BREAKING NEWS MGOMO WA WAFANYA BIASHARA WA DARAJANI SOUK MKUU WA WILIYA MJINI AINGILIA KATI

  Рет қаралды 25,282

VOP TV TZ

VOP TV TZ

Күн бұрын

Karibu VOP TV TZ kupata habari mbali mbali kwa uharaka na uhakika.
Kupata taarifa zetu SUBSCRIBE na kisha bonyeza alama ya kengele.
Je? Una maoni yoyote kuhusu taarifa hii tuandikie sasa kupitia comment.
#vop_news #zanzibar

Пікірлер: 111
@yussufsaid654
@yussufsaid654 11 ай бұрын
Kazi nzuri
@voptvtz9226
@voptvtz9226 9 ай бұрын
Asante sana
@halimahadji7366
@halimahadji7366 Жыл бұрын
Tahfifu yaa Allah
@khadijaabeid1328
@khadijaabeid1328 Жыл бұрын
Pole sana ndio zenji
@HajiHaji-v9f
@HajiHaji-v9f Жыл бұрын
Ccm ni walaji
@alimau7939
@alimau7939 Жыл бұрын
Dhulma haidumu ndio kwanza ngoma inaanza
@KHAMISKHATIBFAKI
@KHAMISKHATIBFAKI 5 ай бұрын
Mheshimiwa Allah atakulipa kheri kubwa hapa Dunia na akhera mkuu
@hajiharoub8125
@hajiharoub8125 Жыл бұрын
Jusa kawaamsha watu💯💪💪💪
@munaomar9532
@munaomar9532 Жыл бұрын
Nammi naomba like yangu😅
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 Жыл бұрын
chukuwa habibi❤
@hilalikaumo3470
@hilalikaumo3470 Жыл бұрын
Hapo Kuna wafanyabiashara wadogowadogo kupitia huu mgomo wanataka kuweka meza zao njian, kkoo serikali ilichelewa kuwadhibit wamachinga pale barabaran tangu mwanzo saiv imekua ngumu kuwaondoa,
@msellemseif3102
@msellemseif3102 Жыл бұрын
LAKINI MH. ISMAIL JUSSA ALIYASEMA HAYO
@salumjuma9072
@salumjuma9072 Жыл бұрын
ASANTE MH WETU MSARAKA ALLAH AKUWEKE NA RC WETU NA RAISI WETU CCM OYEEE
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 Жыл бұрын
Hongera wafanyabiashara gomeni mpaka serikali dhalimu iondoke. Ije serikali ya watu wa ZANZIBAR.
@R10_Rajab
@R10_Rajab Жыл бұрын
Nje haiwezekani kuweka biashara haiwezekani wacheni kuharibu mji ,mbona mna mambo ya kizamani nyinyi Some wapemba?kama hamtaki si murudi Machomanne na chakechake huo ah
@ayoubpapiy6692
@ayoubpapiy6692 Жыл бұрын
Sasa unaweka biashara nnje uwo mlango umekodi wa kazigani?
@ahmadsayyeed7910
@ahmadsayyeed7910 Жыл бұрын
Serikali hii mbwa anahuruma kuliko wao
@HadijaKombo-g6g
@HadijaKombo-g6g Жыл бұрын
Hii nchi Zulma tupuuuuuu mtihani😢
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 Жыл бұрын
Wacha Uwongo Zanzibar hakuna Democracy chaguzi zote mnapindua matokeo.
