Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka

  Рет қаралды 573,813

Global TV  Online

Global TV Online

7 жыл бұрын

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amechafua hali ya hewa bungeni akipinga muswada wa mabadiliko ya sheria ya maliasili, wakati akichangia hoja huku akiwatuhumu wabunge wa CCM kufanya mambo kwa ushabiki.
Lema amesema sheria zilizoligharimu taifa mpaka sasa, zilipitishwa kishabiki bungeni, kama ambavyo wabunge wanataka kufanya hivyo sasa hivyo kama ushabiki utaendelea, lazima sheria zitakazopitishwa zitakuwa ni zilezile.
Ilibidi mheshimiwa George Simbachawene, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, asimame na kumkosoa Lema kwamba alikuwa akikiuka sheria katika uchangiaji wake lakini alipokaa, Lema alimpiga kijembe kwamba anataka kubadilishiwa wizara ndiyo maana anapinga hoja ya Lema.
Akataka utengwe muda wa kutosha kujadili muswada huo na si kupeleka bungeni kwa hati ya dharura. Mjadala mkali uliendelea ambapo Lema aliendelea kutoa hoja nzito akizielekeza upande wa wabunge wa CCM.

Пікірлер: 286
@reganjuma152
@reganjuma152 7 жыл бұрын
mh:lema ameongea point kubwa sana na mueshimiwa rais angalia hilo coz kuna wabunge wa ccm wanatetea ujinga big up mh lema
@shebbyrnem7003
@shebbyrnem7003 5 жыл бұрын
nimemshangaa sana kusema Arusha mjini hatuna m bunge huyo ni nan sasa funguka lema
@saddiqkinkoro389
@saddiqkinkoro389 5 жыл бұрын
Chuga huyu ndo kiongozi msikoseee anafunguka ipasavyoooo yuko njemaa km rais Wa Arushaaa
@isuqalex8726
@isuqalex8726 7 жыл бұрын
ccm hawajielew big up mh. lemaa
@lubavaclassic7048
@lubavaclassic7048 7 жыл бұрын
Duuuuuuh kweliii kiboko duuuuu.. umebonga adii nafsi yangu imeshtukaa jombaaa
@maikonmsafirilatonga114
@maikonmsafirilatonga114 4 жыл бұрын
Nimemkubali Sana lema kwa alichozungumza ila simabachawene anajaribu kufosi kupindisha alichozungumza
@suleimanali609
@suleimanali609 6 жыл бұрын
hakika wewe Lema Mungu awalete viongozi km wewe
@rahmayussuf4368
@rahmayussuf4368 6 жыл бұрын
Thank you Lema congrat ....smart na unajua kujenga hoja ipasavyo....goood
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 2 жыл бұрын
here from Kenya 🇰🇪I like this guy personally
@justinemgomi9561
@justinemgomi9561 7 жыл бұрын
Lema umefungukaaaa hahahahaa dozi imepenyaaaa
@pascarmwatosya5855
@pascarmwatosya5855 3 жыл бұрын
Chuma hichoo mungu awape umakini wakurudishe tenaaa
@aibansaidy2286
@aibansaidy2286 5 жыл бұрын
Arusha tuna mbunge makin saanaa, mungu akubariki mheshimiwa lema.
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 2 жыл бұрын
Ipo siku arusha mtamkumbuka lema
@tracyjustice1600
@tracyjustice1600 7 жыл бұрын
ila CCM ni watu waajabu sana kwa kweli, hule muimbaji wa gospel Munishi hakukosea, Mh.Lema I salute you
@stelasasala5972
@stelasasala5972 7 жыл бұрын
Hivi kichwa km hiki kijana unapataje ujasiri wa kukipinga? Viva Lema
@geofbeka1669
@geofbeka1669 7 жыл бұрын
Pole Lema, mna kazi ngumu sana
@masalumashala185
@masalumashala185 3 жыл бұрын
Wakati wa Mungu ukifika, ccm itashindwa na watu wengine, hongera lema kwa kulitambua hilo
@ombenianton3611
@ombenianton3611 2 жыл бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣 ila walipoondoka ndio bunge lilipoteza mwelekeo wake. But 1 day tutachukua kombe tu na sisi
@josephjohn6219
@josephjohn6219 7 жыл бұрын
Ni vizuri Wah.Wabunge kufanya kazi za Bunge na siyo kazi za matakwa ya vyama vyao vya siasa!
