Hotuba Ya Mwl Julius K Nyerere Mkutano Mkuu Wa CCM Dodoma Mwaka 1995
Пікірлер: 256
@Officialjidaa-sn9cs5 ай бұрын
Nimerudi kuangalia Tena BABA WA TAIFA HOTUBA ZAKE KUUU❤❤❤❤2024
@moshiphoneclinic6070 Жыл бұрын
Gonga like Kama unamkubali huyu mwamba
@samirshabani-yu4xu5 ай бұрын
Jigongee mwenyewe
@TheGreatone-r1q16 күн бұрын
Sana mkuu
@vickymlatie83133 ай бұрын
Baba wa taifa Mungu azidi kukukirimia mwema Yako hakuna wa kufanana nawe 🙏🙏🙏🙏 Amen
@musr93111 ай бұрын
I can't get enough of this GUY!
@sarfarazahmad54452 жыл бұрын
One of the most popular and the best speakers in Africa and the world. Miss you Mwalimu.
@anilabdallah746 Жыл бұрын
❤i
@godfreychitumbo5892 жыл бұрын
Daaaaaaaaah hakika baba wa taifa alikuwa ananena ya kwel tutayatafuta nje na sio ndan tutakukumbuka daima
@yusuphnyangaryaАй бұрын
mwalim j,k ulikuwa unaweza kazi ya uongozi mungu akulinde ulale maali pema peponi
@aminasaidi5010 Жыл бұрын
Dahh hotuba nmeixkia mwaka nazaliwa mm mbona haziachan najinsi dk jn pombe maguful alivokua anatuogoza mung aziweke roozao mahala pena pepon aamin
@tonnykasibante88232 жыл бұрын
A speech with content maana na mathumuni.Hayati Nyerere asante sana kwa kuwa kielelezo na mfano bora kwa wote katika bara letu ?Mwenyezi mungu akubariki
@hassanmzee18072 жыл бұрын
Huyu ni mtu
@WILLIAMDAUD-k8i19 күн бұрын
Sijawah kuchoka kuangalia hotuba za baba wa Taifa, Mungu akupe pumuziko jema😢
@Saidesaideinacio5 ай бұрын
Dah yaani kama kaongea Jana kama unakubaliana Nami ginga like hapo chini
@ChalesMatelu4 ай бұрын
Niambie nimekosea
@UwezoMponda3 ай бұрын
🎉❤@@ChalesMatelu
@UwezoMponda3 ай бұрын
@@ChalesMatelu ❤🎉
@MassaukoMatias10 күн бұрын
mwamba wetu huyo tuna kukumbuka daima
@estherbukoja62082 жыл бұрын
Asanter kwa kuturetea uhuru ktk taifa letu na sasa tunaishi kwa amani na tunakukumbuka sana ,mungu ailaze roho yako kwa AMANI mahari pema peponi AMINA
@FelixPascaryАй бұрын
Nyerere ni zawadi toka kwa Mungu Misingi aliyo iweka yeye na wazee wetu ndio faida ya muungano wetu sasa.
@danmutuginjoroge2 жыл бұрын
Greatest speech ever by former excellency
@peterlujuo16403 ай бұрын
Mwaka 2024 speech za mwalimu zinaishi milele ❤
@MWARUNGUKALIMBOMWANDOE Жыл бұрын
Mwalimu Julius kambarage Nyerere alikuwa ni kiongozi wa kweli na aliyekuwa na maono . Na alikuwa akili , hekima, busara, utu na kipawa kikubwa cha uongozi . Mungu azidi kumpa raha ya milele peponi. Hatuwezi kumsahau
@songaym.assiyecheka53227 жыл бұрын
Mungu wangu nisaidie kumuenzi Baba Wa Taiga Langu LA Tanzania!! Hayati MwL. Julius Kambarage Nyerere.
