Km upo chama tofaut na ccm lkn unamkubal anko magu like yako tafadhali
@victorykilindo42885 жыл бұрын
Nimeamua kuamia CCM maana inanikonga moyo
@flightclubtanzania16385 жыл бұрын
Na wewe umekaa mno kwenye mgongo wangu, na wewe unachangia ngapi?
@julihanjosephyjs63613 жыл бұрын
Hayo maji ya kunywa au
@abhayluyindura370310 сағат бұрын
one love anko magufuli
@tahiraabdul17015 жыл бұрын
I love Magufuli/from Kenya
@issaomarhajj4705 жыл бұрын
Huyu ni rais wa kipekee so Tanzania tu bali duniani
@CTM.24Updates3 жыл бұрын
05:50 😂😂😂🏃🏽♂️😂Mlinzi wa Rais kanikosha sana daah!! INACHEKESHA japo CHUMA KIMEONDOKA R.I.P#
@maryamanalisi1973 жыл бұрын
Baba wa kujali wanyonge ameenda huyoo jmn daah alhamdhulillah 😭😭😭😭😭😭😭
@jazzymkalitv55355 жыл бұрын
Nimecheka kwa sauti kubwa....Kisha nikahisi naonekana Kama chizi vile......😂😂😂😂😂😂
@happinessmkambeni82035 жыл бұрын
😍😍😍Nampenda sana anko magu yaani natamani hata aiendeshe nchi mpka tuseme bassssssss
@noelamtesigwa68193 жыл бұрын
Imebaki ndotoo😢😢😭😭😭😭
@halimasaleh57055 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣ndio mkuje vyama vingine mchangie sio blablaa maendeleo hayana vyama👏👏👏👏wallah rais kauzu eti na ww sio unakaa tuu nyuma yng na ww unachangia ngp . Asante mr president
@naamohamed99645 жыл бұрын
😃😃😃😃
@halimasaidi83115 жыл бұрын
Halima saidi. Yupo vzr raisi wetu
@halimasaleh57055 жыл бұрын
halima saidi sanaa nasimama na rais wng
@beatricekamengekamenge55435 жыл бұрын
😂😂😂😂😂magu haki baba kula yangu aijaenda bule
@kilirombo46035 жыл бұрын
Na wewe unatazama mno sema unachangia ngapi
@simonmuga20835 жыл бұрын
😁😁😁😁 sema uncle magu kauzu katojolesha hadi bodyguard miksa dereva wake
@vj83135 жыл бұрын
Hadi bodigadi😁😁 Dah safi sana mkuu wetu Wa nchi,Mungu akutunze
@explorelondon36953 жыл бұрын
04:02, I will miss his sense of humour terribly😢🙏
@minaside67175 жыл бұрын
Magu ww n kiboko ya watanzania
@naamohamed99645 жыл бұрын
😃😃😃 anko magu anachekesha
@hussein07573 жыл бұрын
Nawewe umekaa mno kwenye mgongo wangu, unachangia ngapi?
@khayratmuhamed67305 жыл бұрын
Ya bwana mpe bwana ya kaizar mpe kaizar # anko magu
@henangokanywanyi77415 жыл бұрын
Nimeipenda hiyo
@tzmny49095 жыл бұрын
Uyo sio body gad uyo anaitwa mpambe body gad avai magwanda
@CTM.24Updates3 жыл бұрын
Duh🙏
@lion_land_safaris5 жыл бұрын
6:26 Kanali kacheka kiana alipoambiwa John Mabogo achangie sijui wanajuana 😂
@suzanampanda62425 жыл бұрын
Kweli nimeamini hali ngumu mbele ya raisi watu wana pledge mapaka laki🙆🏽♀️🙆🏽♀️ tena kutoka kwenye ofisi za selikali na taasisi🤪🤪mimi ni nani hasa nikaone aibu kupredge elfu kumi kwenye michango ya harusi 🙄🙄🙄
@fathermore97725 жыл бұрын
suzana mpanda husomi alama za nyakati wewe ..hatakama mtu anazo izi sio zile nyakati zakutaka sifa zakijinga mbele ya mjomba .....ujifanye unapayuka mihela hapo utajikuta kesho unatakiwa kuzitolea maelezo
@ramadhanymgahy91303 жыл бұрын
Pumžika kwa amani baba
@shekhhassanshahavanpage64215 жыл бұрын
Haaaaaaaaaaaaa nimechekaaaa maguuu juu
@HadiaMohammed-ec2dn2 ай бұрын
Rais alikuwa chawa wa wamaendleo ❤❤
@mwanaisharashid73495 жыл бұрын
Nimecheka kwa nguvu
@user-eu2zc1nr4f3 жыл бұрын
Daah..mlinzi anaumia sana
@CTM.24Updates3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭🗣️😭😭
@azminahabib79525 жыл бұрын
🤣🤣Changa ya lazima upite hivyo hivyo kwa wagonjwa wasio jiweza na wazee angalau wapate msaa🙏🙏🙏
@kuchenavhe00285 жыл бұрын
Weeee joni mapogo njooo hapa uchangie huwez ukakaakaa tu hapa😂😂😂
@barakanassoro35035 жыл бұрын
😁😁😁mapogo kamute2
@RajeshChauhan-wb9pm5 жыл бұрын
Good job rais
@suzanampanda62425 жыл бұрын
😂😂😂 huyo ndio magu
@jemusiobedi11075 жыл бұрын
Nice
@salamamsilu7455 жыл бұрын
Magufuli apana chezea kabisaaaaaaaaaaa
@MATHIASMBUZIMBILI19 күн бұрын
Tutamkumbuka babaetu magufuli
@noelamtesigwa68193 жыл бұрын
Kama namuona hiv jaman😢😢
@chusseboywcb28085 жыл бұрын
Huyu nikimnyima kula yangu niwe chizi kula yangu ni yamagu
@neemapetro73585 жыл бұрын
We we ndio rais hapana chezea uncle mangu pigs kaziiiii
@pacsela25663 жыл бұрын
Nakubali
@greatmangii5 жыл бұрын
4:05
@jumakapilima72957 ай бұрын
Mbunge kijana umetoa sana
@mdachitv34595 жыл бұрын
😂😂😂
@emanuelleopod39495 жыл бұрын
Nawewe umekaa mno kwenye mgongo wangu,, unachangia ngapi?😂😂😂