Captain Aliyetoroka na NDEGE Kenya Apewa Mamilioni na JPM!

  Рет қаралды 497,966

Global TV  Online

Global TV Online

5 жыл бұрын

Captain Aliyetoroka na NDEGE Kenya Apewa Mamilioni na JPM!
Rais Dkt John Magufuli, leo Desemba 23, anapokea Ndege ya kwanza kati ndege mbili aina ya Air-Bus A220 zilizonunuliwa na Serikali ya Tanzania.
Katika hafla hiyo Rais magufuli amemkabidhi captain wa kwanza wa shirika la ndege kwa kitendo chake cha ujasiri kwa kuruka na ndege kutoka Nairobi hadi Dar es salaam kwa nguvu bila kujali kulipuliwa.
Ndege hiyo imewasiri leo majira ya saa 10:30 jioni na kupokelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.
#RAISMAGUFULI
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 407
@charlesmillinga992
@charlesmillinga992 2 ай бұрын
Daaaaah Jpm alikumbuka watu waliotoa maisha kwa ajili ya Nchi. Jaman 😢😢😢😢😢😢😢.LALA BABA HAKIKA ILE KAULI YA UPENDO WEWE NDO ULIIONESHA DHAHILI.
@johnkiyaga1615
@johnkiyaga1615 3 жыл бұрын
We always missing u mzee John pombe joseph magufuli
@charlesmillinga992
@charlesmillinga992 2 ай бұрын
Daaaaah JPM 😢😢😢😢 mwamba umelala. Ila roho yako inaishi Baba
@eveimbusi5940
@eveimbusi5940 5 жыл бұрын
Wow congratulations nikawie moja sir Mr Mapunda ukikuja Kenya unirushie Mungu akuongezee mara mia
@hawaabubakar2619
@hawaabubakar2619 4 жыл бұрын
Hongera Rais magufuli kumkubuka mzee mapunda mzalendo hongera sana rais safi Kenya subutu hakuna wakuwakubuka wazalendo ata ufanye nn utojulikana na yoyote yule family yko tu ndio watakubuka i salute u Mr.orezo bigup muheshimiwa from saudi Arabia
@blackvirus8740
@blackvirus8740 3 жыл бұрын
Nimelia jaman kwa Furaha😭😭😂😂😂😂R.I.P Rais wetu
@robinsonrespicius2713
@robinsonrespicius2713 4 жыл бұрын
JOHN MAGUFULI IS THE BREATH OF FRESH AIR , JPM HOYE
@keithochieng8805
@keithochieng8805 3 жыл бұрын
My president from another country. May your soul Rest in Perfect Peace!.
@samwelmurro3498
@samwelmurro3498 3 жыл бұрын
Amen. Be blessed ndg
@viviantenai4599
@viviantenai4599 4 жыл бұрын
Ongera sana rais wa Tanzania kwakua unawatambua mashujaa wa nchi yako nakuwatetea wananchi bila kuwabakua. Naamini kenya mungu atatujalia raisi ambae atakua wa hekima na mwenye roho wa utu 2022 .twakupenda nchini Kenya kwa kazi yako nzuri. Mungu aibariki Tanzania.
@rajabusungi5050
@rajabusungi5050 4 жыл бұрын
Mh.yaani kazi yako ni ya tofauti Sana..!! Sijawahi kuona uongozi wa aina hii,super sana mzee
@choosenempire7772
@choosenempire7772 2 жыл бұрын
tangia dunia ianzee sijawai onaa this man had a rare character. Stay blessed wherever you are magufuli
@tendatanzania9483
@tendatanzania9483 5 жыл бұрын
Hapa mzee MAGUFULI nimekuelewa sana..barikiwa
@mohamedakrabi4801
@mohamedakrabi4801 3 жыл бұрын
Much respect to Mr. President. You never forget where we were and those devoted to our country. Capt Mapunda and Mfugale are live examples. May you continue with same spirit and strength. Will continue to pray for you, future leaders and our beloved country. Mungu Ibariki Tanzania.
