Huuuuuu Wimbo ndio ulikuwa unafanya niende kampeni Zaooo CCM
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Kabisa!
@seremanimzee27184 жыл бұрын
Amini usiamn maisha ni siasa na siasa ndio maisha yenyewe
@upendotarimo93244 жыл бұрын
@@seremanimzee2718 kweli
@shaherabdulmajidgeyash709815 күн бұрын
Wimbo huu ninapousikiliza unanikumbusha campaign yangu ya kwanza ya 2015 na ya pili 2020. Ni very motivating !!...Uendelee kuimbwa chaguzi zote !!
@bngnewsgang4 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ *Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (1961_1985) *Mzee Ali Hassan Mwinyi(1985_1995) *Benjamin Mkapa(1995_2005) *Jakaya Mrisho Kikwete(2005_2015) *John Pombe Magufuli (2015_2021) *Samia Suluhu(2021_ to date) Tanzania Oyeeee..... CCM oyeee. Umoja,Haki na maendeleo
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Kulikuwa na komba mmoja tu!!!
@thegreatsource29534 жыл бұрын
Captain Komba haupo nasi kimwili, ila tunazidi kuburudika na nyimbo zako nzuri zisizochuja. Mungu akupumzishe mahali pema peponi🙏
@snsonlinetv84324 жыл бұрын
Amlaze anapostihiki
@snsonlinetv84324 жыл бұрын
Kwani pepo masiara ww
@snsonlinetv84324 жыл бұрын
Na kila mkiskiliza hii nyimbo ndo mnazidi kumkandamiza kama hamna habari
@shakurfaith Жыл бұрын
@@snsonlinetv8432 maana wewe unaenda Firdausi, huna kosa hata moja duniani hapa. Umempita hadi Mtume. Fala sana
@zainabkizenga81185 жыл бұрын
Hii nyimbo nakumbuka 2015 wakati wa kampeni penda sana ccm
@mwitachacha44673 жыл бұрын
Hapo Sasa asieipenda ccm Kaz kwake
@rasihamsangi80844 жыл бұрын
Unabii unaendelea kufanya kazi
@joshwaangussaah84105 жыл бұрын
Kuhusu CCM bolla nife silali juu yake naipendaaa kifupi haina mpinzani vyama zingine mnajisumbua mtaisoma namba 1 mpaka mfilisike chadema
@bernadethamigodela47244 жыл бұрын
Uhakikaaaaaa
@vumiliabakari60503 жыл бұрын
Ccm naipenda Hatar by Liwada
@vumiliabakari60503 жыл бұрын
Gonga like Kama tupo pamoja
@hasnaabdu98466 жыл бұрын
Na kwel komba watu wanaisoma namba nawe mungu akurahemu kaka umetuacha na simanz kubwa sana saut yako tuu ilikuwa mwisho kwa wapinzan👏👏
@alexandernyimbi81863 жыл бұрын
Kipaji bora kabisa kuwahi kutokea nchini, kwa kutunga na kuimba nyimbo za Matukio makubwa hasa haya ya nchi yetu
@BIGBOSS-hl3bu2 жыл бұрын
My favourite song ,🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃 kinana na membe hoyeeeeeeee
@pendokissatu9374 жыл бұрын
Anayesikiliza Wimbooo Mwez wa 7 baada Ya Ankoo Magu kuteuliwa kuwa Mgombea wa Urahisii Na TUTAWACHAPA KWA KURAA MaGUU TANO TENA TUJUANE ❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@rosemushi83124 жыл бұрын
Hakika
@bahatipapi16164 жыл бұрын
2020 bado tunasikiliza👍
@yusuflalu28874 жыл бұрын
Mmmmmh wimbo wenyewe unatosha ,,ukipigwa Kama komba yupo ,,tunakukumbuka c komba
@fredikigodi83074 жыл бұрын
Anae ukubalihuu wimbo kamamm 2020,atampa magu kura kamazote,agonge like ilitujuane,, ccm mbelekwambele,hainakufeli,mwanzomwenga,,,,,,,,,
@prettynesspastory31114 жыл бұрын
Yaaaani nikisikia hiii ngoma nasikia raha mwili mzima! Hapa nimejifungia getto nayakata balaa!! Hiii raha sasa jamani!