@gracemush68383 жыл бұрын
Mungu ampe makao ya milele baba yetu wa taifa hili la Tanzania wapo wawili 2 wote atukonao
@dicksonimfungomfungo66572 жыл бұрын
Hiindiyo ilikuaga mashine ya Tanzania , Mungu akubaliki akutie wepesi na laha ya milele
@fatmakitine7674 Жыл бұрын
Innallah Wainaillah Rajuun. Mwenyezi Mungu amrehem amsamehe makosa yake inshallah ampe pepo
@OmarJuma-og4kd9 ай бұрын
@fatmakitine7674 usihadalike na maneno ya kisiasa na kumuombea kafiri asamehewe na Allah nakushauri isome Qur an itakuzindua kiakili kwa Allah anasema kwenye surat Muhammad Aya ya 34..kwamba....wale ambayo wamekufuru na kuzuia watu kuelekea njia ya Allah Kisha akafa na ukafiri wake basi hatasamehewa na Allah ....Sasa Nyerere alikufa na ukafiri wake vp wewe unamuombea kwa Allah kuwa amsame na mtie peponi wakati pepo umewekwa ajili ya wachamungu sio makafiri ...
@hajihassan54338 ай бұрын
@@OmarJuma-og4kd Acha mtu aombe dua anavyojisikia Mungu mwenyewe ataamua hata Mtume wetu Muhammad alimuombea ami yake kwa sababu Dini ni kati ya mtu mwenyewe na Mungu, utajuwaje kafa na Dini gani.
@jumambazi71732 жыл бұрын
Hotuba za baba wa Taifa Mwalimu Julius Nuerere ni uhai wa Taifa letu na kwineko duniani.Zidumishwe Kama urithi wetu.
@abednegomichael-c1n4 ай бұрын
Napenda Sana kusikiliza hotuba za baba yetu wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Japo sikuwahi mwona maana nilikuwa sijazaliwa au nilikuwa mtoto nanyonya
@ismailabdallah78532 жыл бұрын
mwenyezi mungu hakufanyie wepesi mwalimu Baba wa taifa letu
@mrmuba73302 жыл бұрын
ndugu kwa muislam haifai kumuombea dua mtu aliekufa hali ya kua si muislam
@vincentcharles4385 Жыл бұрын
@@mrmuba7330ila kukuombea wewe shoga ni sahihi
@amazing_life6969 ай бұрын
Heeh! Kumbe uislam ndio uko hivyo. Basi hapo hakuna dini ni ushenzi tu.
@hajihassan54338 ай бұрын
@@amazing_life696 Dua umuombe ndugu yako, na hakuna undugu wa Muislam na asiyekuwa Muislam. Ni HARAM kumuombea pepo asiye Muislam.
@FeliusiMsonda2 ай бұрын
Kweli Mzee ❤ tulipenda sana mpaka leo tuna kukumbuka mungu atusaidie kutupatia kiongozi bora sii bora kiongozi hapana😂
@marieconnect63892 жыл бұрын
Hotuba iliyojaa utajiri wa kifikra na uzalendo wa ukweli👏👏 👍
@marieconnect63892 жыл бұрын
Mungu wetu ingilia kati kusaidia watanzani wako. Mungu ULITUWEKEA nchi hii UTAJIRI MKUBWA sana lakini mbona viongozi wetu hawana akili kubwa za kutosha kugeuza UTJIRI huo WA ASIKI uwe na manufaa kwa watanzania na hata afrika kwa ujumla? Hao Wanasiasa wetu hawaji na sera zenye mashiko ya manufaa kwa taifa hili. Tunawatafuta sana viongozi wenye mitizamo hiyo na tunajua wapo ila ni vigumu kupenya ngome ya CCM. Ee mungu tunaomba msaada wako utusaidie wana wako. Sisi siyo masikini wa mali bali akili.