@VoiceMirando
@VoiceMirando Жыл бұрын
Afadhali mkuu wa wilaya umeweka sawa tatizo lao hivyo ndivyo inavyotakiwa ,good job ,,
@R10_Rajab
@R10_Rajab Жыл бұрын
Mnatengenezewa maisha ya kistaarabu ila bado mna maisha yenu ya kukariri
@khamushamad8857
@khamushamad8857 Жыл бұрын
Napenda uyu Msaraka
@zaytunhijja6771
@zaytunhijja6771 Жыл бұрын
Huyo msaraka anajifanya kama hayajuw😂😂😂😂kichwa km dufu
@albassambakili3757
@albassambakili3757 Жыл бұрын
Waswahili bna apoukipta hakuna watu wengi lkn kunamgomo naona watu tele 😂😂😂😂😂😂
@SalumOthman-qr3lc
@SalumOthman-qr3lc Жыл бұрын
Anaesema watu warejeshe cjui ccm inaweza kuendesha Mungu siku moja awape mitihani kama hii mtaelewa kwann watu wanalalamika
@makamekhalfan5968
@makamekhalfan5968 Жыл бұрын
wana siasa hawa
@amoursalum8266
@amoursalum8266 Жыл бұрын
Tuendelee kuwapa mitano tena.. watatugaia fulana za kijani bure
@arafasalim679
@arafasalim679 Жыл бұрын
Hiyo ni siasa hamna kitu hapo mnadanganvwa na msakara
@issackmwakyami2740
@issackmwakyami2740 Жыл бұрын
Ccm na Andazi nani zaidi?
@mudathirali-en7mp
@mudathirali-en7mp Жыл бұрын
Yote ni uzembe wa kutokua na katiba mpya katiba ilio kuepo MSO kitu so mtu nisawa mbwaa Kwa hiyo wewe mzanzibari kwanini unapiga kelele utakuabwaa Koko
@maji106
@maji106 Жыл бұрын
Awo fafanya biashara wanafurahia iyo fursa ya kuweka biahara chini kwa sababu wanawakodisha watu wengine
@msabahaali758
@msabahaali758 Жыл бұрын
raisi anahusika nchi imekua mbaya dhulma dhulma baasi
@JabirHaji-vj2nf
@JabirHaji-vj2nf Жыл бұрын
Uyo mkuu wa wilaya a anaongea kama kweli akifika kwa mapapasi weziwe hasemi ayo
@saidsobongo912
@saidsobongo912 Жыл бұрын
Duuuh
@AhmedAli-gh1lm
@AhmedAli-gh1lm Жыл бұрын
CCM OYEEEE!!!!
@derickcowly6681
@derickcowly6681 Жыл бұрын
CCM ondokeni madarakani yamewazidi Bara mmeunza Bandari na Zanzibar masoko 😂😂😂
@AminialiAli-vv4yk
@AminialiAli-vv4yk Жыл бұрын
Mungefunga kama watu wadaar kariokoo kule
@mwagilomasukuzi5464
@mwagilomasukuzi5464 Жыл бұрын
Wekeni mfumo mzuri wa kibiashara na bara kama zamani znz soko lake kubwa ni bara
@nadiromar9794
@nadiromar9794 Жыл бұрын
CCM mbele kwa mbele
@zahorsalum4976
@zahorsalum4976 Жыл бұрын
Mwinyi anatuharibia.nchiyetu .nayy.. upuuzi kbs kwaza milango wenyewe Haina maana yyt.
@MnyamwezMnyamwez-vx1wb
@MnyamwezMnyamwez-vx1wb Жыл бұрын
Hebu jiheshimu we.
