Moja ya revolutionalized mind katika hii nchi ni akili ya Wakili Boniphace A Mwabukusi. He is real. Kuhusu hii kufichwa kwa Tanganyika na watanganyika kufumbia macho milki na rasilimali zake zitumike kihuni na wahuni..
@user-lu8ny2gu7t6 ай бұрын
Ubarikiwe asante mzalendo wa kweli
@sportsnewjs43302 ай бұрын
Tanganyika nilazima isimamiwe na Watanganyika wenyewe, Zanzibar isimamiwe na Wazanzibar wenyewe, na muungano pawe na baraza maalumu kutoka pande zote mbili kwaajili ya kusimamia muungano ulio sawa kwa Tanzania 🇹🇿
@abedymtore27076 ай бұрын
Mwabukus you're next level big up sana broh
@thomaskiponda60796 ай бұрын
MWAMBA HUYU HAPA HAJAWAHI KUNIANGUSHA❤❤❤❤❤❤❤❤
@froma37326 ай бұрын
Haya ungeyasema Zamani kama Kuna Tanganyika na Zanzibar Ungetusaidia Sana sisi Wazinzibar
@hajihassan54336 ай бұрын
Wazanzibar tunataka Tanganyika iwe kama sisi na sisi tupewe nafasi waliyonayo Watanganyika kwenye Muungano wetu.
@gabapentin80706 ай бұрын
Tusaidieni kuongea kwakwl hali ni ngum na mbaya uku mtaani🙌🏾
@Zanijasy-hy7vm5 ай бұрын
Mwabukusi Nyerere II WA Tanganyika
@kulwasalum35976 ай бұрын
Kwa upande wa Bunge , ni kama hakuna maana ni watu wa kushukuru tu hawana maswali magumu....!! Ni kushangilia tu.....!!!
@margarethpolepole74385 ай бұрын
Sema usiogope sema mwambukusi hapo lazima wakuchukie tu kiko kikundi cha watu wanakitafuna nchi huwezi kupendwa Mwambukusi
@user-kq7in8gd9o6 ай бұрын
You have a very special talent which is never imputeable, keep on to ours.
@godsson59546 ай бұрын
GENIUS INTERVIEW
@user-ye3xp1lf7i5 ай бұрын
Nakukubarisana.mwabukusi.huwaunaongeaukwerikabisa
@FrankMushi-cs5js6 ай бұрын
Nakukubali sa kaka uko vizuriii
@shukurukwake74476 ай бұрын
Mwabukusi Anafaa Kua Kiongozi wa Wananchi🎉🎉
@mtangag7746 ай бұрын
Jambo tv ndo medie pekee naieleewaga
@user-zj4ii6uf7t6 ай бұрын
Tuwashukru sn wtz ni wa pole sn,zingekuwa km nchi za wenzetu hawo waliouvamia msafara wa wananchi wasingetoka salama? wananchi wanamachungu viongozi wasiyo wajibika ktk utendaji kazi yeye anakuja kujipitisha karibu?wote wasingetoka salama?kwanza hiyo barabara Kila siku si ilikuwepo na wanaitumia siku zote?lkn wananchi kuiyomba barabara siku moja waitumia?ni shida,Sasa wananchi tunawambia,nchi siyo yawo ni ya sisi wananchi barabara siyo yawo ni ya sisi wananchi lazima wafike sehemu viongozi wetu watuheshimu sisi wananchi wawo🙏🙏🙏
@margarethpolepole74385 ай бұрын
Hapo umesema ukweli inatakiwa kuwe na Serikali 3 kama Katiba y Warioba ilivyoandikwa jamani kila mtu akae kwao
@rebekakulwa61596 ай бұрын
Bibi tozo tupatie tume huru tunataka kujitawala vinginevyo mungu ataamua tumelia vya kutosha
@atupegemwakahesya6 ай бұрын
Safi kabisa uncle Mwabukusi.
@dianamakatu92985 ай бұрын
Kinacho nichoshaga wabunge wetu kutusariti.Wabunge niwawakilishi kwa niaba yetu .afu wanajifanya serikali na kutuumiza .
@japhethcharles57916 ай бұрын
Akili kubwa sana hiyo ,kongole sana mwabu
@user-lt1bi5nr1x6 ай бұрын
Inshu sio utanganyika na uzanzibari. Inshu ni wezi wengi ni watanganyika sisi
@lazaromshamu35216 ай бұрын
Ndio wanajificha kwenye kivuli cha huo muungano sasa
@gowekogoweko58036 ай бұрын
WELL SAID MR MWABUKUSI
@thestonetown33026 ай бұрын
Mtangazaji anajua kuhoji mpaka anakera ❤❤❤apewe maua yake 🌻🌻🌻
@faustinecelestine38826 ай бұрын
Kwani kiongozi ni Mungu,huyu jamaaa vipi,yan watu waelfu wampishe mtu mmoja ni Yesu kristo huyo,em lets get serious kidogo
@user-rc1dp6ux3k5 ай бұрын
Miaka yote wanyonge wanaambiwa funga mikanda mbona viongozi wao hawafungi mikanda wao
@gowekogoweko58036 ай бұрын
AKILI KUBWA 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
@yussuph-lx7cu6 ай бұрын
ZAMBIA SUKARI NI SH 1500 NA INAPITIA BANDARI YA DAR ES SALAAM ,LAKINI TANZANIA SUKARI NI SH 5000 ,,,HAKIKA TANZANIA NI NCHI YA OVYO KABISA
Wakati wa magufuli mafuta yaliuzwa 1500 umeme haukatiki ilikuwaje?
