Baada ya vita vya zaidi ya miezi sita kati ya Urusi na Ukraine hatimaye Urusi imetangaza majimbo manne yaliyokuwa chini ya Ukraine kujiunga na taifa hilo. Je, hii inaashiria nini katika mgogoro huo wa siasa?
Пікірлер: 36
@chidiomari.65 Жыл бұрын
Hichi kipindi nimekisubiria kwa muda mrefu sana 🤝,Hao wachambuzi ni balaa wanatufanya tuelewe mwelekeo wa vita inaendaje.. much love Rahbi unachambuzi wako uko vzr sana
@jacksonmartin8485 Жыл бұрын
Wewe mwenye miwani sio mchambuzi ni mbwa wa magharibi tena msimpe tena nafasi hiyo hana upeo wa kufikiri wala hajui history za kimataifa anachukua kutoka kwa wachambuzi wa magharibi anatuletea hapa someni maoni yetu akachambue siasa za Ndani tu
@kukujogooooo Жыл бұрын
Ulovaa miwani hakuna kitu we we! Ulitaka kura zisimamiwe nanani?! Wakati dunia ime tekwa na NATO yote mpaka mnalazimishwa kudungwa sindano za corona,
Chekeche Marekani na Ulaya wanachochea vita huku wakijua ni kosa kama kulikuwa mkataba wa MINSINKY kwanini ulivunjwa wakati Ufaransa na Ujerumani walisimamia ndo ujue Marekani, EU, na NATO ni wanafiki palipo masilahi yao
@OmariJuma-su6fzАй бұрын
Huyu wamiwakuma kbs wewe ungehenda kuchambua phonographie tu hapa hamnakitu
@OmariJuma-su6fzАй бұрын
Wakati wakadafi akuna aliyekaa mezani wandishi wote wamagaribi wanatetea haki Yao sisi wa afrika niwashenzi mno
@paschalcharles3617 Жыл бұрын
Hongera sana Vladimir Putin endelea kuikomboa Dunia dhidi ya ushetani wa Marekani
@gidiongreygory18 Жыл бұрын
Ongera putin mashetani awawezi kutawala
@joshuac.mashida1378 Жыл бұрын
Pona ya Putin nikurudi nyumbani kwake jeshi lake litamalizwa Hana sapoti yeye tu watamuumiza sana
@dondallas6683 Жыл бұрын
Urusi ni dubwana kubwa zito
@salehejumaa5392 Жыл бұрын
Mrus hajui anachopigania ad sasa je Ukraine isiingie NATO au ku extend ardh ya urus ama kuonesha kuwa yy ni mkubwa yaan prestige
@robertphilip385 Жыл бұрын
Nikweli kabisa Putin amebanwa kwenyekona mbaya mwishoye atanyang'anywa mpaka kremea
@salimmalaka256 Жыл бұрын
URUSI WANAJUWA WEWE NDIE USIYEJUWA.
@salimmalaka256 Жыл бұрын
@@robertphilip385 UNAOTA NDOTO ZA MCHANA HIZO US NA EU MAVI DEBE KWISHA HABARI YAO.
@robertphilip385 Жыл бұрын
@@salimmalaka256 wewe akiliyako nikama ya I s na alshababu wanaota eti sikumoja wa wataitawala dinia Nato nikitukingine kk urusi hanauwezo wakushinda Nato