@elizabethmlay5015
@elizabethmlay5015 6 жыл бұрын
nice sana Mungu akujaze hekima
@Adryfierce
@Adryfierce 7 жыл бұрын
Shikamoo Lema
@godfreymgaya435
@godfreymgaya435 6 жыл бұрын
Mwenyezi MUNGU akupe nguvu ..akutie hekima na maneno yako,,,m4c.....
@billionairemuksini2981
@billionairemuksini2981 7 жыл бұрын
wapinzani wapo kwa ajili ya kuweka mambo wazi huku watawala wanafichaficha
@shebbyrnem7003
@shebbyrnem7003 5 жыл бұрын
Billionaire Muksini haswaaaa
@pttemba4421
@pttemba4421 5 жыл бұрын
lema mungu alie watoa wana wa israel misri na kwasauti yako uliotoe kwa kipindi hiki mungu atukuja kukuweka juu nawanao wapinga wata ficha sura zao
@yusufukazamba2391
@yusufukazamba2391 5 жыл бұрын
Arusha mkimpoteza Lema mtapata hasara kubwa na mtakumbuka daima
@jonaselisha3217
@jonaselisha3217 5 жыл бұрын
Huyo ndojembe letuuuu 2020 ten
@foibennjeje7730
@foibennjeje7730 5 жыл бұрын
Lema Lema Lemaaaa! God bless Lema Amina.
@deogratiusdaudi5482
@deogratiusdaudi5482 7 жыл бұрын
jah bless u godbless lem 2 live 100yrs ahead with alots of happiness...asante lema
@yaledijakobo4072
@yaledijakobo4072 6 жыл бұрын
Deogratius Daudi
@princeriwa4000
@princeriwa4000 2 жыл бұрын
Maneno yako ni Sawa na jina lako mwamba. Mungu akulinde na kukulinda kwa kila jambo ulitendalo mwamba. Your my inspiration
@josephkanondo3999
@josephkanondo3999 7 жыл бұрын
mungu ambariki gobbles lema
@augustinochuhila6004
@augustinochuhila6004 7 жыл бұрын
lema mungu akubaliki sana katika Kazi yako
@hitmanhunter9557
@hitmanhunter9557 7 жыл бұрын
roma akiwaambia ukweli wabunge wetu mnatuangushaa anatekwaaa.... sasa mambo gani hayo... watu wazima mnashindwa kukaa mkaelewana na kuskilizana.
@ibrahimrikanga1607
@ibrahimrikanga1607 5 жыл бұрын
Jamani ww lema uko good
@pelgrindominicus4890
@pelgrindominicus4890 5 жыл бұрын
Yes this is what we need in our nation the truly guy like Mr. Lema is good even if most of the parliament are oppose him
@bigsonmeckson8688
@bigsonmeckson8688 4 жыл бұрын
Pelgrin Dominicus
@khassimnkuruvi4
@khassimnkuruvi4 6 жыл бұрын
Lema happy nakupa BG up. Umeongea.
@dostovan5142
@dostovan5142 2 жыл бұрын
Huyu jamaa Mungu ambariki Sana kwa kuipigania nchi
@ramadhanikakoree3728
@ramadhanikakoree3728 6 жыл бұрын
Uko vzr lema
@marcohamisihubill.1649
@marcohamisihubill.1649 7 жыл бұрын
Uko Sawa mungu akubariki
@shaddytzblog1907
@shaddytzblog1907 5 жыл бұрын
Sema baba lema mwenyezi mungu aendelee kuwapigania
@leonidaobed2952
@leonidaobed2952 7 жыл бұрын
lema mungu akutie nguvu hao wangine Hawajui wafanyalo ni ndio tu kila kitu tunawasubiri kwa hamu-2020 wataungua tuuuuuuuu.
@yusufukazamba2391
@yusufukazamba2391 5 жыл бұрын
Lema na zito kabwe ni ndugu pacha I love you all
@albertmichael8675
@albertmichael8675 5 жыл бұрын
Wawooooo mkuuu dah unaongea ukweli na kwa uchungu sana ,mbna wabunge wa upinzani wanaakili sana ,adi wivuu
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 4 жыл бұрын
lema mh
@kechbowcech3325
@kechbowcech3325 4 жыл бұрын
Wewe Tulia. ,,,,hatuna hati ya Dharula.... ni Dharura.