@peterndossy3008
@peterndossy3008 4 жыл бұрын
Hakika Uncle Magu nakuelewa sana MUNGU Aendelee kukutunza👏👏👏
@seadogs4460
@seadogs4460 4 жыл бұрын
Wallahi kweli ni Rais wa watanzania,im so proud of you Mr president,you deserve the 2nd term kuwa Rais wa Tanzania na mungu akubariki,2020 kura yangu wewe chukuwa
@issahhussein1922
@issahhussein1922 5 жыл бұрын
Huyu raisi tutakuja kumkumbuka sana
@sakinayusuf5072
@sakinayusuf5072 5 жыл бұрын
Saaanaaaa tena zaidi ya sana
@user-os9ul5iu5y
@user-os9ul5iu5y 4 жыл бұрын
Natamani guhamia Tanzania
@abdullysige8740
@abdullysige8740 3 жыл бұрын
Tayar tuna mkumbuka
@dalaliamanidar3004
@dalaliamanidar3004 3 жыл бұрын
Asee we Jamaa uliona mbali sana asee R.I.P JPM ntakupenda milele
@kensaty111
@kensaty111 3 жыл бұрын
Tusha mkumbuka
@lauraabass1077
@lauraabass1077 4 жыл бұрын
Yaani mhe Magufuli mie nafurahi ndani ya roho. Hakika umebarikiwa Imani na Fadhila. I cant wait to meet you hakika watapata kigugumzi walotuonea haki yetu mimi na wenzangu. Najua siku itafika Inshallah.
@seraphinembila6745
@seraphinembila6745 4 жыл бұрын
Naipenda tanzania Mungu akubarikisana magufuli
@hezy7595
@hezy7595 3 жыл бұрын
Safiri salama Baba Magufuli.Mimi mkenya lakini nitakukumbuka sana kwa mfano mwema ulionyesha duniani.God bless you
@christinesulle5051
@christinesulle5051 3 жыл бұрын
Safiri salama baba yetu Rais wa Africa yetu Milele utabaki mioyoni mwetu daima J.P.M
@user-je1id1tx1u
@user-je1id1tx1u 5 жыл бұрын
Sijawahi tuma comment Leo numeguswa baba kwa stahili hii songa mbele daima ni vizuri Sana kukumbuka wazalendo na wahasisi wa nchi hiii nasema asante
@roselinendegwa2158
@roselinendegwa2158 3 жыл бұрын
Waaaw you'll be remembered generation to generation. JPM rest in peace
@robertkizito8656
@robertkizito8656 2 жыл бұрын
Rest In peace JPM
@seraphinembila6745
@seraphinembila6745 4 жыл бұрын
akika nahamini tanzania mumebarikiwa kiongozi bora duniani raisi anayependa watu wake bila ubaguzi natamani niwe mtanzania ilabasi tena congo inabowa ata raisi wangu anijue
@eliaisaya514
@eliaisaya514 4 жыл бұрын
Karibu sana
@HP-du9tn
@HP-du9tn 3 жыл бұрын
Poleni
@burundishallsmile1day109
@burundishallsmile1day109 3 жыл бұрын
What a President he was💞 🎩👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
@agesag.m2476
@agesag.m2476 4 жыл бұрын
Hon Magufuli, hehehehe, I like the way he recognises his patriots one by one.....
@bosszulu245
@bosszulu245 3 жыл бұрын
Heaven sent,Mr Maghufuli.
@mmaahsayyid1858
@mmaahsayyid1858 5 жыл бұрын
Raha sanaaar....Ebu Mke wa mapunda aje hapa 😍😍😍😍😍😍
@sebastianngimba4850
@sebastianngimba4850 5 жыл бұрын
dooo miaka mingi sana alipo Iba ndege kule kenya,maRais woote wamepita kimya kama hawamjui,magu kiboko yao mafisaidi.ocd mlinde sana mzee wetu aliyetuibia ndege kenya.
@honourableboy6106
@honourableboy6106 5 жыл бұрын
kweli
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 3 жыл бұрын
nawapenda Sana wazalendo woteee, TANZANIA kwanza kwani huwezi jua kesho Asante JPM Asante mzee mapumda
@khatibalamin401
@khatibalamin401 5 жыл бұрын
Apo wadau watatengeneza fursa. Siti ya mapunda atapewa Juma 😤😅😅 ole wenu😣😮😮
@josphatkirui7732
@josphatkirui7732 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂,hapo nakubali Makufuli!,unawakumbuka kule mumetoka.Mungu akubariki !.
@hassanmpwepwe8258
@hassanmpwepwe8258 3 жыл бұрын
God bless my present jpm god bless Tanzania
@johnmorrisnyagado6364
@johnmorrisnyagado6364 5 жыл бұрын
I love this.
