No video

KIJANA ALIYEAMBIWA ATAONDOKA NA MKUU WA MKOA ASIMAMA BILA UOGA NA KUTOA HOJA KWA CHALAMILA"

  Рет қаралды 122,322

JAMBO TV

JAMBO TV

Күн бұрын

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZbin: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 512
@Daudifm5800
@Daudifm5800 Ай бұрын
UYU KIJANA NDIO ANGEKUWA MKUU WA MKOA ,KWA SABABU ANA HEKIMA NA BUSARA TUNAOKUBALI GONGA LIKE❤❤
@GilbertObed
@GilbertObed Ай бұрын
Yupo vzr sana Hyu kaka
@juniorkamafa3391
@juniorkamafa3391 Ай бұрын
Huyu ndo Diamond
@gts5007
@gts5007 24 күн бұрын
Hatuitwi wabongo burebure...kweli BONGO ipo...akili.
@HajiMasmenti
@HajiMasmenti 9 күн бұрын
​@@juniorkamafa3391hapana uyo ndo zuchu
@neamusic2601
@neamusic2601 7 күн бұрын
Kabisaa
@msafirihaule9921
@msafirihaule9921 Ай бұрын
Tunahitaji kuwa na vijana wenye jeuri ya kujenga hoja, mithili ya huyu. Kudos...
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 Ай бұрын
Siyo jeuri ni muelewa
@Mpakauseme
@Mpakauseme Ай бұрын
Si jeuri huyo bali anajiamini, ujeuri maanayake ni ujinga ? mkemevu wa vitisho
@user-fx1er4rq3f
@user-fx1er4rq3f Ай бұрын
Tatizo haujui biashara chalamila alichokise Yule bwana ndio biashara sio ww huo ni ubabe
@AgnesEphraim-jw6dv
@AgnesEphraim-jw6dv Ай бұрын
​Chalamia anajua kujibu jeuri tu lakini kakutana na kamanda mzoefu nayejua kuzungumza uyo kasoma lakini Tanzania yetu aina ajira kaamua ajiajiri mwenyewe
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 Ай бұрын
Waliharibu ule utaratibu JPM
@mkambamaulid447
@mkambamaulid447 Ай бұрын
One love Brother ulicho nifurahisha mpaka kikao kimekwisha sija sikia majibu yako Hiyo nondo umepiga kwenye kipanda uso Kaka ww ni Machinga number one💪🏽🙏🏼😜
@mwangosikennedy9643
@mwangosikennedy9643 Ай бұрын
Dah jamaa kaongea kijasiri sana japo Chalamila anamuuliza kwa hali ya utisho, safi sana kamanada umewakilisha jamaa
@thabitdaudi9815
@thabitdaudi9815 Ай бұрын
Lipumbavu hilo sijui lina jambo gan na rais hadi kulipa nafas kama hio kama ni uproffesor wapo wengi sana wenye PHD + hekima. Na uongozi sio elimu. Ni hekima chunguza makonda anavyoongoza kwa akil na busara. Sio hii takakata hapa. Especially kwa mkoa mkubwa kama dar
@BabaFarzan-ml4er
@BabaFarzan-ml4er Ай бұрын
Si ndio zao Kenge hao Mawazo yao ni WTZ wa Nyerere bado wapo This GenZ
@domymerinyo8165
@domymerinyo8165 Ай бұрын
Huyo kijana ni tajiri wa kesho anajitambua sana
@khalidiiddilema9163
@khalidiiddilema9163 20 күн бұрын
Apewe mkuu wa mkoa😂😂😂
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr Ай бұрын
Huyu kijana ni zaidi ya mkuu wa mkoa. Hongera kwa hoja zenye mashiko na ujazo wakutosha🎉
@emazjassam2452
@emazjassam2452 Ай бұрын
Jamaa ni smart sana
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u Ай бұрын
BRAVO KIJANA....UMEZUNGUMZA KWA WELEDI NA HESHIMA KUBWA....MH. MKUU WA MKOA UNATAKIWA UTAFAKARI SANA MANENO YA HAWA WAJASIRIAMALI....MH. RAIS SAMIA PELEKENI HIZO KARAKANA NJE KIDOGO YA KATIKATI YA JIJI....KWA MFANO NJIA YA KBAHA....NJIA YA KILWA....NJIA YA BAGAMOYO!