@R10_Rajab
@R10_Rajab Жыл бұрын
Milango haina maana yeyeto ila bado mmeing'ang'ania Msiokuwa na fadhila nyinyi
@cath-ef7wd
@cath-ef7wd Жыл бұрын
​@@R10_Rajabhicho cha kufadhili ni kipi kwani tumepewa bure hiyo milango una chuki binafsi na choyo kimekushika ww utakufa mdomo juu ww
@R10_Rajab
@R10_Rajab Жыл бұрын
@@cath-ef7wd Hizo sifa ulizozi zijumuisha hapo zote ndio zenu hakuna asielijua hilo hata baadhi yenu wanalijua ,Na hata kama mmekodi ila kodi zina taratibu zake mmeambiwa msipange biashara zenu nje ya milango yenu sasa kwanini hamuwezi kufuata utaratibu mliowekewa?kama hamuwezi rudisheni milango ya watu mpewe pesa zenu maana kuna watu wengi tu wanaitaka na wapo tayari kufuata hizo taratibu....Wacheni siasa nyinyi
@aishaaisharagp9381
@aishaaisharagp9381 Жыл бұрын
Dawa yso ipo jikoni 2025 msiwape nafasi mabunju hao
@munaomar9532
@munaomar9532 Жыл бұрын
Nimeingiza zadia imepata like na views
@naturelle1097
@naturelle1097 Жыл бұрын
Ya Dsm mwaachie wa Dsm 😂
@R10_Rajab
@R10_Rajab Жыл бұрын
hiyo haikubaliki inakuwa aje mpange nje mzigo?kama hamuwezi rudisheni milango watakuja wanaoweza
@cath-ef7wd
@cath-ef7wd Жыл бұрын
Wanaoweza ni nani fala wewe
@R10_Rajab
@R10_Rajab Жыл бұрын
@@cath-ef7wd Nyinyi rudisheni milango hiyo uone kama itakuwa haifunguliwi mnataka kuleta siasa hapa ,wakati watu wanataka kuifanya nchi yenye sura yake ya kuwa kivutio still mnaleta mambo ya Madungu na Mtambwe hapa ,hapo Unguja penye watu wastaarabu mnapofika Unguja muwe na ustaarabu wa wenyewe na sio kujifanya mnajua zaidi ya wenyewe Unguja yao.
@ABDULFATTAAHNASSIR
@ABDULFATTAAHNASSIR Жыл бұрын
mwinyi serekali yako iyo unaiyona umevaa ngua isio kua yako angalia utendaji wako wananchi wanavyo teseka na kulalamika amakweli ule msemo wa watu unaosema kiatu nikilekile kimebadilika soli2 hawajakosea
@nabillkhamis8188
@nabillkhamis8188 Жыл бұрын
Uyo mkuu wa wilaya ndio anasababisha ayo
@chrispinegervas5657
@chrispinegervas5657 Жыл бұрын
Saizi naona watu wamelimika sana akuna kubabaishwa
@rqgabalr7937
@rqgabalr7937 Жыл бұрын
IPO wpi hiyo nchi ya demokrasia ww mbwa
@HAJIKhatib-r6p
@HAJIKhatib-r6p Жыл бұрын
Ushauri wangu serikali chukuweni ushuruwenu uongozi wakabidhini wafanyabiashara wenyewe
@R10_Rajab
@R10_Rajab Жыл бұрын
Huo uongozi wao wakiachiwa ndio watapanga nguo mpaka kwenye barabara unawajua hao unawasika
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 Жыл бұрын
RASHID MSARKA OYEEEEE
@mbaroukkhalfani9244
@mbaroukkhalfani9244 Жыл бұрын
Kuwa w ugumu wa maisha sio leo tu
@SelemaniDowile-mk1wm
@SelemaniDowile-mk1wm Жыл бұрын
ATI akifa haozi jamn watu wanamaneno
@R10_Rajab
@R10_Rajab Жыл бұрын
Hapo ni mjini inakuwa aje muweke mavitu yenu nje wakati una mlango wa duka?wacheni ushamba huo tembeeni muuone miji ya nchi zinazoendelea ushamba tu
@hamicpina1151
@hamicpina1151 Жыл бұрын
Mji gani wew Zanzibar Kuna mji nitajue mji mkuu bx
@R10_Rajab
@R10_Rajab Жыл бұрын
@@hamicpina1151 Mji wa Zanzibari ni darajani hapo ndipo hata watalii hutolewa mashamba na kuletwa hapo ili waone mji wa Zanzibari na biashara za mjini ila tatizo lenu Some wapemba mnaharibu mji kwa siasa zenu matherfanta...nina imani hapo wangekuwa watu wa Unguja watupu wallah mji ungekua bora zaidi maana Watu waunguja wanaelewa na wanajua thamani ya umaridadi sio nyinyi mmetoka vichakani huko machomanne sijui misaili na kangagani mnataka kuchafua mji.
