Hotuba Ya Mwl Julius K Nyerere Mkutano Mkuu Wa CCM Dodoma Mwaka 1995

  Рет қаралды 565,574

Ikulu Tanzania

Ikulu Tanzania

Күн бұрын

Hotuba Ya Mwl Julius K Nyerere Mkutano Mkuu Wa CCM Dodoma Mwaka 1995

Пікірлер: 256
@Officialjidaa-sn9cs
@Officialjidaa-sn9cs 5 ай бұрын
Nimerudi kuangalia Tena BABA WA TAIFA HOTUBA ZAKE KUUU❤❤❤❤2024
@moshiphoneclinic6070
@moshiphoneclinic6070 Жыл бұрын
Gonga like Kama unamkubali huyu mwamba
@samirshabani-yu4xu
@samirshabani-yu4xu 5 ай бұрын
Jigongee mwenyewe
@TheGreatone-r1q
@TheGreatone-r1q 16 күн бұрын
Sana mkuu
@vickymlatie8313
@vickymlatie8313 3 ай бұрын
Baba wa taifa Mungu azidi kukukirimia mwema Yako hakuna wa kufanana nawe 🙏🙏🙏🙏 Amen
@musr931
@musr931 11 ай бұрын
I can't get enough of this GUY!
@sarfarazahmad5445
@sarfarazahmad5445 2 жыл бұрын
One of the most popular and the best speakers in Africa and the world. Miss you Mwalimu.
@anilabdallah746
@anilabdallah746 Жыл бұрын
❤i
@godfreychitumbo589
@godfreychitumbo589 2 жыл бұрын
Daaaaaaaaah hakika baba wa taifa alikuwa ananena ya kwel tutayatafuta nje na sio ndan tutakukumbuka daima
@yusuphnyangarya
@yusuphnyangarya Ай бұрын
mwalim j,k ulikuwa unaweza kazi ya uongozi mungu akulinde ulale maali pema peponi
@aminasaidi5010
@aminasaidi5010 Жыл бұрын
Dahh hotuba nmeixkia mwaka nazaliwa mm mbona haziachan najinsi dk jn pombe maguful alivokua anatuogoza mung aziweke roozao mahala pena pepon aamin
@tonnykasibante8823
@tonnykasibante8823 2 жыл бұрын
A speech with content maana na mathumuni.Hayati Nyerere asante sana kwa kuwa kielelezo na mfano bora kwa wote katika bara letu ?Mwenyezi mungu akubariki
@hassanmzee1807
@hassanmzee1807 2 жыл бұрын
Huyu ni mtu
@WILLIAMDAUD-k8i
@WILLIAMDAUD-k8i 19 күн бұрын
Sijawah kuchoka kuangalia hotuba za baba wa Taifa, Mungu akupe pumuziko jema😢
@Saidesaideinacio
@Saidesaideinacio 5 ай бұрын
Dah yaani kama kaongea Jana kama unakubaliana Nami ginga like hapo chini
@ChalesMatelu
@ChalesMatelu 4 ай бұрын
Niambie nimekosea
@UwezoMponda
@UwezoMponda 3 ай бұрын
🎉❤​@@ChalesMatelu
@UwezoMponda
@UwezoMponda 3 ай бұрын
​@@ChalesMatelu ❤🎉
@MassaukoMatias
@MassaukoMatias 10 күн бұрын
mwamba wetu huyo tuna kukumbuka daima
@estherbukoja6208
@estherbukoja6208 2 жыл бұрын
Asanter kwa kuturetea uhuru ktk taifa letu na sasa tunaishi kwa amani na tunakukumbuka sana ,mungu ailaze roho yako kwa AMANI mahari pema peponi AMINA
@FelixPascary
@FelixPascary Ай бұрын
Nyerere ni zawadi toka kwa Mungu Misingi aliyo iweka yeye na wazee wetu ndio faida ya muungano wetu sasa.