@sylvanussebastian6209
@sylvanussebastian6209 5 жыл бұрын
Kwa kweli sion ubaya wako kwa sababu baya moja mazuri 99 lini na saa ngapi nitaona ubaya wako!!!ni wakwanza kulipa fadhira na kumpa mtu heshima anayostahili akiwa bado anaishi hivyo kumfanya mtu ajivunie kuwa mzalendo wa Taiga lake
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 4 жыл бұрын
Nani kama huyu Tanzania. Jibu-hakuna Mungu akuone. Amiin
@allymohamed3090
@allymohamed3090 3 жыл бұрын
We will forever mic u our president, magufuli "gone but never forgotten"
@khalfanabdallah5360
@khalfanabdallah5360 4 жыл бұрын
Kiongozi bora ni yule anaewapenda watu wake nawao kumpenda yeye 🇹🇿 twakuombea kila jema na iwe mfano kwa watakao kuja
@laurencemassawe9100
@laurencemassawe9100 4 жыл бұрын
Da mimi sijui nisemeje magufuli Mungu akulinde sana kwa kuwakumbuka mashujaa wetu love you saaaaaana Rais wangu magufuli
@sulleysonsulley4160
@sulleysonsulley4160 5 жыл бұрын
Mzee naomba tusaidie sisi , kwa safari za ndani nauli iwechini kidogo
@wanjiruwathuo3643
@wanjiruwathuo3643 3 жыл бұрын
Rais Magufuli Wakenya Twakupenda Bure. ..Hongera Baba Taifa
@FredrickKabura-gd7hg
@FredrickKabura-gd7hg 7 күн бұрын
KWELI WASUKUMA TUNAUPENDO.
@januarymwingwa2962
@januarymwingwa2962 4 жыл бұрын
Nataman awe anasoma comments asee mzee wetu ww Ni binadam wakipekee sana Mungu akupe umri mrefu uzidi kusaidia wanyonge na waliosahaulika
@athumanomary1438
@athumanomary1438 5 жыл бұрын
Ewe mwenyez MUNGU enderea kuimarisha afya yake raisu wetu
@sakinayusuf5072
@sakinayusuf5072 5 жыл бұрын
Aamin
@shammoha5297
@shammoha5297 5 жыл бұрын
MashaAllah. Safi kabisa!😘🤩🤗👍
@afandehassan1
@afandehassan1 3 жыл бұрын
Mwenyeezi Mungu akupe afya na umri mrefu rais wa Marais JPM
@iconnectafrica1840
@iconnectafrica1840 5 жыл бұрын
Napenda sana kutoka Kenya
@e.jack.47
@e.jack.47 3 жыл бұрын
Rewarding experience and merit promote n provokes patriotism
@jamesgitahikahuro2443
@jamesgitahikahuro2443 3 жыл бұрын
Magufuli wewe! Mingi akubariki sana. Kuna wengi viongozi hawajali mwingine ila wao na jamii zao wenyewe.
@sulaimankalisa7247
@sulaimankalisa7247 3 жыл бұрын
Kind hearted president RIP@JPM u will always be remembered dear
@muganziivankaganzi.7300
@muganziivankaganzi.7300 5 жыл бұрын
Asante Sana mshimiwa
@shadjimmy2766
@shadjimmy2766 2 жыл бұрын
Pumzika kwa amani raisi wangu hakika nina kidonda😭😭😭😭🙏🏻🙏🏻
@christopherowino1816
@christopherowino1816 5 жыл бұрын
Global TV, pia mubarikiwe kwa kazi mzuri,
@maasaione6474
@maasaione6474 3 жыл бұрын
God give us another one like this one.The last breed of good African leader
@lomulendavid8283
@lomulendavid8283 4 жыл бұрын
Always excellent
@mohaz612
@mohaz612 5 жыл бұрын
Kapande za jeshii.....😂😂😂hamna rais kama magufuli namkubali sana mheshimiwa
@josphatmichori1455
@josphatmichori1455 3 жыл бұрын
Lala salama Magufuli 🙏
@hemed4064
@hemed4064 4 жыл бұрын
hahah, eti asiwe anasafiri kila siku, nimecheka mwe...
