Sema Jamaa ni bonge Moja la story teller. Unaweza kumsikiliza hata siku mzima usimchoke..👍
@barakarobert1029Ай бұрын
Kwel kabisa
@onlinetrends1195Ай бұрын
Namshukuru sana Mungu kusikiliza hii story, imenipa sana moyo wa kupambana na kunga'ang'ana sana na Mungu,Mungu akaniinue,katikati ya machozi yangu nisisahau ukuu wake.
@PatrickRichlimuКүн бұрын
Daa ase koy nimejifunza mengi kwe historia yako mungu akubarki ❤
@bamdogo954 ай бұрын
I wish to meet this guy Wonderful story I like your passion since your struggle❤❤
@jamesoduororawo83795 ай бұрын
May you're pockets never lack.. May the Almighty God bless you ❤❤❤lots of love from Kenya 🇰🇪🇰🇪❤️❤️🙏
@HadijaSalum-kf6gy5 ай бұрын
Baada ya kukujua nimeskia mengi kuhusu ww na nimejifunza mengi,mungu akubariki Ili uwe daraja kwa kila mtu❤
@benjaminmlwisha56944 ай бұрын
More than one hour watching very interesting
@Sir.Patrick5 ай бұрын
Nimegundua jamaa anabahati Ya Kuwa Na Ndugu wenye Mtazamo sawa Na yeye. Hongera
@mariamandambike50135 ай бұрын
Daaah bro u the best,... Kupitia wewe Nimejifunza kitu, and I loved the way unamuappreciate mungu Kwa Kila jambo pia nimeona umuhimu wa familia kaka au dada kushikana pamoja Kwa nyakati zotee, thanks so much and God bless you 🙏🙏🙏🙏
@leahswedy48955 ай бұрын
Very interested story ... ukitoa kitu kumpa mtu wakati na wewe huna huo sio msaada ni upendo❤.. usisubiri uwe tajiri ndio usaidie wengine ... nimejifunza vingi😊
@daudimkuki80185 ай бұрын
Absolutely true 🙌🏻
@mohammedkidody5618Ай бұрын
Kabisa yn❤
@adelinachengula85193 ай бұрын
Unajua kuhadithia Mungu akubariki coy
@daudimkuki80185 ай бұрын
Story ya wewe na dalali it’s was a miracle bro.. absolutely its was miracle 🙌🏻
@fakihichitanda28645 ай бұрын
Story like a movie,respect kwako
@saidbakari24085 ай бұрын
Huyu jamaa hata aongee mwaka mzima hachoshi anajua sana huyu story teller
@restallen5581Ай бұрын
There is God in heaven who here our prayers 👏👏👏👏👏👏
@EduboyHekimaАй бұрын
Story imenigusa Sana bro hongera sana kwa moyo wa upendo
@EduboyHekimaАй бұрын
🙏
@jrm94484 ай бұрын
Hii story ni ushuhuda juu ya uwepo wa Mungu
@joshuakimambo27655 ай бұрын
Anaweza kutengeneza Isidingo yake kabisa. All in all Mungu anajua namna ya kuwatetea watu wake
@samsongichogo9924 ай бұрын
Ukiweka yote pembeni maono ya huyu jamaa yalitimia kwasababu Mungu alimpa mama anaeamini kweny ndoto na kipaji, anaeamini kwenye mchakato, hii ni Aina ya wazazi ambao kila mmoja anawahitaji ili kutimiza ndoto
@hadijamcha78245 ай бұрын
Hii Shajara haija isha coz bado hatuja jua kama yule kaka yake mkubwa walimpata wapi?
