Nimebarikiwa sana na ushughuda huu wa mkuu wa mkoa mm nitamchagua mama kwa sababu hii
@PhilipoMwita-b2x25 минут бұрын
Ndege walukao huruka pamoja ccm na mwamposa ni sarafu
@joshuanyamaiswe432722 минут бұрын
Siku mkija jua hawa manabii wanawapeleka kuzimu mtatamani muwale nyama. mtakuwa mmechelewa
@SIMONI-n9nСағат бұрын
niwakumbushe ndugu zangu ya kwamba nchii hii haiwezi kwenda popote kama hatutabadili hayo mambo matatu 3.....ni lazima atokee rais mwenye maamuzi kama magufuli....nawaahidin siku mungu na watanzania watanipa kibali cha kuwa president wa nchii hii nitafanya mqmbo mengi sana ....ndugu zangu tanzania tunaumizwa sana tanzania tunaibiwa sana....na wanaotuibia ni hawahawa viongozi tunaowapa kibali
@FrankNzombo-k3j2 сағат бұрын
Siyo misingi ya mungu ila ya unabii mwawaji kwa kutumia mafuta
@humphreymkony89152 сағат бұрын
Who’s mwamposa before God by the way!
@SIMONI-n9n2 сағат бұрын
makanisa ni miongoni mwa jumba muhimu sana katika nchi hii lakin yamekuwa yanatumika vibaya yamekuwa ndio sehem ya siasa na bado yamekuwa yakifundisha mambo yasiyokuwa na maana ..........siku nikiwa rais wa nchi hii miongoni mwa mambo ambayo lazima nitayafanya 1..nitabadili mitaala ya elim 2....nitaweka sheria kali juu ya uzembe na ufisadi na rushwa kwa watumishi na viongozi wa serikal ikiwemo sheria ya kunyonga mafisadi na wasaliti wa nchi. 3.....nitaweka vigezo maalum vya makanisa ili watu wakajifunze mambo ya kweli sio ujinga. na kama watapinga hivyo vigezo basi nitafuta makanisa na misikiti na tutarud kuqbudu tukiwa nyumbani na kufanya kazi tu