@TedyMshi2 ай бұрын
Nimejaribu kufuatilia hotuba zake ni nzuri San ❤❤❤❤❤
@godfreyhhaysanday75302 жыл бұрын
Tunakukumbukeni watetezi wa nchi yetu bad tunawakumbuka😭😭😭
@daudmnanga7075 Жыл бұрын
Asante sana kwamuongozo
@mangumanjobola4444Ай бұрын
Daah sidhani kama tutampata mwamba mwingine Mungu aiweke roho yake mahali pema Peponi Amina
@samsonkaboko51372 жыл бұрын
Mt Nyerere ulikuwa ni baba kweli na Kila aliyepita kwenye nyayo zako alifanikiwa Kwa haraka zaidi, pumzika kwa amani, msalimie JPM
@KAIZAJustasi6 ай бұрын
nikweli
@khalfanmustafa66152 жыл бұрын
Nyerere ulikiona hichi kitu Kuna Nyerere mwingine alitokea ila amekufuata huko mungu awaweke mahara pema!!
@AbdulMichael-g4o Жыл бұрын
Yule msukuma alikuwa mwenda wazimu
@Zuwenamachela3 ай бұрын
Unaweza kufananisha Magufuli mnyonyaji na huyu Mzee magu alikuwa fisad
@monicamwita78653 ай бұрын
Huwezi kumlinganisha. Huyu wa pekee zaidi
@marieconnect63892 жыл бұрын
Tanzania ya wanasiasa wa leo inakumbuka hayo maneno kweli? Au ndio yanaigilia sikio hili yanatokea sikio la pili. Mungu wetu uko wapi? Usituache wenyewe hatuwezi
@morrisAntony-j2t Жыл бұрын
Mungu ailaze loho ya baba yetu mahali pema pema peponi na apumzike kwaamani
@JakcsonShija-h1f3 ай бұрын
Amina mwl na Baba wa taifa letu ulikua na maono mema ya nchi yetu Tanzania Mungu ailaze mahali pema peponi pumzika salama
@AlphonceFrancisKagoshi-n2v2 ай бұрын
wewe ni mtu mwema sana baba.
@lambosalum6299 Жыл бұрын
The real father of Tanzania and Africa by general
@marieconnect63892 жыл бұрын
umesema kweli baba ni kweli nchi hii haipaswi kuwa ya MATAJIRI. Ni nchi ya watu masikini lakini ni nchi yenye utajiri kuliko nchi nyingi duniani. Wanasema ni nchi ya pili afrika kwa kuwa na utajiri mkubwa wa asili. na tutakuwa juu kabisa kidunia kwa utajiri. Swali....kiongozi gani anaamini katika hilo na kulitetea bila woga? Uzalendo huo umeenda wapi? Wanasiasa walio wengi wamekuwa wabinafsi sana wanaangalia maslahi yao binafsi wanasahau maslahi ta taifa. wanasahau kuligeuza taifa hili kuwa matajiri kama ambavyo inavyostahili. Tanzania siyo masikini wa mali asilia bali fikra. Mungu wetu tusaidie Tanzania yako
@richardboaz-mashagospel23462 жыл бұрын
Baba yangu huyo! Nampenda sana baba, na JPM....hawa ndio waasisi wapenzi wa watanzania, walitupenda kwa mioyo yao yote.
@HenryKanyika-pu8nd Жыл бұрын
Nyerere kama Jpm
@ramadhanomary25472 жыл бұрын
Mungu akulipe kwa mazur ulio tupigania kwenye nchiyetu heshima nyingi kwako mwalimu daima hatuta kusahau 🙏🙏🙏
@JacksonMhume-n8u28 күн бұрын
Daa mungu amlinde huko aliko naroo yake aipumzishe mahala pema pepon amen maana maono yake yataishi milele daima
@rabiusvm9 күн бұрын
Hivi yuko wapi??
