WANASIASA 15 AMBAO RAIS MAGUFULI ALIWAPENDA SANA ENZI ZA UHAI WAKE

  Рет қаралды 347,454

DAY 2 NEWS

DAY 2 NEWS

Күн бұрын

Пікірлер: 506
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 2 ай бұрын
Tutakukumbuka daima Magufuli ❤❤
@lordsm.k-db3wy
@lordsm.k-db3wy 11 ай бұрын
Sio MAGUFULI tu HATA mimi Niliwapenda
@mrsab303
@mrsab303 Жыл бұрын
I miss you Magufuli always remember you rest in peace❤❤❤❤❤
@StevenKisinda-x8n
@StevenKisinda-x8n Ай бұрын
Kikosi cha mzee magufuli nilikipenda sana kwa sababu kilikuwa kinafanya kazi kwa weredi mkubwa sana na penda sana kikosi namba 45 hicho kiludi
@personpeter2221
@personpeter2221 Жыл бұрын
Mwamba umejtahid sana nmeipenda sana endelea kuleta update zote nzuri aliyoyafanya HAYAT MAGUFURI RIP 🙏
@tielyelibariki8958
@tielyelibariki8958 2 ай бұрын
Mchambuzi binafsi nakushukuru umetuletea Kilichokuwa sahihi, ila Kwa Sasa moto umezimwa kabisa, wapi Majaliwa niliyekuwa namjua Mimi wapi Mingo nilikuwa namjua Mimi Hawa watu wote ni hazina kubwa sana Mungu awabariki, tunamuomba makonda wetu.
@josephombewa9828
@josephombewa9828 2 ай бұрын
Mimi kama jirani wenu kutoka Kenya, nimefurahishwa na kuchapa kazi kwa prof. John kabudi na Kasim Majaliwa. Hongera kwao.
@raphaelthobias433
@raphaelthobias433 Жыл бұрын
Aisee zungu unatisha sana mzee,,,wee ni fire
@YusuphMakene
@YusuphMakene 11 ай бұрын
Mbona umemsahau mrJaffer wzr Tamisemi
@livesmwamba8233
@livesmwamba8233 Жыл бұрын
Teuzi zake hazikuwahi kuniangusha hata siku Moja R.I.P Mwamba
@josephatdunda1937
@josephatdunda1937 Жыл бұрын
Kabisaaa🤝🤝
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 Жыл бұрын
na walikua jembe kweli kweli km.JPM❤
@kainibachungege3430
@kainibachungege3430 11 ай бұрын
Nimelenda Sana uchambuzi wako Hongera Sana
@cdctz
@cdctz Жыл бұрын
Daaah UMENIKUMBUSHA MBALI SANA MASIKINI JPM
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Kabudi ni mzalendo❤
@ngwegwenurdin4318
@ngwegwenurdin4318 Жыл бұрын
Wasomi wa kitambo.
@JILBERTDaniford
@JILBERTDaniford 2 ай бұрын
I WILL NEVER FORGET HIM. JPM YOU ARE OUR SWEET LEGEND IN OUR LEFT GENERATION
@titus_maridhia
@titus_maridhia Жыл бұрын
Nakubaliana na utafiti. Imenikumbusha maisha mazuri tuliyoyaishi kipindi chake JPM
@kisangageorgethomasi2830
@kisangageorgethomasi2830 Жыл бұрын
Maisha yapi?
@paulhando6286
@paulhando6286 Жыл бұрын
Hata Mimi bado nawapenda sana, hasa zaidi Waziri mkuu, Kabudi Polepole ahh wote tu.
@maulidimuhammed7851
@maulidimuhammed7851 Жыл бұрын
Huyu Kabudi na Poleople wanafiki wakubwa wasiosimamia misimamo yao Hao ni wanasiasa vinyonga hawaaminiki na hawakubaliki.
@scolasticakaduma5143
@scolasticakaduma5143 11 ай бұрын
Hii timu iliyowekwa na JPM tunaitaka sasa hivi. Mama Samia tunakushangaa na hizi takataka ulizoziweka kipindi hiki. Mambo mengi yamezorota sana.
