Рет қаралды 7,132
Sheikh Salim Said Rashid ndiye Katibu Mkuu wa Kwanza wa Baraza la Mapinduzi la Zanzibar na anakiri hapa kwamba yeye na wenzake walijikuta wakitumiliwa tu na Mwalimu Julius Nyerere katika suala zima la kuiingiza Zanzibar kwenye Muungano.