@reubenmgimba2 ай бұрын
Nimemkubali
@KAIZAJustasi6 ай бұрын
mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi amini
@GiftMwandi3 ай бұрын
Hiyo Ni Tanzania yazamani sio ya sasa ya sasa imejaa ukabila
@SylvesterMwakishombe-sy8vwАй бұрын
Nchi hii kwa sasa haina. Rais tena wanaokuja wapo kwa ajili ya familia. Zao na co kwa ajili ya nchi
Asante sana baba YETU mpendwa hakika baba wewe mtetezi wa wawanyonge
@shadrackhelemani3463 ай бұрын
Mungu awabariki na viongoz wetu
@JocelyneMary3 ай бұрын
Viongozi gani hawahawa waliopo au waliotangulia mbele ya haki?
@monicamwita78653 ай бұрын
Wabarokiwae watendao kwa haki wanaofata msingi wa Baba wa Taifa. Tofsuti na hapo Mungu Baba Aseme nao .
@hakizadavid579425 күн бұрын
Huyu muze Mungu amuraze mahara pema naona Burundi tunashida hiyo kikabira na kidini tena hatutomboi
@yusufuheri6524 Жыл бұрын
this speech my roll mode
@emmamc91132 жыл бұрын
Asee kweli mwalim mungu akulinde utabaki kuwa baba wa taifa Bado tyupo msalimie mjomba JPM denger ist Africa
@ErnestMwita-k7s22 күн бұрын
Mh tunakumbuka sana baba wataifaletu
@FaustaJohn-bb2we4 ай бұрын
Sawa sawa babu. Tukutane november. CCM daima.
@monicamwita78653 ай бұрын
Kwa yanayoendelea sasa ? Sidhani kama yanayofanyika sasa yanaendana nsa Baba wa Taifa
@chitembedyao.p48465 ай бұрын
Hutuba inayotoka kichwani sio ya kuandikiwa na still hotuba inayoishi hata miaka milioni ijayo
@YaeLondon-xy7sh Жыл бұрын
Babu baraka za Mungu zilikuwa nawe na
@nicholausmosha52 жыл бұрын
Mungu akusamehe makosa Yako akupokee mbinguni.
@FrancisOdhiambo-AG3 ай бұрын
kweli BABA LA TANZANIA alikuwa mbunifu sana
@Mrp_manguluwe26 күн бұрын
Rest in peace our dady
@Magreth-f2j3 ай бұрын
Baba wa taifa uliwambia lkn hawakusikia yote wameyakanyagia chini hwasikii hata kidogo hotuba zitokzo kichwani kweli zitadumu milele acha hz za wapendwa wa sasa hv za kukopi na kupesti Mungu wetu endelea kuhifadhi hki kiumbe ili cku hyo tukutane nae uso kwa uso tumemkosa kwa mda mrefu.
@softman45593 ай бұрын
R.I.P BABA WA TAIFA TUNAKUKUMBUKA SANA ALWAYS WEARE WITH YOU HONGERA TEACHER
@marieconnect63892 жыл бұрын
Baba yetu uliwahi kusema chama kitakachoweza kuitoa CCM madarakani lazima kitoke ndani ya CCM. Tunaamini ukweli huo. Mungu awape ujasiri watu waadilifu wajitoe ndani ya CCM waanzishe chama kipya kitakacholeta matumaini kwa watanzania. Hicho chama kitachukua nchi kirahisi sana. Watu hao wasafi wapo na wanajulikana kwa wananchi. Wajipe moyo wa ujasiri wajiongeze wataungwa mkono.
@mpalemwamakamba Жыл бұрын
Mungu amlaze mahali pema peponi wanaharibu nchi yetu washindwe
@TeledhiaCrispin5 ай бұрын
Kweli
@laurentikimbangala29702 жыл бұрын
Ni kweli , uhalisia rushwa ni adui ya haki.
