Hotuba Ya Mwl Julius K Nyerere Mkutano Mkuu Wa CCM Dodoma Mwaka 1995
Пікірлер: 203
@moshiphoneclinic6070 Жыл бұрын
Gonga like Kama unamkubali huyu mwamba
@samirshabani-yu4xuАй бұрын
Jigongee mwenyewe
@Officialjidaa-sn9cs27 күн бұрын
Nimerudi kuangalia Tena BABA WA TAIFA HOTUBA ZAKE KUUU❤❤❤❤2024
@Saidesaideinacio25 күн бұрын
Dah yaani kama kaongea Jana kama unakubaliana Nami ginga like hapo chini
@marieconnect6389 Жыл бұрын
Mungu wetu ingilia kati kusaidia watanzani wako. Mungu ULITUWEKEA nchi hii UTAJIRI MKUBWA sana lakini mbona viongozi wetu hawana akili kubwa za kutosha kugeuza UTJIRI huo WA ASIKI uwe na manufaa kwa watanzania na hata afrika kwa ujumla? Hao Wanasiasa wetu hawaji na sera zenye mashiko ya manufaa kwa taifa hili. Tunawatafuta sana viongozi wenye mitizamo hiyo na tunajua wapo ila ni vigumu kupenya ngome ya CCM. Ee mungu tunaomba msaada wako utusaidie wana wako. Sisi siyo masikini wa mali bali akili.
@godfreychitumbo5892 жыл бұрын
Daaaaaaaaah hakika baba wa taifa alikuwa ananena ya kwel tutayatafuta nje na sio ndan tutakukumbuka daima
@AllyJumanne-j7c10 ай бұрын
Hutubahii imetoa machozi uhakika Baba wa Taifa alikuwa chuma
@KAIZAJustasi2 ай бұрын
mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi amini
@chitembedyao.p4846Ай бұрын
Hutuba inayotoka kichwani sio ya kuandikiwa na still hotuba inayoishi hata miaka milioni ijayo
@oss66892 ай бұрын
CCM yake ilikua #1 Bada yake kumekuja CCM kabambe kuliko yake haijui hata kuendesha Uwanja 😢wake😢Kiya Kilimanjaroo airport 😢😢😢 Masikini baba wetu wataifa . CCM yako hayo ndio mabadiliko yao yanadhihirisha kwenye Ripoti ya Mkaguzi waserekali...😢😂😂
@EmanuelJoseph-s5q5 күн бұрын
This is how leadership is
@abednegomichael-c1n8 күн бұрын
Napenda Sana kusikiliza hotuba za baba yetu wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Japo sikuwahi mwona maana nilikuwa sijazaliwa au nilikuwa mtoto nanyonya
@lambosalum6299 Жыл бұрын
The real father of Tanzania and Africa by general
@WalterWilliamse-i3sАй бұрын
Thompson Margaret Davis Jeffrey Rodriguez Scott
@joshuaaizack69733 күн бұрын
asaiv raisi anatoa maelekezo watanzania wachague viongozi wakuipeleka mbele ccm na siyo wananchi
@danmutuginjoroge Жыл бұрын
Greatest speech ever by former excellency
@jumambazi7173 Жыл бұрын
Hotuba za baba wa Taifa Mwalimu Julius Nuerere ni uhai wa Taifa letu na kwineko duniani.Zidumishwe Kama urithi wetu.
@samsonkaboko5137 Жыл бұрын
Mt Nyerere ulikuwa ni baba kweli na Kila aliyepita kwenye nyayo zako alifanikiwa Kwa haraka zaidi, pumzika kwa amani, msalimie JPM
@KAIZAJustasi2 ай бұрын
nikweli
@songaym.assiyecheka53227 жыл бұрын
Mungu wangu nisaidie kumuenzi Baba Wa Taiga Langu LA Tanzania!! Hayati MwL. Julius Kambarage Nyerere.