@nelsonngemera9832
@nelsonngemera9832 Ай бұрын
Mungu ambariki huyu mfanyabiashara kaongea vizuri sana..
@mossessimon2493
@mossessimon2493 Ай бұрын
Kijana yupo very composed and calm kwa kweli.. smart guy!
@Topcentclassic
@Topcentclassic Ай бұрын
nikimsikiliza jamaa ni kama fred vunjabei kwa sauti hata mpangilio wa maongezi yake .....safi sanaaa
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g Ай бұрын
Hongera sana kijana umeongea kwa busara. Kiukweli mkuu wa mkoa chalamila umekosea sana kuwatusi Wanabchi
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 Ай бұрын
ccm siku zote miaka 60 ni kandamizi mafala hawa
@emanuelnisetas7510
@emanuelnisetas7510 Ай бұрын
Hawa nasikia vibaya sana
@raphaelnambombi3709
@raphaelnambombi3709 Ай бұрын
Huyu kijana anaakili sana kusimama mbele ya watu wengi hivi tena mbele ya uongozi wa mkoa na kwenye mgogoro na kuweza kuongea pointi zilizonyooka siyo kazi ndogo
@AmanNdalu-m7q
@AmanNdalu-m7q Ай бұрын
Kuna muda viongozi huwa wanaongea kama maisha ya chini ni Jadi yetu but Mungu awape maisha marefu
@johnmaganga44
@johnmaganga44 Ай бұрын
Jama yupo vizuri kwenye kujenga hoja na ana hekima kwa sabubu ana taarifa za kutosha kuhusu eneo husika na anaonekana amesoma na pia Anajua kujielezea na ameongea kwa Tone Nzuri Sana Big up sana Bro👊👊👊👊👊
@user-ph8ln3vd6n
@user-ph8ln3vd6n Ай бұрын
Hongera ssaana kijana ,umeongea kimantiki sana, tathimin ifanyike kila mmoja apate stahiki zake za kufanya biashara na serikali ipate kodi yake
@josephfrank4446
@josephfrank4446 Ай бұрын
Huyu mwamba ameongea kitu kikubwa sana big up
@EliaoniTerry
@EliaoniTerry Ай бұрын
Huyu kijana kama ukimtizama na kusoma body language unaona aliumia sana kwa jeuri na vitisho vya mkuu wa mkoa, lakini mungu akamuwezesha kushusha hasira yake na kutoa maelezo ya kimantiki, kama serikali haitajifunza kuanzia mipango yake kwa kushirikisha watu wa ngazi za chini itakuwa inazusha tafrani isiyo na msingi na pengine kuhatarisha amani. Sikia maelezo ya kijana yalivyoonyoka. Serikali iache kutumia mabavu kila mara. Inaonekana eneo hilo viongozi wake na wengi wa wanao fanyia biashara hapo wameelimika vizuri sana anzia mwenye kiti wao.
@geofreychitamu366
@geofreychitamu366 Ай бұрын
Huyu kijana ndiye alipaswa kuwa mkuu wa mkoa na mkuu wa mkoa kwa jinsi alivyojaa jazba alipaswa kuwa huyu kijana.ila walio madarakani hujisahau kwa kuwa wanajivunia mamlaka,polisi,tss nk.
