Wamezidi sana nanamba za watu sijui wanazipata wapi
@elizabethmkude94522 ай бұрын
Mchomeni moto
@muhammadseif5009Ай бұрын
Huyu iwe fundisho kwa hao wengine afungue kama miaka 30.
@barrysulty17565 жыл бұрын
Hivyo hajamkaba m2 inamaana huo sio wizi na anavyonekana huyo dogo akienda jela anaolewa kwa mchecheko huo m2 anakuowa kbs jipange sasa imekula kwako
@zainabukidangi30445 ай бұрын
Washenzj sana Hawa sio wakuonewa huruma mnajua kusema tuma kwa namba hii
@fatumahassan20445 жыл бұрын
Poleni.. ajari kazini dah.. wizi m baya jamani
@omarymakota22765 жыл бұрын
Muulizeni uyoo betri nani alichomoa morogolo uyo
@magrethkimaro51405 жыл бұрын
Hahaaaaaahaaa omary
@omarymakota22765 жыл бұрын
@@magrethkimaro5140 ndioo tunataka chanzoo ni nini ety 😂😂😂😂😂
@omarymakota22765 жыл бұрын
Chanzoo chaa ajari au kufungwa yanga ety 😂😂😂
@EmanuelMarandu-o2q28 күн бұрын
Unatakiwa apigwe mandee uyu shoga
@AthumanMhina-wf9rwАй бұрын
Siku za arobaini mwizi
@beatraceketto38805 жыл бұрын
Mm naona asihojiwe wamuue wamejeruhi watu sana hili linatakiwa liwe mfano kwawengine
@MohamedJuma-mq8ub4 ай бұрын
Hi
@user-pg8jn6ig4u7 ай бұрын
Jamani????hawa washugulikiwe Balabala
@andersonkinoga63855 жыл бұрын
Hawa matapeli walisha nitapeli elfu kumi yangu ya siku kuu ya Christmas dadeki ni walitiwa kiberiti tu.
@JumabakarBakari6 ай бұрын
Huyu mwamba noma sana
@danielpatrickrobert1255 жыл бұрын
Huyo apewe adhabu kifungo mwaka mmoja na fine na Kazi ya kuwasaka wengine..........wanarudisha watu nyumaa
@jacklinamani75195 жыл бұрын
Duuu kalibu mjin mpka sadek ipite
@NeimaMagaya6 ай бұрын
Ahukumiwe kunyongwa watu wametiwa asal xana
@tausingomeni25685 жыл бұрын
Wakaka wazur cjui wanakwam wapi😂macho yalivyomtoka sasa mamae zake.hapo mikojo kama yoteeee
@dhunnunkatchem90195 жыл бұрын
Watu bhn, umetulia mwenyew hkn ata anayekusifia kuwa we ni HB, asa fny tukio af udakwe, nd utaskia mkaka mwenyew mzur tu maskini😀🤣
@tausingomeni25685 жыл бұрын
@@dhunnunkatchem9019 😂😂😂😂😂😂😂😂👌👌👌aya bhan
@josboy53845 жыл бұрын
Yani nimechk nusu nife yan kijamaa kinajieleza bila kubakixha chochote cjui ujasiri wa kutapel kiliupata wapi maana kioga balaaa😂😂😂😂😂 kama chakike vile muone kisura chake😂😂😂😂😂😂
Huyu anaonekana bado sio mzoefu, mizoefu ni minunda sio mioga, huyu kaminywa kidogo anafungua kodi zote... mammaeee 😂😂😂😂
@bahishaalexander36415 жыл бұрын
Jamani kijana Mbona sura yako bado amependeza natamani maafande wakikabidhiwa walahi kwa Nusu saa ili nikupake hina maana nahisi hawajawahi kuhudhuria shelehe zenu. Mke wangu alishawahi kuwa mhanga, na kwa kuwa unaonyesha ushirikiano mzuri kwa jeshi la polisi nakuahidi utakuwa salama Ila shedo, lipstick, wanja, nikupaka utapendeza kweli kiasi kwa hata ndugu zako wakikuona watakusahau.
