Shukuru umenifuraisha sana naipenda iyo nyimbo😂🎉🎉🎉🎉
@sinomiles Жыл бұрын
Mina Ally ni Presenter mzuri sana
@dicksonraymond665511 ай бұрын
Shukulu Broo umetisha sana🔥🔥🔥🔥
Жыл бұрын
Milele festival since #bss10 moses ampai
@NeemaNgowi-z3u Жыл бұрын
Ma-judge Kuna muda mnachanganya washiriki na mm mtazamaji..hamna upangilio sometimes. America's/Britain got talents wanautaratibu amazing
@mussatete2618 Жыл бұрын
Meena Ally apewe maua yake❤❤❤
@abelmsumba6649 Жыл бұрын
For sure 👏
@allyahahmed1091 Жыл бұрын
Salama ni mzuri jamani kha 😢😢😂😂😂yani hazeeki
@ammydaniel8947 Жыл бұрын
Kigoma mko juu❤
@georginareginald6083 Жыл бұрын
Alaf salama na master j hawapendi kuona mtu anarudi rudi wanataka ukiambiwa no upoteee mazima wasikuone tena😂😂😂😂😂😂😂😂
@nancyg8664 Жыл бұрын
😆😆😆
@ErnestKimario-wy2zn Жыл бұрын
Shida mlio waambia awajui kuimba namkawakatisha tamaa walitoka kivyao leo ni masta wakubwa mlio waona wanajua hata walipo hatujui majaji bado
@sadamissa5687 Жыл бұрын
Huyu shukuru mmmmh😂😂😂wampe TU hizo hela
@salomempunga Жыл бұрын
0114 come ECONOMICALLY GROTH MUSICIANS tukuze kipaji chako🎉🎉🎉🎉
@thebios255 Жыл бұрын
Huyu dada aliyetoka mwanza kaja hadi uku namuona siku moja ni star mkubwa tena A list kabisa
@aaminaasljbgbvf745 Жыл бұрын
Jamani hawa majaji nawapenda mwenzenu 🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂
@sportsextra7240 Жыл бұрын
We miss Idris sultan... Jamaa alikua anabambisha show
@badmanno.1650 Жыл бұрын
Caesar Daniel was the best .
@amamiss22 Жыл бұрын
Idrissa was the best ❤
@ammydaniel8947 Жыл бұрын
BAs mnavyoita shukuru , akili yangu inajibu baba yule 😅
@sarahsulubu8587 Жыл бұрын
Jamani hio English ya shilole😅 ila basi twawapenda🇰🇪
@bettymwatika390Ай бұрын
Yaani kwanza hako ka dem ka tomboy mm nime like
@jerrynyamugabo2950 Жыл бұрын
In each human work we have sentimental value and feeling so if the judges are not feeling you guys you are fire
@jastinarts Жыл бұрын
Mumefanya vizuri kum sappoti huyo mchoraji
@JanethMsogoti-wq2cvАй бұрын
Shilole ana mdomo ....anawaawakilisha vizuri Wanyamwezi. 😀😀
@tabithadaniel7364 Жыл бұрын
Najua bss wanaangalia wa sauti kwa aslimia 80 lakini inakuaje judge anamwambia mtu asifanye music milele et kisa hana sauti nzuri, wasanii wangapi hawana sauti nzuri kama kina Ruby or Bella lakini wanafanya mziki na wanahit kina kinoma kina burna boy, shishi mwenyewe, whozu hawana sauti nzuri lakini tunawaona wanafanya music fresh na watu wanaenjoy. Mtu anatakiwa ajuijue sauti yake na aina ya music inayoendana na sauti yake.
@georgeigogo9259 Жыл бұрын
Hao wametoka kivyao
@SalmaBwela Жыл бұрын
Usijifananishe na mtu kisa katoboa utachelewa sana
@shukulu-e1o Жыл бұрын
Umetisha jamaa yang
@badmanno.1650 Жыл бұрын
Kigoma watu wanajua m.. hehe next time mbeya waisiende 😅😅
@michaelelia7058Ай бұрын
Mee napenda sana wanao tumia gitaa wako vinzuri
@salomempunga Жыл бұрын
Irene una kipaji ukuje ECONOMICALLY GROTH MUSICIANS
@richzebest202911 ай бұрын
Master j kavaa rangi gan hii
@ammaherman3391 Жыл бұрын
Hivi kwann hamumuwekagi P-FUNK Majani awe pia kati ya majaji wa BSS? Mtaftieni hata japo sehemu yake huko mbeleni ili mzidi kunoga. By the way Veronica she is the best vocalist kwa washiriki wote mpaka sasa sijaona kama yeye.
