Dah kwakweli wale wanaosema ukisoma you tube huwezi kuelewa so kweli Kwa mara ya kwanza yani Kwa mara ya kwanza nimetoa cake laini tamu imechambuka vby mpk nilitamani kupiga kelele dada umeongeza mwanafunzi big up sana
@evaelieza Жыл бұрын
Nashukulu Sana kwamalayakwanzakutumia keki jeli nimeona mafanikio mungu akuongeze miaka mingi dada
@IreneMakundi-it9jd4 ай бұрын
Asante sana dear kwa ujuzi mzur sana mungu akubariki
@neemazame16582 жыл бұрын
Asante my dear kwa kuzidi kutupa ujuzi mwenyezi mungu akubariki
@renathajames25402 жыл бұрын
Hlw, naoma namba ya mwalimu tafadhali
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
0768859358 WhatsApp
@renathajames25402 жыл бұрын
Asante sana Mungu akubariki sana
@fahimahajj45992 жыл бұрын
@@renathajames2540 imrover ndio gani
@sabrisaid67012 жыл бұрын
Hongera sana my dia. Kwa kweli unajitahidi mnooo kutupatia elimu. Mungu akuzidishie zaid.
@glorygeorge9740 Жыл бұрын
Yaani hadi sasa nimejua kupika cake. Mungu akuzidishie na kukubariki zaidi
@priscillatemba8274 Жыл бұрын
Mziwanda bekari Asante sana kunifingua macho
@user-iz9lw4gf7e Жыл бұрын
Asante sana kwa kutufundisha
@tatumahendeka4029 Жыл бұрын
Asante Sana dear kwa somo zuri. Ubarikiwe Sana.
@dianamsengi64632 жыл бұрын
Asante sana,Mungu Akubariki
@selestinakunambi79982 жыл бұрын
Nakupenda na Mungu akubariki sana maana unanivusha sana sana.
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
🙏🙏🙏❤
@neemamarick87457 ай бұрын
Nice, natamani kujua zaidi kwa ajili ya biashara
@theresiaurio75672 жыл бұрын
Asante sana Mwalimu,naendelea kujifunza
@faustahungu52 Жыл бұрын
Asante Dada,wewe ni mwalimu wangu,asante kwa Elimu,barikiwe.
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
❤
@gracekalinga7952 жыл бұрын
Asante kwa somo Dada , Mungu akubariki nakupenda
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Ameen
@salmazuberi-pd2zn Жыл бұрын
Hongera dada kazi yako nzuri sana
@anesumatomba4701 Жыл бұрын
Asante. Improver uli weka kinase gani.
@jescaosujack802 жыл бұрын
Uko vizuri Dada
@rosemarsel3731 Жыл бұрын
Nice ubarikiwe mno🙏
@emmychristopherndelwa16832 жыл бұрын
Nakushukuru Sana kwa elimu
@neemamsofe26312 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mamy
@user-jq7zd7un2f3 ай бұрын
Madam darasa lako nalipataje
@edithanicodemus77592 жыл бұрын
Barikiwa sana Dada ntajaribu
@UpendoMwakipunda11 ай бұрын
Mchanganyiko wa improver ni lazima kuwa mzito sana
@jescaosujack802 жыл бұрын
Eti Dada mziwanda nilisikia kama unatumia cake gel Mayai ndio yanapungua hapa nimeona umepunguza blue band nimeshindwa kuelewa naomba unieleweshe asante
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Blue band ndio inapungua dear
@rihannarihanna65892 жыл бұрын
Wow sturnning
@magrethchakudika21629 ай бұрын
Hongeraa
@hadijadidam47522 жыл бұрын
Napenda hii mixer
@jazilasuleimani43812 жыл бұрын
Dada kwa kutumia recipe zako na kutoa keki nzur sana, tatizo langu ni kwenye cupcake, znapasuka sana na kuwa ngumu juu sielew nakosea nini naomba msaada wako.
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Labda zinazidiwa ukali wa moto
@jazilasuleimani43812 жыл бұрын
Sawa dada ngoja nijaribu kubalance moto.
@halimasaidhamis16572 жыл бұрын
Mimi naomba namba yako dada
@yulsinajonathan7312 жыл бұрын
Huwezi changanya na mkono
@JaneJohn-fg6ce Жыл бұрын
Naweza kutumia maji badala ya maziwa
@rehemamlawa69372 жыл бұрын
Amazing
@AsmahJumanne-zm1be Жыл бұрын
Shukran sana
@faridasuleiman24372 жыл бұрын
Ntajaribu ntaleta mrejesho
@fatumabaruti11342 жыл бұрын
Nice
@bettyedmund50182 жыл бұрын
Asante
@saramarko64402 жыл бұрын
Asante kwa kuendelea kutufunza naomba kuuliza nmetumia cake gel kwenye cupcake lkn keki zinatoka zinakua hazijai Yaaaan inaweza ikawa imevimba vzr lkn ukiikata tayar kwa kula unakuta inasinyaa haina nyama kabisa ttz ni nn msaaad plz
@renathajames25402 жыл бұрын
Hlw, kama una whatsup ya Mwalim naomba
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Yaani inakuwa hewa ndani?? Huenda ilipata hewa nyingi ndani
@emmychristopherndelwa16832 жыл бұрын
Mara Nyngi nikipika cake nymbn hazichambuki cjui nakosea Nini na vipimo nahakikisha vipo sawa. Mara nyngi nafata maelekezo yko lkn nikilinganisha cake yngu na za bakers wngn naona yngu haiko sawa.