@ismshakoor1340
@ismshakoor1340 6 жыл бұрын
asante San lema mungu akulinde
@woltabenad8311
@woltabenad8311 4 жыл бұрын
Lema unajuw sana kujenga oja
@zompasevenludovick51
@zompasevenludovick51 7 жыл бұрын
tunahita watyu kama nyie 100 tyu wenye ujasiri na weledi wa kutosha ili tulikomboe taifa....Viva Lemaaa
@yohanazacharia3352
@yohanazacharia3352 7 жыл бұрын
ujumbe umefika hata kama wanaukataa kinafiki lkn tumeuelewa wenye akili
@kevinmrope1783
@kevinmrope1783 7 жыл бұрын
Yohana Zacharia nawewe unaakili?
@rahmashaban8693
@rahmashaban8693 7 жыл бұрын
Yohana Zacharia +wewe mie naona no number one. unahitaji kupelekwa mirembe.
@agabalufulani7247
@agabalufulani7247 5 жыл бұрын
Safiii
@shemsaroja975
@shemsaroja975 4 жыл бұрын
I wish ningekua raisi ninge kuchagua WAZIR MKUU
@mpelienock
@mpelienock 6 жыл бұрын
Lema you are very true
@mamaedson7179
@mamaedson7179 4 жыл бұрын
Kura yangu ni kwa lema arusha mjini 2020
@theodorychristopher4795
@theodorychristopher4795 6 жыл бұрын
Waheshimiwa msicheke hilo swala ni muhimu sana raia sisi hatufurahii hata.
@salimmasatu7637
@salimmasatu7637 7 жыл бұрын
lema ukisimama wabunge wote wa cc wanatetemeka
@anjunurdin2763
@anjunurdin2763 6 жыл бұрын
pole sana Lema ila mkono mmoja hauvunji chawa..kaka yangu umoja ni nguvu
@alexanderkilembo7651
@alexanderkilembo7651 6 жыл бұрын
ongea bana tumechoka kabisa
@sorryboy4404
@sorryboy4404 5 жыл бұрын
Salim Masatu
@geraldmilanzi424
@geraldmilanzi424 5 жыл бұрын
Hakika wa faa kuwa mbunge wa kitaifa na si wa jimbo. Mungu na awe nawe
@ricksonmrema1693
@ricksonmrema1693 4 жыл бұрын
Kweli Lema waambie
@angeljustine1978
@angeljustine1978 2 жыл бұрын
Our pride Arusha tumekumisss sanaaaa mhe
@ama7742
@ama7742 4 жыл бұрын
Kwa mara ya kwanza nimemuelewa lema
@tollmrema6049
@tollmrema6049 2 жыл бұрын
Nakukubali sana
@muhidinihassani520
@muhidinihassani520 4 жыл бұрын
LEMA Ni hazina ya TAIFA
@ladsonmshana9920
@ladsonmshana9920 6 жыл бұрын
namkubali sana lema
@paulalipakwa9077
@paulalipakwa9077 2 жыл бұрын
Godblessings you lema mangu akulinde popote ulipo Godbless you lema
@jamilaismail5227
@jamilaismail5227 7 жыл бұрын
👏👏👏Lema👏👏👏👏👏❤❤❤💙Lema💙💙💙Lema 💪💪💪 Lema👌👌👌👌
@Onicavee
@Onicavee 6 жыл бұрын
Jamila Ismail 👏🙏mbuge wanguuu
@omarymachea2364
@omarymachea2364 4 жыл бұрын
Lisu aliwakomesha sasa zamu ya lema kuwaonyesha kazi
@yusufukazamba2391
@yusufukazamba2391 5 жыл бұрын
Wana macho hawaoni na wana masikio lakini hawasikii kabisa
@augustinochuhila6004
@augustinochuhila6004 7 жыл бұрын
lema baba uchaguzi ujao waviongozi gombeya uwenyekiti taifa utawanyosha
@fundibaskeli2600
@fundibaskeli2600 6 жыл бұрын
Ww ni mwisho
@josephlasway664
@josephlasway664 7 жыл бұрын
mbungeee wang uyo god+bless u
@jonathanjj.pachajjpacha9127
@jonathanjj.pachajjpacha9127 4 жыл бұрын
Kwer kabisa
@jasminelissu9063
@jasminelissu9063 3 жыл бұрын
Lema kama lema mbge wangu uyo
@kenyatatogota5340
@kenyatatogota5340 5 жыл бұрын
Hatali Sana
@dicksonmsongole1059
@dicksonmsongole1059 5 жыл бұрын
Big up ma brother
@peterlaiza1399
@peterlaiza1399 5 жыл бұрын
Shikamoo lema
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 4 жыл бұрын
Sura mbayaaaaaa! Kaoneeee
@markkayuni9775
@markkayuni9775 7 жыл бұрын
Ndio rema wachane ujumbe ushafika
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 3 жыл бұрын