@Zahara-or3cf2 ай бұрын
Shishi akauuze ubwabwa huko
@GladysGladysSidi Жыл бұрын
I will be grateful nikifika hapa siku moja😅
@barakanyobeye6807Ай бұрын
Sanayan
@LucyFaustine Жыл бұрын
Waaah enyewe kizungu ilikuja na meli, it's ok am not female i understand😊
@GracePaul-k2l27 күн бұрын
Salama dar ni mbinguni jamaniii khaaa dar dar
@patrickpantonndayishimiye3582 Жыл бұрын
Alakini behavior ya ma judges sio nzuri hata kama mtu hajui munaeza kumushahuri sio kumuponda sio fresh
@artisthusnatalal3099 Жыл бұрын
*28:15** She's the best. Her voice is unique!* 😅❤👍
@mo-jj8im Жыл бұрын
Huyo shukuru ni kama Jemie Fox wa bongo
@mpjozzegalvanize4926 Жыл бұрын
Mchizi anajua iyo freestyle katoa kwa melody kali, real r&b
@hamingtonkiti1357 Жыл бұрын
Hawa majaji wanajudge kulingana na mziki wanaoujua wao hio sio poaaa kabisaaa
@TeamBaganofficial Жыл бұрын
Kwel
@Ibratz255 Жыл бұрын
Kama uyo kwanza anajua mno
@TeamBaganofficial Жыл бұрын
Af sielew mbona krip ya gold boy wana ificha kuna tatizogan au mwamba alizingua sana
@artisthusnatalal3099 Жыл бұрын
@@Ibratz255 Kweli kabisaa huyo wa kwanza anajua. Mara nyingine naona kama wana wivu na mtu sijui🤔😏
@Ibratz255 Жыл бұрын
@@artisthusnatalal3099 kabisa au unaweza kusema jamaa kalogwa nini.... maana kwa kipaj icho sio wa kuachwa
@jerrynyamugabo2950 Жыл бұрын
I like the way the judges do their job but one thing I want to tell you dear fans we have different between to know music and to know to sing for me all of the judges know to sing but no music…
@halimafimbo4890 Жыл бұрын
Master master huyo master
@aaminaasljbgbvf745 Жыл бұрын
Salmaa😂😂😂😂😂
@abumuhammad7802 Жыл бұрын
Batiki la fundi Michael😂😂😂😂
@noelahyera1304 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 mecheka mnooo
@kamandamkuu4g57 Жыл бұрын
Hii Imeendaa 🎉
@sarahsulubu8587 Жыл бұрын
42.0mumemdharau sana😢😢
@mesaidmwanaidi Жыл бұрын
Jamani uyu shishi😂😂😂
@badmanno.1650 Жыл бұрын
Kigoma looks good ..
@dianerditto Жыл бұрын
Hahaha mama lishe anahoji watu et wewe ni wakikundi au private 😂
@KahugeNtobiKahugeNtobi-ri4mj Жыл бұрын
Mbona kigoma marasta wote
@saidikiumwa4484 Жыл бұрын
Master j please balaka ana kitu naomba ufuatilie kwa kwel
@timati255 Жыл бұрын
jamaa wa kwanza kaonewa bhana, anakipaji kikubwa sana
@RehemaMwaimАй бұрын
Kubabake majaji naomba mmwambie shilole anazidisha ucnch khaa anamzd hadi mwijaku jaman
@shukulu-e1o Жыл бұрын
Unaimba kwa hisia sana
@mo-jj8im Жыл бұрын
Salama🙌
@mozeslyricstz720 Жыл бұрын
52:27 very good ...
@ChuchuShayoАй бұрын
Mbon ameomba vizur jaman jastine
@IsraelLyimo Жыл бұрын
Kweli
@DonasienPanda Жыл бұрын
Huyu shilole afai kuwa judge kbs kwanza mwenyew ajuwi kuimba
@almaarifonlinetv Жыл бұрын
Wakwanza anaimba zaidi ya alikiba mwenyewe anavyoimba.
@diehansiАй бұрын
38:02 Irene kakosa nn hapo ?
@Anitha-y6yАй бұрын
Songea hamfiki
@allyahahmed1091 Жыл бұрын
Shilole ananiboa mm basi tu
@dablack-lf9qz Жыл бұрын
Eti batiki lafundi maiko😂😂 mina jaman
@SalmaBwela Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@Mc_Gwajee Жыл бұрын
Kigoma kuna vipaji
@NaphySky-oq5sy Жыл бұрын
Namba 1 fanya mazoezi ya pumzi utatoboa
@SalmaBwela Жыл бұрын
Mwaka huu vipaji vichache sana hasa mbeya hatari
@niperes Жыл бұрын
Kwani msimu huu niwamarasta tu??💁
@MurungaNixon10 ай бұрын
Ni wa kikundi ama private.