@gracemush68382 жыл бұрын
Mungu ampe makao ya milele baba yetu wa taifa hili la Tanzania wapo wawili 2 wote atukonao
@ismailabdallah78532 жыл бұрын
mwenyezi mungu hakufanyie wepesi mwalimu Baba wa taifa letu
@mrmuba7330 Жыл бұрын
ndugu kwa muislam haifai kumuombea dua mtu aliekufa hali ya kua si muislam
@vincentcharles438510 ай бұрын
@@mrmuba7330ila kukuombea wewe shoga ni sahihi
@amazing_life6964 ай бұрын
Heeh! Kumbe uislam ndio uko hivyo. Basi hapo hakuna dini ni ushenzi tu.
@hajihassan54333 ай бұрын
@@amazing_life696 Dua umuombe ndugu yako, na hakuna undugu wa Muislam na asiyekuwa Muislam. Ni HARAM kumuombea pepo asiye Muislam.
@aminasaidi50109 ай бұрын
Dahh hotuba nmeixkia mwaka nazaliwa mm mbona haziachan najinsi dk jn pombe maguful alivokua anatuogoza mung aziweke roozao mahala pena pepon aamin
@PilotArafat9 ай бұрын
VIONGOZI WOTE WA SERIKALI MTAZAME HII KITU KILA SIKU ✍️ MNAJISAHAU SANA📌📌 1:08
@godfreyhhaysanday7530 Жыл бұрын
Tunakukumbukeni watetezi wa nchi yetu bad tunawakumbuka😭😭😭
@PilotArafat9 ай бұрын
VIONGOZI WOTE WA SERIKALI MTAZAME HII KITU KILA SIKU ✍️ MNAJISAHAU SANA📌📌
@emmamateso7306 Жыл бұрын
Uyu nyelele alikua nimutu wapekee sasana
@daudmnanga7075 Жыл бұрын
Asante sana kwamuongozo
@giftsiwakwi4079 Жыл бұрын
Unakumbukwa Baba wa Taiga, may your soul continue resting in peace
Sikiliza hii hutuba utajifunza kitu ww usie kushauri ubongo wako
@ezekielbandshimbayabhoya331 Жыл бұрын
Uhakika kabisa pongezi baba wa taifa ulale mahali pema peponi
@fatmakitine7674 Жыл бұрын
Innallah Wainaillah Rajuun. Mwenyezi Mungu amrehem amsamehe makosa yake inshallah ampe pepo
@OmarJuma-og4kd5 ай бұрын
@fatmakitine7674 usihadalike na maneno ya kisiasa na kumuombea kafiri asamehewe na Allah nakushauri isome Qur an itakuzindua kiakili kwa Allah anasema kwenye surat Muhammad Aya ya 34..kwamba....wale ambayo wamekufuru na kuzuia watu kuelekea njia ya Allah Kisha akafa na ukafiri wake basi hatasamehewa na Allah ....Sasa Nyerere alikufa na ukafiri wake vp wewe unamuombea kwa Allah kuwa amsame na mtie peponi wakati pepo umewekwa ajili ya wachamungu sio makafiri ...
@hajihassan54333 ай бұрын
@@OmarJuma-og4kd Acha mtu aombe dua anavyojisikia Mungu mwenyewe ataamua hata Mtume wetu Muhammad alimuombea ami yake kwa sababu Dini ni kati ya mtu mwenyewe na Mungu, utajuwaje kafa na Dini gani.
@sarfarazahmad5445 Жыл бұрын
One of the most popular and the best speakers in Africa and the world. Miss you Mwalimu.
@anilabdallah746 Жыл бұрын
❤i
@SirajiSechenga5 күн бұрын
Nivema kuyakubali maneno ya baba wa taifa ni ya kweli
@LucasSalimLiamaLiama-vq7qh4 ай бұрын
Tulimpata Magufuli ila manyang'au wamemuuwa kwa manufaa yao
@zariadunia63282 жыл бұрын
Baba yetu huyo uliyempigia debe hakiyajai hayo uliyosema alijenga mahotel ughaibuni na hata kusahau kwao Ntwara
@wilsonchishomi10832 жыл бұрын
Yaani lilikuwa ni bomu… yaani alituuza kabisa
@innocentntabala63292 жыл бұрын
Hakika baba wa Taifa, uliyosema yanatendeka. RIP baba.