@jerrycardo67702 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@alfrednazir62235 ай бұрын
Yaan nakuelewa sanaa mi apa napagawa nayakata haswa na huu mwaka 2024
@boniventureprotace63553 жыл бұрын
Japo syo mwanachama wa ccm ila hii ngoma n Kali lazma utkise kchwa ukisikia inapgwa 😂😂 Naskiliza hii 2021
@alfrednazir62235 ай бұрын
Same here
@KICHECHEOG24 жыл бұрын
Kama wewe ni ccm 2020 upotezi kura yako tupia like yako na ku comment pamoja sanaa
@alfrednazir62234 жыл бұрын
we ni kuma
@snsonlinetv84324 жыл бұрын
Ya kwangu ni bora niiharibu kuloko kuwapa ccm
@Nadir_Abdullah4 жыл бұрын
CCM oyyeeeeee
@mwantumuulaya65283 жыл бұрын
Oyeeeeeeeèeeeeeeh
@shukurlove41163 жыл бұрын
Ccm babalao? kamwe huwez mfundisha bab mapenzi ccm jembeeeeeeeeeeeeeeee
@edwardsmagori25555 жыл бұрын
Ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
@khalidngwembele90754 жыл бұрын
Chadema in blood lakin hili lisongi nalipenda kichiz yani 😂🙌🙌🙌
@shadracksospeter5363 жыл бұрын
hapo kwenye TUMEJIPANGA MWAKA HUU WATAISOMA 😍😍😍
@rejinkitosi85575 жыл бұрын
Hili goma🔥🔥 nitaingilia kwenye harus yangu atakayenuna atajijua mbele kwa mbele kama CCM😂😂😂
@ezekielandirea8684 жыл бұрын
Hahaaaa noma sana
@nelsonkimambo25284 жыл бұрын
Amewatungia wimbo mzur afu akaikimbia kaima kinachojiri ni kusoma namba tu
@bkmayembafromlp37534 жыл бұрын
Salute for komba john!!mbele kw mbele
@petermanda65956 жыл бұрын
mbele kwa mbele ccm chama tawala
@mapendomsele33865 жыл бұрын
Ccm daima mbele kwambeleeeeeee
@rehemamasoud36873 жыл бұрын
Nyimbo zilikua zinahamashisha sana m.mungu ailaze pema pepon roho ya marehem komba
@giftsomi91426 жыл бұрын
Hakuna mpinzani wa ccm kabisa
@boscomarucusi77046 жыл бұрын
safi
@richardabilu38966 жыл бұрын
Hakuna kitu hapo tunaisoma namba wote
@sundimsalika25326 жыл бұрын
Kabisaaa...hakuna
@kingak79745 жыл бұрын
Ccm mbele kwa mbele tumeipenda wenyewe chaguo letu milele 😘
@innocentfrida73335 жыл бұрын
Napenda ingoma kinyama
@peterbayo46776 жыл бұрын
Hii ni Kiboko. Capt Mst John Bruno Komba utakumbukwa milele!. Umeenda njia ya wengi mapema...
@aboukar69m5 жыл бұрын
Kweli mzee komba mungu ailaze roho yake pema
@zainabkizenga81185 жыл бұрын
Kabisa yaani
@preciousndossy21694 жыл бұрын
Yaan
@wahiduitsverycommentmane54214 жыл бұрын
ee mungu tupe kibali chakoo kipindii hichii Cha kampeni na uchaguzii mungu wanguu ukatuchagulie viongoz watakao ifikisha nchi yetuu mahali panapo stailii mungu wanguu kilaa roho za damu kumwagikaa na vifoo tunaendaa kuungana mbele zakoo tunakataa kwa jina la yesuu ee munguu Tanzania ikabakii kuwa nchii ya amanii na utulivuu na upendoo na hurumaa telee thanks Jesus for everything 🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭 2020 twendee sawa apa ubarikiwe unae soma comment yanguu ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️👏👏👏👏👏👏ccm ni Ile ileeee vijana tunasemajee !!???? Tumejipangaa mwaka huu wataisomaaa 👎👍👍👎👎👍👍🤲
@ewaldantony84943 жыл бұрын
Aghaaaaaaaaaa mamaeeee najikuta na sakata rumbaaaaa 😭🤣
@registrationrumors6 ай бұрын
Njoo hapa 2024
@sheysarahnjeno93265 жыл бұрын
Pumzika kwa amani.capt John komba tulikupenda sana.