Kabisaa lema
@mhavilesukari2708
@mhavilesukari2708 7 жыл бұрын
asante saaana LEMA
@alfredmmbaga9336
@alfredmmbaga9336 7 жыл бұрын
MANENO YAKO MARA NYINGI , YAMEUACHA MOYO WANGU NA TABASAM....!! MUNGU AZIDI KUKUHEKIMISHA LEMA
@yohanamgungu9850
@yohanamgungu9850 4 жыл бұрын
Alfred Mmbaga sanaaaa kaka
@joycedaniel6127
@joycedaniel6127 4 жыл бұрын
Alfred Mmbaga nakuunga mkono kabisa Lema Hapa aliongea kiuongozi zaidi na alipiga picha ya mbali sana lazima sheria zilenge matakwa ya sasa na ya baadae sheria nyingi kwenye nchi zakiafrika zinalenga kulinda viongozi hao kwa muda wanapokuwa kwenye mamlaka kitu ambacho sio afya kwa ustawi wa Taifq
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 3 жыл бұрын
Big up sir kamanda
@abdulyesswigo5266
@abdulyesswigo5266 2 жыл бұрын
Lema wewe ni mwamba wapo wabunge wachache Sana kwenye taifa hili wenye moyo Kama wako
@christophertarimo5047
@christophertarimo5047 3 жыл бұрын
Ni mtoro ila Nabii wa ukweli..keep up Lema
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 4 жыл бұрын
Hahahahaaaaaaaaaa 😀😀😀😀😀😀😀😀 Jamani Lema!
@mabulantinyehu5575
@mabulantinyehu5575 6 жыл бұрын
makamanda tusikate tamaa endeleen kulipigania taifa
@rahmayussuf4368
@rahmayussuf4368 6 жыл бұрын
mnapigwa vita wazi wazi daah..Anakula dakika zako kukupinga
@mohamedshabani2263
@mohamedshabani2263 5 жыл бұрын
yani wabunge wa ccm nimuzingo mkubwa mno kasoro bashe tu anaye jitambua.
@mahirimahiri2643
@mahirimahiri2643 Жыл бұрын
Mungu anawaona. Mlidhani mko makini kumbe hakuna lolote. Haya sasa
@eliezaseme714
@eliezaseme714 7 жыл бұрын
Good imepenya hyo wameipata
@salimmasatu7637
@salimmasatu7637 7 жыл бұрын
we simba cha wene kaa chini hauna maana
@frankmkama5169
@frankmkama5169 4 жыл бұрын
Lemaaa big brain master
@kyomamabifi7686
@kyomamabifi7686 6 жыл бұрын
pilot kamnda lema nakukubali ad tunajivunia kuwa nambunge kama ww
@KUTOKA-ep2fk
@KUTOKA-ep2fk 7 жыл бұрын
wakati mwingine wapinzani wanaongeaga pointi Sijawahi kuikubali chochote cha lema ila kwa hii point "Sio kila Rais anayechaguliwa ni mzalendo kama MAGUFULI.............." Ni kweli kabisa hapo umeongea! Ushauri: tungeni hizo sera bila chuki na msichanganye vyama na maisha ya wananchi wa tz. hii mambo ya taaarifa mweshimiwa au utaratibu mweshimiwa mimi ninadhani hazina maana yoyote!
@frankbella4170
@frankbella4170 7 жыл бұрын
sio kila wakati ni kila siku
@masalumashala185
@masalumashala185 3 жыл бұрын
Hukumueleea vzr ww lema ndo maana unalipuka
@jolojist929
@jolojist929 3 жыл бұрын
Viva lema
@mashalamaduka2296
@mashalamaduka2296 6 жыл бұрын
lema BG ap
@babujinga5819
@babujinga5819 4 жыл бұрын
Wabunge wa upinzani nawakubali sana tena sana
@mursaliswalehe8324
@mursaliswalehe8324 Жыл бұрын
Karibu mkuu
@bakarimakida1145
@bakarimakida1145 7 жыл бұрын
It is painful... Serikali plz plz chukueni haya mawazo.. Namnukuu Lema alichokisema ... "70% ya wabunge ni wapya , They never know kama msimu ujao watarudi mjengoni".. Forget that... Mi naona ni jambo la kheri sana ukiwa kama mwenye dhamana ya kutunga sheria na ukatumia nafasi hiyo vizuri ambayo hata ikitokea hautakuwa tena mjengoni,, c wewe tu mbunge, lkn hata vizazi tuliopo na vijavyo vitakukumbuka kwa mchango wako... So plz guys fanyeni kilichowapeleka mjengoni.