@gasperymisungwi960
@gasperymisungwi960 Ай бұрын
Kijana kavaa busara ya kiwango cha juu sana, hata hivyo IQ yake ipo juu pia, utulivu ni kitu cha msingi sana. Viongozi wengi hawapend kuwa challenged wakiamini kwamba wao tu ndio wanauwezo, busara na hekima nyingi! The opposite is true
@KarumeKindamba-lk1px
@KarumeKindamba-lk1px Ай бұрын
Ongela kijana maelezoyako yametulia na umeonyesha wamachinga ni jamii inayoweza kutoa Kodi.
@leokamil6284
@leokamil6284 Ай бұрын
Kweli Mkuu wa Mkoa anapayuka kama kachanganyikiwa, sidhani kama mtoto wake anaweza kuongea nae kwa style hiyo.
@leokamil6284
@leokamil6284 Ай бұрын
​@@gasperymisungwi960Mtu yeyote Mpumbavu huwa hapendi kuambiwa ukweli
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz Ай бұрын
Kijana hongera sana.kwa pamoja tujenge Tanzania yetu kwa uzalendo mkuu.
@SarapiaMfoi
@SarapiaMfoi Ай бұрын
Hongera sana kijana wangu una ujasiri uliopitiliza sikuamini kama ungeweza kuongea point kwa ujasir hivyo ubarikiwe sana mond
@boazikibuyu7457
@boazikibuyu7457 Ай бұрын
Chalamila afai kua kiongozi wa wananchi labda kiongozi wajeshi Tena wakati wa vita 😂😮😮😮
@user-ek6on1rh9x
@user-ek6on1rh9x 25 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@JohnJohn-gm7yb
@JohnJohn-gm7yb 5 күн бұрын
Hahahaha Asubiri kipindi cha machafuko vita
@yapukahassan
@yapukahassan Ай бұрын
Huyu chalamila hata akipewa ualimu wa shule ya msingi anaweza ua watoto wetu kwani anahasira sana hvyo hafai kabsa kuongoza hata kuku
@mwarabukabandama3797
@mwarabukabandama3797 24 күн бұрын
😅😅
@rizikiwaadee8790
@rizikiwaadee8790 21 күн бұрын
Nj mwalimu wa chuo kikuu
@DaheerK
@DaheerK 8 күн бұрын
😂😂😂
@leokamil6284
@leokamil6284 Ай бұрын
Kijana anautulivu wa akili kuliko Mkuu wa Mkoa 😅
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 Ай бұрын
Mkuu was mkoa no comedy😂
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de Ай бұрын
Mku wa mkoa huyu angepelekwa Arusha😂 Makonda wetu mpole arud Dar😂😂😂
@DennisFandi
@DennisFandi Ай бұрын
Kabisa huyu mkuu mi namwonaga chenga anategemea vitisho
@eliathomas8446
@eliathomas8446 Ай бұрын
​@@PaulinaSemindu-ob3de Arusha hatutaki vichaa coz tayar Arusha enyew Ina vichaa ni wengi...makonda wetu is the best...bakini na lichalamila lenu hatulitaki huku😂😂😂😂
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de Ай бұрын
@@eliathomas8446 khaa 😂😂
@user-zg4yz7je8d
@user-zg4yz7je8d Ай бұрын
Uyu siyo mkuu wa mkoa hafai kuwa kiongozi unawakalipia kama watoto tumia hekima
@JumaAbdallah-gn5qu
@JumaAbdallah-gn5qu Ай бұрын
Mpe cheo huyu kijana Anakitu kichwani ila kukio😢na ni Fulsaa mpe kitengo 👍👍
@festokemibala5832
@festokemibala5832 Ай бұрын
Hawa ndo staili ya Madiwani tuanaowataka wenye maono na ushauri yakinifu na adili
@celinapeter9474
@celinapeter9474 Ай бұрын
Sanaaaaa mama angemuona tuuuu
@ednaJF1028
@ednaJF1028 Ай бұрын
Kweli
@user-xb6mb1by5l
@user-xb6mb1by5l Ай бұрын
Chalamila mkuu wa mkoa wa hovyo kutoa
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 Ай бұрын
Kijana kaongea busara mno.
