@NeemaMedia 5 жыл бұрын
Nakumbuka enzi za jakaya alishirikiana Sana na Raia na alitoa ruckusa kwamba ikitokea mmemkamata mwizi au mnamhisi mtu ambae hammuelewi katika mtaa mchukulieni hatua kabla ya police hawajapost Lakini leo tajiri mkubwa huyu hata sauti ya raisi hamna Daah inaumiza.
@saningokevin4138
@saningokevin4138 5 жыл бұрын
I like the courage an articulate speech from this guy,, true and few African patriots from +254
@janethmwanga507
@janethmwanga507 5 жыл бұрын
Damu ya Yesu kristo ukulinde ndgu hakuna usiasa hapa huu no ubinadamu
@kingkiba3728
@kingkiba3728 5 жыл бұрын
😭😭😭😭Jamani beni sanane nimekumic san mungu akusaidie aonekane
@yazidiabduli2069
@yazidiabduli2069 5 жыл бұрын
Wee uko sawa kweli
@harrisonockitavian5750
@harrisonockitavian5750 5 жыл бұрын
Mungu huwa ana mambo mengi nafurahi kuona anamnyanyua rema na kumfanya nabii na kumjaza taswila ya ukweli na kuyasema mambo yanayo fichwa kuna jamaaa anajitia anamjua mungu kumbe hajui lolote mungu huwa ana watu wake (unaweza usiue kwa mkono ila ukaua kwa vidonge visivyo na tbs)na leo mungu kamleta mwenye mesuli ya imani rema sema kama ulivo tumwa na mungu kuwateta watanzania mungu mlindecrema maana wenda na yeye.......????!!!!!
@fidebaraka4451
@fidebaraka4451 5 жыл бұрын
Watekaj wote walaaniwe mpaka kizaz chao chote kilaaniwe
@billaanyango8208
@billaanyango8208 5 жыл бұрын
Kwa jina la yesu...amina
@azzaahmed5415
@azzaahmed5415 5 жыл бұрын
Amin 10000000000000x
@irenewiliam4955
@irenewiliam4955 5 жыл бұрын
Fide Baraka kweli kabisa INA uma sana
@chamam5031
@chamam5031 5 жыл бұрын
Elf mara amin
@refresh_tz3963
@refresh_tz3963 5 жыл бұрын
Kama Kweli Wewe Ni Mungu Muumba Wetu Naomba Hao Watu Walaaniwe Hata Vizazi Vyao Na Vizazi Pia Utie Wepesi Na Mi Dewji Apatikane Maana Asipo Patikana Mo Dewji Na Wale Watu Walio Kwisha Kupotea Tangu Zamani Jina Lako Litadharauliwa Naamini Utatenda Kwa Mapenzi Yako Yote Amina
@jacksonmallya9937
@jacksonmallya9937 5 жыл бұрын
Sifatilii political but today I appreciate 4 wat you did Mr. Lema haki haitopotea kwa asie na hatia Mo n mtu muhimu kwa taifa letu
@frankmusukuma3814
@frankmusukuma3814 5 жыл бұрын
Jackson Mallya hii sio political nduguyangu watu wanazungumzia uhai kwan mo nimwana chadema?
@jacksonmallya9937
@jacksonmallya9937 5 жыл бұрын
@@frankmusukuma3814 yap najua cyo mwanachadema na ndo nimekubali in 100% kwa alichoongea Lema coz amesimama kupigania UHAI na kulaani yanayotokea ktk nchi yetu
@lucasmpoma7250
@lucasmpoma7250 5 жыл бұрын
Mh lema shukrani sana kwa hayo mengi uliyoyasema serikali uhuni tu tunamuomba mungu mo apatikane akiwa na afya yake
@irenaelizabeth9232
@irenaelizabeth9232 5 жыл бұрын
well said
@kfastak
@kfastak 5 жыл бұрын
Ahsante Sana Mr. Lema
@kingson6568
@kingson6568 5 жыл бұрын
hao wanaocomment dislike ndio wanasupport utekaji
@allineadocabrones5
@allineadocabrones5 5 жыл бұрын
Kabisa
@giftofhope9553
@giftofhope9553 5 жыл бұрын
Hofu yangu isije kua wamemtorosha kwa njia ya bahari
@ziadaalute6836
@ziadaalute6836 5 жыл бұрын
good point
@gilajr6627
@gilajr6627 5 жыл бұрын
Mhe.Waziri kivuli wa mambo ya ndani Godbless Lema
@merryn4891
@merryn4891 5 жыл бұрын
mwenyez mungu akulinde wasije kukuteka
@zayabdi9636
@zayabdi9636 5 жыл бұрын
Hallow
@jmalifedha479
@jmalifedha479 5 жыл бұрын
Still the truth will remain constantly √
@abeidhassan3823
@abeidhassan3823 5 жыл бұрын
Umesema ukweli sana
@fantasticman2223
@fantasticman2223 5 жыл бұрын
semà tunakukubali
@kingoman7895
@kingoman7895 5 жыл бұрын
Mambo ni MOTO asante sana muheshimiwa godless lema mungu atakupigania na atatupigania moarudi akiwa salama Ameen
@bishopmosesmagadula7572
@bishopmosesmagadula7572 5 жыл бұрын
UNAUJASIRI MKUBWA NDUGU YANGU NAKUOMBEWA UWE SALAMA MUNGU AKULINDE NA KUKUOKOA NA MABAYA YOTE..