@danmutuginjoroge
@danmutuginjoroge 2 жыл бұрын
Greatest speech ever by former excellency
@peterlujuo1640
@peterlujuo1640 3 ай бұрын
Mwaka 2024 speech za mwalimu zinaishi milele ❤
@MWARUNGUKALIMBOMWANDOE
@MWARUNGUKALIMBOMWANDOE Жыл бұрын
Mwalimu Julius kambarage Nyerere alikuwa ni kiongozi wa kweli na aliyekuwa na maono . Na alikuwa akili , hekima, busara, utu na kipawa kikubwa cha uongozi . Mungu azidi kumpa raha ya milele peponi. Hatuwezi kumsahau
@songaym.assiyecheka5322
@songaym.assiyecheka5322 7 жыл бұрын
Mungu wangu nisaidie kumuenzi Baba Wa Taiga Langu LA Tanzania!! Hayati MwL. Julius Kambarage Nyerere.
@gracemush6838
@gracemush6838 3 жыл бұрын
Mungu ampe makao ya milele baba yetu wa taifa hili la Tanzania wapo wawili 2 wote atukonao
@dicksonimfungomfungo6657
@dicksonimfungomfungo6657 2 жыл бұрын
Hiindiyo ilikuaga mashine ya Tanzania , Mungu akubaliki akutie wepesi na laha ya milele
@fatmakitine7674
@fatmakitine7674 Жыл бұрын
Innallah Wainaillah Rajuun. Mwenyezi Mungu amrehem amsamehe makosa yake inshallah ampe pepo
@OmarJuma-og4kd
@OmarJuma-og4kd 9 ай бұрын
@fatmakitine7674 usihadalike na maneno ya kisiasa na kumuombea kafiri asamehewe na Allah nakushauri isome Qur an itakuzindua kiakili kwa Allah anasema kwenye surat Muhammad Aya ya 34..kwamba....wale ambayo wamekufuru na kuzuia watu kuelekea njia ya Allah Kisha akafa na ukafiri wake basi hatasamehewa na Allah ....Sasa Nyerere alikufa na ukafiri wake vp wewe unamuombea kwa Allah kuwa amsame na mtie peponi wakati pepo umewekwa ajili ya wachamungu sio makafiri ...
@hajihassan5433
@hajihassan5433 8 ай бұрын
​@@OmarJuma-og4kd Acha mtu aombe dua anavyojisikia Mungu mwenyewe ataamua hata Mtume wetu Muhammad alimuombea ami yake kwa sababu Dini ni kati ya mtu mwenyewe na Mungu, utajuwaje kafa na Dini gani.
@jumambazi7173
@jumambazi7173 2 жыл бұрын
Hotuba za baba wa Taifa Mwalimu Julius Nuerere ni uhai wa Taifa letu na kwineko duniani.Zidumishwe Kama urithi wetu.
@abednegomichael-c1n
@abednegomichael-c1n 4 ай бұрын
Napenda Sana kusikiliza hotuba za baba yetu wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Japo sikuwahi mwona maana nilikuwa sijazaliwa au nilikuwa mtoto nanyonya
@ismailabdallah7853
@ismailabdallah7853 2 жыл бұрын
mwenyezi mungu hakufanyie wepesi mwalimu Baba wa taifa letu
@mrmuba7330
@mrmuba7330 2 жыл бұрын
ndugu kwa muislam haifai kumuombea dua mtu aliekufa hali ya kua si muislam
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 Жыл бұрын
@@mrmuba7330ila kukuombea wewe shoga ni sahihi
@amazing_life696
@amazing_life696 9 ай бұрын
Heeh! Kumbe uislam ndio uko hivyo. Basi hapo hakuna dini ni ushenzi tu.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 8 ай бұрын
​@@amazing_life696 Dua umuombe ndugu yako, na hakuna undugu wa Muislam na asiyekuwa Muislam. Ni HARAM kumuombea pepo asiye Muislam.
@FeliusiMsonda
@FeliusiMsonda 2 ай бұрын
Kweli Mzee ❤ tulipenda sana mpaka leo tuna kukumbuka mungu atusaidie kutupatia kiongozi bora sii bora kiongozi hapana😂
@marieconnect6389
@marieconnect6389 2 жыл бұрын
Hotuba iliyojaa utajiri wa kifikra na uzalendo wa ukweli👏👏 👍
@marieconnect6389
@marieconnect6389 2 жыл бұрын
Mungu wetu ingilia kati kusaidia watanzani wako. Mungu ULITUWEKEA nchi hii UTAJIRI MKUBWA sana lakini mbona viongozi wetu hawana akili kubwa za kutosha kugeuza UTJIRI huo WA ASIKI uwe na manufaa kwa watanzania na hata afrika kwa ujumla? Hao Wanasiasa wetu hawaji na sera zenye mashiko ya manufaa kwa taifa hili. Tunawatafuta sana viongozi wenye mitizamo hiyo na tunajua wapo ila ni vigumu kupenya ngome ya CCM. Ee mungu tunaomba msaada wako utusaidie wana wako. Sisi siyo masikini wa mali bali akili.
