Return to Thomas Sankara ,BRAVO AFRICA BRAVO TRAORE BRAVO, BRAVO BRAVO
@user-wo6rk4vf2s2 ай бұрын
Dr Denson Bana, hapa Afrika hatuna democrasia ya kweri hakuna. NA MUNGU NDIE MUWEZA
@bakarishaban9311 Жыл бұрын
Wasomi wanapokuwepo Wengi hawawezi kukubali kupereka kama kondoo ,Lazima waandamane nakufanya mapinduzi ya kijeshi
@JafarHussein-qe6ly Жыл бұрын
Siku zote ataendelea kutawala mwenye nguvu hadi Nabii Issa bin Mariam Rehma na aman ziwe juu yake atakapo rudi. Democracy ni njia ya kipumbavu sana kwasababu inaudanganyifu mwingi unao fanywa na walio madarakani.
@samweljuma5852 ай бұрын
huyu EDD ana vitu vingi lakini naona kama hana uhuru afunguke.
@msangodiesel3132 Жыл бұрын
Bendera za mrusi zinapepea pembeni Kuna mkono wake au
@user-wo6rk4vf2s2 ай бұрын
Mwaswari ya msingi unamuuliza huyo Dr Denson Bana na anawaaunga mkono mabepari kwanini usimuulize huyo mwinginé ya kuiinua Afrika Raymond au na wew umepangwaaa? au ni mmoja wao? Hapana hayo ya Dr Denson Bana atarahaniwa yeye Dr Denson na kizazi chake.
@samweljikxo925910 ай бұрын
Uyu mzee amekuwa addicted na elimu ya kikoloni kama sio kibaraka Africa lazima iamke usingizini tunaibiwa mali zetu, tunabaguliwa na kulazimishwa tumetokana na nyani, NCHI AU KIFO TUTASHINDA