@stevensoso7506
@stevensoso7506 Ай бұрын
Vijana wangesikilizwa Tanzania ingesonga kijana kaongea pointi tena kwa hekima tatua changamoto nchi yetu wote tuijenge kwa amani
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 5 күн бұрын
ONGERA SANA IDDI .M. RAMADHANI KWA UJASILI NA KUONGEA VITU VYA MSINGI NA VYA MAANA KWA HEKIMA NA WELEDI MZURI👏👏👏🏆💯👑, MUNGU HATA WABARIKI NA KUTATUA CHANGAMOTO ZENU🙏
@sylvestercharles3585
@sylvestercharles3585 Ай бұрын
Kiukweli Chalamila kuna namna hajui namna ya kuongea na hadhira kama Kiongozi.
@KattKangu
@KattKangu Ай бұрын
Mkoa waarusha tumebarikiwa poul makonda weuweeeee❤
@rabsonmichael9720
@rabsonmichael9720 Ай бұрын
Hii ndio wanaita madaraka ya kulevya,ni kiongozi wavitisho vitisho kila siku.
@mbachoclassic7818
@mbachoclassic7818 Ай бұрын
Excellent hapo mkuu umenyooka! Nimekuelewa sana
@peterpain5594
@peterpain5594 Ай бұрын
Duuuuuh ww utakuwa nduguyake
@user-kw3bq4mb2l
@user-kw3bq4mb2l Ай бұрын
😄
@liutapro
@liutapro Ай бұрын
Huyu mkuu sio moja kwa moja anamaneno flani ya kibabe pia anadharau wananchi sana kiufupi Hata akiomba kura kuwa kiongozi wa nchi aisee yangu hapati..
@user-my5nb9jn2d
@user-my5nb9jn2d Ай бұрын
Charamila alitaka kumtoa kwenye reli mwanzoni, Jamaa kameza mate kakaza shingo hajateteleka.. Good Job, Chalamila ikabidi akae kimya kijana akawa Anang'ata na kupuliza 😅Ilimradi Dawa Ingie Tanzania Tukiwa na vijana kama hawa 10000 tu.. Tanzania itaamka Hatutaki Machawa.😅😅
@user-yq1qy5mx4y
@user-yq1qy5mx4y Ай бұрын
Kweli kijana taifa la kesho 💪💪💪
@catherinemoses8775
@catherinemoses8775 21 күн бұрын
Kudos!!!
@josephatmushi1140
@josephatmushi1140 13 күн бұрын
Excellent 👍👍👍👍
@LumolaSteven
@LumolaSteven Ай бұрын
Dah! Inahitaji kuvumilia sana kumsikiliza CHA-LAMI-LA
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 Ай бұрын
Mkuu wa mkoa anatufokea mwambieni atulie tumdikilize kijana aongee😂😂
@RamadhaniKitala-gx6wc
@RamadhaniKitala-gx6wc Күн бұрын
Yaan kaka ameongea pont sana maashallah kuliko huyo mkuu wa mkoa anafoka tu hafai hata kifuga kuku
@neamusic2601
@neamusic2601 7 күн бұрын
Huyu kijana ana busara na sina shaka malezi yake mungu ambariki sana inshaallah.
