Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:- Facebook : / gospeltvshow Instagram : / chomozanews KZbin : www.youtube.com... #ChomozaTv#2021
Пікірлер: 71
@edgeranacret54552 жыл бұрын
Thank you Dr.Elie,Baba yetu aliye mbinguni akubariki na uangaze vema duniani,Thank you we love you
@denniskapella.33452 жыл бұрын
Nimeanza kuyaona maisha tofauti toka nianze kumsikiliza dokta eli!
@Laizer37 ай бұрын
Watu wanafagilia picha za uchi lakini mafundisho kama haya hawazioni😢
@felixlamar91962 жыл бұрын
Kwani akuna uwezekano Dr awe mshauri wa president? Tunawatu wangapi kama Dr Elie?. Sijuwi nimpate njia gani nimshukuru ata kwakazawadi kangu kadogo
@maryamtan6822 жыл бұрын
Kama uko mbali tft namba yk ya cm, km uko jirani nenda crauds utapewa njia ya kumpata.
@anesiusbyarugaba95752 жыл бұрын
imeongea kwewli
@eliasisack23102 жыл бұрын
Neno bahati dr lipo kwenye bible mhubiri 9:11
@rugaziabaisi6199 Жыл бұрын
Chukua manëno chanya
@rugaziabaisi6199 Жыл бұрын
Chukua manëno chanya
@jehoshaphatmollah94242 жыл бұрын
Kaka ellie watu kama wewe ni adimu sana so uwepo wako ni lulu sana katika jamii na maana jumla ya maisha.
@macklugatta60332 жыл бұрын
Asante sana kwa Somo zuri....hili nitawatumia familia yangu na marafiki zangu nao wajifunze na nina ahidi kulifuatilia mpaka mwisho Mungu awabariki chomoza na Dr Elly
@rehemaelibariki92222 жыл бұрын
Asante sana Doctor Mungu akubariki mno
@hearlychunga5452 жыл бұрын
Sheeeeesshh !!! Munga tehnan borned again
@mjroyaltz83222 жыл бұрын
Hatunaga cha kusema zaid ya kuwashukulu tram chomoza na Dr Elie mwenyez mungu awabariki xanaaa🙏🙏🙏
@ngolobulugu95253 ай бұрын
😭😭 glory to God❤
@r14kgroup682 жыл бұрын
Dr waminian hongera
@BarakaWaya2 жыл бұрын
Chaguo "Nguvu ya kuamua" These are spiritual revelations woooow
@christinen82912 жыл бұрын
Baba Dr Elie barikiwa sana. Ungefafanua zaidi .kama itawezekana next week uendeleye na somo hili ya uchaguzi
@timothmwakakusyu45632 жыл бұрын
nakuombea sana mzee wangu, nataka nikuzidi hili ndo chaguo langu
@marrykundya56292 жыл бұрын
Thanx so much brothers,Dr Elie Mungu akutunze tuonane next Sunday kujifunza zaid
@princeeliyamhina2 жыл бұрын
HUYU MTU NIKIMTAFAKARI SIMMALIZI. SIJUI IFANYIKE NINI HUYU MTU TUHAKIKISHE KILA ALICHONACHO ANAKIWEKEZA KWA KIZAZI KIPYA. MADINI NI MENGI MNO
@hearlychunga5452 жыл бұрын
I want this clip 🙌🙌
@nyategregory78522 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwa ajili yenu timu chomoza.dr eli nashukuru sana
@aristidessaristarck34942 жыл бұрын
Asantee sana doctor.. Soko la leo hata uncle Jimmy hajakumbuka muda
@lovenessdiva33702 жыл бұрын
Do you see 😂🤣 kachoka Jimmy
@user-up1sc3kw8r9 ай бұрын
Nashukuru sana nimetoka sehemu kwenda sehemu
@rogathemaimu11952 жыл бұрын
wow!!,(ety bahat mbaya)
@tumainistanley6372 жыл бұрын
I love you🤝
@vivianamani23102 жыл бұрын
This is more than powerful. Love it😘👍 God bless you for this great teaching 🙏
@kamorikamoris77652 жыл бұрын
Vitu vigumu katika urahisi wake. Ahsante kwa utangulizi mzito
@ruthn93812 жыл бұрын
Asanteni sana kwa somo hili. Limenifungua macho. God bless you.