@ernestshuma14892 жыл бұрын
ungekuja ungeona upuuzi wanaofanya na kwa ninavyokujua we we unavyochukia upuuzi apo ungekata ata shingo ya mtu
@musr9317 ай бұрын
I can't get enough of this GUY!
@jumamgwalla3211 Жыл бұрын
" HOTUBA ELIMISHI KWA KILA KIZAZI KILICHOPO NA KIZAZI KIJACHO PIA " """"""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""
@rabomunde3550Ай бұрын
Nimemkumbuka baba wataifa" Pumzika kwa aman baba
@VoiceofpeopleotzАй бұрын
Ccm waisikilize kwa makini hii hotuba.
@deuskisonga58192 жыл бұрын
Baba wa TAIFA ALIKUWA anaona mbali Sana. RIP
@laurentikimbangala29702 жыл бұрын
Ni kweli , uhalisia rushwa ni adui ya haki.
@emmanuelsaguda71362 жыл бұрын
Rip baba wa taifa😢😢
@gidionkatorano88392 жыл бұрын
Tumuenzi kwelikweli kwa kututoka rohoni lakini viongozi wa ccm walio we gi hawana hofu ya mungu kwa kuzingatia aliyoyasema Baba wa Taifa.
@tonnykasibante88232 жыл бұрын
A speech with content maana na mathumuni.Hayati Nyerere asante sana kwa kuwa kielelezo na mfano bora kwa wote katika bara letu ?Mwenyezi mungu akubariki
@hassanmzee1807 Жыл бұрын
Huyu ni mtu
@aminasaidi50109 ай бұрын
Alikuwa habagui kabila Wala rangi ya watufulaan
@lugwetunje38963 ай бұрын
Magufuli ndio alikua na sifa hizo zote
@abednegomichael-c1n8 күн бұрын
Wangapi tupo hapa Sept 2024
@Samy-zainKayumbu2 ай бұрын
Kweli neema hairudii marapili😢😢
@yusufuheri652411 ай бұрын
this speech my roll mode
@dicksonimfungomfungo6657 Жыл бұрын
Hiindiyo ilikuaga mashine ya Tanzania , Mungu akubaliki akutie wepesi na laha ya milele
@morrisAntony-j2t Жыл бұрын
Mungu ailaze loho ya baba yetu mahali pema pema peponi na apumzike kwaamani
@marieconnect6389 Жыл бұрын
Hotuba iliyojaa utajiri wa kifikra na uzalendo wa ukweli👏👏 👍
@richardboaz-mashagospel2346 Жыл бұрын
Baba yangu huyo! Nampenda sana baba, na JPM....hawa ndio waasisi wapenzi wa watanzania, walitupenda kwa mioyo yao yote.
@HenryKanyika-pu8nd11 ай бұрын
Nyerere kama Jpm
@jacobjohn65122 жыл бұрын
Viongozi wetu mjifunze kupitia hotuba za baba wa taifa
@khalfanmustafa6615 Жыл бұрын
Nyerere ulikiona hichi kitu Kuna Nyerere mwingine alitokea ila amekufuata huko mungu awaweke mahara pema!!
@AbdulMichael-g4o11 ай бұрын
Yule msukuma alikuwa mwenda wazimu
@Deusgaudens18 күн бұрын
Namkubal sana baba yetu wa tanzania ,,,,,,nyerere
@Deusgaudens18 күн бұрын
Nami kazi ulio fanya
@widonphilipo5866 Жыл бұрын
Tutakukumbuka mwalimu
@evaomondi82182 ай бұрын
Such a brilliant mind that went so soon! Before we harnessed all of it! Tunaomba Rais ambaye atakuja kupindua nchi ya Tanzania kwa falsafa ya Nyerere!
