Moja kati ya maudhui mazuri Sana katika namna ya kuweza kufaham mambo lukuki ambayo yamedadavuliwa vema Sana. Hongera sana Kwa mtayarishaji wa kipindi, watangazaji lakini kongole za kipekee kwa Mr.John Ulanga kwa kutoa darasa lenye manufaa mengi Sana kwa wenye uhitaji wa kujifunza vitu mbalimbali. 👏🏽👏🏽👏🏽
@douglasedsone27544 жыл бұрын
Very powerful talkings.Youth should take time for this....
@mohammedchende66434 жыл бұрын
Nimejifunza mengi kwa muda mfup...!!! Mungu wabariki
@jacksonrutayuga4193 Жыл бұрын
Great class!
@stivejayngoga14038 ай бұрын
Great!!
@elisanteelisante1724 жыл бұрын
67
@elisanteelisante1724 жыл бұрын
A see naomba namba ya huyu ndugu yakwangu0714146268
@PataWateja4 жыл бұрын
Kazi ya kiongozi ni 1. Kutoa DIRA/VISION 2. Kutoa Muelekeo DIRECTION/Tunaendaje. 3. Kutoa HOPE/Matumaini