@sinomiles Жыл бұрын
Ana Maujanja yake, to be honest tunamtaka hata season 15 next year 2024
@victornjau2119 Жыл бұрын
Shishi hujui kuimba audience ya watu
@FrancisosingaFrancisosinga Жыл бұрын
Yuko wapi gold boy jamani mbna simuoni
@Yusufu940 Жыл бұрын
Kigoma mwaka uhu akuna vipaji km miaka mingine ndo ukweli wote Watano ni mmoja ndo mkali wengine wata hanguka to fifty
@francisosingaosinga Жыл бұрын
Kabisaa nothing mwaka huu
@saidahmed968811 ай бұрын
meena ali
@williammussa5621 Жыл бұрын
BSS wekeni majaji wasomi asee😂😂😂
@lawrenceshekinyashi8243 Жыл бұрын
😂😂 uyo shishii 😂😂
@swimmermoddy3263 Жыл бұрын
Hapa ukitaka kutolewa mapema basi imba wimbo wa Ali Kiba
@mwafrikaTz Жыл бұрын
Bas are you looking for talent of looking for vibe ,,coz we don't get it people singe afresh but they got no vibe ,in any competition you can't mix all of that ,,just find the talent, the vibes comes thank you..Big time
@godblessbwire979 Жыл бұрын
i think master j didn't appear during for da causes of commited suicide in 40 missed call by RAPCH. guys can u tell me how he appear?
@lilliesnganzi89 Жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅
@melkizedekibenedict998 Жыл бұрын
Irine unajua
@oswinigepard67662 ай бұрын
sasa uyo shilole jaman kuimba kwenyewe hajui anakuaje judge wa mziki
@HusseinNgendanyi Жыл бұрын
Hawa majaji hawataki kitu kipya wao wanataka mtu anaeimba kama Mond kiba au wasanii ma star Ila ukija na kitu kipya au ukiimba mziki ambao hawaujui ndo maana wanakwambia imba nyimbo nyingine
@nishaabdula5015 Жыл бұрын
Ht mm nashanga ss mtu wenda ana kipaji cha kuimba na kutunga ngoma ss anaitaji kuimba ngoma zake ljn wao wnataka mtu aimbe ngoma za wsani unakumbuka km yule fonabo yn yule nimkali kinoma ila wnamuangusha kisa anaimba ngoma alizo tunga yy ma sio za wasani ss cjui wnatafuta vipaji vyahaina gn
@artisthusnatalal3099 Жыл бұрын
Ndiyo nimewaona hawapendi uimbe wimbo wako uliotunga🤔🤨
@mishiabdu2773 Жыл бұрын
Shishi body language ndo gani tena😅😅😅😅😅
@chalabakari6563 Жыл бұрын
Shilole utatuua
@robisonmmari Жыл бұрын
shishi unazingua kinyama
@badmanno.1650 Жыл бұрын
Ukiona unaimba alafu majaji wanapiga zao story .. ukimaliza we jitokee zako tu 😅😅
@TeamBaganofficial Жыл бұрын
Jaman mbo gold boy sija muona?
@africanpolarbear4044 Жыл бұрын
Sasa shishi anaimbaaa nini jamani nonsense 🤣🤣
@AswefaaMohd Жыл бұрын
😂😂😂Bhana mm sitak kucheka
@edmundrutahiwa Жыл бұрын
Bss judges try to show a little bit of professionalism
@sophiankwera9020 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@herbethchogga361 Жыл бұрын
Kuna muda judges are being rude..
@kayombovincent8555 Жыл бұрын
Utumbo mtupu kigomA
@nishaabdula5015 Жыл бұрын
Uyu dada anajuwa ila ana plesha mno
@artisthusnatalal3099 Жыл бұрын
Kumbe na wewe umeona. Labda tuseme ni khofu / anxiety 😂😂😂
@agnesjohn9382 Жыл бұрын
@@artisthusnatalal3099muwe mnawataja na majina
@davidthomas2985 Жыл бұрын
Huyo dada anamzidi shilole mbali sana kuimba yani shilole asijiseme ni mtu wa kuujua mziki maana anachoimbagah hakieleweke ila ni nafasi yake tu imefika ndo kapata hiyo chance ya kuwa jaji ila Hana kitu anachojua kwny mziki. Atunze akiba ya maneno. Salama anajitamua sana na anajua anachokifanya elimu pia inachangia nadhani
@artisthusnatalal3099 Жыл бұрын
@@davidthomas2985 Kweli kuhusu shilole. Elimu ina changia moja kwa moja✔️
@richardmaxwell3991 Жыл бұрын
Ni fedheha shilole kuwa Judge, amejaribu kuimba she is irritating, boring