@jodembaonlinetv9076
@jodembaonlinetv9076 5 жыл бұрын
Mungu tusaidie Tanzania,maana mambo haya yanatisha sana
@andreakadunda6022
@andreakadunda6022 5 жыл бұрын
Kwa niwajuavyo hawa jamaa watapinga hata hiki kinachozungumzwa, mtu aliyeajiri watu zaidi ya elf 23 anatekwa halafu sijasikia matamko yoyote kutoka serikalini. Tunaleta mchezo na uchumi wetu
@happinessjacob2512
@happinessjacob2512 5 жыл бұрын
Daaah,,,reality umeongea point,,,si mshabiki wa chama,,,huwa nashabikia point za maana,,,na sina chama,,,una akili sana kwa hapo umenena,,hivi serikali hii bado haioni tu inampoteza mtu muhimu kwa nchi hii?bac tu wengine ndo hvy hatuna uwezo,tutabakia kunun'gunika tu moyoni
@kaizalymkalimoto6368
@kaizalymkalimoto6368 5 жыл бұрын
viva lema
@remigiusdeogratius8294
@remigiusdeogratius8294 5 жыл бұрын
Hawa jamaa ni wanyama, wako kimasilahi binafsi siyo kwa niaba ya wananchi, Rais na watu wake hawaoni uzito
@mkombozikiratv.9733
@mkombozikiratv.9733 5 жыл бұрын
Lema uko sawa kabisa na Mungu akubariki zaidi maana uliyoongea ndy mawazo ya watanxania wengi
@piusmnanka2755
@piusmnanka2755 5 жыл бұрын
Lema ndie atakaekuwa mwenyekiti pale Mbowe atakapomaliza muda wake..,au siyo...?Kama unakubaliana na Mimi gonga like....
@magdalenamatiko9995
@magdalenamatiko9995 5 жыл бұрын
Umeongea mpaka nahisi na wewe utapotea,maana hali ni ngumu kwakweli,ogopa MTU mwenyewe roho ya kisasi ni hatariii!
@aliabdulrahman1202
@aliabdulrahman1202 5 жыл бұрын
Serikali inawajibika na kila matokeo ya uhalifu juzi kati waziri mmoja alitembelea maduka ya masonara kuuza zahabu hilo moja jina la Dewji sana ni majina ya kihindi ambao ndio wenye kushuhulika na ma mauzaji ya zahabu tujiulize swali kwa hili hamna mkono wa serikali ulio pitia hapa labda bwana Mo kajibika na ma zahabu serikali ikaona imfanyie kazi uchunguzi kwa mawaziri pia
@kasianialoisi1951
@kasianialoisi1951 5 жыл бұрын
sipendi siasa hata kidogo ila alioyaongea huyu ni ya ukwer tupu upinzani wangekua tokaza zamani wanaongea ivyo tz ingekua mbali sana kwer ww kiongozi bora
@juliasluckumay6078
@juliasluckumay6078 5 жыл бұрын
Laana ikawatafune wanaojua mo alipo na waliowatuma na na kizazi chao
@neylightdeblessedone1584
@neylightdeblessedone1584 5 жыл бұрын
kabisa na hasira ya Mungu iwake juu yao.
@shukurunzenzule5963
@shukurunzenzule5963 5 жыл бұрын
serikali ijitathimini
@zeanamohamed4072
@zeanamohamed4072 5 жыл бұрын
Hakuna. Iila ni magufuli. Na .gengii llake tuu
@usanifumaandishi7519
@usanifumaandishi7519 5 жыл бұрын
Zeana Mohamed Pumbavu wewe
@saidaali9379
@saidaali9379 5 жыл бұрын
Wasipo angalia itakuwa kama somali Tanzania
@princearjun5488
@princearjun5488 5 жыл бұрын
kweli kabisa bro leo umeongea point yan nimependa sana ulicho ongea mi nimpinzani wako ila leo nimekuunga mkono kabisa
@halimamusa2797
@halimamusa2797 5 жыл бұрын
In shaa Allah atapatikana akiwa mzima
@beautywithnay5974
@beautywithnay5974 5 жыл бұрын
Is true rema umeongea vizuriii sana ni bonge la point
@frankgalus2000
@frankgalus2000 5 жыл бұрын
Point
@florakimaro8095
@florakimaro8095 5 жыл бұрын
Keep it up baba,be blessed umeongea kweli kabisa
@marcelojunr6849
@marcelojunr6849 5 жыл бұрын
point boss
Full Debate: Biden and Trump in the First 2024 Presidential Debate | WSJ
1:38:19
The Wall Street Journal
Рет қаралды 20 МЛН
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 57 МЛН
1 or 2?🐄
00:12
Kan Andrey
Рет қаралды 58 МЛН
HAPPY BIRTHDAY @mozabrick 🎉 #cat #funny
00:36
SOFIADELMONSTRO
Рет қаралды 15 МЛН
SPIKA AMVAA LEMA - "Sikuogopi, Una STRESS Wewe Unadaiwa MIL 419"
4:33
Global TV Online
Рет қаралды 27 М.
Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka
15:51
Global TV Online
Рет қаралды 572 М.
ALLY KAMWE ACHUKIZWA NA WAZEE WA YANGA, NI WAJINGA SANA
13:12
MO DEWJI AZUNGUMZIA KUHUSU KUTEKWA KWAKE
28:50
BBC News Swahili
Рет қаралды 1,4 МЛН
Lema, Mnyika Waliamsha Tena Dude Bungeni
12:42
Global TV Online
Рет қаралды 362 М.
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 57 МЛН