@RaiyuuSaid-c1o
@RaiyuuSaid-c1o Жыл бұрын
Bx hy
@zanzibarspice8686
@zanzibarspice8686 Жыл бұрын
Waengereza Zamani walikuwa wanamsemo kama "wape watu wanachokitaka" waachiwe wafanye wanavotaka na hixo.kodi zilizosalia zifutwe mpaka mwakanu mwez wa sita ndio.kodi ianze kama kodi kwa serikali kufidia kero..... na Ushauri uaijir wa vikosi tafuteni wasomi wenye taaluma mambo yataenda Sawa ila Hawa form 4 waliofeli form two watasababisha tabu Sna
@harizhamad8260
@harizhamad8260 Жыл бұрын
Hili la vikos sio kwel dunian kote hakuna sijawah kuskia" Unataka kusema yoyote ambae hakufika level ya form six na chuo wasipate kuajiriwa huu utakua no ubaguzi mkubwa wa kiajira na kimaendeleo. Labda nikwambie msomi ana umuhimu wake na mjinga pia ana umuhimu wake inategemea wapi na muda gan anahitajika👌
@makamekhalfan5968
@makamekhalfan5968 Жыл бұрын
haan rais hap
@nabillkhamis8188
@nabillkhamis8188 Жыл бұрын
Nyinyi chekeni furahini ila uyo ndio anasababisha yote ayo
@shadyahamad3724
@shadyahamad3724 Жыл бұрын
Anawapuliza ikisha anazunguka kuwatafuna😅
@mandujaro
@mandujaro Жыл бұрын
Toka kuzuiliwa gar za shamba kuingia darajani kweli biashara imeshuka pale
@R10_Rajab
@R10_Rajab Жыл бұрын
Yaani bado una mawazo ya kizamani yaani bado unataka mji kuwa kama soko kusiwe na mpangalio amka wewe kijana
@cath-ef7wd
@cath-ef7wd Жыл бұрын
​@@R10_Rajabpana mji hapa ww.mji unaujua ww
@khalidbelhasa2137
@khalidbelhasa2137 Жыл бұрын
OMBENI DUA VITA VYA URUSI NA UKRAINE VIENDELEE MPAKA VITA VITAPAKAE ULIMWENGU MZIMA
@hamadfaki2503
@hamadfaki2503 Жыл бұрын
Halafu iweje
@jordan.3109
@jordan.3109 Жыл бұрын
Wallah ni dhulma tupu maskini Lasima siku ya mwisho iwepo tu hakuna jinsi.
@ZERO9Gang
@ZERO9Gang Жыл бұрын
Afadhali
@FarhatSeif-p3t
@FarhatSeif-p3t Жыл бұрын
Ccm maskani hamna hela kupanga maduka hayo. Kaeni tu mgoje kuiba kura baas. Wapemba ndio wanaume washoka mkitaka msitake.
@mwigaadam1179
@mwigaadam1179 Жыл бұрын
MAPINDUZIIIIIIIIIIIIIIIIII
@soudia9084
@soudia9084 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 Жыл бұрын
Na nyie fateni sheria milanqo mumepanqa fuatenibutaratibu uliowekwa
@FarhatSeif-p3t
@FarhatSeif-p3t Жыл бұрын
Koma wee kwani wako giningi hao hata wafate tu. Mbona maskani hamjakaa hapo
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 Жыл бұрын
@@FarhatSeif-p3t Dah ! Umenijibu kw hasira sana ila sawa Nimekoma 🙏
@w4058
@w4058 Жыл бұрын
Akome akome khasa mpumbavu huyo maana mjinga huelimishwa lakini mpumbavu jambo analijuwa kanatenda ja ukaidi
@w4058
@w4058 Жыл бұрын
Wanakufanyieni makusudi muwacha hiyo milango wachukuwe wawape Watanganyika wao ndio wanaotaka wawajaze tu CCM manyangau hao
@R10_Rajab
@R10_Rajab Жыл бұрын
Mijitu inaleta siasa kwenye mambo ya serious ,hao ni baadhi ya Wapemba tu wanaotaka kumtoa kwenye reli Mr President
@R10_Rajab
@R10_Rajab Жыл бұрын