@TedyMshi
@TedyMshi 2 ай бұрын
Nimejaribu kufuatilia hotuba zake ni nzuri San ❤❤❤❤❤
@godfreyhhaysanday7530
@godfreyhhaysanday7530 2 жыл бұрын
Tunakukumbukeni watetezi wa nchi yetu bad tunawakumbuka😭😭😭
@daudmnanga7075
@daudmnanga7075 Жыл бұрын
Asante sana kwamuongozo
@mangumanjobola4444
@mangumanjobola4444 Ай бұрын
Daah sidhani kama tutampata mwamba mwingine Mungu aiweke roho yake mahali pema Peponi Amina
@samsonkaboko5137
@samsonkaboko5137 2 жыл бұрын
Mt Nyerere ulikuwa ni baba kweli na Kila aliyepita kwenye nyayo zako alifanikiwa Kwa haraka zaidi, pumzika kwa amani, msalimie JPM
@KAIZAJustasi
@KAIZAJustasi 6 ай бұрын
nikweli
@khalfanmustafa6615
@khalfanmustafa6615 2 жыл бұрын
Nyerere ulikiona hichi kitu Kuna Nyerere mwingine alitokea ila amekufuata huko mungu awaweke mahara pema!!
@AbdulMichael-g4o
@AbdulMichael-g4o Жыл бұрын
Yule msukuma alikuwa mwenda wazimu
@Zuwenamachela
@Zuwenamachela 3 ай бұрын
Unaweza kufananisha Magufuli mnyonyaji na huyu Mzee magu alikuwa fisad
@monicamwita7865
@monicamwita7865 3 ай бұрын
Huwezi kumlinganisha. Huyu wa pekee zaidi
@marieconnect6389
@marieconnect6389 2 жыл бұрын
Tanzania ya wanasiasa wa leo inakumbuka hayo maneno kweli? Au ndio yanaigilia sikio hili yanatokea sikio la pili. Mungu wetu uko wapi? Usituache wenyewe hatuwezi
@morrisAntony-j2t
@morrisAntony-j2t Жыл бұрын
Mungu ailaze loho ya baba yetu mahali pema pema peponi na apumzike kwaamani
@JakcsonShija-h1f
@JakcsonShija-h1f 3 ай бұрын
Amina mwl na Baba wa taifa letu ulikua na maono mema ya nchi yetu Tanzania Mungu ailaze mahali pema peponi pumzika salama
@AlphonceFrancisKagoshi-n2v
@AlphonceFrancisKagoshi-n2v 2 ай бұрын
wewe ni mtu mwema sana baba.
@lambosalum6299
@lambosalum6299 Жыл бұрын
The real father of Tanzania and Africa by general
@marieconnect6389
@marieconnect6389 2 жыл бұрын
umesema kweli baba ni kweli nchi hii haipaswi kuwa ya MATAJIRI. Ni nchi ya watu masikini lakini ni nchi yenye utajiri kuliko nchi nyingi duniani. Wanasema ni nchi ya pili afrika kwa kuwa na utajiri mkubwa wa asili. na tutakuwa juu kabisa kidunia kwa utajiri. Swali....kiongozi gani anaamini katika hilo na kulitetea bila woga? Uzalendo huo umeenda wapi? Wanasiasa walio wengi wamekuwa wabinafsi sana wanaangalia maslahi yao binafsi wanasahau maslahi ta taifa. wanasahau kuligeuza taifa hili kuwa matajiri kama ambavyo inavyostahili. Tanzania siyo masikini wa mali asilia bali fikra. Mungu wetu tusaidie Tanzania yako
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 2 жыл бұрын
Baba yangu huyo! Nampenda sana baba, na JPM....hawa ndio waasisi wapenzi wa watanzania, walitupenda kwa mioyo yao yote.