@KihozaAthuman
@KihozaAthuman Ай бұрын
Umetisha kijana
@mcgabby
@mcgabby Ай бұрын
He sound like Fred Vunja bei😅
@farajaMezza-qn4be
@farajaMezza-qn4be 24 күн бұрын
Very true
@Topcentclassic
@Topcentclassic Ай бұрын
kila muda nayarudia maneno ya huyo jamaa ...yaani hachoshi kusikilizwa .......dah mwamba apewe maua yake
@AbrahBuraheze
@AbrahBuraheze Ай бұрын
hi ni nzuri inatufanya tusijisahau na hivi ndivyo tutakuwa kiuchumi sis wafanya biashara wadogo tunajisahau snaaaaaaaana
@shukranitv2971
@shukranitv2971 19 күн бұрын
Safi sna kijana
@JumaRamadhani-q6e
@JumaRamadhani-q6e Ай бұрын
Jamaa ameongea pwent sana na kwa hisia kali sana! 😂🎉🎉
@mustaphajuma2292
@mustaphajuma2292 Ай бұрын
Sijaelewa alicho ongea naona ni pointless hanasifa za uongozi kwa ni hio kalakana nilazima ikae hapo mbona kibaha maeneo yapo mengi...hii NI TANZANIA ila huenda hii nchi ni ya Watu flani flani Sisi wengine tunaonekana ni wakimbizi. yani machinga astaaf baada ya miaka miwili!!!!
@petermwijage9882
@petermwijage9882 Ай бұрын
very standard speech ,yani jamaa kaweka hoja kwa hoja hadi ukimya ukatawala.big up
@JudicaMboye
@JudicaMboye 11 күн бұрын
Kamanda kijana yupo safi tena ar chuga maneno kidogo kazi kwa wingi
@Gamba177
@Gamba177 Ай бұрын
Serikali hamna plani ikiwa ni hivyo ya miaka 3 hapo umechemsha hamjui mnachofanya.
@Damian-tt8fv
@Damian-tt8fv Ай бұрын
Hongera kijana mwenzetu kutuwakilisha vzr
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 28 күн бұрын
Hongera sana mwanangu. Una hekima sana kijana.
@shebbyelphonce8514
@shebbyelphonce8514 Ай бұрын
Kijana mwenzangu kwel unajua kujieleza mi mwenyewe nimekuelewa ase yan uko vizur sanaaaaa
@japhethcharles5791
@japhethcharles5791 Ай бұрын
Hongera kijana ,Mungu akulinde.
@ChristerKoku
@ChristerKoku Ай бұрын
Kijana yupo vizuri,nikumsikiliza,anaijua ramani na mazingira ya biashara.
@majaliwasanga1741
@majaliwasanga1741 Ай бұрын
Suala la machinga KUPEWA miaka halafu anapisha wengine,iwe Kwa viongozi na watumishi wote serekali kuwa ukikaa Ofisin miaka mitatu wapishe wengine nao waajiliwe ili kupungua uhaba wa ajira Nchini
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 Ай бұрын
Wazo zuri sana umetoa. Tatizo bingwa hujibu kulingana na matazamo wake na anapitisha bila hata kusema kusema watafanyia kazi wataalamu kutatua kero hizo.
@othmanjumaa2480
@othmanjumaa2480 Ай бұрын
Amesahau Kama rizki anatoa M/ mungu.....Asimalize maneno ajue kwamba utafutaji ni mgumu Sana,mtu umpangie miaka ya utafutaji kweli!!? Amakweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa.
@jeffhard5773
@jeffhard5773 Ай бұрын
Mkinga unaona mbali sana
@emmanuelShayo-dk6vf
@emmanuelShayo-dk6vf Ай бұрын
Safi sana hakuna kumwogopa binadamu kwan yy ni mungu .na kwani ww ni mwalifu tunatakiwa tuwe na uhuru na confidence ya kujiekeza ukisha kuwa na hivyo vitu kuburuzwa ni uongo
@ramadhanimrungu5806
@ramadhanimrungu5806 Ай бұрын
Dogo hongera sana
@akilihabibu5326
@akilihabibu5326 Ай бұрын
Kijana ❤ unaweza sana na unaakili sana uwezo ulionao ni zaidi ya ---
@user-cx1xz2is5d
@user-cx1xz2is5d Ай бұрын
Hongera msomi
@simeonmazigo5918
@simeonmazigo5918 Ай бұрын
Hakuna mtu ambae hapendi kupanda kiuchumi machinga wengi mitaji cyo yao bht mby Hawa Viongoz wanaishi Kwa mishara huwa hawajui maumifu ya kukua kiuchumi 😢😢😢😢
@waltergodwin2529
@waltergodwin2529 Ай бұрын
Smart dude.✊️
@MajutoElliasi
@MajutoElliasi Ай бұрын
Uyu kijana agekuwa mkuu wa mkoa mambo yagekuwa safi❤❤
@gililwise
@gililwise Ай бұрын
UnA hekima sana kijana kuliko huyo mkuu wa mkoa Mungu azidi kukuinua.