@FESTOMASHANGAАй бұрын
Safi alikua akionambalisana mwalimu
@zackmwitakitejakutokasimiy82382 жыл бұрын
Nilikupenda sana
@AllyJumanne-j7c Жыл бұрын
Hutubahii imetoa machozi uhakika Baba wa Taifa alikuwa chuma
@BangaraNicolauc Жыл бұрын
Mwarimu nyerere umojauriotujengea vijana sasahakuna viwandaurivotujengea vijanasasa vimekufa umojawavijana sasa umekuwa umoja wawazetu
@Voiceofpeopleotz5 ай бұрын
Ccm waisikilize kwa makini hii hotuba.
@deuskisonga58192 жыл бұрын
Baba wa TAIFA ALIKUWA anaona mbali Sana. RIP
@eliudikapungu19312 жыл бұрын
Kweli kabisa mungu atulinde
@MankoWeitala-pe7mi3 ай бұрын
Leo🎉
@UwezoMponda3 ай бұрын
Mmesikia
@MussaAmri-ps4oy8 ай бұрын
Eee mungu ibaliki Tanzania ayangu nawatuwake
@Deusgaudens4 ай бұрын
Namkubal sana baba yetu wa tanzania ,,,,,,nyerere
@Deusgaudens4 ай бұрын
Nami kazi ulio fanya
@stanslausmaguluko83345 ай бұрын
Mzee ana hotuba nzuri sana
@christopheyongesa6721 Жыл бұрын
A great leader...
@evaomondi82186 ай бұрын
Such a brilliant mind that went so soon! Before we harnessed all of it! Tunaomba Rais ambaye atakuja kupindua nchi ya Tanzania kwa falsafa ya Nyerere!
@marieconnect63892 жыл бұрын
jamani watanzania tujiulize hivi tunasogea mbele au tunarudi nyuma? Hii hotuba ni mwanga na kipimo kizuri sana cha kujipima. RIP mwlimu wa enzi zote. Tunakukumbuka sana baba wa taifa letu
@DismasKimeli-d8s5 ай бұрын
Great speak
@RachelMdao2 ай бұрын
Nyerere tumekumss😢
@naphtalleyakoyi13362 жыл бұрын
Wanasiasa wa Kenya yetu na wakasie hili ,ukabila kisiasa ndo inatumaliza
@FeliusiMsonda2 ай бұрын
❤😂mungu akurudishe
@giftsiwakwi40792 жыл бұрын
Unakumbukwa Baba wa Taiga, may your soul continue resting in peace
@BangaraNicolauc Жыл бұрын
Tunakukumbuka babawataifa kwakutureavizuri vijana ambao reotumeterekezwa vijana
@jacobjohn65122 жыл бұрын
Viongozi wetu mjifunze kupitia hotuba za baba wa taifa
@Mapenzi26352 жыл бұрын
Nyerere na Aristotle wanatofautiana kwenye utumwa tu. Lakini, Hatuna wasomi wanaenzi mawazo ya Nyerere sawa na wanavyotunza ya Aristotle. Siku Nyerere akipewa heshima yake kama Mwanafalsafa, Tanzania itaongoza umoja wa afrika mashariki (political federation) na kisha ya afrika nzima.
@Samy-zain96 ай бұрын
Kweli neema hairudii marapili😢😢
@juliusmollel58222 жыл бұрын
Mungu amlinde
@naomyshayo92612 жыл бұрын
Mungu akuuepushee namoto wajehanamu
@marieconnect63892 жыл бұрын
Tatizo linaonekana hao hao wapiga kura wenyewe wengi wao ndio wala rushwa wakubwa sasa watamchagua vipi mtu atakayeenda kinyume nao? Hiyo itakuwa ngumu sana baba labda kama angekuwepo mwenyewe
@rabomunde35505 ай бұрын
Nimemkumbuka baba wataifa" Pumzika kwa aman baba
@emmamateso73062 жыл бұрын
Uyu nyelele alikua nimutu wapekee sasana
@fredrickotieno66942 жыл бұрын
Rest easy legend of Africa
@stephenf.sikolia7588 Жыл бұрын
Thank you for educating African continent. God help us.