@danielmlengu74565 жыл бұрын
Kama umeisoma namba kama mm gonga like twende sawa
@Berenaldo772 ай бұрын
Wimbo mtamuuuuu mnon😂😂😂❤❤❤❤
@ntakilwankingwa82504 жыл бұрын
Hiiii nyimbo mashine
@user-ch2it3qt5z11 ай бұрын
Kwl saiv tunzisoma Number😂😂 dah pumzika kwa Amani kombe kwl tumeipa mwnyw acha tuisome No' 2023 bado npo unapagwa mwngi Bei ya vitu inatukomesha mwnyw
@jumakapilima72953 ай бұрын
Kulikuwa na Komba mmoja tu,,,
@japharysety68904 жыл бұрын
si wengine komba ndo katufanya tuipende CCM
@hassanvanga41687 күн бұрын
Ccm nguvu moja
@magorimagori92645 жыл бұрын
Dah...huu wimbo ufanywe wa taifa jaman..maana mm bila kuusikia siku haiendi kabisa....naipenda sana CCM
@aminajuma29814 жыл бұрын
CCM mbele kwa mbele 👂👂👌👌🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬
@RioIpo5 жыл бұрын
Sasa wanasoma namba eeeh CCM daima Mapinduziiii daima
@shalomizrael6674 жыл бұрын
Wanaisoma kwelii 28/10wanahemea mipira,
@RioIpo3 жыл бұрын
@@shalomizrael667 Hahaha
@innocentsanga11202 жыл бұрын
Hakika komba Umemaliza Kazi pumzika baba.R.I.P
@MS.independent89344 жыл бұрын
yani katika nyimbo zoote za marehem naupenda huuu sn sn
@estersamweli64393 жыл бұрын
Zimebaki siku sita ccm mbele kwa mbele 👍👍👍👍👍👍👍👍👍❤️🔥🔥
@rojazslojazz42874 жыл бұрын
Japokuwa mi mwanachadema ila hugu GU song ni nouma
@frediricknandonde16904 жыл бұрын
Huu wimbo ulikua ukipigwa kwenye kampeni furaha inazidi kwangu hadi nywele zinanisimama sana kama utadhani nimeota misumali kichwani
@z.shondezshonde56634 жыл бұрын
😂😂😂zinasimama zinaenda wap😆😆😆
@frediricknandonde16904 жыл бұрын
@@z.shondezshonde5663 hahahahahha
@z.shondezshonde56634 жыл бұрын
😂😂😂
@winnieedson69373 жыл бұрын
Acha tu ituue tumeipenda wenyeweeee piga kelele kwa ccm akeeeeee
@joelramadhan60625 ай бұрын
Mimi cio ccm ila huu muwa ni nyoko❤
@placidoponera3 жыл бұрын
Wacha tuisome namba CCM mbele Kwa mbeleee chamtima Kuni tumekiona🔥🔥🔥
@anitarongoma92954 жыл бұрын
hi nyimbo jamani naikubali sana ata nisipokula uwa nikisikiliza nashiba ccm mbele kwa mbele
@juliusthadeo50383 жыл бұрын
Wimbo Bora wa ccm wa Muda wote hakuna wakuja kuushinda
@respiciuszephania60353 жыл бұрын
Yaani ni baraaaaa tupuuuuuuuu, kwa song hili ninomaaaa aiseeeee hata kama umenuna au umechoka lazima utajikuta unacheza tu hadi raha!!!