@JacksonNgilu
@JacksonNgilu 29 күн бұрын
Vizur
@user-ch8it5jr8m
@user-ch8it5jr8m Ай бұрын
Safi upo vizuri kaka sana
@khadijathani9064
@khadijathani9064 12 күн бұрын
Ivi chalamila umewahi kufikiria ety miaka mitatu mfumo ukutene ebu wekeni sheria na uongozi ni miaka mitatu tu ila hiii selikal 🙌
@hajimsisi3095
@hajimsisi3095 Ай бұрын
Smart mind
@yahomeshopllc5950
@yahomeshopllc5950 28 күн бұрын
AMBIENI RAÏS SAMIA AMLETE CHALAMILA CONGO DRC KWENYE MAPAMBANO GOMA,ACHE KUSUMBUWA WA BONGO.
@Topcentclassic
@Topcentclassic Ай бұрын
huyo mkuu wa wilaya asiejitambua anafanya nn hapo pembeni ....anaulizwaga maswali anatujibu kama nchi ya babaake
@hassanKaku-to7kd
@hassanKaku-to7kd Ай бұрын
Brilliant
@hawahussein137
@hawahussein137 Ай бұрын
Hongera kaka umeongea vizuri sana
@noahchepe8036
@noahchepe8036 Ай бұрын
😂😂ndio maana Mbeya ilimshinda huyu.. mgomo wa watu wa bajaji na dala dala tuu akaja kujibu shit za hivi hivi
@kurumwagodfrey7052
@kurumwagodfrey7052 Ай бұрын
Very smart
@FeisalDoctor-wr8ws
@FeisalDoctor-wr8ws Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉Big up
@AmiriIssa-np4hn
@AmiriIssa-np4hn Ай бұрын
Nice
@officialgrace1844
@officialgrace1844 22 күн бұрын
Ndo mana Paul makonda alimchukua Yuko vizuri kijanaaa
@lukehaprimary2574
@lukehaprimary2574 Ай бұрын
Duuuu niatali sana
@hansmedia9767
@hansmedia9767 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂Et Miaka 2 unaondoka Khaaaa....!!! Badili ya kuwaza Watu walipe Kodi Unaweza kutoa Na kuingiza wapya
@KulwaMkomba
@KulwaMkomba 10 күн бұрын
Dah! Ni udhuni sana yule aliepewa nafasi ya kuwa kiongozi kumbe alipaswa kuwa mfuasi
@DiwaniMwafongo
@DiwaniMwafongo Күн бұрын
Sheria hiyo pelekea mamako.... Nani aweza kibadilika kibiashara within two years?? Huyu mla utumbo wa mbwa kavimbiwa!!