@yagadizzo8632
@yagadizzo8632 3 жыл бұрын
We will miss u forever😢😢😢😢😢
@nickyrude5766
@nickyrude5766 5 жыл бұрын
wat do we have to do to get such leaders??? much love from +254
@WE4Kenya
@WE4Kenya 4 ай бұрын
I can't get tired of watching president JPM, he awarded a thief of stealing Kenyan plane, What a Recognition of uzalendo 😂😂😂😂 Huyo mapunda ni mwizi wa ndege si msalendo 😂😂😂😂
@lavenderlucy3444
@lavenderlucy3444 5 жыл бұрын
Nakupenda tu bure raise makafuli
@halisiaisaya7832
@halisiaisaya7832 5 жыл бұрын
Mungu hakubariki Rais wetu
@saalimmohammed3256
@saalimmohammed3256 5 жыл бұрын
Halisia Isaya : complicated speech or bad writing " hakubariki".
@ukombozimiracle8332
@ukombozimiracle8332 4 жыл бұрын
Tanzania tuna kila sababu kumshukulu Mungu kwa Ris alie tupatia
@omarmsellem9969
@omarmsellem9969 4 жыл бұрын
Hongera magu saluti
@user-fi9ot6xk8l
@user-fi9ot6xk8l 3 ай бұрын
Mungu amrehem jpm
@ramadhanimsuya842
@ramadhanimsuya842 4 жыл бұрын
Maguful you are the best
@kennedykenney8201
@kennedykenney8201 5 жыл бұрын
Brother,you are the best president l have seen in Africa,may God bless you.we are live in diaspora supervising what's up in Africa mama,keep the candles burning
@lavenderlucy3444
@lavenderlucy3444 5 жыл бұрын
Amen amen
@cyrilmarish6263
@cyrilmarish6263 5 жыл бұрын
supervising so that you do what with that supervision report?
@ellyayieko357
@ellyayieko357 3 жыл бұрын
In my country the ones who would be entrusted with guarding the man would be the first to betray him
@sengendotwaha9333
@sengendotwaha9333 5 жыл бұрын
Thx Mr president
@user-hb8vi9fx6g
@user-hb8vi9fx6g 4 жыл бұрын
DAH : MZEE HUJA TEGEMEA HATA NDOTONI
@jumbeink3173
@jumbeink3173 3 жыл бұрын
Dah sio mchezo
@saloujohn3639
@saloujohn3639 5 жыл бұрын
Hhehehehehe Mzee mapunda wa kwetu songea ,mjomba magu asante sana kwa kazi nzuri
@wanjauanthony9582
@wanjauanthony9582 5 жыл бұрын
Hii ni pesa ya raia, angetunzwa kwa meadli wala si pesa.
@ContentSmartphone-rq6po
@ContentSmartphone-rq6po 5 ай бұрын
Sana tu
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 6 ай бұрын
Daaaah eh mungu
@happypro3212
@happypro3212 5 жыл бұрын
I love so much the tanzanian president Magufuli
@chechelawasafi3409
@chechelawasafi3409 5 жыл бұрын
Bonge moja la Rais atokuja tokea kama ww
@missmoresa8854
@missmoresa8854 5 жыл бұрын
na kweli wengine tulikuwa atujui leo tumejua abarikiwe sana
@edwinshigongo3213
@edwinshigongo3213 4 жыл бұрын
Nakubaliana nawew
@athumanomary1438
@athumanomary1438 5 жыл бұрын
Ewe mwenyez MUNGU mkuu zidi kuturindia raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
@joshuasabasi3118
@joshuasabasi3118 5 жыл бұрын
Athuman Omary mungu wa mabomu au
@sheilalolila2233
@sheilalolila2233 3 жыл бұрын
Mimi nazani maombolezo yangu yatakuwa tofauti ni ya milele mpaka mungu na mimi atakapo ni chukua nilimpenda sana magufuli my president
@mathewbahati2831
@mathewbahati2831 3 жыл бұрын
Alikuwa kiongozi wa kugusa mioyo ya watu sana. Alipenda nchi yake na watu wake
@richardburengengwa6998
@richardburengengwa6998 2 жыл бұрын
Mfanya wema hadumu ukiwa na MA Rais 10 kama magufuli Africa inageuka Europe onetime within 10 years ruling the countries
@sylvestermsafiri4372
@sylvestermsafiri4372 5 жыл бұрын
Kwa kweli anastahili sana huyu mzee kupata tuzo na heshima hiyo!