@marymchina6557
@marymchina6557 11 ай бұрын
Eh! MUNGU Tukumbuke Watanzania uwainue wakina MAGUFULI wengine Amen
@gagalinodenatrick1652
@gagalinodenatrick1652 11 ай бұрын
Tatizo lenu wa tz hamna shukran kabisa
@vwctvtanzania
@vwctvtanzania Жыл бұрын
Kilekipindi cha JP haukuwa unatamani uikose taarifa ya Habari , na taarifa ikiisha unaona Kama imeisha mapema ,lakini wakati huu mtu unashindwa kuangalia unaona wazi waliopo wengi Wana muumiza Mama yetu mpendwa Rais , kwani akiongea wanaitikia kuwa nita fanya sintokuangusha mh lakini kesho huyo huyo anaharibu wananchi wanona mambo,na wanalia Wana uchungu kwenye mioyo wanahitaji kutibiwa majeraha Yao , je Nani atakae watibu, tunaweza kusema Mungu atawawatibu maumivu ya moyo nikweli ,lakini Mungu anatumia Mtu kumponya mtu aliye jeruhiwa kwa maisha nk, Kama alivyo mtumia JP, Kama umeelewa ujumbe huu, like yako yamuhimu kuwa umenielewa,
@ktznews9250
@ktznews9250 Жыл бұрын
Naunga mkono hoja
@najmamussa
@najmamussa 11 ай бұрын
Hats magazeti dada mne. Yamekwisha
@najmamussa
@najmamussa 11 ай бұрын
Hata magazeti. Saa nne. Yamekwisha
@ReubenRaymond-zh4yw
@ReubenRaymond-zh4yw 2 ай бұрын
Hongera kwa uchambuzi huo
@SamB-vd1vl
@SamB-vd1vl Жыл бұрын
Ndugu Jaffo umemsahau. Alikuwa top 10 kipenzi. Ni mchapakazi kwa kweli
@EdinaMwakitwange-x2l
@EdinaMwakitwange-x2l 2 ай бұрын
Samia apna 😢😢
@oscarkasalile3966
@oscarkasalile3966 Жыл бұрын
Ally happy hakika nakupenda sana
@thomaskwibonelwa9240
@thomaskwibonelwa9240 Жыл бұрын
Best than any other. Kuwapoteza Ni kupoteza taifa.
@stephanokanyika6321
@stephanokanyika6321 Жыл бұрын
Kiukweri mimi nashukuru sana mtangazi kwa kunikumbusha hili nimekumbuka mazuri mengi ya uongozi wa magufuri
@philojia2744
@philojia2744 2 ай бұрын
D2N hongera Sana kutupatia stori nzuri ,ubarikiwe Sana.
@-TECHNICIAN
@-TECHNICIAN 11 ай бұрын
MIMI HAO WOTE UMEWATAJA NAKUBARI WALIPEDWA SANA NA MAGUFURI BROTHER UKO VIZURI KWA UCHAMBUZI
@emmanuelnzaligo6262
@emmanuelnzaligo6262 Жыл бұрын
Duuuuuuuu!!!! Yaaani Sina mashaka na utafiti wako.nimependa.
@aliymwazoa3051
@aliymwazoa3051 11 ай бұрын
Ummy mwalimu pia alipendeza sana katika jicho la mhe
@MaryStambuli-r4p
@MaryStambuli-r4p Жыл бұрын
Tutamkumbuka daima milele. RIP JPM
@Japhary-sx3je
@Japhary-sx3je 11 ай бұрын
Kama unaelewa utakumbuka sana rais huyu anapenda wachapakazi
@EdwardCharles-hm4fz
@EdwardCharles-hm4fz 2 ай бұрын
Mmejitahidi kutengeneza safu vizuri kweli
@salumhassan4309
@salumhassan4309 11 ай бұрын
Kama walikuwa wanaiba lakini kazi inayo fanywa ilikuwa inaonekana
@StephenMundi-hv1lv
@StephenMundi-hv1lv 11 ай бұрын
Hapa umepatia mzee 👏👏ila magu alikuosea kwa makamu wa Rais tu
@NeemaIssah
@NeemaIssah 2 ай бұрын
Hilojopo ndilo lilikuwa jopo lawazalendo wapenda nchiyao
@JeanMuzaliwa-bs6qh
@JeanMuzaliwa-bs6qh 2 ай бұрын
apana kbs
@aminaomary5567
@aminaomary5567 3 ай бұрын
Mimi nampenda sana makonda:majaliwa: polepole:samia:jaffo: chalamila:sendega Rc Manyara:Ali happy❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@FrankNgadallah
@FrankNgadallah Жыл бұрын
Uchambuzi mzuri sana barikiwa kwa kazi yako
@ZenaUsangi
@ZenaUsangi 2 ай бұрын
MAKONDA MPAKA LEO TUNAMPENDA MUNGU AMLINDE LEO NA KESHO
@karimmveyange2558
@karimmveyange2558 Жыл бұрын
Hii ndio team iliyo ipaisha TZ mahala pa juu saana na heshima kwa Taifa. Lakini kwa akili za kiTanzania,aaaah! Hawafaiii. Leo hii unaona mahali Taifa lilipo? Ni aibu tupu
@lilianHigilo
@lilianHigilo 6 ай бұрын
Hata mimi niliwapenda sana
@JohnSilaja
@JohnSilaja 11 ай бұрын
Hata mm hiyo list ni naion🎉a ndo ilikuwa injini ya JPM .WoTe walikuwa ni watu wa hapa kazi tu.maua yenu bhana.
