Рет қаралды 1,568
Uundaji wa boti za mbao ni miongoni mwa tamaduni maarufu na kongwe kwenye ukanda wa Pwani wa Afrika Mashariki. Huundwa kwa kutumia mbao na magogo yakuchongwa na husafiri mbali baharini kwa kazi za uvuvi au usafirishaji wa mizigo. Je uundwaji wa boti za kitamaduni unapaswa kudumishwa ama kuna haja ya matumizi ya boti za kisasa? Kurunzi 25.10.2019: Mtayarishaji Ahmad Juma.