JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@JamesSaiigurai3 ай бұрын
Tarifa
@JamesSaiigurai3 ай бұрын
Edwajrd
@sabrinasabrina83959 ай бұрын
Ila arusha imagine hawa vijana jamani daaah ndio nguvu ya kesho subhannallah
@gracejulius69139 ай бұрын
😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hapo ndio nimechoka staman at kuendelea angalia ndii uchaf gan jmn...
@JamesSaiigurai3 ай бұрын
Arusha
@chepkirui-vn1bu9 ай бұрын
Nyie mmengoja afe ndio mnaandamana zii😏basi nyie ni waoga tuu
@BEDORESI9 ай бұрын
Jamani arusha mpaka watoto wamepinda nilifikaga nilichoka mwenyewe kwanza lafudhi yao hapana kwa kweli😂😂
@simbayangu52399 ай бұрын
Kbs
@user-rt5vq5vc3k9 ай бұрын
Emwenyezi Mungu tujalie vizazi vyema
@kajsun59189 ай бұрын
Zaidi ya comedy yaaan machalii wapo vizuri
@DaudiMilamo-um8jl9 ай бұрын
Haaaàaa watoto Hawa wamenifurahisha sana
@sunaybrajabu2389 ай бұрын
Asante mungu nimemuamisha mwanangu Arusha, sijapenda style ya huyu mtoto kabisa
@Olaiserriomunyak10599 ай бұрын
😂😂
@SephaniaMasatu-hq5ze9 ай бұрын
Arusha mbona kila kijana yupo bwii mtoto drs la 3 nae yupo vibaya
@sunaybrajabu2389 ай бұрын
Wanajiendekeza tu hamna cha bangi wala nin
@kingcole609 ай бұрын
Hicho ndo mnachokiweza kuvaa manguo makubwa na mikwara, katoto kadogo kamewajambisha sahivi mnajifanya kuandamana
@sylvestercameo62639 ай бұрын
Kumbe maandamano yanaruhusiwa nchi hi! Maandamano ya wapinga wizi hakuna Polisi Wala mabomu ya machozi....!
@shemelaruhinda61139 ай бұрын
Arusha nomaaa👌
@Mumewangu9 ай бұрын
Alipokuwa hai mlikuwa mnamkimbia lakin baada ya kufariki ndio mnajitoa na kuandamana
@SophlaJackson-nt1nc9 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🥲
@kelvinngenzi85789 ай бұрын
😊😊😊😊
@asaadalbusaidi18709 ай бұрын
Yaani najikuta nacheka tu hichi kitoto masikini😂😂 allah atuongoze ishallah
@user-oy9me4qm4f9 ай бұрын
Akika ni mpumbavu kwellli hasssa ni mshenzi mkatilii kinoma yaani ....heri amekufa😊
@nyerere12599 ай бұрын
POLISI KAMATENI MTANDAO WA DANGOTE USIKUTE NDO HAO WANAWACHEZEA AKILI ILI MSAHAU
@aishaalbalushaishabalush82919 ай бұрын
nikweli kabsa 😢
@honoratamafala69689 ай бұрын
Hee,mmepataje kibali cha maandamano machalii.nimewaaminia.sio kazi rahisi kwa nci yetu kufanya.maandamàno
@Faydhat9 ай бұрын
Mungu atunusuru ya allha
@dativajoachimwai11949 ай бұрын
Mungu turehemu na kizazi chetu
@tato89799 ай бұрын
Nahuyo mtoto nibangi tupu mungu tulindie watoto wetu 😢😢😢
@D.P.O9 ай бұрын
😂😂😂
@saidimgina82999 ай бұрын
😂😂😂😂
@Ndu-wa.uroony29 ай бұрын
Kwanini unasema hivyo? Ni ujasiri tu na uchuga uliomjaa
@fatihiyadossa3759 ай бұрын
