No video

Chalamila atoa ya moyoni sakata la kufungia wasanii, amtaja Ney wa mitego ningekuwa waziri ningefeli

  Рет қаралды 30,310

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Пікірлер: 39
@TheKaswahili
@TheKaswahili 2 ай бұрын
Hongera sana Mh. RC Charamila, umeongea jambo la msingi kakini pia umetoa life skills kwa waalikwa wako naamini wameondoka kitu walivyoingia wamefanikiwa kujifunza toka kwako hakika ni tarajio la kesha katika jukwaa la uongozi, Mungu akuzidishie zaidi ya hapo.
@esrommakono9213
@esrommakono9213 2 ай бұрын
Yupo vizuri huyu mzee Chalamila katika hili
@Antelius-ew6it
@Antelius-ew6it 2 ай бұрын
Sema huyu jamaa namkubali anaweza sana siasa
@emmanuelmatiko7307
@emmanuelmatiko7307 2 ай бұрын
Huyu Mzee anaakili kubwa Sana his mind is very smart
@yudanziku6030
@yudanziku6030 2 ай бұрын
Mkuu wetu mkoa umeongea vyema sana kwakweli
@nicolauswandao8988
@nicolauswandao8988 2 ай бұрын
Perfectly
@Timoclement
@Timoclement 2 ай бұрын
Kabisa Kuna Kila sababu ya kutress back kabla hujamhukumu
@user-zh5kn2my4w
@user-zh5kn2my4w 2 ай бұрын
Umeongea point kubwa saana Comrade
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 2 ай бұрын
Mpeni chuo afundishe 😂😂😂yupo vizuri sana
@TishaniUlanga-bj3nx
@TishaniUlanga-bj3nx 2 ай бұрын
Hahaha😂huyu kabla ya uteuz ali 13:00 13:00 kuwa lecture.
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 2 ай бұрын
Subiri uchaguzi uishe
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 2 ай бұрын
Upo vizuri jembe letu
@user-fl1xz3ln3c
@user-fl1xz3ln3c 2 ай бұрын
Ney ni mwanaume kabisa hatakagi ujinga muacheni msemaji wa wananchi
@MakalaSimulizi
@MakalaSimulizi 2 ай бұрын
Good say
@danielsighis9953
@danielsighis9953 2 ай бұрын
Leo umetoa lecture kabisa!! We unafaa kufundisha chuooo!!
@yudanziku6030
@yudanziku6030 2 ай бұрын
Kwakweli leo nimemwelewa sana
@aloycesamba998
@aloycesamba998 2 ай бұрын
Pokea 🥀🥀 yao mapema, m aana Leo umenifurahisha sana leo
@frolencejovenary667
@frolencejovenary667 2 ай бұрын
Ameshafundisha chuo Kule Mbeya kabla ya kuja kuwa Kwenye siasa
@narymwamba7723
@narymwamba7723 2 ай бұрын
Alikua mwalimu wa secondary baadae lecture chuo
@DrMbonea
@DrMbonea 2 ай бұрын
Alikua lecture pia
@yothamgwanika9530
@yothamgwanika9530 2 ай бұрын
By the way amekua lecture miaka ya nyuma ukifundisha mambo ya lugha Mwenge catholic university Moshi
@crintonhamis2550
@crintonhamis2550 2 ай бұрын
Sawa mkuu
@danielndilili7525
@danielndilili7525 2 ай бұрын
dah hapo kwenye makuuz umenigusa leo umeongea kitu fulan hivi kimenikaa nikweli kila mtu anapenda kitu kulingana na alikotoka yani malez yake nalez hiyo nimeelewa kiongoz kuna mwingine unaweza weka mzik wa ijili akaona si sawa kuna mwingine hipap akaona si sawa kumbe niile amekuaje
@mwaamwetahussain9947
@mwaamwetahussain9947 2 ай бұрын
Kwer Ney anaishia Tz kama mkimbizi Kwa ajili ya kusema kwer😢
@BarakaMagere-nw6le
@BarakaMagere-nw6le 2 ай бұрын
Kiukweli sio sawa kufungia Kazi ya msanii kama kakosea aitwe awekwe sawa lakini mm naamini mziki wa ney hua ni somo kubwa sana kwa nchi yetu sjui mamlaka inatumia Sheria ipi kufungia Kazi ya msanii nimemkumbuka jpm wakati ney alipokamatwa Moro jpm alisema aachiwe haraka sana
@kisoso890
@kisoso890 2 ай бұрын
Ngoa uchaguzi uishe 😂😂😂
@jafarieliyakim6
@jafarieliyakim6 2 ай бұрын
Nimemuona kimaro😂😂😂
@mataypanga5262
@mataypanga5262 2 ай бұрын
Porojo tu,kuwe na shule za michezo na sanaa
@healingsschool4630
@healingsschool4630 2 ай бұрын
Sawa mweshimiwa swala la makuzi hata Yesu alisema kimtotokacho mtu ndio najisi sio kimwingiacho, mtu hutoa kilicho moyoni hata maneno. Pia hakuna miziki ya Injili kuna maneno ya injili.Injili unaweza kuimba hipap,bongo fleva, singeli, rege, bolingo, rumba nk.
@richkaja3317
@richkaja3317 2 ай бұрын
Kama kweli mnampende mpeni cheooo tuoneee
@isaackambofi1241
@isaackambofi1241 2 ай бұрын
Shule za michezo muhimu
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 2 ай бұрын
Ni sawa na leo Roma aichane serikali uhoji ni kwanini, wakati inajulukana akina ...... Walivyo mkamata na kumtesa.
@RamondLema-po6py
@RamondLema-po6py 2 ай бұрын
NENO
@abedymtore2707
@abedymtore2707 2 ай бұрын
Sas ayo makofi yanin sas kaongea fact gan apo
@philemonsnyanda9450
@philemonsnyanda9450 2 ай бұрын
Uchaguzi umekaribia tutasikia mengi
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 2 ай бұрын
Katika hili la Ney umeongea kwa hekima.
@albertbunyinyiga7581
@albertbunyinyiga7581 2 ай бұрын
Akuna Albert mjinga
@malitomalito
@malitomalito 2 ай бұрын
Ata wanasayansi wapo wenye majina hayo
@user-fl1xz3ln3c
@user-fl1xz3ln3c 2 ай бұрын
Ney ni mwanaume kabisa hatakagi ujinga muacheni msemaji wa wananchi
ROLLING DOWN
00:20
Natan por Aí
Рет қаралды 11 МЛН
娜美这是在浪费食物 #路飞#海贼王
00:20
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 3,9 МЛН
How I Did The SELF BENDING Spoon 😱🥄 #shorts
00:19
Wian
Рет қаралды 37 МЛН
Magic? 😨
00:14
Andrey Grechka
Рет қаралды 20 МЛН
NCHI YA AHADI KALA JEREMIAH ft ROMA (official video)
4:47
OfficialKalajeremiah
Рет қаралды 3,1 МЛН
Nay wa Mitego: 'Watu tu hawakujua, 2015 hii iliniumiza sana'
15:28
ROLLING DOWN
00:20
Natan por Aí
Рет қаралды 11 МЛН