Tatizo kubwa la Z'bar na la msingi halizungumziwi bali, yanayozungumzwa ni matokeo ya msingi wa tatizo lenyewe. Shida ya wananchi wengi wanapotoshwa mantiki halisi na kuzungumzia athari ya msingi wa tatizo lenyewe-Poleni sana shida ni yenu na wasimamizi wa visiwa vyenyewe ni wapishi wa hizo shida.
@princeganji27795 жыл бұрын
Tv ambayo inauzwa hapa unguja ukienda tanganyika huinunui lakin ss wafanyabiashara hapa unguja tunajitahidi kuuza rahisi Ila watanganyika wamepandisha ushuru ili kutengeneza mazingira wazanzibar tusiuze Ila tuwambie tu ndugu zetu sisi hatuanguki Kwa sababu yenu nyinyi we still fight
@sajidabakari98095 жыл бұрын
Mie nataka 📺 Tv ndugu yang, ntapata kwa kiasi gani huko?
@fatmaaly96865 жыл бұрын
KTV nyinyi noma mungu awalipe kheir kufichukua maovu na machafu 😎
@dulakess89285 жыл бұрын
Wanalipishwa ushur Mara mbili hvyo wabongo hawawez kja kvhkuwa tv
@josej98885 жыл бұрын
Vitu vya used ni vizuri ila vikiamua kuharibika Hodi kwa haziishi.
@samsungjsevenprime57175 жыл бұрын
KTV TZ ONLINE HAKIKA HII NI FAHARI YETU
@mohammedramadhani17513 жыл бұрын
Mm nina shida ya pirate 657 B simu smart 5 Infinx
@belgieboys98675 жыл бұрын
maana nyengine maelezo ni mengine. kwani musiweke maana "Tanganyika inawalipisha ushuhuru mara mbili biashara inakufa znz" ukisikiliza malalamiko wanunuzi ni kutoka bara sasa kule hukamuliwa ushuhuru TATIZO NI SHETANI LILELILE MUUNGANO
@kitalechapombe66025 жыл бұрын
Bara ulaya wew punda wee,mnadai zanzibar nchi mji mkuu upo wapi?
@kitalechapombe66025 жыл бұрын
Nyie mbona mnafirana nawakati ile ile njia yakutolea mavi.alafu mnasema zanzibar nchi.hii siyo nchi huu mkoa.kama hii nchi nendeni mkawatoe wasenge wenzenu uamsho.
@kitalechapombe66025 жыл бұрын
@Hamed Amour tulia wew mpumbavu wèwe unajifanya unajua kumbe taflani tuu.zanzibar siyo nchi narudia tena zanzibar siyo nchi...............huu mkoa ukitaka kuamini muulize mizengo pinda wazir mkuu mstaafu atakwambia
@fadhilahaji87195 жыл бұрын
Bara si ulaya ustaarabu hamna kazi matusi na umbea tu ndo mnalolijua nyooni mxiuuu
@amourtido91725 жыл бұрын
tulia ww kiazi unajua kila kitu mmekopi zanzibar. soccer, siasa biashara, music ila ustarabu tu mnajaribu kuiga lkn hamuwezi cos nyy mishenzi mikabaji wauwaji watekaji umalaya mwingi yaan du!
@oopsm35745 жыл бұрын
Chembelepo ukisafiri kwa ndege kwenda dar husachiwi wanasema hiyo internal flight, lakini kwa boti utakoma kamasi za pua zitakutoka
@SaidMohamed-k9h5 ай бұрын
Mbona mada na mahojiano ni vitu viwili tofauti,hamna welding waandishi
@AYUBINHAMISS11 ай бұрын
Nipo daslam maduka ya dar yapo wapi
@gracewandwi24677 ай бұрын
Abdul, naomba nitumie No
@selemanjuma81475 жыл бұрын
Nikweli
@nabzchannel90275 жыл бұрын
Zanzibar will not develop at all if the people don’t fight for their rights,😪
@belgieboys98675 жыл бұрын
watanganyika salimin alivyofanya kuifanya Dubai ya zabibu wanafiki na watanganyika wakatufanyia Dubai ya makorokoro
@fatmahamed32855 жыл бұрын
Uwii machogooo oyeee Tanganyika ulaya lkn tunakunya kweny mifuko kukoga hatujui ila tunawzarau wazanzibar why
@kautharjay58683 жыл бұрын
Watu wabahir sijui maana wanashindwa kusikiliza video ndo watoe comment ,ona Sasa wanatukana bila kujua
@shammoha52975 жыл бұрын
Used things sio mbaya ikiwa inabei nafuu pia vitu vyenyewe vinadumu mda mrefu
@josej98885 жыл бұрын
Vinadumu lakini kwamwaka mmoja hodi kwa fundi haziishi.