@@Ndu-wa.uroony2Yani nashangaa mijitu yamikoa mingine ikiona wtu wachuga wanaongea Ivo wanaonaga kila anaongea Ivo anakula bangi sio kwel nimadhingira namazoea yakuongea Ivo sio kila mtu akiongea Ivo anakula ganja Bora unemwambia
@fatihiyadossa3759 ай бұрын
😢😢😢
@user-qm3pi7vx9u9 ай бұрын
Sukuma ndani wote
@hawaomary969 ай бұрын
Huyu mwenye miwani nimesoma nae ni kichaa toka shule😂😂😂😂
@frankJohn-rx4si9 ай бұрын
😂😂😂😂😂 havuti bangi kweli huyo
@hawaomary969 ай бұрын
@@frankJohn-rx4si anavutaga toka shule huyo🤣🤣🤣🙌
@josephlokai40139 ай бұрын
😂😂hii accent ndo mbona c kiswahili cha kawaida....asking from Kenya
@TatuHusseni-hs7mu9 ай бұрын
Anaonekana tu 😂😂😂😂😂
@corneliomassawe9 ай бұрын
Wee we
@sadikidaudi4609 ай бұрын
Hamna lolote dangote aliwashinda
@masudiamani45019 ай бұрын
😂😂😂 raiv saiz vinaongea baraha
@sadikidaudi4609 ай бұрын
@@masudiamani4501 hawana lolote Dangote kaacha alama wao kazi kuvuta Bangi leo Dogo kafa wanajifanya wanamuongelea nayule sio muarusha Dogo mrangi 🤣
@julitaakinyi-nz9de8 ай бұрын
Mpigwe charumbe...mikunduni aisee
@nancykimaro83199 ай бұрын
Arusha ni nchi nyingine sio tz hiii🤣🤣🤣🤣
@annapeter-wb6iv9 ай бұрын
Hiyo imekaaje walipata kibali au kwakua kunamabango ya kusifu na kuabudu?
@candy99699 ай бұрын
Yani Arusha siami mkoa wangu😂😂😂😂
@ElifAthanas-or1dt9 ай бұрын
It's true Arusha it's another country uwiii
@vitusjumah9 ай бұрын
Waandishi wa habari wanajaribu kizazi kwa kutoa airtime kama hizi
@user-hy6ks1io5u9 ай бұрын
WANAAANDAMANA UKU DANGOTE,,,,,,UYO APO NYUMA HUYOOO
@nurupatrick66579 ай бұрын
🤣 leo juma mosi jomba mbona unajichomoa battery
@johnmahu50609 ай бұрын
Hpo tu mmevuta bangi alf mnasema et arusha bila bangi inawezekan unga limited wote siwaamin mnazaliwa ktk bangi e Mungu rehem hi jamii
@fatmaalnabhani36099 ай бұрын
Dangote ni Tonya, Leo tena mbona mwanzo hatukuwaona jamani ?
@mariammbwana90189 ай бұрын
Mkoa wa hovyo sna huo watu wanajifanya wahuni alafu wanasumbuliwa na vitoto
@saay42739 ай бұрын
Yani hivyo viatu tu ni bangiiii toshaa😂😂😂😂😂
@DanyMrDavid-js1kl9 ай бұрын
Et wauni Kuna uhuni gani apo wapumbavu nyinyi waoga sana wat was arusha
@fr.edgarngowiosa65999 ай бұрын
Mfanye hivyo kuidai Katiba Mpya, ndiyo hatma ya maisha yenu
@TheKashmill4 ай бұрын
4:07 hujamaaa anaitwa nani
@neeskpop9 ай бұрын
Wakati wa uhai wake, hatukuyaona hayo mabango.DANGOTE, alikuwa kiboko yenu sasa ndo mmejifanya washindi, 😂😂😂 Hapo kati yenu, kuna wa Dangote wakingali hai.
@sabrinasabrina83959 ай бұрын
Hahaha make nimecheka
@neeskpop9 ай бұрын
@@sabrinasabrina8395 Kwa sasa ndo kila mtu, amejitokeza na pendekezo lake. Wafaransa wanasema eti, (à l'absaence du chat, le souri dance !) Inamaanisha kuwa ; paka kaondoka, panya kacheza .
