CHEKECHE || Mkutano wa 78 wa Umoja wa Mataifa || Urusi, Afrika "gumzo kuu"

  Рет қаралды 15,039

Azam TV

Azam TV

10 ай бұрын

Viongozi wa nchi mbalimbali duniani wamekutana kwenye mkutano wa 78 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa nchini Marekani huku vita vya Urusi na Ukraine vikichukua nafasi ya mjadala sambamba na viongozi wa Afrika kupaza sauti kuhusu mwenendo wa hali ya mambo ikiwemo "ukoloni mamboleo".
Ungana na Raymond Nyamwihula akiwa na Ibrahim Rahbi kwenye CHEKECHE.

Пікірлер: 47
@HamisiGatuso
@HamisiGatuso Ай бұрын
Upo sawa unajua sana
@user-jg7zh1ck3u
@user-jg7zh1ck3u 10 ай бұрын
Kuusu Congo umoja wa mataifa wanatakiwa kuondoka Mimi ni muzaliwa wa mahali ambapo hizo tatizo zipo, na vikosi vingi vya wa asi vinaundwa na umoja wa mataifa monisco sisi wakaaji wa uvira Goma tunajuwa muzuri sana kazi ya umoja wa mataifa monisco kwamba haikuja kuleta Amani inchini Congo ,..
@malikdogo5009
@malikdogo5009 10 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@massoudsultan8484
@massoudsultan8484 10 ай бұрын
😀Libya Gaddafi alingia kwa mapinduzi na nchi ikaendelea
@user-wi9et9yl1v
@user-wi9et9yl1v 10 ай бұрын
Namuelewa sana bwana lab mchaz balaa nataman kumsikia
@user-ni9gx1ho6c
@user-ni9gx1ho6c 10 ай бұрын
Bg up Azam tv + Rabi u are giniac
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 10 ай бұрын
Rab naww mtangazaji nawapenda sn ila tuache unafki na sabit mlangi nduguyenu pia nampenda yamkini mwenyezimngu awazidishie umri mlefu
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 10 ай бұрын
Nawapenda wew naibraimu Rabi ilove
@MauaLucas-st6be
@MauaLucas-st6be 5 ай бұрын
Chiseked anataka kusain mkataba wakijeshi na urus
@alhajjwaupe4593
@alhajjwaupe4593 10 ай бұрын
Africa ss tukiona rais nikibaraka wa marekani na ulaya nikumpindua tu ndio democrosia yetu
@reubenhizza
@reubenhizza Ай бұрын
Libya ya Muamar Gadaf haikuendelea!? Na walisema inatawaliwa ki ducteta
@OmarOmar-vf9dv
@OmarOmar-vf9dv 10 ай бұрын
Asanteen tumehabarika vyakutoshaa
@asingizibwejacobkalokola7351
@asingizibwejacobkalokola7351 10 ай бұрын
Naona kharkive na Odesa zitwaliwe hili Mambo yakae sawa.
@Amirmgunya-pt2zm
@Amirmgunya-pt2zm 10 ай бұрын
Pamoja sana
@Ommybabaa47
@Ommybabaa47 10 ай бұрын
Muheshimiwa Rahbi umepotea siku nyingi hatuoni uchambuzi wako mollah akupe afya njema
@josephkostans9128
@josephkostans9128 10 ай бұрын
Mchambuzi saa mbovu ila siku sio nyingi itaanza kusema kweli muda tu
@efraimjohn4956
@efraimjohn4956 10 ай бұрын
mchambuzi nae kachagua Urusi
@saidiyusufumuhode3159
@saidiyusufumuhode3159 10 ай бұрын
Hatutaki democracy haisaidii kitu Africa
@shubebunyesi542
@shubebunyesi542 10 ай бұрын
Lazima kwanza ulegezwe ndio ukubali kuzungumza nchi nyingi baada yaa vita na maadhara ndio zikakubali kuongea
@jumatophili
@jumatophili 10 ай бұрын
Nakukubal mchambuzi
@alhajjwaupe4593
@alhajjwaupe4593 10 ай бұрын
Marekani ndio wanaendeeza hik vita marekani na umoja wa ulaya ndio hawataki mazungumzo
@frankmwashovya5532
@frankmwashovya5532 8 ай бұрын
ojo hm m ip jmnnmok
@peterrulagora7403
@peterrulagora7403 10 ай бұрын
Mchambuz unajuwa Munisco kweli!
@kingdavid3708
@kingdavid3708 10 ай бұрын
