No video

COY MZUNGU: ANAUJUA HUU MCHEZO / LAZIMA UTACHEKA TU.

  Рет қаралды 114,829

Cheka tu

Cheka tu

4 жыл бұрын

Пікірлер: 109
@noelyrajabu105
@noelyrajabu105 4 жыл бұрын
Huwa nakwelewa sana coy mzungu natamani pia nawe uwe unasimama hapo jukwaani wangapi wanatamani coy awe mmoja kati ya wanopanda jukwaani like zihusike kwa Coy👆
@georgefongo3825
@georgefongo3825 4 жыл бұрын
Dah! Nakukubal sana kaka coy umeonyesha kwamba ata sisi tz tunaweza. Mungu akubariki sana. Ila naomba kujua umeandaa nin juu yakuwasaidia chipukizi au unawaza kufanya nin juu ya kutafuta vipaj vilivyojificha.
@bernadethabusuguru6721
@bernadethabusuguru6721 4 жыл бұрын
Cheka tu the best show in Tz Jol master,Deo,Madevu ❤❤
@fainnamvungi4364
@fainnamvungi4364 4 жыл бұрын
kabisa
@japhetscharles3903
@japhetscharles3903 4 жыл бұрын
May our Almighty God rest your soul in an eternal life boss Martha
@eskinnanyaro8690
@eskinnanyaro8690 4 жыл бұрын
Martha R.I.P
@sterlingmemes8966
@sterlingmemes8966 4 жыл бұрын
Wangapi wamemuona martha
@MKCley
@MKCley 4 жыл бұрын
Upo vizuri kaka 😂😂 Tatizo ukasema twende life Africa zaidi lakini unatumia kiimgereza kingi kuliko kiswahili 👊🏾
@rahmasadick9171
@rahmasadick9171 4 жыл бұрын
Mc madevu.... Cjamuonaaa🤔, max ze great, deo, coy 😘 👏👏👏👏
@victormatalanza
@victormatalanza 4 жыл бұрын
Rest in peace Martha. Cheka tu big up. My best comedy family
@naimamunishi1241
@naimamunishi1241 4 жыл бұрын
Jamn Deogratius mboya...my best comedian 😘
@zuhuraabiki1103
@zuhuraabiki1103 4 жыл бұрын
Coy ni hot yaan me huwa na enjoy na comedy zako 🤣🤣🤣🤣
@emmanueledward8824
@emmanueledward8824 2 жыл бұрын
coy mzungu mi ni mwafrika na naipenda lugha yangu kiinglish king saaana wewe
@SKILLS360TV
@SKILLS360TV 4 жыл бұрын
Huwa naipenda sana Cheka tu Ok Pitia hapa KUONA UBUNIFU WA MAPAMBO YA NDANI MAPAMBO YA KUTENGENEZA KWA MIKONO bonyeza kapicha kushoto
@jennifernduka720
@jennifernduka720 4 жыл бұрын
😃😃😃😃😃 Max The Great upendo wa kweli tutaupata mbinguni ❤❤
@victoriaarasen3492
@victoriaarasen3492 4 жыл бұрын
I love this show So much 😘 Jaman
@ukhtysadabakari360
@ukhtysadabakari360 4 жыл бұрын
HUHUHUUUUUUUU Piga kelele kwa Coy Akeeeee 😂😂😂😂😂
@masoudrashidmohammed4124
@masoudrashidmohammed4124 2 жыл бұрын
Brother coy mzungu nakukubali sana kiongozi wng
@Brayban
@Brayban 4 жыл бұрын
Nimeenjoy like never before, siku mkianza kuwa na akili sitawataka tena
@shaban6644
@shaban6644 4 жыл бұрын
You doing best broh., 🙏
@catherinejames9510
@catherinejames9510 4 жыл бұрын
Kama ulikuwa unamkubali Boss Martha na kumtakia kheri apumzike kwa Aman
@kasemiroelias4883
@kasemiroelias4883 4 жыл бұрын
Jaman love u
@joycenyakiha8121
@joycenyakiha8121 4 жыл бұрын
Nampenda jol master
@baloziubalozini5074
@baloziubalozini5074 4 жыл бұрын
Boss martha,rest in peace Sis
@sesiliajoseph211
@sesiliajoseph211 4 жыл бұрын
Ahahahahaa hapo kwenye nyimbo yakuabudu hahahahaa nimecheka jmn
@calvinwelema159
@calvinwelema159 4 жыл бұрын
Kaka kipindi chako ni kizuri lakini tunachokuomba ni kwa masikini wengi ndyo tunaotumia simu za tach kuficha umasikini hivyo hatujui hizo luga ya English hivyo tumieni lugha ya kiswahili tucheke wote sio nacheka sijui umeongea nn
@hersunydachef3748
@hersunydachef3748 3 жыл бұрын
Mmmmmh. Tenda shule
@sesiliajoseph211
@sesiliajoseph211 4 жыл бұрын
Ahahahaa coy jmn et ukiona sipokei sim yako ujue nishakua ster... Ahahahaaaaa haya bwn ila mbavu zetu ututafutie na maduka tukanunue mana zishakua spea