@mwaibolaiman2763
@mwaibolaiman2763 19 күн бұрын
👍👍👍
@dalaliipilinga4246
@dalaliipilinga4246 Ай бұрын
vunja bei jnr🎉🎉
@johnhery-wh4lq
@johnhery-wh4lq Ай бұрын
Huyu kijana ameongea vizuri sana kuliko kiongozi wake.....tena ameongea kwa hekima za hali ya juu kuliko huyoooooo
@rogersiddy
@rogersiddy Ай бұрын
Tatizo la sisi watanzania hatujielewi leo tunaumizwa kesho tunawapa kula wanarudi tena kutuumiza huu ujinga ndo unaotumaliza tuamue kuwakataa wote kwa pamoja tusiwape kula kbs tuwape kula wapinzani wakizingua na wao tunawapa nafasi wengine
@abumuhammad9615
@abumuhammad9615 Ай бұрын
Kwa kauli za kina NAPE ni ngumu kuiondoa ccm katika box za kura
@ednaJF1028
@ednaJF1028 Ай бұрын
Umesema kweli
@elenzianjk5543
@elenzianjk5543 Ай бұрын
He is humble and yet smarter than the Haracee!😅
@user-ek6on1rh9x
@user-ek6on1rh9x 25 күн бұрын
Bia hujawaizasahau mnyalukoli 🎉 hatari mno but kama vijana weneed to open our mouth
@ManyotaManyota-t8k
@ManyotaManyota-t8k 27 күн бұрын
Hii ndio changamoto ya serikali yetu ya Tz haiwafikilii wananchi wala kufikili jambo kabla ya kulitenda
@nwntz
@nwntz 24 күн бұрын
X uliemkataa hyu kijana umekataa madini mwenyewe😂😂
@Bilioneabichwa331
@Bilioneabichwa331 Ай бұрын
Miaka mitatu una graduate, Kafie mbele du!
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 Ай бұрын
Imeponza midomo yetu kujitanganza miaka ya kuwepo kwenye eneo, ohh Niko hapa toka Elfu mbili na mbili ohh Nina miaka nane hapa, tujifunze kuacha kuropoka Siri zetu mbele ya viongozi
@WizdomShehemba
@WizdomShehemba Ай бұрын
Umebonga vzr sana asee...
@colletatesha5265
@colletatesha5265 Ай бұрын
Well spoken kijana wakipatkana mia kama huyu kijana we chala watakungoa apo ulipo you are a disgrace to our presdent and Tz
@jimmyhabarugira4232
@jimmyhabarugira4232 Ай бұрын
Huy jamaa hastaili kuwa hata mjumbe wa nyumba 10
@melejijohnson3257
@melejijohnson3257 Ай бұрын
Huyu ni Kiongozi kweli bure kabisa
@sifawayesu7079
@sifawayesu7079 23 күн бұрын
Viongozi wetu jamani Na sisi ni watu msituone kama NYANI TUUUU
@bibibomba9799
@bibibomba9799 24 күн бұрын
Chalamila wewehufai kuwa kiongozi kabisa una majibu ya kijeurijeuri sana hufai hufai hufai
@cisselamerverille5286
@cisselamerverille5286 Ай бұрын
Ukweli unauma ...ila huo ndio ukweli anaosema muheshimiwa ....leo hivi kesho vile sera zinabadilika ..ingawa inatuumiza ila huo ndio ukweli 😢😢😢....
@haidarykufakunoga8869
@haidarykufakunoga8869 Ай бұрын
Mhehe ni MHEHE TU. NAMI NI MHEHE 🙏🙏🙏🙏 Huyu Mwachalamila ni NOUMAH😂😂
@MaluguZegu
@MaluguZegu Ай бұрын
Ila mungu si wako pekee
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md Ай бұрын
Kijana mungu akuzidishie hekima umewakilisha kilio cha wengi nimeamini hekima haikai kwa wakuu au kwa wataalamu pekee hata kwa maskini kuna hekima
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎
00:13
Senza Limiti
Рет қаралды 22 МЛН
ISSEI & yellow girl 💛
00:33
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 25 МЛН
白天使选错惹黑天使生气。#天使 #小丑女
00:31
天使夫妇
Рет қаралды 15 МЛН
Joho DAZZLES CROWD in Homabay, AFFIRMS support for Ruto come 2027
18:09
Azimio TV(Official)
Рет қаралды 39 М.
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎
00:13
Senza Limiti
Рет қаралды 22 МЛН