@fettamidu25035 жыл бұрын
Washenz kabsaaaaaaa Hawa walishawai nitapeli wanyongwe tu
@JudithAdonis13 күн бұрын
Jamaaniii mweee..... ni huzuni kwa kweli Lkn wapuuzi sana hawa wanarudisha nyuma maendeleo ya watu mmmxxiiiuuuu
Me mwenyewe walimwibia mfanyakaz wangu kwa staili hii
@hamishamis99055 жыл бұрын
Kijamaa kinachomowa siri zote bila woga duh! Hahaha
@allyflavour80055 жыл бұрын
Hawa mbwa kwanini msiwauwe
@ethelkatambala16595 жыл бұрын
Ooh my mwanafunz ww khaaa...
@samsonkaboko51375 жыл бұрын
Washenzi sana walimtaperigi mama angu shenzi kabisa
@jamesukombozi521616 күн бұрын
Wasomi hawa
@priscaaron481318 күн бұрын
Matepeli ni wengi Sana yanatusumbua Sana mitandaoni
@methameth87705 жыл бұрын
Jmn namjua huyu kaka masikin
@fridahdeunique14895 жыл бұрын
🤔🤔
@badymedia96485 жыл бұрын
Wasenge hawa hahah walinipiga kisengesenge yaani sisahau , ngemkamata ningekata kende ntupie mbwa walah
@lisajackson58675 жыл бұрын
had me my natamtafut kwel mbw hyo aliniliza na me
@ayshamahariq66655 жыл бұрын
Axtahili kichapo
@frankj.mhanga73245 жыл бұрын
Dah nishaliwa laki 2,na nusu funga fala huyo
@KelvinJulius-m4nАй бұрын
POLISI mnafanya kazi nzuri...
@marafundujenzi43155 жыл бұрын
Huyo mpumbavu sana mtieni adabu akome
@zainabukivale58245 жыл бұрын
Jamani uyo mtu kaachiwa tayari selekali zetu zaifu sana
@MartinNdalo10 күн бұрын
Kamanda pigeni uyo ngedere kabisa ata Mimi walishaanipiga daah
@McT-m1m7 күн бұрын
Juzi tu kuna mama kaibiwa kazini kwa mwanangu kalia mpaka anabweka kama mbwa wamekuja wakamwambia mama lete simu tukuunganishie ili bando lako lisiwe linaisha haraka akawapa kweli akaambiwa taja namba ya siri akataja alikuwa na laki sita wakaichukua tena wakakopa milion 2 wakaaondoka mda huo akasikia mesaji inaingia kuangali hana salio na simu imekopewa bana alilia sana
@ommymsaghaa9385 жыл бұрын
Yaani nyinyi police mmefeli sana sijuii mnakwama wp
Jamani hta xjui nifanyaje au sjui nisemeje mwaka Jana mwez wa 12karibia na Christmas hawa watu waliniibia karibia laki NNE sitasahau ,,hebu waadhibuni inavyostahili
@JambianPajeАй бұрын
Apewe kichapo na aukumiwe miaka1000
@awadhirajabu77545 жыл бұрын
Sasa Nyinyi Polic Kwanini Mnamuanika Kabla Ya Uchunguzi Polis Vipi Nyinyi Ilipaswa Tuwaone Wote Apo Polic Vipi
@mohamedmbulu42935 жыл бұрын
😂😂anajieleza vizuri
@hafsamansoor39775 жыл бұрын
Kwann lakini sasa umri mdogo km huo uozee jela. Da kisomo chako cha bure
@malalezengo44055 жыл бұрын
Hiyo ni ajari kazini Leo kabambwa akomee!
@kenmaswaga784Ай бұрын
Anaatakiwa kufa huyo
@marygregory75665 жыл бұрын
mpokee Yesu akuponye na roho ya wizi
@6rfaalmuhairi7975 жыл бұрын
Wakamateni wote muwape adabu mm wameniibia milion nzima hao mtaji wangu wote kibanda nikakifunga
@adammakoye41985 жыл бұрын
6rfa almuhairi uza simu sasa upate tena mtaji
@TunauzaSimu-fn2ff2 ай бұрын
@@adammakoye4198 sasa hivyo akieleza njia wanazotumia c wanaelimisha na wengine? C fundishi mazi ila natanabahisha mkiwahoji muhusu njia zao bora isirekodiwe
@lebahatilembris239022 күн бұрын
Hao maafande ndyo tunao waitaji katika serekali yetu ni watendaji wazuri sana MUNGU awatangulie katika kazi maana hao wezi wameibia sana watu ,,..