@Graceyusuphh5 ай бұрын
Jmn Mungu yupo, tuendlee kumwamini❤❤❤
@MaulidiNanga5 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu bro na uwezo wa kuendelea kusaidia watu zaid
@mohammedkidody5618Ай бұрын
Yani coy nimejifunza mengi sana kupitia ww big up sana❤🎉
@nyotamy36785 ай бұрын
A good story teller 🙌🏾 very interesting
@hermanmtenga93094 ай бұрын
Napenda sana neno la mwisho LA huyu jamaaa
@sajojonas4 ай бұрын
Glory be to God
@judithnyembela30275 ай бұрын
Hongera sana Coy una story ya huzuni sana na furaha sana. Mwacheni Mungu aitwe Mungu!
@ukhutfatumah11544 ай бұрын
Nataman kumuona nasri jamn daaaa jamn 😢
@Tariq_Tryagain5 ай бұрын
U the real soldier brother.. mungu akubarik hadi uchoke mwenyewe.. Skujua kua mama mawigi ni agent wa CIA😁🙌🙌 mega S/O to her
@hildaombay65205 ай бұрын
This is the best
@musaamos24314 ай бұрын
Story nzuri sana
@evergreenmushi21715 ай бұрын
Mpatie shajara ingine he has a lot to tell 😇
@stafftortilis-en5dn5 ай бұрын
Keep it up bro
@AsminHakimo5 ай бұрын
Asante dj na like utapata
@husseynomar95235 ай бұрын
Salute bro Coy 🎉🎉🎉❤
@CatherineMvanga-oz8bdАй бұрын
God is good
@daudimkuki80185 ай бұрын
Tunaomba sehemu ya 3 please
@mohamedkige25355 ай бұрын
Tuendleeee kuomba Mung nakupmbna Mung yupooo❤
@khadijahbanana56024 ай бұрын
Mashallah
@husseinanyitike36735 ай бұрын
Niwaza ni comment kitu lakini nimebaki na maumivu kwenye kifua changu only nitachoweza kusema MUNGU MWEMA SANA
@francismwakalile23105 ай бұрын
Very inspiring
@ostavinakitalika30845 ай бұрын
Nilijua Nina historia ya maisha kumbe ni title ya maisha dah it's so impressive and sad story😢
@Tariq_Tryagain5 ай бұрын
Mpeni shajara nyingine kuna point za msingi ambazo hakuzizungumzia kiundani
@joycenyagabona87124 ай бұрын
Akili nyingi kama mama etu waoh.🎉
@mjwiniPaul5 ай бұрын
God akubless sana brooo
@MartinMadimilo-z6w5 ай бұрын
Best storytelling
@AsmaAlly-m9i5 ай бұрын
Kweli mwenyezi mungu Amtup.mjawake
@margrethamsechu70885 ай бұрын
Mbona coy ajamaliza tunaomba PART 3
@AbeidJames4 ай бұрын
Perfect
@ukhutfatumah11544 ай бұрын
Inshallah na mimi nikilud nikuja kutoa historia yangu clouds Inshallah 😢😢
@kamigwasfamily11785 ай бұрын
God is good❤
@mwanamiskirangare34294 ай бұрын
Du pole sana
@AhmedRoro-px5iq5 ай бұрын
Salute 😢
@daudasajile8133 ай бұрын
God is really
@mourricetullah65195 ай бұрын
This interview is woooww😂😂😂
@imanimwakyeja41845 ай бұрын
Daaa nimecheka sana kwenye point ya mchungaji. " Mungu akikuinua, usijiinue" 😅🤣. Mchungaji imani ilishuka 😂
@daudimkuki80185 ай бұрын
Sana 😆😆😆
@1stladyafrica4024 ай бұрын
😂😂😂😂nami nimecheka sana
@mohammedkidody5618Ай бұрын
😂😂😂
@aziza90935 ай бұрын
Natamani isihisha😢😢
@zuwenasalim27945 ай бұрын
Nimejifunza ktk maisha wote walionyanyuka wamepita magumu mno kikubwa kueshim Kila mtu,kuwa na heshima ya pesa hata kama nikidogo
@ezekielgarrans27195 ай бұрын
Nazani watanzania tumejifunza kitu unapo ona mtu anapambana plz usimvunje moyo hata kama unaona anafanya kitu ambacho hakipo kwenye kiwango unacho kitaka plz mpe mda usimu mvunje moyo
@mohammedkidody5618Ай бұрын
Kabisa yn
@MunirahMasoudКүн бұрын
To be honest sikuwahi mpenda coy😭🥹ila kupitia hiii wallahi nimempendaaa khaaaaaaaa mpka chozi💔
@shukurusyriack350429 күн бұрын
Nimetokea sana kumpenda huyu kaka, sikujua kama anahakili sana kias hiki
@remeniurasa48665 ай бұрын
😂😂😂😂 Idris tukutane mahakamani🙌
@EdwardAnthony-c7u5 ай бұрын
Naona bado hajamaliza, naomba arudi tena aisee
@rewardyesse73144 ай бұрын
Coy mashajara
@stellaboniphace11 сағат бұрын
Ety ukidaiwa hupokei sm tukutane mahakamani😂😂😂😂
@mwaka435 ай бұрын
Good Show!!!!!