@angelmwambashi68823 ай бұрын
Kwani ukipika keki improver uwezi kutumia vyombo vetu vya bati
@IreneMakundi-it9jd4 ай бұрын
Inapatikana wapi hiyo
@roz39902 жыл бұрын
Wa kwanza 😆
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
❤
@giftpately42142 жыл бұрын
Ahsante kwa SoMo madam,nataman nikuje office Yako Iko wap??
Naomba kuuliza hii mizan midogo ya elf 15 ni imara kweli au bora kununua tu kubwa
@ibakecakevaluable.2 жыл бұрын
😁😁😁 kwel da mziwander unakaz hap 😁😁
@ericarugabandana4888 Жыл бұрын
Cake improver ndo kitu gani?
@aggybarick2950 Жыл бұрын
Samahani,naweza weka improver ktk maandaz?
@esternziku60562 жыл бұрын
Unaweza kunifundisha watps live
@rosemarydavid9443 Жыл бұрын
Dada hapo umeweka improver umeweka kiasi gani sijaona gram
@JaneJohn-fg6ce Жыл бұрын
Naweza kutumia maji badala ya maziwa?
@aminamollel5725 Жыл бұрын
Cake improver haiwekwi baking powder?
@neemazame16582 жыл бұрын
Sijajua nimekosea wapi
@josephinemchome97302 жыл бұрын
Habari dear naomba unielekeze jinsi ya ku set moto ni kiasi gani kwa juu na chini kwa majiko yale makubwa 😢
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Set 150 uone inaoka vizuri ama laah kisha tutajua ni moto upi uende nao
@anastaziabeno60622 жыл бұрын
Nami nitajaribu nilete mrejesho
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Nausubiri hapa kwa hamu
@neemazame16582 жыл бұрын
Nimejaribu kutengeneza ila nilipopiga ute na improver na sukari haikujaa na ikawa imekatika imekuwa kama mtindi lkn sikusita nikaendelea cake imetoka nzuri laini na imechambuka
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Hukuweka viungo kwa wakati sahihi ila Mungu kajaalia havijaleta tabu,ndo uzuri wakutumia improver
@salmankya7019 Жыл бұрын
Naweza kutumia ovalet
@ridhiwandauda5736 Жыл бұрын
Jamani huna shule y kufundisha nahitaji n unasomesha shngapi n uko wpi
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
❤
@menyaichiamoni-pl6fu Жыл бұрын
Iprover kiasi gani
@mathnahakim23892 жыл бұрын
Km hauna hio mezan unajuaje vipimo
@owenkimasha760210 ай бұрын
Nimejaribu maelekezo yako..keki imetoka kubwa sana.ila imekua na tobo chache kubwa kubwa..sijui tatizo ni nn apo
@maatummohamed1619 Жыл бұрын
Asante dada hyo improver ntaipata wapi na bei gani??
@ramadhanchongwe80112 жыл бұрын
Habari madam naomba nitumie namba zako naitaji tuonane
@jacklinecharles8999 Жыл бұрын
Shukran sana kwa recipe nzuri, hapo kwenye maziwa ni maziwa ya baridi au ya kawaida?
@hadijadidam47522 жыл бұрын
Hello mziwanda nina swali kuna mtu nimeona amewe bicarbonate+baking powder ni sawa
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Ni sawa hakuna tabu inategemea na recipe yake
@sarahkingunza1516 Жыл бұрын
Wewe ni mwalimu mzuri sana barikiwa
@rehemahassan90742 жыл бұрын
Dada nisaidie niweke nini cake ikae muda mrefu?
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Keki nzuri huwa hazikai muda mrefu
@happyngowi30982 жыл бұрын
Improver ni gram ngapi?
@fahimahajj45992 жыл бұрын
Asalam aleikum,niiini cake improver? Baking powder ama yeast?
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Alayka salaam, ni cake improver hivyo hivyo
@zubedambarak30082 жыл бұрын
baking powder huweki dada
@esternziku60562 жыл бұрын
Mbona mim nikiweka improve haijai sana kwenye kapu keki
@maryamallymjili4457 Жыл бұрын
Kuna improver ya jamani au.maana dukani nilikuta hiyo nn tofauti
@beatricemoshi2380 Жыл бұрын
Vipi kuhusu ubaridi wengine husema mayai na maji mpk yawe barid ndio improver hupanda
@fatmahussein23982 жыл бұрын
Naomba namba yako ya simu
@janethmwaipyana78392 жыл бұрын
Improver na gel ni kitu kimoja?
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Ndio
@fahimahajj45992 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 naomba Nieleweshe nioe picha ya improveer
@milkamburushi23752 жыл бұрын
Samahani kwahiyo ukipima unga nusu unaongeza mara mbili ya hivyo vipimo?
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Ndio
@vivianrobert71362 жыл бұрын
Improver kazi yake nini hasa
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Kuzuia povu la Butter lisishuke
@hosianalaseko55622 жыл бұрын
Samahani hiyo lemon flavour ni lazima na je naweza weka vinega badala ya lemon
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Weka flavour unayopenda
@renathajames25402 жыл бұрын
hlw
@bernadethachacha90052 жыл бұрын
Je waweza kuweka maji badala ya maziwa?
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Ndio
@zenamvungi2922 жыл бұрын
Sorry madame hiyo improve umepima kiasi gani
@samiraabdallah73712 жыл бұрын
Samahani dear improver ipi ni nzr zaidi kati ya ovalet finagel na hio uliyotumia ww hapo yaani ipi Ina pandisha zaidi Keki Kwa haraka
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Blue bead
@samiraabdallah73712 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 ok dear asant
@mathnahakim23892 жыл бұрын
Km hauna hio mezan unajuaje vipimo
@roz39902 жыл бұрын
Hakuna namna, nunua mzani, inauzwa mpk elfu 15 unapata. Kukadiria siyo option kwenye mambo ya keki