@msafiriomary893
@msafiriomary893 Жыл бұрын
JPM arikuwa anapenda uchapa kazi
@HellenNkwera
@HellenNkwera Ай бұрын
Wewe baba ungetuwekeagaa ataa mwinyii awe makamoo wakoo😢
@vincentakulumuka4961
@vincentakulumuka4961 Жыл бұрын
Excellent job bwana Zungu upo vizuri
@salumsalim7564
@salumsalim7564 Жыл бұрын
R.I.P mzee hatokei km ww
@lucaskashimwita6386
@lucaskashimwita6386 Жыл бұрын
nimejikuta nalia sana .Daa jpm rip baba yetu
@bonnymakuke3153
@bonnymakuke3153 2 ай бұрын
Bila jafo hakuna ki2 hapo jafo alipendwa Sana!
@prospermsemwa1433
@prospermsemwa1433 10 ай бұрын
Hapo nchi ilikua salama kwa mapinduzi ya utqwala bora maisha bora nchi isio dona g County
@tuntufyemwaitebele
@tuntufyemwaitebele 2 ай бұрын
Magufuli chuma kweli kweli
@JamesLongooy
@JamesLongooy Ай бұрын
pumzika kwa amani Dkt JPM
@millitarybattalion7515
@millitarybattalion7515 Жыл бұрын
Nimependezwa sana na Uchambuzi wenu .. hakika mnastahili 5star
@hamismbwani4655
@hamismbwani4655 10 ай бұрын
Wow big up Uncle MAGU
@georgemedeye3469
@georgemedeye3469 Жыл бұрын
Mngesema watu walioaminiwa sana, maana kuna wengine kama Kijazi hawakua wanasiasa
@ngwegwenurdin4318
@ngwegwenurdin4318 Жыл бұрын
Bila ya kumsahau S.Jafo
@Ambagaye
@Ambagaye Жыл бұрын
Uchambuzi wako mzuri sana. Ninaona kama Mama Samia ametumia nafasi yake ya sasa kumdhihaki Magufuli sana; akutukanaye hakuchagulii tusi.
@nassorbinfundi1196
@nassorbinfundi1196 Жыл бұрын
Kumdhihaki nin sasa, hautafit vizur
@alhamiibrahim1289
@alhamiibrahim1289 Жыл бұрын
Akili Huna baada unqualified hapo ulipo unaelekewa jnawaza yaliipita Usifosi viongozi wafanane
@Ambagaye
@Ambagaye Жыл бұрын
@@alhamiibrahim1289 Wewe ndiwe huna akili kama umeshindwa kuelewa uchambuzi wa aliyeleta video hiyo; mimi sikuitengeza video hiyo
@dj26number2
@dj26number2 Жыл бұрын
Sipati jibu kwanini mama kamtupa kabudi🥲🥲🥲🥲🥲🥲🥲
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Жыл бұрын
Alitukana na kuidhalilisha ya wasomi kusema alitolewa jalalani yaani kuwa profesa wa chuo kikuu ni umaskini na wasomi wengine kama yeye ambao wako nje ya mfumo was Magufuli wako jalalani na vijana wote wanaopita vyuo vikuu hapa nchini ni majalala aliwakosea sana wasomi anatakiwa kuwaomba radhi
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 Жыл бұрын
sababu kabudi sio mwizi ye kayachagua majizi menzie mengine yalikua yamesha staaf kayarudisha kwa lazima ili waibie watanzania
@calabash4221
@calabash4221 Жыл бұрын
​@@marcokaroje8980 umepotosha alichokisema Kabudi...yeye alikuwa tayari mstaafu...na ndicho alichofananisha na jalalani....