Nime kupinga saanaa mwana abari kwaiyo neni kusema atiii wawo wasingekua uko mambo yangekua hatari !!!!?. Mwana abari waho ndo wanaho sapoti wa hasi kitu inayo fanya wanainji wa fanye mahandamano ili wanajeshi wao waki magaribi watoke nii mambo mingi saana kama kuna siku wali shika gari la wale majeshi wa magaribi wakipekekea wale wahasi mipanga na silaha zingine na majanga yawale mahasikari ni mengi saanaaaa
@user-wu2ns5zq7q
@user-wu2ns5zq7q 9 ай бұрын
Abo bajama habahdu takiye amani
@OmariJuma-su6fz
@OmariJuma-su6fz Ай бұрын
Kama kunawachambuzi wasisa huyu niwakwanza kusema ukweli
@user-pi4et2cc7s
@user-pi4et2cc7s 2 ай бұрын
MBONA MAREKANI WANAWAKANDAMIZA NA KUWA KALIA KIMABAVU WAPALESTINA JE HILO NI HALALA???
@hamisramadhan-eb3ie
@hamisramadhan-eb3ie 10 ай бұрын
Demoklasia imefeli africa😢
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 10 ай бұрын
na hatuhitaji Democrac
@user-wh9ml5vc7x
@user-wh9ml5vc7x 10 ай бұрын
kaka haya mombo mpe sabit
@ibrahimmbilizi1726
@ibrahimmbilizi1726 10 ай бұрын
Ivi uyu mchambuzi anajielewa ama
@mashirimathias6006
@mashirimathias6006 10 ай бұрын
Mpumbavu hapo ni Huyo popo bawa wa Marekani
@omariathumanchigwe5776
@omariathumanchigwe5776 10 ай бұрын
Walinda amanindio waporaji wannchizetu naulizahivi miaka25 amani imepatikana Congo naombajibu kamahaijapatikana walinzihao wanafaidagani?
@babakalunde4949
@babakalunde4949 10 ай бұрын
Anaongea ukweli mtupu
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 10 ай бұрын
Sisi watanzania kwenye umoja wa mataifa nani anatuwekea Kinga
@hassansingano1150
@hassansingano1150 10 ай бұрын
Tupo pamoja, Mrusi bado hajatangaza vita zidi ya Ukraine
@robertphilip385
@robertphilip385 10 ай бұрын
Atangaze ipitena wakati anapigana urusi alichobakiza nikutumia nyuklia tu kwenye vita vyakawaida imeshakua ngumu
@godfreydavid6267
@godfreydavid6267 9 ай бұрын
duh kwa nini?
@godfreydavid6267
@godfreydavid6267 9 ай бұрын
@@robertphilip385 mzee unajua saaana...Urusi kabakiza nyuklia tu....unajielewa saaaaaaaana
@robertphilip385
@robertphilip385 9 ай бұрын
@@godfreydavid6267 najua huwezi amini lkn ndoukweli
@hassansingano1150
@hassansingano1150 9 ай бұрын
Nyuklia ni silaha za kimkakati tuu pindi unapo pambana na adui mwenye nazo
@robertphilip385
@robertphilip385 10 ай бұрын
Mtangazaji kiamkweli je? Nihalali urusi kuchukua arthi ya inchi ingine? Acheni ujinga semeni ukweli
@ibrahimabdullah1887
@ibrahimabdullah1887 10 ай бұрын
Kajambe huko
@robertphilip385
@robertphilip385 10 ай бұрын
@@ibrahimabdullah1887 wapi huko?
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 10 ай бұрын
Ukraine ilikua mkoa wa Urus.. baadae wakaomba iwe nchi.. ila kuna mashart wakakubaliana.. kwamba wote hawatojiunga nato
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 27 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 17 МЛН
Зачем он туда залез?
00:25
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,3 МЛН
Urusi yatangaza kusimamisha mkataba kati yake na Marekani
9:53
Hiki ndicho kinachomfanya Marekani na Israel wamuogope Iran
35:23
"Niliona nguvu ya umma kupigania Uhuru wangu"
6:40
BBC News Swahili
Рет қаралды 22 М.
Hii Ndio CLOUDS MEDIA GROUP Mpya / THE NEXT CMG
8:57
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 95 М.
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 27 МЛН