@habramusimkoko3027
@habramusimkoko3027 2 жыл бұрын
Cyłkownje ýyy hm xnńýyyyyý syć by ýń syć sy syć š na ýyy sy ty sy by dš zhromadnje by ý Gbagbo xd kg š
@ombenianton3611
@ombenianton3611 2 жыл бұрын
True Mr
@yusufuemauneli9413
@yusufuemauneli9413 Жыл бұрын
Pole makazi mema kazi yenu ngumu
@theodorychristopher4795
@theodorychristopher4795 6 жыл бұрын
Kuwachokonoa kivipi tena ukweli unauma.
@francissalamba8112
@francissalamba8112 7 жыл бұрын
lemaa shikamoooooooooooooooooo
@osternmeru6240
@osternmeru6240 7 жыл бұрын
Asante mh.Lema
@golanmathias3634
@golanmathias3634 7 жыл бұрын
safi Lema cc tumewaelewa wanacho kifanya
@fabiolapanga8680
@fabiolapanga8680 3 жыл бұрын
Nakumic san rais wa Arusha
@mussamarwachamahaaaaaaaaaa8065
@mussamarwachamahaaaaaaaaaa8065 Жыл бұрын
Pole Sana lema ccm aizidiwi kabisa ndugu yangu iyo niile ile
@thomasmario950
@thomasmario950 5 жыл бұрын
Acha mambo ya ajabu spika ww kwann usiache aongee?
@pascalprince4408
@pascalprince4408 5 жыл бұрын
King
@rashidlimanyile6237
@rashidlimanyile6237 5 жыл бұрын
ccm mzigo,lema yupo sawa kinga ya Rais iondolewe.
@njaunestory761
@njaunestory761 6 жыл бұрын
Simba chaweneee sijui akili yako vip
@edlineglorycutemunis4986
@edlineglorycutemunis4986 6 жыл бұрын
lema wape ukweli
@emmanuelmambarera141
@emmanuelmambarera141 4 жыл бұрын
Safi sana
@fredrickwaosure9286
@fredrickwaosure9286 5 жыл бұрын
Lema uko vzr xn wachane hao ccm ukweli
@husseinjejeleje6585
@husseinjejeleje6585 7 жыл бұрын
lema hatari
@joachimisackzechariah2916
@joachimisackzechariah2916 6 жыл бұрын
Kaka lema nashukuru kwa kujenga hoja za msingi, ila asilimia kibwa ya wabunge haswa wa chama Tawala wanaangalia maslai yao tu peke yao
@woltabenad8311
@woltabenad8311 4 жыл бұрын
Lema wewe ndombunge naomba uruditena bungen wewe niraisi ajaye 2035
@chegebukoli1914
@chegebukoli1914 5 жыл бұрын
Bila upinzani hakuna nchi
Godbless Lema VS Waziri Simbachawene bungeni leo
9:52
Millard Ayo
Рет қаралды 1,3 МЛН
Lema, Mnyika Waliamsha Tena Dude Bungeni
12:42
Global TV Online
Рет қаралды 362 М.
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 182 МЛН
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 35 МЛН
KITIMTIM BUNGENI! Wapinzani Waitwa Mbwa, SUGU Aliamsha
12:09
Global TV Online
Рет қаралды 129 М.
HECHE BUNGENI: "Mtaua Sana, Waambieni Watanzania Ukweli"
10:40
Global TV Online
Рет қаралды 464 М.
SUGU: "Please Don't Shut Me! Tubishane kwa Hoja na Siyo Bunduki"
11:24
Global TV Online
Рет қаралды 466 М.
LEMA ALIAMSHA DUDE BUNGENI MATIBABU YA LISSU, MWENYEKITI AMTAKA AKAE
4:05
Mwananchi Digital
Рет қаралды 166 М.
Tundu Lissu Aliamsha Dude Sakata la Mikataba ya Madini, Bunge Lachafuka
6:46
Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
14:17
Joseph Mabima
Рет қаралды 3,6 МЛН
BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU
12:23
Millard Ayo
Рет қаралды 302 М.