@HenryKanyika-pu8nd
@HenryKanyika-pu8nd Жыл бұрын
Nyerere kama Jpm
@ramadhanomary2547
@ramadhanomary2547 2 жыл бұрын
Mungu akulipe kwa mazur ulio tupigania kwenye nchiyetu heshima nyingi kwako mwalimu daima hatuta kusahau 🙏🙏🙏
@JacksonMhume-n8u
@JacksonMhume-n8u 28 күн бұрын
Daa mungu amlinde huko aliko naroo yake aipumzishe mahala pema pepon amen maana maono yake yataishi milele daima
@rabiusvm
@rabiusvm 9 күн бұрын
Hivi yuko wapi??
@reubenmgimba
@reubenmgimba 2 ай бұрын
Nimemkubali
@KAIZAJustasi
@KAIZAJustasi 6 ай бұрын
mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi amini
@GiftMwandi
@GiftMwandi 3 ай бұрын
Hiyo Ni Tanzania yazamani sio ya sasa ya sasa imejaa ukabila
@SylvesterMwakishombe-sy8vw
@SylvesterMwakishombe-sy8vw Ай бұрын
Nchi hii kwa sasa haina. Rais tena wanaokuja wapo kwa ajili ya familia. Zao na co kwa ajili ya nchi
@KWAFUJO
@KWAFUJO 3 ай бұрын
He inspires me all the time
@mmarycalvin6395
@mmarycalvin6395 Жыл бұрын
Mwl. Akirudi leo atashangaa sanaa
@benisango4553
@benisango4553 2 жыл бұрын
Mzee......upo.....sahihi.....kbs......lkn......leo.......ndoyanayo.......ishiiii.......hapa......tz.......watu.......Wana......kula......tuuuu......hakuna.......ranqi.......tumeacha.......kuona..........Asante........mwandishi........Mambo.......ya.......msinqi......kwelikweli.....ubrkw.....Sana..."""!
@EmanuelJoseph-s5q
@EmanuelJoseph-s5q 4 ай бұрын
This is how leadership is
@hilarymtweve7317
@hilarymtweve7317 2 жыл бұрын
Asante sana baba YETU mpendwa hakika baba wewe mtetezi wa wawanyonge
@shadrackhelemani346
@shadrackhelemani346 3 ай бұрын
Mungu awabariki na viongoz wetu
@JocelyneMary
@JocelyneMary 3 ай бұрын
Viongozi gani hawahawa waliopo au waliotangulia mbele ya haki?
@monicamwita7865
@monicamwita7865 3 ай бұрын
Wabarokiwae watendao kwa haki wanaofata msingi wa Baba wa Taifa. Tofsuti na hapo Mungu Baba Aseme nao .
@hakizadavid5794
@hakizadavid5794 25 күн бұрын
Huyu muze Mungu amuraze mahara pema naona Burundi tunashida hiyo kikabira na kidini tena hatutomboi
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 Жыл бұрын
this speech my roll mode
@emmamc9113
@emmamc9113 2 жыл бұрын
Asee kweli mwalim mungu akulinde utabaki kuwa baba wa taifa Bado tyupo msalimie mjomba JPM denger ist Africa
@ErnestMwita-k7s
@ErnestMwita-k7s 22 күн бұрын
Mh tunakumbuka sana baba wataifaletu
@FaustaJohn-bb2we
@FaustaJohn-bb2we 4 ай бұрын
Sawa sawa babu. Tukutane november. CCM daima.
@monicamwita7865
@monicamwita7865 3 ай бұрын
Kwa yanayoendelea sasa ? Sidhani kama yanayofanyika sasa yanaendana nsa Baba wa Taifa
@chitembedyao.p4846
@chitembedyao.p4846 5 ай бұрын
Hutuba inayotoka kichwani sio ya kuandikiwa na still hotuba inayoishi hata miaka milioni ijayo
@YaeLondon-xy7sh
@YaeLondon-xy7sh Жыл бұрын
Babu baraka za Mungu zilikuwa nawe na
@nicholausmosha5
@nicholausmosha5 2 жыл бұрын
Mungu akusamehe makosa Yako akupokee mbinguni.