@hellenwillium65682 жыл бұрын
Ahsante sana babà
@bestshine62732 жыл бұрын
🙏
@henrymushi83402 жыл бұрын
Mungu awabariki wote Amen.
@humphreypeter56412 жыл бұрын
Kabla hujaongea kuwa na uhakika neno bahati lipo mhubiri 9:11 wakati na bahati huwapata wote
@stargloria71062 жыл бұрын
Hivi ni mimi nakua mzito kuelewa au nahitaji muda kurudia na kutafakari🤦♀️dr anaongea kiswahili tena chepesi ila kigumu kuelewa🙌
@aristidessaristarck34942 жыл бұрын
Hujachagua kuelewa
@jonasedson50242 жыл бұрын
@@aristidessaristarck3494 ,😅😅et hajachagua duh
@user-ej2yw3zn5i3 ай бұрын
Pole ndugu unatakiwa uwe makin kumsikiliza utaelewa
@christiansylvester69012 жыл бұрын
Help me from Dr Ellie,, psychologically, why do people crying when saying goodbye to their friends?
@zachariajonas24072 жыл бұрын
Dr Eliya nakutafuta unifundishe neno la Mungu....nakupateje?
@shegashega24212 жыл бұрын
MUNGU akutunze Baba
@bestshine62732 жыл бұрын
Wewe ni Zaidi ya Mwalimu Kwangu na Ninaangalia Kipindi hichi bila Kukosa , Na ninaandika
@aminakupila30792 жыл бұрын
Asante sana Doctor 👨⚕️ Ellie na Chomoza ☝️🙏
@safimusa10112 жыл бұрын
Amina team chomoza mbalikiwe
@McKajuna2 жыл бұрын
Hivi Dr. Elie ana vipindi anafundisha vya Psychology, Philosophy au Theology?
@steveshark22172 жыл бұрын
Thanks Dr Ellie, God bless you Dr!
@jeniphermbakile82742 жыл бұрын
Thank you for the englightements
@bestshine62732 жыл бұрын
HIGH IQ
@shukrangejeje3312 жыл бұрын
My the Almighty God bless you Dr! I Love You!
@anesiusbyarugaba95752 жыл бұрын
naitwa anesius nabarikiwa sana na masomo yako
@anithamuvurwaneza16212 жыл бұрын
Mtumishi asante kutuelewesha labisa barikiwa
@rajetjohn75172 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu na atunze akili yako
@geoffreyluvanda78012 жыл бұрын
Genius Man
@kevinmtei14572 жыл бұрын
One day I will be like you.May God give u long life..
@the_white_43.2 жыл бұрын
Ahsante... Mungu atuongezee maarifa...
@stephenmgaya98362 жыл бұрын
Deep staffs indeed..
@charlzzesonconsciousness66852 жыл бұрын
Blessed
@jasperjackson88712 жыл бұрын
I'm proud of you pastor Elie🙏🙏🙏
@michaelmmbaga43502 жыл бұрын
be bleased dr
@liberatuceboniphace40042 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mwalimu.
@officialsaitoti4922 жыл бұрын
God bless you Dr
@tinahngole54562 жыл бұрын
God bless u
@meshackallyson74182 жыл бұрын
Mungu awabariki kwa kazi njema 👏
@leytcastle94022 жыл бұрын
nachagua kusikiliza tena😂😂😂
@marthanakhungu83702 жыл бұрын
Amen.
@josephstanslaus822 жыл бұрын
kipindi kizuri, tukipata marejeo itakuwa vema zaidi(references)