@scolahotay694
@scolahotay694 4 жыл бұрын
Jamani nampenda. San chali wa r
@luxymichael4024
@luxymichael4024 4 жыл бұрын
Jol master namkubl xana
@LadyveenOfficial
@LadyveenOfficial 4 жыл бұрын
Martha RIP😥😥 pumzika kwa Aman mama
@expedithochavallah2702
@expedithochavallah2702 4 жыл бұрын
Though its long time performance but nimeipenda xana
@iampirezofficial5272
@iampirezofficial5272 2 жыл бұрын
unyamaaaa
@sifarashid9468
@sifarashid9468 4 жыл бұрын
Sasa anasema eti kwa igizo ili nimecheza kama...ebu tupe jina ya uyo igizo tuone
@miriamambokile5838
@miriamambokile5838 3 жыл бұрын
I love u coy😍
@credo7837
@credo7837 2 жыл бұрын
Ilove you too
@abbysertz3862
@abbysertz3862 4 жыл бұрын
Rest in peace Boss Martha
@frankhamayobe6892
@frankhamayobe6892 4 жыл бұрын
Weka ya. Deo gratiaa
@naimamunishi1241
@naimamunishi1241 4 жыл бұрын
Wow😀😀😀😀coy kiukwel unajua mno
@user-rm3rn2vx7v
@user-rm3rn2vx7v Жыл бұрын
Saaafiiii kaka
@happynessemmanuel4963
@happynessemmanuel4963 4 жыл бұрын
Mapenz ya kwelii tutayapata mbingunii ahaaaaahaaaaahaaaaa
@plumbingandtilesservce5271
@plumbingandtilesservce5271 2 жыл бұрын
We have talented man
@rewardnjau7220
@rewardnjau7220 2 жыл бұрын
mzee shayo ameuwaaa sio poa
@festoavither6065
@festoavither6065 4 жыл бұрын
Wooow like that
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 4 жыл бұрын
Dah nimemuona Martha R I P
@credo7837
@credo7837 2 жыл бұрын
Wapi
@justinempangalajr2231
@justinempangalajr2231 4 жыл бұрын
Mchekeshaji kachekeshwa hatariii Kama umeona fanya kulike
@kevinwachira4617
@kevinwachira4617 4 жыл бұрын
Rest in peace Martha 🙏
@angelisaya3201
@angelisaya3201 3 жыл бұрын
I love you coy♥️
@ireneassey3685
@ireneassey3685 4 жыл бұрын
Deo nakukubali kinyama
@kwetuarts
@kwetuarts 4 жыл бұрын
Duuu hatari#bra African Way
@budahman2908
@budahman2908 4 жыл бұрын
Daaaah martha
@veronicafredy4101
@veronicafredy4101 4 жыл бұрын
Jamn nani kamuon boss martha
@mwajumakharoub8682
@mwajumakharoub8682 4 жыл бұрын
Jaman mm nipo tabora ila napenda sana ili comedy wakipindi hiki cha korona kuweni live tuendelee kuinjoy
@dbwaxvevo5780
@dbwaxvevo5780 4 жыл бұрын
Mic yhu MATHAAA R. I. P
@esterbeauty568
@esterbeauty568 2 жыл бұрын
Nimeipenda hii clip sichoki kuitazama
@rosellaabraham13
@rosellaabraham13 4 жыл бұрын
Jmn Martha😰😰😰😰
@nasrakikombe2231
@nasrakikombe2231 3 жыл бұрын
RIP BOSS 😭😭😭
@jordanjonas4921
@jordanjonas4921 4 жыл бұрын
Umetisha
@ukhtysadabakari360
@ukhtysadabakari360 4 жыл бұрын
RIP martha
@sidymdy
@sidymdy 4 жыл бұрын
Makofi kwa coy mzungu
@tsjdiversifiedgroup
@tsjdiversifiedgroup 4 жыл бұрын
Martha 😥😥
@deone728
@deone728 4 жыл бұрын
Coy please tuwekee hilo igizo
@graphixmaster6146
@graphixmaster6146 2 жыл бұрын
R.I.P Martha 😘
@rosejohn1974
@rosejohn1974 4 жыл бұрын
Mimi napenda unavyocheka
@annawinstone6075
@annawinstone6075 4 жыл бұрын
Ila huyu max siyo mziwa kabisa hahahahahahhahahaha
@samuellevy2564
@samuellevy2564 2 жыл бұрын
R I P MY MARTHA
@hamisjuma6391
@hamisjuma6391 2 жыл бұрын
Nakuelewa
@catherineerastus1682
@catherineerastus1682 2 жыл бұрын
hvi Coy Mama Mawigi ni mama yko mzazi ama?
@jumamwandai8287
@jumamwandai8287 4 жыл бұрын
Coy mzungu
@michaelstephen7616
@michaelstephen7616 4 жыл бұрын
Jamani achieni tuzidownlod
@jimmiejr9531
@jimmiejr9531 4 жыл бұрын
Hiyo nyimbo ya kuabudu ni gani?
@fainnamvungi4364
@fainnamvungi4364 4 жыл бұрын
Matha😭
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 2 жыл бұрын