@shammoha52975 жыл бұрын
@@josej9888 Ahhh basi hazifai. Mwaka sio kitu. Yafaa miaka 3 hadi 5
@princeganji27795 жыл бұрын
J JOSE hawa Bila ya used mungejua tv nyinyi mungejua maoveni mungetumia katel nyinyi chuki tu na uhasidi mitanganyika
@shammoha52975 жыл бұрын
@@princeganji2779 We umezoea kutusi wenzio ehh? Halafu unawadharau binaadam wenzako? Mbona used things zipo Ulimwengu nzima. Hussein Juma sina la ziada ila aliye juu msubirie chini 😜
@princeganji27795 жыл бұрын
Sham Moha hahahhahah shah ww umeona message zangu tu soma na zao acha shobo
@dazuuhmd8195 жыл бұрын
Tnz bara wamezidi sana kitu umenunuwa unatakiwa ulipe pesa nyingi sana
@fatmajumaa10695 жыл бұрын
Poleni ndio biashara musichoke kutafu riziki kila mtu na ridhiki yake
@alihaji72015 жыл бұрын
Ipo haja Sasa Zanzibar na sisi kila anekuja c mzungu c Africa km c from zenji Kodi y kila kichwa buku tano lzm
@MercySisilo5 ай бұрын
Una draya za salon
@ibrahimaziz71585 жыл бұрын
Pesa hatuna tutawezaje vipya
@fatmahamed32855 жыл бұрын
Ila ukitak kua mbaya dai chako
@belgieboys98675 жыл бұрын
nilivyosikiliza maelezo na maada ya ktv ni tofauti SHETANI ndio LILELILE MUUNGANO
@Apeacfulguy5 жыл бұрын
Mbona munapata tabu sana kodi ikipandishwa bila huruma na wewe pandisha bidhaa zako bila huruma
@brownjumbe95 жыл бұрын
Vitu vishakua vya used lkn bado wanauza km vipya y.
@princeganji27795 жыл бұрын
Njoo ufanye ww biashara ili ujue biashara sio unapayuka tu
@saidiyusuph55775 жыл бұрын
Ko ni nchi mbili? Sasa ushuru mkubwa unatoka wap? Wakati yote ni Tanzania?
@suleiboy52305 жыл бұрын
da kwahili wacha nipite tu leo nimechoka sitochangia kitu
@mangulymanguly1395 жыл бұрын
Bara Co wanabana ushuru mmezidi kuleta taka taka za warabu kwani cc uko Dubai atwendi tunaenda kila ck lakini atutaki kubeba uo uchafu maana dola elf 4 tu unajaza contena uza vitu vizuri kama kutoka uturuki India bei rahis na imara usichukue bora bidhaa chukua bidhaa bora
@mangulymanguly1395 жыл бұрын
@Hamed Amour labda nikujuze tu mm sijawahi kufanya Kaz kwa mtu na wala cto fanya Kaz kwa mtu ao warabu mm nawaona kama takataka tu mm namfagilia mzungu mwenye akili zake kila kitu ktk hii dunia katengeneza mzungu, ww Leo hii unaangalia TV ya mzungu unapanda gr la mzungu ndege ya mzungu tren bus zahabu anachimba mzungu mafuta mzungu ao warabu labda kula tende tu
@mangulymanguly1395 жыл бұрын
@Hamed Amour waarabu walikua awasikii mafirauni ndo maana wakashushiwe mitume ata kipindi iki c unawaona kuna mtu firauni duniani kushinda mwarabu iyo dini yenyewe uislam Jina tu awana habari nayo dini inapiganiwa na wahindi na wasomari wao bata tu
@mangulymanguly1395 жыл бұрын
@Hamed Amour mm Co mkristo mm ni muislam Safi kabisa uo uislam unaendelezwa na wahindi ndugu yangu ktk Imani ao warabu wameuacha uislam ila kama unabisha bisha tu uo ndo ukweli halis
@mangulymanguly1395 жыл бұрын