@corneliomassawe9 ай бұрын
Chugaaa hometown
@NameNyika3 ай бұрын
Wadudu oyeeee
@aaminaasljbgbvf7459 ай бұрын
Wenyewe mbana mnaonekanawezi mtoto mdogo mdomö mweusi kwa bangi Arusha nishida tuuu😢😢
@Olaiserriomunyak10599 ай бұрын
Arusha bila bangi inawezekana😂😂😂
@dicksondidas81549 ай бұрын
Mngekula mnaandama kwa mambo ya msingi km hivii mfanyavyo ingeleta unafuu angalau lakn sio kwa maswala ambayo hayana msingi wowote km hili ambalo limeshapita..hii ni aibu mnaleta
@emanuelsamaytu94379 ай бұрын
Dahhh
@Mumewangu9 ай бұрын
Amefariki ndio mnaongea Dangote alikuwa kiboko yenu
@naturelle10979 ай бұрын
😂
@KhalidHashim-fs6in3 ай бұрын
Watu wa chuga ni fisi kinoma yani bora wamasai kidogo ila wote kunguru
@aliyrashid43209 ай бұрын
yaan wanajikuta wahuni kumbe watoto wazur tuuu
@josephlokai40139 ай бұрын
Hii ni lugha gani...ama ni sheng ya Tz???
@barakamnai41849 ай бұрын
Waandishi wa habari nanyi mmekuwa kama vichaa ivi hamuoni watu wa kuoji mpaka mnaoji awa vichaa?
@issasalim46359 ай бұрын
Ushamba umewazidi
@user-hm4hk5hi1c9 ай бұрын
Jamani uyo mwenye miwani icho nikipara au amenyoa🤔
@newzon53009 ай бұрын
KIZAZII CHA OVYOO KUWA KUTOKEA INCHII HIII😂😂
@danielshekiyao7069 ай бұрын
Waoga aooo
@jumapiliissa48359 ай бұрын
Mwandishi bana eti nchi yaarusha hamtaki shida
@dorahpeter65429 ай бұрын
Vijana wa Arusha mbona wamepinda
@tuliafugutilo9239 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 au wafuasi wa dangote Hawa wanahofia kukamatwa,, daah Arusha, serikal ichukulie taswira ya hili andamano kuisoma Arusha na ifanye jambo kwakwel
@Dantaata9 ай бұрын
hiki kitoto cha darasa la tatu ni kadangote kabisa
@hsjshs28949 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@sirilaswai62068 ай бұрын
Sijui wazz wake wako wapi jmn
@IsackMsafi-vf6ls4 ай бұрын
Jaman uyo dangote naye vp?
@modestwenceslaus99 ай бұрын
Machalii hamna kitu mbele ya valangati la washenzi Kama Dangote,Mashujaa wako huku Majita na Serengeti ambako washenzi Kama huyo Dangote angefuatwa mpaka maskani kwake na moto wake ungekuwa fundisho kwa weshenzi wengine.
@Ndu-wa.uroony29 ай бұрын
Fala! Kwani Dangote aliuawa na watu wa Tarime?
@estermnunke94859 ай бұрын
Mbona wange ghecha mapema tu
@BigBrother-rg1ui9 ай бұрын
Sheeer dangote enyewe kuna sehemu aezi fika uko republic of sarna Compton SEKEI Uko baba uezi pima nimaukunga mbajo
@michaelnhonya55729 ай бұрын
Hawa ndio wenyewe kule Arusha.
@user-ru7dt1ik7m9 ай бұрын
Iimeendaaaa
@NeemaFelix-di1vk4 ай бұрын
Mkovizuri
@jamesshao9 ай бұрын
pk
@user-gr9px4pi2w9 ай бұрын
Hivi Dangote ni JINA halisi la huyo Muuaji au ni la kujipachika kuhusiana na jina la Tajiri bilionia wa Nigeria? Kama ni hivyo huyo muuaji aitwe kwa jina lake halisi la Ally kuepuka kuchafua majina ya watu maarufu.
@Allyhujjat9 ай бұрын
Kweli kabisa wanamchafua dangote tajiri na wahawa wavute bange wakojoe wakalale
@zakariaalamnyack8 ай бұрын
kweli mpo siriasi😢😢😢
@joycekaguo84769 ай бұрын
Wapelekwe jeshi
@KhalidHashim-fs6in3 ай бұрын
Wapelekwe jeshi hao wapuuzi au wapelekwe jeshi wakaondoe mihadarati
@theuniversetv28709 ай бұрын
Huu ni ujinga mtupu tuu mnafundisha watoto kuvuta bangi tuu afu mnajikuta wajanja kumbe ni hamnazo yan
@Simplebudgetcooking9 ай бұрын
Kweli kabisa, huwezi amini hii Habari iko broadcasted.