Huyu hafai hata kidogo kuwa mkuu wa wilaya ,unawaruhusu wafanya biashara waweke vitu vyao nj3 inshort unataka mji uwe mchafu sasa angalia mameza yatakayopangwa barabarani kisha mtu atakwambia nipo mbele ya duka langu ,msimamo mmoja tu anotaka aendelee kuwepo kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa na serikali ,na asiweza kufuata basi arudishe mlango Watu wengi wanahitaji hiyo milango haina kuwabembeleza watu wasiokuwa na nia nzuri
@yussuffadhil4522
@yussuffadhil4522 Жыл бұрын
manispaa wanataka usasa lkn wao wenyewe bdo
@yussuffadhil4522
@yussuffadhil4522 Жыл бұрын
asnt mkuu w mkoa
@R10_Rajab
@R10_Rajab Жыл бұрын
@@yussuffadhil4522 Bado washamba yaani wanatengenezewa mazingira bora ya kufanya biashara yaaani hata mteja anapotaka kununua kitu awe huru wakuchagua duka alitakalo na kuzama ndani na hata linapotokea janga iwe rahisi ila bado wana ushamba mwingi wa kutaka kupanga bidhaa zao nje ya maduka yaani some wapemba kustaarabika bado sana wanatia aibu
@cath-ef7wd
@cath-ef7wd Жыл бұрын
​@@R10_Rajabmsenge wewe wapemba wamekukosea nn fala wewe.unachuki binafsi fala ww
@R10_Rajab
@R10_Rajab Жыл бұрын
@@cath-ef7wd Watu wa Unguja hawana aina hiyo ya maisha yenu maisha ya chuki ubaguzi na roho mbaya,maana hayo maduka hapo asilimia 95 ni nyinyi ,masoko asilimia 95 ni nyinyi na bado mnamsema vibaya anaekufanyieni hayo kama sio chuki na roho mbaya ni nini?
@zuzadomikano3765
@zuzadomikano3765 Жыл бұрын
Kama hamtaki tokeni WANA CCM wataendesha hayo maduka ,nahakuna ZANZIBA NCHI nimali ya BARA, NA WANA ccm waliomo serikalini KWISHA,Mtaisoma namba !!!
@FarhatSeif-p3t
@FarhatSeif-p3t Жыл бұрын
Mkafirwe huko shenzi nyie. Kwenu tanganyika ukoo
@nabillkhamis8188
@nabillkhamis8188 Жыл бұрын
Ww sio mzalendo ww ni mtwana
@hamicpina1151
@hamicpina1151 Жыл бұрын
Zanzibar ni ya Tanganyika tutakodi ccm wenyewe
@aishaaisharagp9381
@aishaaisharagp9381 Жыл бұрын
Ww Acha usenge huo Zanzibar niyawazanxibari wenyewe cio ya Tanganyika mkundu wababaako ndio wawatanganyika mshenzi ww
@JabirHaji-vj2nf
@JabirHaji-vj2nf Жыл бұрын
Msenge wewe mbwa kwenu tanganyika nchi so ya kwenu hii
HIZI NDIZO NYUMBA WATAKAZO PEWA WANANCHI WA ZANZIBAR KAMA FIDIA YAO
4:39
怎么能插队呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:12
火影忍者一家
Рет қаралды 16 МЛН
Бенчик, пора купаться! 🛁 #бенчик #арти #симбочка
00:34
Симбочка Пимпочка
Рет қаралды 3,2 МЛН
WAFANYABIASHARA DARAJANI SOUK WALIA NA RAISI MWINYI
6:50
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 12 М.
BOMOA BOMOA  YAZUA VURUGU ZANZIBAR
8:03
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 66 М.
ASKARI SHEHIA WA  KINUNI { MJAPANI }ATANGAZA KULA SAHANI MOJA NA WAHUNI WA MAPANGA
4:56
Habari Wilaya Magharibi 'B'
Рет қаралды 15 М.
BIMANI ASHIKILIA SHINGO ZA VIONGOZI SERIKALINI.
7:56
VOP TV TZ
Рет қаралды 213
怎么能插队呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:12
火影忍者一家
Рет қаралды 16 МЛН