@FrancisOdhiambo-AG
@FrancisOdhiambo-AG 3 ай бұрын
kweli BABA LA TANZANIA alikuwa mbunifu sana
@Mrp_manguluwe
@Mrp_manguluwe 26 күн бұрын
Rest in peace our dady
@Magreth-f2j
@Magreth-f2j 3 ай бұрын
Baba wa taifa uliwambia lkn hawakusikia yote wameyakanyagia chini hwasikii hata kidogo hotuba zitokzo kichwani kweli zitadumu milele acha hz za wapendwa wa sasa hv za kukopi na kupesti Mungu wetu endelea kuhifadhi hki kiumbe ili cku hyo tukutane nae uso kwa uso tumemkosa kwa mda mrefu.
@softman4559
@softman4559 3 ай бұрын
R.I.P BABA WA TAIFA TUNAKUKUMBUKA SANA ALWAYS WEARE WITH YOU HONGERA TEACHER
@marieconnect6389
@marieconnect6389 2 жыл бұрын
Baba yetu uliwahi kusema chama kitakachoweza kuitoa CCM madarakani lazima kitoke ndani ya CCM. Tunaamini ukweli huo. Mungu awape ujasiri watu waadilifu wajitoe ndani ya CCM waanzishe chama kipya kitakacholeta matumaini kwa watanzania. Hicho chama kitachukua nchi kirahisi sana. Watu hao wasafi wapo na wanajulikana kwa wananchi. Wajipe moyo wa ujasiri wajiongeze wataungwa mkono.
@mpalemwamakamba
@mpalemwamakamba Жыл бұрын
Mungu amlaze mahali pema peponi wanaharibu nchi yetu washindwe
@TeledhiaCrispin
@TeledhiaCrispin 5 ай бұрын
Kweli
@laurentikimbangala2970
@laurentikimbangala2970 2 жыл бұрын
Ni kweli , uhalisia rushwa ni adui ya haki.
@FESTOMASHANGA
@FESTOMASHANGA Ай бұрын
Safi alikua akionambalisana mwalimu
@zackmwitakitejakutokasimiy8238
@zackmwitakitejakutokasimiy8238 2 жыл бұрын
Nilikupenda sana
@AllyJumanne-j7c
@AllyJumanne-j7c Жыл бұрын
Hutubahii imetoa machozi uhakika Baba wa Taifa alikuwa chuma
@BangaraNicolauc
@BangaraNicolauc Жыл бұрын
Mwarimu nyerere umojauriotujengea vijana sasahakuna viwandaurivotujengea vijanasasa vimekufa umojawavijana sasa umekuwa umoja wawazetu
@Voiceofpeopleotz
@Voiceofpeopleotz 5 ай бұрын
Ccm waisikilize kwa makini hii hotuba.
@deuskisonga5819
@deuskisonga5819 2 жыл бұрын
Baba wa TAIFA ALIKUWA anaona mbali Sana. RIP
@eliudikapungu1931
@eliudikapungu1931 2 жыл бұрын
Kweli kabisa mungu atulinde
@MankoWeitala-pe7mi
@MankoWeitala-pe7mi 3 ай бұрын
Leo🎉
@UwezoMponda
@UwezoMponda 3 ай бұрын
Mmesikia
@MussaAmri-ps4oy
@MussaAmri-ps4oy 8 ай бұрын
Eee mungu ibaliki Tanzania ayangu nawatuwake
@Deusgaudens
@Deusgaudens 4 ай бұрын
Namkubal sana baba yetu wa tanzania ,,,,,,nyerere
@Deusgaudens
@Deusgaudens 4 ай бұрын
Nami kazi ulio fanya
@stanslausmaguluko8334
@stanslausmaguluko8334 5 ай бұрын
Mzee ana hotuba nzuri sana
@christopheyongesa6721
@christopheyongesa6721 Жыл бұрын
A great leader...
@evaomondi8218
@evaomondi8218 6 ай бұрын
Such a brilliant mind that went so soon! Before we harnessed all of it! Tunaomba Rais ambaye atakuja kupindua nchi ya Tanzania kwa falsafa ya Nyerere!