@rashidsaid10925 ай бұрын
Sasa hayo madudu hayo kuvaa ndo ujanja ... nyinyi watu wa ajabu sana
@user-bo5im1is7w9 ай бұрын
Aiwezekani
@lorencosimon25109 ай бұрын
Mjomba unajichomoa Betri
@user-lt1bi5nr1x9 ай бұрын
Kamanda uko wapi watu wanaandamana
@BASHIRINAMYUNDU-dv5ff9 ай бұрын
nn kazi ya hao wahuni istoshe hao wadogo wanaharibiwa tabia bangi tupu niliona km Arusha kuna vijana wanaojielew kumbe ni bangi
@hawahussein1379 ай бұрын
Dangote alivyokuwa hai aliwalaza ndanu saa 12 jioni leo kafa ndiyo mnajitokeza mlikuwa wapi na hayo maandamano
@ErickyTz-ku7dt9 ай бұрын
Mara paaah dangote anatokea ukutee walimuua mengine machalii wanapitea
@dppd42199 ай бұрын
Hawa wanaizalilisha tz
@FreddyElengabo-kn3ks9 ай бұрын
Arusha ni nchi ingine haisee
@sadickshabankiloya46229 ай бұрын
Nchi ya arusha kweli huko arusha
@marysawe93569 ай бұрын
Hamna mzima hpo
@joycekaguo84769 ай бұрын
Hapana jaman
@habyhabib75389 ай бұрын
Ratiba msiba
@hallin95619 ай бұрын
😂😂hao wenyewe wote wezi,
@augustinoevarist67549 ай бұрын
We jamaa mbona unajizima betri😂😂😂, leo njumamosi…………. Dangote mwenyewe Ntonyaa
@user-kj1xk6bx6n7 ай бұрын
mtendaji ni tapeli aondoke atauwawa kweli .
@anenragnesmunis84909 ай бұрын
Huyo mtt bangi
@veraisaria9 ай бұрын
Hii ni shida nyingine zaidi ya dangote😂😂 mama atusaidie tu kuokoa watoto wetu nnini hii?
@Nadia-fg8yr9 ай бұрын
😂😂😂 Ee, Mungu aturehemie matumbo yetu ya uzazi Dah!!
@user-gp3le3vr1v9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂Umemgusa paraaaa😂😂😂😂
@sadickshabankiloya46229 ай бұрын
Leo juma mosi anajichomoa better
@KingSillah-gx5nv8 ай бұрын
Nyie watanzania wapumbazu sana, mnaita huu upuzi eti maandamano, Kuja Kenya ujue maandamano ni nini nkt!
@davidlinus69409 ай бұрын
Magenge haya cku moja yatatafuta bunduki ziliko
@ShabaniMuhamed9 ай бұрын
MadukA
@estermnunke94859 ай бұрын
Mnaendekeza ujinga mavadhi gani hayo
@user-rc1dp6ux3k9 ай бұрын
Vijana Arusha ebu jirekebisheni
@nongeally23759 ай бұрын
Hahahaaa. Huku kwetu AR. SHATI NI LA DRAFT BHANA, MKIYAPATA TULETEENI.
@davidsalikoki63199 ай бұрын
Hiii inamadhara sana kwa kizazi kijacho psychologically we should stop this asee
@user-jr6he6rl6s9 ай бұрын
Wahuni wote mnaokula mandazi mmezingua Wahuni wanakula machaparax na maugali😅😅 Chugaaaaaaaaa
@joe_was_here.9 ай бұрын
Arusha ya ovyo
@zuwenaalamin89859 ай бұрын
Hawana akili hawa bangi zimekolea😂😂
@panadomadola30649 ай бұрын
Eti nikienda huko jehanam nitatafuta dangote hahahahaaa hawa ndiyo arachuga bana,ka!!
@captenndunga67459 ай бұрын
ARUSHA bila mpepe inawezeka wakati mapusha mko nao humo humo kwenye maandamano nao wanaitikia inawezekana.