@gervasrobert77662 жыл бұрын
Bora urudi tu Baba inchi imeuzwa
@richardboaz-mashagospel2346 Жыл бұрын
**Rushwa, Umasikini (hivi kweli viongozi wa sasa wamebeba mioyo ya hawa wazee?, Udini (mawazo ya kipumbavu), na Ukabila**
@stanslausmaguluko833421 күн бұрын
Mzee ana hotuba nzuri sana
@LucianSanga-q8j3 ай бұрын
Mwandishi Huyu Vipi?
@nyakubusakabazi2689 Жыл бұрын
Yani basi tu
@nyakubusakabazi2689 Жыл бұрын
Ulitakiwa kuwepo mpaka sasa
@evaristjoseph815111 ай бұрын
Mabadiliko wasipo yapata !!!!!!!!ndani ya ccm watayapata nje ya ccm kwnn hatubadiliki?
@Mapenzi2635 Жыл бұрын
Nyerere na Aristotle wanatofautiana kwenye utumwa tu. Lakini, Hatuna wasomi wanaenzi mawazo ya Nyerere sawa na wanavyotunza ya Aristotle. Siku Nyerere akipewa heshima yake kama Mwanafalsafa, Tanzania itaongoza umoja wa afrika mashariki (political federation) na kisha ya afrika nzima.
@abdalahgunda13192 ай бұрын
Painful left by late julias kambarege Nyerere can not recover easy into our national Feliyer of ccm leadership use police force no longer ccm we know into Tanzania population only police force and lteligince that all late julias kambarege Nyerere was the voice of poor tanzania people now we have brutal group holdings power with the forenor from development country we tanzania population we became slevering into our tanzania national
@marieconnect6389 Жыл бұрын
Point moja kubwa umeongea baba yetu mpendwa. Watanzania wanataka mabadiliko...... wakiyakosa ndani watayatafuta nje ya CCM. Tatizo hata huku nje watu tulio nao bado hawaaminiki... akili zao ni zile zile. Alikuja baba JPM akapinga rushwa kwa nguvu zake cha ajabu hao wa huko nje hawajaliona hilo hadi leo wakati sisi wananchi tunajionea kwa dhahiri kabisa.... sasa tutawaamini vipi? Tunaona ni wale wale tu. Labda kije chama kipya kabisa kimegeke kutoka ndani ya CCM cha watu waaadilifu sababu wapo.
@asungwilemwaifunga1285 Жыл бұрын
Siyo lazima CCM imeguke. Watu wengine, watanzania waikatae CCM waje na mtazamo mpya tofauti na wana CCM
@fredrickochieng-tb5yt9 ай бұрын
Mpole sana 😂😂😂😂😂😂
@JeanPierreAlamfoda5 күн бұрын
Vocation et mon aspirations
@ramadhanomary2547 Жыл бұрын
Mungu akulipe kwa mazur ulio tupigania kwenye nchiyetu heshima nyingi kwako mwalimu daima hatuta kusahau 🙏🙏🙏
@Michael_Msanzya7 ай бұрын
Maneno yanayo Ishi
@BangaraNicolauc11 ай бұрын
Tunakukumbuka babawataifa kwakutureavizuri vijana ambao reotumeterekezwa vijana
@abdalahgunda131911 ай бұрын
Main point of late julias kambarege Nyerere during his life time speech address ccm leadership that this rooling part is not for reach people we need leader who sense challenge of poor people our farmer our nation who are poor Now this day we start talking about religious like religious is vary lptantAnt of people life if cricianity want to know number of cricianity prist will know his cricianity on the Charch if mwislim want to know number of mwislim they will know them on moskit What das it makes sense we gavment know religious number Even peaple jump on buss use troubblerizim today big country jointivencter they have unit you Africa population of 27milion you bring trublerizim jump on bus on trublerizim We need leader who will remove this elect leader who knows this Ok that was late julias kambarege Nyerere during his life time shout leader who are in leadership crush peaple who bring trublerizim or religious behavior brain capacity of late julias kambarege seen and sense Denger in fiucher to came
Mwarimu nyerere umojauriotujengea vijana sasahakuna viwandaurivotujengea vijanasasa vimekufa umojawavijana sasa umekuwa umoja wawazetu
@PilotArafat9 ай бұрын
VIONGOZI WOTE WA SERIKALI MTAZAME HII KITU KILA SIKU ✍️ MNAJISAHAU SANA📌📌
@naphtalleyakoyi13362 жыл бұрын
Wanasiasa wa Kenya yetu na wakasie hili ,ukabila kisiasa ndo inatumaliza
@stephenf.sikolia75887 ай бұрын
Why murder service?