@marieconnect6389
@marieconnect6389 2 жыл бұрын
jamani watanzania tujiulize hivi tunasogea mbele au tunarudi nyuma? Hii hotuba ni mwanga na kipimo kizuri sana cha kujipima. RIP mwlimu wa enzi zote. Tunakukumbuka sana baba wa taifa letu
@DismasKimeli-d8s
@DismasKimeli-d8s 5 ай бұрын
Great speak
@RachelMdao
@RachelMdao 2 ай бұрын
Nyerere tumekumss😢
@naphtalleyakoyi1336
@naphtalleyakoyi1336 2 жыл бұрын
Wanasiasa wa Kenya yetu na wakasie hili ,ukabila kisiasa ndo inatumaliza
@FeliusiMsonda
@FeliusiMsonda 2 ай бұрын
❤😂mungu akurudishe
@giftsiwakwi4079
@giftsiwakwi4079 2 жыл бұрын
Unakumbukwa Baba wa Taiga, may your soul continue resting in peace
@BangaraNicolauc
@BangaraNicolauc Жыл бұрын
Tunakukumbuka babawataifa kwakutureavizuri vijana ambao reotumeterekezwa vijana
@jacobjohn6512
@jacobjohn6512 2 жыл бұрын
Viongozi wetu mjifunze kupitia hotuba za baba wa taifa
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 2 жыл бұрын
Nyerere na Aristotle wanatofautiana kwenye utumwa tu. Lakini, Hatuna wasomi wanaenzi mawazo ya Nyerere sawa na wanavyotunza ya Aristotle. Siku Nyerere akipewa heshima yake kama Mwanafalsafa, Tanzania itaongoza umoja wa afrika mashariki (political federation) na kisha ya afrika nzima.
@Samy-zain9
@Samy-zain9 6 ай бұрын
Kweli neema hairudii marapili😢😢
@juliusmollel5822
@juliusmollel5822 2 жыл бұрын
Mungu amlinde
@naomyshayo9261
@naomyshayo9261 2 жыл бұрын
Mungu akuuepushee namoto wajehanamu
@marieconnect6389
@marieconnect6389 2 жыл бұрын
Tatizo linaonekana hao hao wapiga kura wenyewe wengi wao ndio wala rushwa wakubwa sasa watamchagua vipi mtu atakayeenda kinyume nao? Hiyo itakuwa ngumu sana baba labda kama angekuwepo mwenyewe
@rabomunde3550
@rabomunde3550 5 ай бұрын
Nimemkumbuka baba wataifa" Pumzika kwa aman baba
@emmamateso7306
@emmamateso7306 2 жыл бұрын
Uyu nyelele alikua nimutu wapekee sasana
@fredrickotieno6694
@fredrickotieno6694 2 жыл бұрын
Rest easy legend of Africa
@stephenf.sikolia7588
@stephenf.sikolia7588 Жыл бұрын
Thank you for educating African continent. God help us.
@haggairaywer7002
@haggairaywer7002 Жыл бұрын
My Political hero.
@abednegomichael-c1n
@abednegomichael-c1n 4 ай бұрын
Wangapi tupo hapa Sept 2024
@gervasrobert7766
@gervasrobert7766 2 жыл бұрын
Bora urudi tu Baba inchi imeuzwa
Julius Nyerere speaks on Idi Amin and Uganda  (1979)
5:48
AfroMarxist
Рет қаралды 510 М.
TOP 10: KAULI ZA BABA WA TAIFA MWL. NYERERE ZILIZOTIKISA
24:03
Global TV Online
Рет қаралды 1,1 МЛН
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН
Сестра обхитрила!
00:17
Victoria Portfolio
Рет қаралды 958 М.
Julius Nyerere Interview (1996)
15:39
AfroMarxist
Рет қаралды 140 М.
PRESIDENT NYERERE IN BRITAIN  - COLOUR - SOUND
11:12
British Movietone
Рет қаралды 1,2 МЛН
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
Wasafi Media
Рет қаралды 1,8 МЛН
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 769 М.
Tundu Lissu: "Hakuna tena kuimbiana mambo ya maridhiano  yasiyokuwepo"
32:08
Faces Of Africa -  Mwalimu Julius Nyerere
28:34
CGTN Africa
Рет қаралды 986 М.
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН