Рет қаралды 5,007
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema kuwa Serikali haifanyi kazi kwa mashinikizo wakati akiongea na Wafanyabiashara wa Kariakoo ambao wengi wao hawajafungua Maduka leo Juni 24, 2024, ikiwa ni utekelezaji wa Mgomo wao wakidai kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Serikali kwa ujumla.
Mgomo huo ulitangazwa kupitia vipeperushi kilichosambazwa kwenye Mitandao ya Kijamii tangu Jumamosi Juni 22, 2024
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.