@marieconnect6389 Жыл бұрын
Baba yetu uliwahi kusema chama kitakachoweza kuitoa CCM madarakani lazima kitoke ndani ya CCM. Tunaamini ukweli huo. Mungu awape ujasiri watu waadilifu wajitoe ndani ya CCM waanzishe chama kipya kitakacholeta matumaini kwa watanzania. Hicho chama kitachukua nchi kirahisi sana. Watu hao wasafi wapo na wanajulikana kwa wananchi. Wajipe moyo wa ujasiri wajiongeze wataungwa mkono.
@eliudikapungu19312 жыл бұрын
Kweli kabisa mungu atulinde
@marieconnect6389 Жыл бұрын
umesema kweli baba ni kweli nchi hii haipaswi kuwa ya MATAJIRI. Ni nchi ya watu masikini lakini ni nchi yenye utajiri kuliko nchi nyingi duniani. Wanasema ni nchi ya pili afrika kwa kuwa na utajiri mkubwa wa asili. na tutakuwa juu kabisa kidunia kwa utajiri. Swali....kiongozi gani anaamini katika hilo na kulitetea bila woga? Uzalendo huo umeenda wapi? Wanasiasa walio wengi wamekuwa wabinafsi sana wanaangalia maslahi yao binafsi wanasahau maslahi ta taifa. wanasahau kuligeuza taifa hili kuwa matajiri kama ambavyo inavyostahili. Tanzania siyo masikini wa mali asilia bali fikra. Mungu wetu tusaidie Tanzania yako
@PilotArafat9 ай бұрын
VIONGOZI WOTE WA SERIKALI MTAZAME HII KITU KILA SIKU ✍️ MNAJISAHAU SANA📌📌
@PilotArafat9 ай бұрын
VIONGOZI WOTE WA SERIKALI MTAZAME HII KITU KILA SIKU ✍️ MNAJISAHAU SANA📌📌
@onesmodominick Жыл бұрын
Hatutampata kiongozi hodari anayepinga rushwa kama wewe
@ernestshuma14892 жыл бұрын
tunakukumbka jemadari.maneno yako haya.uliyowaacha wameshauza nchi yako
@KalisPhilippelwatomwaАй бұрын
Le merite president
@jacobkabado180324 күн бұрын
Hotuba current
@marieconnect6389 Жыл бұрын
Tatizo linaonekana hao hao wapiga kura wenyewe wengi wao ndio wala rushwa wakubwa sasa watamchagua vipi mtu atakayeenda kinyume nao? Hiyo itakuwa ngumu sana baba labda kama angekuwepo mwenyewe
@LucianSanga-q8j3 ай бұрын
Uli ongoza vizuri sana lakini ume Tuachia katiba mbovu sana
@SijKukr2 ай бұрын
Nyerere
@marieconnect6389 Жыл бұрын
Tanzania ya wanasiasa wa leo inakumbuka hayo maneno kweli? Au ndio yanaigilia sikio hili yanatokea sikio la pili. Mungu wetu uko wapi? Usituache wenyewe hatuwezi