@Octavinaelisa-fn6js5 ай бұрын
Yaani huyo auwawe kabisa mwizi mkubwa wewe yaani ningekuwa karibu ningekupiga wewe
@tausingomeni25685 жыл бұрын
Atataj wenzie wote kwa uoga wake,halaf linakaa barakuda
Daaah kabanwa mpk kachoka dadadeqiiiii c mchezo balaa
@petermaramsha90445 жыл бұрын
Nakutaman lait ningekuwa nimekushika mm sizan kama ungeweza hata kuongea
@StAr-yu3vz2 ай бұрын
Mie sio mara moja tu ira wamenikosa simu irikuwa aina pesa😂😂😂
@user-uw7er1ec3vАй бұрын
Anatakiwa ahukumiwe miaka 55
@AllyKija2 ай бұрын
Mwenyewe kaulamba kumbe mwizi waliwai kunitapeli Hawa pesa za mgonjwa tena alikuwa wodini nyie polisi hebu niambieni mnae wapi huyo nije angalau nipoze nafasi yangu shenzi sana hawa mbwa
@sudymgeni7015 жыл бұрын
Yani mkateni pumbu yakushoto ili ajue wizi mbaya..
@JOANESSLVESTAR24 күн бұрын
Piga uyo
@issaibrahim70635 жыл бұрын
Dah! Huyu mtoto wa mtaani kwangu kbs yaan
@lisajackson58675 жыл бұрын
ndo aache tamaa angeuz tikt maj kun mtu angemkamta tamaa nying kupend stareh n pesa hana
@issaibrahim70635 жыл бұрын
Kweli Bora angeuza hata kahawa
@lisajackson58675 жыл бұрын
@@issaibrahim7063 ndio angeuz kahawa kaz kusngizia ajira hakun kulaumu serikal kil dk untk serikali ifanye nin coz wasomi n wengi sana tanzania ikiwapa kz itawalipa nin jamani sasa hiv kil mtu an degree ukion kaz hakuna vijan jishughulisheni kun kijan mmoja pale tabata the great park kamaliz ifm degree na kaz hakuna lkin anauza beans bukubuku
@issaibrahim70635 жыл бұрын
@@lisajackson5867 duh? Huwapendi watu hawa au nawe washawai kukuingiza mjini?🏃🏃
Kweli kala kichapo cha nguvu mbaka analopoka tu kama kanywa maji ya choonii
@priscilarkahindi91265 жыл бұрын
Hahaha ka finywa makende na spana😂😂😂
@annawilliam19115 жыл бұрын
nakumbuka paka nyie nilivoibiwa karibia lak 5 na AAA
@StAr-yu3vz2 ай бұрын
Ndio dawa yako mwizi siku zake 40😂😂😂😂
@videoginnah19735 жыл бұрын
Mkaka mzur ila jambaziii
@rukiasalim25125 жыл бұрын
Jamani jamni afande ongeza kumtia kibano siwapedi hawa watu leo siku ya tatu nimeibiwa Mimi laki na 70000 maskini kwa kudanganywa mtoto wangu kaanguka gafla shuleni yupo esiyu nitume pesa haraka daaah kumbe ni utapele sina hamu😂😭😭😢
@credo78375 жыл бұрын
Duu
@aquarianknight5 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
@matridamwangwale91435 жыл бұрын
Funga hao wanatuibia hao
@JosephineMegora2 ай бұрын
Ajui nahic kama wanamrecod
@johnpaulkirenga58245 жыл бұрын
Muuue
@annapeter49944 жыл бұрын
Mfungeni kabisa wameibia watu mno.
@NorahMichael-e4k25 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢
@salimharrasy70477 ай бұрын
Wakamatwe wote wafundushwe kujitegemea sio kuibia wanyonge.
@hadijaabdallah54775 жыл бұрын
Maskini mkaka mzuri dah
@annapeter49944 жыл бұрын
Afungwe kabisa na kwanza warudishe hela waliibia watu