Waziri wa Ardhi Jerry Silaa kwenye #Clouds360 kuzungumzia mambo mbalimbali yanayohusu umiliki na migogo ya ardhi
Пікірлер: 15
@johnluis359 күн бұрын
Mama akistaafu upewe Kijiti uendeleze kazi.. Uko vizuri jamaa Mh waziri chapa kazi 👍
@joelyngomuo744114 күн бұрын
Ni kweli kabisa Kesi za Ardhi zinatakiwa kuundiwa mahakama yake maalum tofauti kabisa na mahakama za kawaida na ziundwe kwa mfumo ambao hauwezi kutumika kwa hizo janja janja za kisheria. Mabaraza mengi ni chanzo cha migogoro yamejaa watu wasiojua sheria hongera sana kaka Jerry .Mungu akulinde daima
@mohamedkitemwe356915 күн бұрын
Asante Sana Mh Jerry Silaa kwa kazi mzuri unayo fanya
@user-vt9pl1bz6x15 күн бұрын
Balua azijibiwi katika ofisi Yako waziri kwa wakati shugulikia ilotatizo watuwengi wanalalamika sana
@user-qd1fc4mq6o14 күн бұрын
Mh waziri MUNGU hame kufunulia hili mawaziri wengi wa ardhi wali feli kujua hili sababu hawakuwa wafutiliaji migogoro ya ardhi kuhipeleka mahakamani sio kutatua tatizo Bali kuhongeza matatizo maana wao Wana hangalia vie lelezo bila hata ya kufika site vielelezo vinagushiwa mashahidi wa kununuliwa. Humeshindwa kujieleza hata kama haki ni Yako hunakosa. Mahakama zipe kipa humbele mashahidi wanao zunguka eneo la mgogoro Kwa kwenda. Kuliko hushahidi wa makaratasi watu wanagushi. Hayo mahoni yangu
@MisMona-oo6zk18 күн бұрын
Msg nzuri sana😊
@awazioga182317 күн бұрын
Nikirudi bongo yule mzee wa kichaga lazima abomoe nyumba yake kwani amejenga kwe kiwanja chetu .
@josephjohn211415 күн бұрын
Nashauri utengezwe mfumo unaosimamiwa na wizara ya ardhi wa maauziano ya ardhi rasmi na isiyo rasmi ili kuondoa double sales. Nadhan itaondoa kabisa hili tatizo.
@romastasenterprises444715 күн бұрын
Ardhi Temeke ni wasumbufu haijawahi kutokea. Ukifuatilia hatipale utajua hujui. Kwa ujumla watendaji wa Ardhi hasa mkoa wa Dar es salaam ni Miungu watu.
@patricialiveti352018 күн бұрын
Nimekuelewa.
@msebishimwinyi412118 күн бұрын
Mchapa kazi
@suhaadhamed708418 күн бұрын
Yote unayo ongea mbona hukutenda haki km ulivyo kula kiapo kwa mh Raic na Wana nchi kuwatendea haki Ila pale MTAA WA manyema no4 kariakoo kwenye nyumba ya wasia na waqfu kile ndio kiapo chako, watu kudhulumiwa naww hufanyi kitu, ss serikali na mwenye pesa nguvu anayo Nani, fanya kazi yko kwa uadilifu ili mama wa nchi ajivunie ww insh
@zainab825115 күн бұрын
Kwani wewe una mgogoro wa halisi jamani mbona mbona anafanya kazi nzuri