@patsonanyitike95846 ай бұрын
Mbunge hatuna wate19 mpiina hoyoeeeeeeee
@user-rc1dp6ux3k5 ай бұрын
Waandishi chawa
@barakamanga55026 ай бұрын
Duuuh mwambukisi anajua kukamia mechi balaaa na mwanahabari nae haishiwi swali
@msatibongonyuzi146 ай бұрын
Mawazo mazuri likini ukweli utekelezaji hauwezekaniki mkuu tuwaache tu
@gowekogoweko58036 ай бұрын
TUNATAKA MAJAWABU.....PERIOD!!!
@user-lt1bi5nr1x6 ай бұрын
Lakini isije ikawa kwa sababu ni waisilamu.
@wilfredngulwa50866 ай бұрын
Mm muislamu ndungu zangu wakiristo
@lazaromshamu35216 ай бұрын
Kwani mkapa ni muislam
@IsayaSosolo-nx8zk11 күн бұрын
Udini wako na dini yako inatuhusu Nini?
@DonMooSTUDIO_Express6 ай бұрын
TABIA YA NCHI 😂😂😂 huyu mwandishi itakuwa haishi Tz maswali hayana kichwa wala miguu kama vile katumwa
@sylvestersamwel82106 ай бұрын
Muandishi amekutani na mtu mwenye hasira na masilahi ya Watanzania na mwenye upeo mkumbwa kumzidi.
@DonMooSTUDIO_Express6 ай бұрын
@@sylvestersamwel8210 huyu ndio dawa yake. Hawa waandishi wa JAMBO Tv nimewafatilia sana wakiwa wanawahoji CHADEMA au Upinzani wanajifanya kubana sana maswali kuonesha wapinzani wanachokifanya sio sawa
@user-kq7in8gd9o6 ай бұрын
Big up My beloved brother Mwabukusi
@KelvinMtavangu-ow8yo6 ай бұрын
Happy ni ukweli mtupu. Managed yake; Muungano haukuona mbali kwamba Tanganyika iwepo na Zanzibar iwepo.Hizi ni nchi mobility. Kwanini Tanganyika ifeee na Zanzibar iwepo? Hayo ni makes a dhahiri ya Waasisi Wetu. Hakim ya Watanganyika Imesahaulikaje?
@edwinlupembe95286 ай бұрын
Anayehoji ni kama ametoka kwenye dunia nyingine.
@richardnganya23116 ай бұрын
Inawezekana hakai Tz ni kama amekurupuka na maswali ya kitoto kabisa. Mhojaji afaa kuzabwa kofi azinduke.
@julius_wankyo6 ай бұрын
Mwandishi hata kama anafahamu huwa anahoji Kwa faida ya mtazamaji ambaye hafahamu. Mfano. Ukiwa unamuhoji rafiki yako . Utamuuliza jina lake ingawa unamfahamu vizuri. Ni Kwa faida ya wengine tu.
@bilid41286 ай бұрын
Sio kwamba ukisema Tanganyika na kule Hamna Zanzibar tena bali inakuwa Unguja na Pemba ?
@amiribakari25286 ай бұрын
Mawazo adim sana..wewe ni kichwaaa
@user-lt1bi5nr1x6 ай бұрын
Safi ssna mkuu
@user-ty1gg2jf1l6 ай бұрын
Kweli chadema inawatu vichwa.
@user-gy5gu1mn4x6 ай бұрын
✌️✌️✌️
@patrinraura13976 ай бұрын
Tunapenda sana kumsikiliza huyu Mhe.Mwabukuzi kama Mtanzania" anayoyasema kuhusu Mali za Tanganyika kusimamiwa kuwa ni Mali ya Muungano lakini mali za Zanzibar kusimamiwa na Wazanzibar wenyewe (Rejea Ushauri wa Mhe.Warioba,Fransis Nyalali)hapo VIONGOZI Watawala mtusaidie Kwanini Mali za Bara zisisimamiwe na Tanzania Bara au Tanganyika badala yake zimeachwa Holela bila usimamizi.madhubuti kama Zanzibar? Tusaidieni.Sisi ni Sauti ya Watanzania lakini ni Wanachama wa Vyama mbalimbali vya Siasa.
@yussuph-lx7cu6 ай бұрын
WATANZANIA TULIOWENGI NI HAYO UNAYOYASEMA MWABUKUSI TUNAYOYATAKA SISI WANANCHI WA TANZANIA ,,,,,,,,MA CCM HAYATAKI UCHAGUZI HURU NA WA HAKI
@KayongoOba-ht2rf6 ай бұрын
Anko Uko vzr
@nizwaoman83786 ай бұрын
Yani da kaka mwabukusi unaongea point
@user-lt1bi5nr1x6 ай бұрын
Safari hii mtsnganyika akagombee zanzibar
@user-br9ld8km8h6 ай бұрын
Mwabukusi jembe sana
@JohnValle-xn1dx6 ай бұрын
Biteko alitumia kiburi hafai kuitwa waziri mkuu
@user-vn4xo6vl5c5 ай бұрын
Mwamba uyu apa
@jeunajuatv8176 ай бұрын
Watanzania mtaelew tuu 😅😅
@nakalikyumile32346 ай бұрын
Mwandishi ni "kipeto"
@user-hm8xy6ei7f6 ай бұрын
yani hii kichwa nihatari kichwa imejaa madini
@mosesmnyantope95346 ай бұрын
Du
@fredgonga6 ай бұрын
Halafu Bado kuna mjinga mmoja atabisha kwa sababu analipwa na kodi zetu..
@jesaminzo6 ай бұрын
Wanachojali ccm ni kuangalia kama matumbo (utumbo) mpana umejaa!