@MunirahMasoudКүн бұрын
Huyu jamaaa sio muongo hataaaa maana hanasi semehemu ata moja nimependaaaaaa
@NiceJob-m4nАй бұрын
Nasemaje ni marufuku kukata tamaa
@fakihichitanda28645 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@NyamkaEnterprises5 ай бұрын
Tunaomba part 3 ya coy
@neemamayco105115 күн бұрын
Shajara tunaomba kujua kaka mkubwa amepatikanaje please tell me
@qualitymediaproduction5 ай бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA
@mwanaidikingazi42225 ай бұрын
Mm nilijua coy mzungu mkenya
@beatricemagaga49585 ай бұрын
Kwani ni kabila gani?
@mohammedkidody5618Ай бұрын
Yn ata na mm
@maryamtan6825 ай бұрын
Nilikuwa naisubili sana.
@ummusulaish55865 ай бұрын
Hii stori imeniliza saana , haya maisha achana nayo
@christerChriss-jn7vm5 ай бұрын
I real apriciate that guy
@mrenjoyfootball84035 ай бұрын
Kutokana na hii story ya Maisha yako Bro coy nazidi kuamini kukata tamaa ni mwiko
@kizzjojo-qp1lvАй бұрын
🙏🙏🙏
@1stladyafrica4024 ай бұрын
Hujamaliza bado hajasema kuhusu kaka yake
@AnethKapingaInventoryControlle5 ай бұрын
Hiyo ya terehe 28 nilihiyona
@kigogosmart41215 ай бұрын
Bado kuna shajara ya tatu hajamaliza
@Sarambikiofficial4 ай бұрын
Watu ulionza nao hautamaliza nao, wakiondoka baki na ndoto🙏🙏
@mohammedkidody5618Ай бұрын
Kabisa yn
@matchdaygoals86405 ай бұрын
Tumesubir sana 😄
@anseelatan77185 ай бұрын
Nimekumbuka ulikuwa ukidasi kanisa la shalom home
@luckiiinuswe17254 ай бұрын
Story yako imeniimarisha zaidi mim kwa hichi ninachopitia
@musaamos24314 ай бұрын
Yaani sichoki kusikiliza
@mwasitiiddy10895 ай бұрын
Duuh nimejifunz meng mnoo
@JacklineKaaya-cs4qd5 ай бұрын
Tuendelezeeee bhn
@HeriethHaule-ct9gx5 ай бұрын
Kafanana na nyanshiski
@boscokikoti5 ай бұрын
Mbona colour mbaya sana clouds mnakwama wpi
@mbatatakiazi16785 ай бұрын
ukidasili kwa kimalkia: *WHITE COY'S DIARY: I WAS GROWN UP WITH A MEDICINE, I DID NOT WANT TO BE NORMAL, CHURCHILL FORECASTED ME*