@Hamed Amour kumbuka mada ilivyo aanza mm sijambagua mtu ila ulizungumzia uislam na warabu ni kakwambia warabu uo uislam wameutupa kabisa na uo ndio ukweli yaani ni wa mm na kama wasingekuwa wa mm uislam ungeenea kwa Kas sana mm ndugu yangu natembea naona wahindi wanavyo jitahid ktk dini ww fiisabil laahi umemuona mwarabu gn? Iyo Co chuki ni uhalisia
@mangulymanguly1395 жыл бұрын
@Hamed Amour uko sahihi kabisa ila warabu Co waislam ni Muslim maana ndo wabaguz wa kwanza duniani angalia wanavyo watendea waislam wenzao kama vile waindonesia wahindi wafilipino wanawatesa wanawachoma na pas wanawarusha magolofani vitendo viovu vingi tu ww mwenyewe unavijua je uo uislam ndo unasema ivyo ayo ndo mafundisho ya mtume wetu
@wuwubdywiwiwisu64994 жыл бұрын
Chakuweni tu ccm yenu
@mundhirabdulrahman43125 жыл бұрын
C ndio dubai yenu hiyo
@belgieboys98675 жыл бұрын
watanganyika salimin alivyofanya kuifanya Dubai ya zabibu wanafiki na watanganyika wakatufanyia Dubai ya makorokoro balaa
@fadhilahaji87195 жыл бұрын
Dubwana limebana kila pahala lol
@gangmore90914 жыл бұрын
Mungano oyyyeeeeee tutaisoma number bandari huru wameiyondoa tutaisoma number
@hajiabdalla57725 жыл бұрын
Tatizo nyote biashara moja .inafanana
@princeganji27795 жыл бұрын
Pole sana Kwa uchizi
@rashid.mwenyezimunguakurin29685 жыл бұрын
hapo hakuna muungano
@mamawa3mamawa3215 жыл бұрын
Bandarini wanaudhi sana sana
@awadhirajabu77545 жыл бұрын
Wazanzibari Ndio Wanaosambaza Uchafu Kwasababu Badala Ya Kujituma Wajenge Viwanda Matokeo Yake Wananunua Vitu Vilivooza Na Kureta Uchafu Uku Bala Kuchafua Ali Ya Ewa Bola Wabanwe Tu Uchafu Wanaleta
@amourtido91725 жыл бұрын
kiswahili kinakupa tabu kidg
@suleiboy52305 жыл бұрын
du jamaa amekuotea
@josej98885 жыл бұрын
@Hamed Amour Mzanzibari nimsafi nje ila ndani nimchafu kuliko mhindi.
@josej98885 жыл бұрын
@Hamed Amour Naona unatumia NGUVU nyingi sana kucomment humu upuuzi, halafu hilo unalosema sikuwahi kuliona nakama lilikuwepo bac nizamani sio karne hii tena, halafu Kwakuwa wazanzibari nimaskini nawakija bara wanapanga nakukaa nyumba zakimaskini/wapangaji, yale yawatu wachache mnayoyaona kwa watu maskini mnadhani wabara wote wapo hivo, jaribu kukua kiakili nasio kukalili jambo moja kila pahali unaongea hilohilo tu.
@josej98885 жыл бұрын
@Hamed Amour Huna hoja yamaana halafu inaonekana wewe nimbinafsi sana, hapa bara kuna wapemba wangapi nawaunguja wangapi wamejenga wakaoa nawanafanya biashara zao bila buguza? Halafu inaonekana hujitambui na hujui wazanzibari wafanyabiashara wanategemea sana wanunuzi wa biashara zao kutoka Tanganyika? Ukiendelea nawivu wako na ubinafsi wako utakufa maskini na hutakuwa namchango wowote kwenye family yenu.
@shammoha52975 жыл бұрын
Ushuru lazima kokote kule
@oopsm35745 жыл бұрын
Ndani kwa ndani au sio?
@princeganji27795 жыл бұрын
Hujui unachokiongea kaa kimya
@shammoha52975 жыл бұрын
@@princeganji2779 Ehh, we ndio unaejua kila kitu. Ndio maana watu kun'gan'gania ulaya na kushindwa endeleza nchini mwao. Ulaya imejengwa kwa kodi za wafanya kazi. Jua hilo mjuaji 😉