Napenda coy unavochekesha yani uwa staman umalize 🤣🤣🤣
@kidtiger76tz5
@kidtiger76tz5 4 жыл бұрын
reaѕт ιn peace вoѕѕ мarтнa
@adamsaid3988
@adamsaid3988 3 жыл бұрын
Nice
@regimentish
@regimentish 3 жыл бұрын
Kingereza wachana nacho...ongea tu Kiswahili,wachemsha.... Lakini Talent uko nayo!
@joycenyakiha8121
@joycenyakiha8121 4 жыл бұрын
Km ni kiswaz basi tumia kiswhl tu km ni English basi iwe English tu
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 3 жыл бұрын
Jamani Nakufa Mimi🤣🤣🤣
@graphixmaster6146
@graphixmaster6146 2 жыл бұрын
11:18 huyo mbona ana nyota kali hivi😬
@officialsalhath299
@officialsalhath299 4 жыл бұрын
hahaahahahahahaha ni kwel wanawak nd tulivy mm nakubal
@jordanjonas4921
@jordanjonas4921 4 жыл бұрын
Daaaaaaah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@baburiziki3512
@baburiziki3512 3 жыл бұрын
Amna kituu huyuu
@jujulizzy283
@jujulizzy283 4 жыл бұрын
r.i.p matha the bowse
@juxtv1948
@juxtv1948 3 жыл бұрын
Namimi nataka ni chekeshe now
@richardkazungu9462
@richardkazungu9462 4 жыл бұрын
Deoooo😂😂😂😂😂🥰
@shabanihamisimchaga9850
@shabanihamisimchaga9850 2 жыл бұрын
hawa machoko
@asnathmsika517
@asnathmsika517 2 жыл бұрын
Hhhhhh🤩
@betinasamwel949
@betinasamwel949 4 жыл бұрын
WOW
@jamesbwigane5858
@jamesbwigane5858 2 жыл бұрын
Y
@fhgggffhg7721
@fhgggffhg7721 3 жыл бұрын
Mnkk
@samuelmuriuki5849
@samuelmuriuki5849 3 жыл бұрын
Roho chafu wacha kiburi..ustar my foot😡
@nellychuwa5188
@nellychuwa5188 2 жыл бұрын
O
@masungasalum5369
@masungasalum5369 4 жыл бұрын
Please, naomba jina la huo wimbo
@princeamon1746
@princeamon1746 4 жыл бұрын
MC lukinga video zake mbona hamna
@hawakameta685
@hawakameta685 4 жыл бұрын
Where are you Lukinga umekua kimya tushakumiss
@almishmusaalmishmusa2934
@almishmusaalmishmusa2934 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🙌
@saadakiyungi6437
@saadakiyungi6437 4 жыл бұрын
Hahaha
@veronicafredy4101
@veronicafredy4101 4 жыл бұрын
Hahahahahaha
@abdulswamadabdalaally8436
@abdulswamadabdalaally8436 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@emmyemmycute6028
@emmyemmycute6028 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@selestinsongola2787
@selestinsongola2787 2 жыл бұрын
Madevu wap
@wamburamtatiro2133
@wamburamtatiro2133 4 жыл бұрын
FUPISHENI CLIP
@jimmiejr9531
@jimmiejr9531 4 жыл бұрын
Tufanye ngapi?
@wamburamtatiro2133
@wamburamtatiro2133 4 жыл бұрын
@@jimmiejr9531 isizidi dakika kumi m ndo napendelea
@mkorinto7629
@mkorinto7629 4 жыл бұрын
Coy is not funny
@naimamunishi1241
@naimamunishi1241 4 жыл бұрын
Jamn Deogratius mboya...my best comedian 😘
@zizinezuzu8579
@zizinezuzu8579 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
CHEKA TU. Mzalendo Edition. Deo Gratius kwenye stage.
22:27
Cheka tu
Рет қаралды 231 М.
COY MZUNGU/SMART J/HEAD MASTER
19:10
Cheka tu
Рет қаралды 20 М.
My Cheetos🍕PIZZA #cooking #shorts
00:43
BANKII
Рет қаралды 22 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 9 МЛН
Алексей Щербаков разнес ВДВшников
00:47
MC Eliud Samwel akiwavunja watu mbavu kwenye mkesha wa THE ICON 2023 | CCC UPANGA
21:43
VITUKO VYA KONKARA DODOMA UTACHEKA (PART 1)
10:47
Kimonga Pro
Рет қаралды 10 М.
MC Madevu: KIINGEREZA/KIZARAMO
7:46
Cheka tu
Рет қаралды 451 М.
Deo Gratius: WATU DAR/ WANAUME WAOGA/SAFARI ZA MIKOANI.
11:39
CHEKA TU. Queens Edition. Idris Sultan kwenye stage.
14:03
Cheka tu
Рет қаралды 503 М.
My Cheetos🍕PIZZA #cooking #shorts
00:43
BANKII
Рет қаралды 22 МЛН