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Жыл бұрын
@@calabash4221 kwa hiyo wastaafu wako jalalani?bado na wewe unaungana na lugha za wanaojikomba wasionacho waendelee kuumia
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 Жыл бұрын
@@calabash4221 achana nae mjinga huyo kilajema analimaanisha vibaya liache usijisumbue kulielewesha lijinga halito kuelewa
@IddiMbiguni
@IddiMbiguni 2 ай бұрын
Hawa ndiyo wanafaa kukaa na mama
@aloycejangantoroki6252
@aloycejangantoroki6252 Жыл бұрын
kwenye safari ya WANAUME ukiweka MWANAMKE hamfiki salama, huo ndoo ukwel.
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Жыл бұрын
😂😂kabisaa
@boniphacepastory9898
@boniphacepastory9898 Жыл бұрын
Hawa walikuwa ni viongozi huo ndo Ukwelii
@josephatdunda1937
@josephatdunda1937 Жыл бұрын
Hiyo haipingiwi, na watabaki kuwa bora daima maana walifanya kazi kwa uzalendo mno sijuw huyu kwann kawaweka mbali
@MatayoLekitonyi
@MatayoLekitonyi 2 ай бұрын
Pole sana ndugu yangu watanzania naomba sana Mheshimiwa Paulo
@OscarEdward-tl2gi
@OscarEdward-tl2gi 10 ай бұрын
makonda is the best for all
@bobdee3395
@bobdee3395 Жыл бұрын
mmemsahau mabeyo tuu sem yeye sio mwana siasa
@adrofuzakariamwaihoyo2957
@adrofuzakariamwaihoyo2957 Жыл бұрын
Nazani Leo nimekuwa MTU wa kwanza
@ernestpsimone2430
@ernestpsimone2430 Жыл бұрын
Tanzania mbarikiwa kuwana watu wazuri, yaani viongozi Bora
@yonaidris8305
@yonaidris8305 Жыл бұрын
Katka uongoz mbov uliowah kutokea ni awamu ya 5.
@asteriashios1852
@asteriashios1852 Жыл бұрын
@@yonaidris8305 mbovu sana wengine ni mabomu humu ndani ni hatari Kwa nchi
@oscarkayuni9086
@oscarkayuni9086 Жыл бұрын
Wewe unayewaita hao 15 na watano washenzi wewe umewahi kuitendea Nini nchi tangu uzaliwe .umethubutu kuifanyia Nini Tanzania.Utampata wapi mtu kama kasim Majaliwa.kama Maghufuri alimteuwa mtu maana yake walikuwa wote na Samia.wote hao tuliwapigia kura siku Moja na wote Samia na magufuli walipata kura sawa kama mgombea mwenza wa magufuri . Na viongozi wote hao waliwekwa na Mungu na sii vinginevyo.kuna watu wamezaliwa na mambo ya ajabu Sana.wamezaliwa na karama za KULALAMIKA na hakuna anachokifanya hata Kwa ndugu zake mwenyewe. Magufuri na Samia walikuwa kama BAba na mama ndani ya nyumba Moja (TANZANIA) wote waliongozwa na Sheria mbili tu kati a ya nchi na Ilani ya ccm na itabaki hivyo ndani ya miaka 💯 ijayo. Na wengine mnaowatukana hao mmefikishwa hapo mlipo na ccm hiyohiyo .nashangaa inakuwaje mtoto unamtukana mzazi wako kiasi hiki.viongozi wanapoteua watu msiwatukane Bali waombeeni Kwa Mungu ili watende vema.Tuwaombee Kwa mora wetu wateule wote badala ya kuwalaani na kuwakejeli .
