Nimevutiwa saana,na kilimo chako,pia Nina uhakika una mtanguliza Mungu,maana umesema uta elezea badae namna ya kuvuna kama utafika,na nisimo kubwa la kujifinza kumtegemea Mungu,
@stelliusmbise-go7lq Жыл бұрын
ubunifu mzuri mno
@mathiasjohn4761 Жыл бұрын
Hiyo ya kulimia sh. Ngapi mtaalamu
@shineknewstv522310 ай бұрын
0628956252 Bwana Shamba
@othuonjohnbrighton5322 ай бұрын
Bei ya tractor ya kulimia ni kiasi gani? wauni wengi bora umetukomboa kwenye kilimo cha utumwa tuingie cha kisasa
@JacobErnest-vk7me Жыл бұрын
Hongera sana
@YassinMugala Жыл бұрын
Je mashine hizi zinapatikana Kyela?
@SaidMweta2 ай бұрын
I mean Agro com kama sikosei. Mbeya morogoro n.k
@KenedyMpasi-kb8ft Жыл бұрын
Machine yakupandia inatumia umeme au nishati gani wakati wauendeshaji?
@shineknewstv5223 Жыл бұрын
0754314758 Bwana Shamba Chaula
@ezekieljacob579511 ай бұрын
Unaona kabisaa mtu anasukuma kwa mkono lakini bado unauliza...maswali mengine bhana ??
@ezekieljacob57957 ай бұрын
Ni mkono tu mimi si nimeinunua??
@Patience2000 Жыл бұрын
Vip halizenu jamani naomba msada wakufaham bei ya trecta yamkono inauzwaje na hiyo mashine yakupanda karanga naomba msaada huo nazinauzwa sehemgani dar esalam
@shineknewstv5223 Жыл бұрын
0754314758 Bwana Shamba Chaula
@YassinMugala Жыл бұрын
Naomba namba yako bwana shamba ya WhatsApp
@MkwayaCharles10 ай бұрын
Hiyo mshine inaparikana wapi
@nyemondagalla608 Жыл бұрын
Dawa ya palizi kwenye karanga 🥜 inaitwaje?
@shineknewstv5223 Жыл бұрын
0754314758 Bwana Shamba Chaula
@mosestumaini8022 Жыл бұрын
Toa namba ya mawasiliano namna ya kupata hiyo Tractor .
@shineknewstv5223 Жыл бұрын
0754 314 758 Bwana Shamba Chaula
@samsonelijah3897 Жыл бұрын
Bei sasa
@MohamedTsavwa-xh1xl Жыл бұрын
Hizi planta zinapatikana wp na kwa bei gani
@shineknewstv5223 Жыл бұрын
0754314758 Bwana Shamba Chaula
@StefanoUsega Жыл бұрын
Beigani zinauzwa
@shineknewstv5223 Жыл бұрын
Laki 3 na nusu
@abdallahrupanda13 Жыл бұрын
Je hiyo mashine inaweza kupanda maharage?
@shineknewstv5223 Жыл бұрын
Ndio
@KenedyMpasi-kb8ft Жыл бұрын
Hiyo mashine yakupandia inauzwashingapi?
@ValeriaIbrahim-zq8qc Жыл бұрын
Naomba namba ya mawasiliano...nipo Mbeya ninahitaji.
@shineknewstv5223 Жыл бұрын
0754314758 Bwana Shamba Chaula
@enocknelson6892 Жыл бұрын
Na bei shingap
@enocknelson6892 Жыл бұрын
Tunapataje?
@hassanimamu740 Жыл бұрын
SAFI SANA NA KONGOLE KWA HILO. JE, GHARAMA ZA MASHINE SHILINGI NGAPI?
@shineknewstv5223 Жыл бұрын
0754314758 Bwana Shamba Chaula
@TeddyTz. Жыл бұрын
Iyo ya kupanda karanga ata marage inapanda
@shineknewstv5223 Жыл бұрын
0754314758 Bwana Shamba Chaula
@DpN-rk8xz Жыл бұрын
Bei mtaji biashara magendo
@kazimilymaguta480 Жыл бұрын
Hiyo mashine bei gani??
@shineknewstv5223 Жыл бұрын
Laki Tatu na Nusu
@sinyagilelaimen746510 ай бұрын
Toa mawsiliano
@shineknewstv522310 ай бұрын
0628956252 Bwana Shamba
@Trisherdavid7 ай бұрын
Nahitaji kukodi
@shineknewstv52236 ай бұрын
Zinauzwa tu karibu 88 mwaka huu 2024 Dodoma zitakuwepo za kutosha kwa laki 3 na nusu tu
@humphreymbuya Жыл бұрын
Bei ya kumiliki mashine ni juze ndugu
@EzekielElisha-h5p Жыл бұрын
dawa ya magugu inaitwaje
@shineknewstv5223 Жыл бұрын
0754314758 Bwana Shamba Chaula
@ezekieljacob579511 ай бұрын
Mfumo wa maisha ya wanaume siyo mfupii unakosea kusema hivyo bali semaa, tunafanyakazi ngumu sana lishe lenyewe dogooo !!! Hapo lazima ufe mapema tu,je ?? Muhogo wa kuchoma na maji kutwa nzima, lazima ukohoe damu.
@anthonynyakunga62707 ай бұрын
Hiyo powwer Tila inauzwa bei gani ikiwa fulu na hiyo mashine ya kupandia bei gani na je kwenye ubichi mwingi inapanda?
@MbarukuSitta Жыл бұрын
Bei ya kupadia karaga shigapi
@shineknewstv5223 Жыл бұрын
Unataka mashine au kupandiwa?
@SaidMweta2 ай бұрын
Nimevutiwa saana,na kilimo chako,pia Nina uhakika una mtanguliza Mungu,maana umesema uta elezea badae namna ya kuvuna kama utafika,na nisimo kubwa la kujifinza kumtegemea Mungu,