@khamissaid73943 жыл бұрын
Haswaaaa
@remigiousmuganga61883 жыл бұрын
The best election song ever
@lydiarichard12834 жыл бұрын
Jamani huu wimbo siuchoki eti
@francismillinga45914 жыл бұрын
Haka ka wimbo ni katamu asikuambie mtu hata wapinzani wenyewe wanakapenda R.I.P Komba
@catherinemukami41903 ай бұрын
Wimbo mzuri
@salehsaleh47764 жыл бұрын
Mbele kw mbeleeee ccm
@chrismgina31222 жыл бұрын
Napenda kwenye hapo wacha waisome namba😘
@MsuyaMsuyaJr4 жыл бұрын
Mko wapi 2020 gonga like hapo kam ww ccm kam mimi
@salimabdillah16233 жыл бұрын
Long live CCM, long live hon.Magufuli and long live United Republic of Tanzania. Ushindi wa CCM ni ushindi wa Watanzania wote.Mungu ibariki Africa.
@manofthepeople64805 ай бұрын
huu ndio wimbo Bora Zaid kwa kizazi hiki na kizazi kijacho. katika hii hoja hakuna atakaebisha
@mushijamaly59656 жыл бұрын
Huu wimbo ni mwisho
@drhanda82016 жыл бұрын
Ccm naikubal sana
@landalamboje88304 жыл бұрын
Ccm baba lao
@VeredianaKalembi-gs4vs12 күн бұрын
Hutunywi sumu ni mwaka kesho mambo yanaanza tunaanza kuona vyumaa
@kambiyusuf3665 Жыл бұрын
Wimbo huu ukiusikiliza utadhani umetoka jikoni Leo leo.hauishi utamu.
@DeusAmos-lt9bx4 ай бұрын
𝘾𝘾𝙈 𝙈𝘽𝙀𝙇𝙀 𝙆𝙒𝘼 𝙈𝘽𝙀𝙇𝙀 💚💛💚💛
@haidarykufakunoga88695 ай бұрын
CCM MBELE KWA MBELE. NIMEIPENDA MWENYEWE. 🙏🙏🙏🙏
@stanslauslupelele5726 Жыл бұрын
Saizi tuisoma namba wote
@allyrashid92413 жыл бұрын
Ewe mola wetu twakuomba uzid kuidumisha Aman na umoja Tanzania daima naipenda
@lukeloisaya12209 ай бұрын
Wimbo mzuri sana... Oktoba, 2023 still ni fire
@kassimandrea85406 жыл бұрын
Chama Mama chama Imara ccm juu juu kabisaaaa...........
@samsonchima31695 жыл бұрын
HAKUNA CHAMA KINGINE PINZANI CCM TANGU 1995 VYAMA VINGI VYA SIASA MPAKA LEO IPO MADARAKAN
@alphapaul29535 жыл бұрын
Odam
@nassorkassim7205 жыл бұрын
Hamjamb
@zawadijoseph95153 жыл бұрын
CCM oyeeeeeeeeeeeeeeeee
@jumakapilima72953 ай бұрын
Hili songi nina CD yake OG, ni kali kinoma,,,,,
@jennymallya45334 жыл бұрын
Wale ambao hatunywi sumu wala hatujinyongi tujuane kwa like na comment
@tunsumemwakinyuke6616 ай бұрын
Tumejipanga mwaka huu wstaisoma😂
@edinabruchardy88463 жыл бұрын
Mm ni mmojawapo ninayependa yanga
@zazisigonda33433 жыл бұрын
Tumejipanga, mwaka huu wataisoma....♥️🇹🇿
@jumaallymwanga37792 жыл бұрын
Juma ally
@joshuamchiwa8612 ай бұрын
Kiukweli mimi siyo CCM, ila hii nyimbo naipenda kupita maelezo. Nikiisikia inapigwa napata furaha ambayo hata kuelezea ni vigumu.
@elishamwaya40744 жыл бұрын
Nyimbo mzuri hii kinoma kila siku lazima niimbe maana namba sio
@dorahy15793 жыл бұрын
One of best songs
@eagleboyy45356 ай бұрын
2024 now, still best song
@annamushiaminaaa43673 жыл бұрын
Ni kwelii 🙄 hacha ituue👏
@mamahustru4 жыл бұрын
Huu wimbo ulifanya kazi yake 2015. CCM nilikuwa nimewachoka ila nikawa najikuta nikiusikia huu wimbo na mimi nauimba mpaka ukanipokonya kura yangu. Komba alikuwa na kipaji hatari kwa kweli, na pengo lake linaonekana TOT. Apumzike kwa Amani.