@salimalaquimane3077
@salimalaquimane3077 Жыл бұрын
We miss you papa 😭😭😭😭😭
@GabrielMwakasege-sx9wv
@GabrielMwakasege-sx9wv Жыл бұрын
Hii timu ndio tunayoitaji mpaka saizi
@erasmusaloyce4398
@erasmusaloyce4398 17 күн бұрын
Kwenye list Yako muondoe ndugai mweke jafo, muondoe mtaka mweke Biteko.
@von-zs4rw
@von-zs4rw 11 ай бұрын
Nimependa jinsi unavyofafanua taarifa.. hongera sana
@lordsm.k-db3wy
@lordsm.k-db3wy Жыл бұрын
Uko vizuri mtangazaji piga kazi
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 11 ай бұрын
Nami nawakubali wote❤
@bensabuni5319
@bensabuni5319 Жыл бұрын
Yaan kiukwel nimekumbuka sana jaman magufuli alikuwa anajua sana sidhani kama nitapata tena rais kama kama magufuli kwa sasa sina hata hamu ya kuangalia taarifa ya habari bas2 naumia mpk leo but hakuna namna jaman😭😭😭😭
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Жыл бұрын
😂😂mm ndio kabisaa ni bora kuishi bira kujua kama kuna Rais
@banguha
@banguha 11 ай бұрын
Ni bora kuish bila kuwa rais kuliko tulivyo sasa is daah
@simonmadiba2053
@simonmadiba2053 Жыл бұрын
Very interesting
@AmosiAdolf-vk9ux
@AmosiAdolf-vk9ux 6 ай бұрын
Saww lkn kwa makonda mwamba wa kanda ya ziwa msukuma huyu is best for all makonda for prisedent anafaaa sana
@sumaKaya-rd7ms
@sumaKaya-rd7ms Жыл бұрын
Hongera kwa kutukumbusha haya nimefurahi
@johnmbwambo8204
@johnmbwambo8204 Жыл бұрын
Nakukubali sana
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free Жыл бұрын
Makonda alikuwa noma
@raybirry3816
@raybirry3816 Жыл бұрын
Makonda kapora magari ya watu kwa nguvu,jambazi mdanganya majina,DAUDI ALBERT BASHITE.
@mbismarckredpenperfect4380
@mbismarckredpenperfect4380 2 ай бұрын
Yaaani ninavyo kumiss
@onesmoakwilini9666
@onesmoakwilini9666 Жыл бұрын
Umemsahauje Suleiman Jafo
@MwetemboSadiki
@MwetemboSadiki 2 ай бұрын
Mwenyezi mungu amuweke mahali pema peponi Amina
@claudianokiwone8998
@claudianokiwone8998 Жыл бұрын
Umesahau Makonda alipopiga marufuku wabunge kuonekana Dar wakati wa vikao vya bungee na waliufyata
@ramamtanga3482
@ramamtanga3482 Жыл бұрын
Awakufyata acha uongo wakina zito walikuwa dar kila siku
@hemeddyrajabu
@hemeddyrajabu Жыл бұрын
😂😂😂
@karimhgau9020
@karimhgau9020 Жыл бұрын
Umemsahau mzee wilbrod slaa
@abeidsabuni5026
@abeidsabuni5026 Жыл бұрын
Viongozi hao walikua makini sana hawakuwahi kulea ujinga kabsa....
@ramadhanichuka3583
@ramadhanichuka3583 Жыл бұрын
Daah kumbeistolia haifutiki bhana
@epimackjohn461
@epimackjohn461 Жыл бұрын
MAJALIWA NA MTAKA HATA BILA KUPENDWA NA MAGUFULI WANAFAA NI WACHAPAKAZI WASIOJIKOMBAKOMBA MPAKA SASA .