@zachariahtomemba9070
@zachariahtomemba9070 3 жыл бұрын
Hongera Sana Mtukufu Rais
@hassanjongo403
@hassanjongo403 5 жыл бұрын
👍👍👍👍
@omarychipeta5081
@omarychipeta5081 5 жыл бұрын
Daaaaa p1 sana baba
@christopherowino1816
@christopherowino1816 5 жыл бұрын
Magufuli, nadhani mungu anakutumia kwa njia ya kuing'arisha TV, nitakuita Musa aliye ongoza manaisraeli jangwani.
@frankjulius7978
@frankjulius7978 3 жыл бұрын
Nakukubali sana mh Rais wangu
@langatouch4677
@langatouch4677 3 жыл бұрын
Kwaungozi wako jpm Mimi najitoa.kwenye uzarendo mpaka ujuee maanaa ya democracia na.bado utakamatwa wewe. Jpm pombe mbovu toatoa hizo kodi zetu wa tz unajifanya zako utakufa kama nkurunzinza wa.Burundi utafatia wewe jpm ameni mungu yupo amina
@karhikalembo3014
@karhikalembo3014 5 жыл бұрын
Naomba Mapunda aje atembeleye Majeshi ya Congo na Wafanya siasa wa Congo, pia na wewe Magufuli, Ubaya gani tunayo kwako? kuje tembeleya DRC tunakupenda!!!! na Uchunge kijana wako Felix...
@richardphilipo312
@richardphilipo312 5 жыл бұрын
BIKO IYO
@alexmaige1450
@alexmaige1450 3 жыл бұрын
Dah, barikiwa raisi wetu
@nelsondiba
@nelsondiba 3 жыл бұрын
Lovely
@suleymanally4729
@suleymanally4729 4 жыл бұрын
Mama mapunda!! 😂😂😂😂😂
@OmanOman-hr6cb
@OmanOman-hr6cb 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Nimecheka mpka nataka kujamba
@elisantemollel3525
@elisantemollel3525 5 жыл бұрын
Taarifa ya habari
@enosokothetyang
@enosokothetyang 3 жыл бұрын
Wooow! John Pombe Joseph Magufuli! Lala pema baba!
@manselimartni5608
@manselimartni5608 5 жыл бұрын
Mzee mapunda anza safari moja kupanda Air bus kwenda ughaibuni Ila hongera sana Mr presdaaa
@mguuwangutv1979
@mguuwangutv1979 5 жыл бұрын
well done our president Dr John Joseph Pombe Maghufuli
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂watani zake Magu unaweza kuta ameoa mke mdogo, na kweli anamke mdogo 😂😂😂😂🙌
@friminamkenda7405
@friminamkenda7405 3 жыл бұрын
Umenifurahisha rais 💃💃💃💃💃
@adilomar3199
@adilomar3199 3 жыл бұрын
Dah hatutosahau
@wolfhelmgothom6641
@wolfhelmgothom6641 5 жыл бұрын
Akina Mapunda Kama mm mikono Juu
@loner_wolf
@loner_wolf 4 жыл бұрын
Tupo
@edwinshigongo3213
@edwinshigongo3213 4 жыл бұрын
Magufuli tawala daima
@elishajoshua4892
@elishajoshua4892 2 ай бұрын
I miss my late President .😢
@abdinoorshariff4321
@abdinoorshariff4321 5 жыл бұрын
Kenya waliiba tatu
@fundieddy3490
@fundieddy3490 5 жыл бұрын
Rais Magufuli ni ZAIDI ya MARAIS WOTE. NINAMPENDA SANA.
@eriqueettours6011
@eriqueettours6011 5 жыл бұрын
La..hiyo hela nairobians masaaa mawili wamemaliza ijummaa
@mohammedzahiry5889
@mohammedzahiry5889 3 жыл бұрын
Uongoz wa Nyerere umexhuhudia?
@mohammedzahiry5889
@mohammedzahiry5889 3 жыл бұрын
Uongoz wa Nyerere umexhuhudia?
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 102 МЛН
Каха и суп
00:39
К-Media
Рет қаралды 2 МЛН
BARAKA MAGUFULI AMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU,AWAITA WABUNGE
6:30
Global TV Online
Рет қаралды 490 М.
Gen-Z waonekana kukerwa baada ya serikali kuungana na upinzani
4:16
KTN News Kenya
Рет қаралды 28 М.
Weidel wünscht sich Trump als US-Präsidenten | ZDF-Sommerinterview 07.07.2024
20:20
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 565 М.
| UKUMBI | Mikakati ya Rais Ruto baada ya maandamano ya Gen Z [Part 1]
29:22
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 102 МЛН