@robinsonjoseph8119
@robinsonjoseph8119 Жыл бұрын
Bila kumsahau yule mkuu wa mkoa wa Bukoba( chalamila)
@martinchambala9399
@martinchambala9399 Жыл бұрын
Umemsahau Albert Chalamila
@alfredbomani8047
@alfredbomani8047 Жыл бұрын
Asanteni sana. Tuseme nn zaidi. Ingawa orodha ni ndefu kuna akina Kalemani,Biteko,na kitana Ukinizingua nami nitakuzingua. Wote hao walikuwa watumishi wa watu. Mola ampumzishe kwa Amani mpendwa wetu.❤
@WinifridaJonathan-cq2nw
@WinifridaJonathan-cq2nw Ай бұрын
Kikosi cha maana kabsa
@Mushidebb
@Mushidebb Жыл бұрын
Mm makonda na jpm ni vipenzi vya moyo wangu katika viongozi wote hawa wameukonga moyo wangu
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Жыл бұрын
Awe rais wa familia yako siyo TZ
@fatymnyama2839
@fatymnyama2839 Жыл бұрын
Nami namuongeza mmoja wanaonifurahisha ni pamoja na kabudi wanao kejeri achana nao
@juliusntandu4302
@juliusntandu4302 Жыл бұрын
Asante kutukumbusha hizi tunu za Taifa letu tutawakumbuka Kila mara
@NehemiaZakeo
@NehemiaZakeo 2 ай бұрын
Daah kweli sasa hivi watuhawa hawasikikitena jamani duu
@soloartist_ivanvespalusind1609
@soloartist_ivanvespalusind1609 Жыл бұрын
Akili za watanzania zinanichanganya, sijajua kamazinapambanua vizuri jema na baya. Mungu atufumbue macho
@emmanuelchiza7733
@emmanuelchiza7733 Жыл бұрын
Kilaza mwingine wewe😂😂😂😂😂
@JILBERTDaniford
@JILBERTDaniford 2 ай бұрын
Mungu umpe pumziko la aman magufuli
@deograciousrugambwa2054
@deograciousrugambwa2054 Жыл бұрын
Everything looks real, may his soul keep resting #Mrpresident
@kokinojilana
@kokinojilana 2 ай бұрын
Ahsante sana mchambuzi wethu kwakupa Armani yaukweli naconfidence kuhusu trust habari Dr rpm kuhusu haha kiongozi kupambana nawezi wakuchelewesha maendeleo yawatanzania na Africa kuwafungua macho naviongozi wabaralethu la Africa kwanamna yakuongoza nakuandalia kijana kuhusu maadui walnut mweusi duniani
@ramahzedon6688
@ramahzedon6688 Жыл бұрын
Kijazi ndo alipaswa awe namba 1
@kirwaisa8772
@kirwaisa8772 Жыл бұрын
Talk of Ally Hapi,Mwanri,Makonda,Lukuvi,Kabudi and Kijazi. They can for unbeatable government
@africayetutv329
@africayetutv329 Жыл бұрын
Kwa uchambuzi huu leo nimeipenda chanel hii, kwa kutuonesha watu wanaoweza kutuvusha tena Japo Jpm hayupo
@erastuskajuna812
@erastuskajuna812 2 ай бұрын
Umesahau Mfugale wa Tanroad ambaye hata flyover ilipewa Jina lake. Alipenda wachapa kazi kama yeye
@nyumbanituthegendaheka7222
@nyumbanituthegendaheka7222 2 ай бұрын
Huyo sio mwanasiasa
@joelsamwel2580
@joelsamwel2580 2 ай бұрын
Huyo ni engineer sio mwana siasa
@FredericImani
@FredericImani Жыл бұрын
Umesahawu Dada Jokate mku wa wilaya ya kisarawe
@msilangamusoma1502
@msilangamusoma1502 10 ай бұрын
Hongera sana umejipanga vyema
'Matokeo ya Uchunguzi kuhusu kupigwa kwangu risasi bado mpaka leo'
51:24
BBC News Swahili
Рет қаралды 109 М.
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
Wasafi Media
Рет қаралды 1,8 МЛН
Как не носить с собой вещи
00:31
Miracle
Рет қаралды 1,7 МЛН
MY HEIGHT vs MrBEAST CREW 🙈📏
00:22
Celine Dept
Рет қаралды 84 МЛН
小蚂蚁会选到什么呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:47
火影忍者一家
Рет қаралды 123 МЛН
MO DEWJI AZUNGUMZIA KUHUSU KUTEKWA KWAKE
28:50
BBC News Swahili
Рет қаралды 1,6 МЛН
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 679 М.
Как не носить с собой вещи
00:31
Miracle
Рет қаралды 1,7 МЛН