I miss you Magufuli always remember you rest in peace❤❤❤❤❤
@StevenKisinda-x8nАй бұрын
Kikosi cha mzee magufuli nilikipenda sana kwa sababu kilikuwa kinafanya kazi kwa weredi mkubwa sana na penda sana kikosi namba 45 hicho kiludi
@personpeter2221 Жыл бұрын
Mwamba umejtahid sana nmeipenda sana endelea kuleta update zote nzuri aliyoyafanya HAYAT MAGUFURI RIP 🙏
@tielyelibariki89582 ай бұрын
Mchambuzi binafsi nakushukuru umetuletea Kilichokuwa sahihi, ila Kwa Sasa moto umezimwa kabisa, wapi Majaliwa niliyekuwa namjua Mimi wapi Mingo nilikuwa namjua Mimi Hawa watu wote ni hazina kubwa sana Mungu awabariki, tunamuomba makonda wetu.
@josephombewa98282 ай бұрын
Mimi kama jirani wenu kutoka Kenya, nimefurahishwa na kuchapa kazi kwa prof. John kabudi na Kasim Majaliwa. Hongera kwao.
@raphaelthobias433 Жыл бұрын
Aisee zungu unatisha sana mzee,,,wee ni fire
@YusuphMakene11 ай бұрын
Mbona umemsahau mrJaffer wzr Tamisemi
@livesmwamba8233 Жыл бұрын
Teuzi zake hazikuwahi kuniangusha hata siku Moja R.I.P Mwamba
@josephatdunda1937 Жыл бұрын
Kabisaaa🤝🤝
@sheryphamwenevalley6124 Жыл бұрын
na walikua jembe kweli kweli km.JPM❤
@kainibachungege343011 ай бұрын
Nimelenda Sana uchambuzi wako Hongera Sana
@cdctz Жыл бұрын
Daaah UMENIKUMBUSHA MBALI SANA MASIKINI JPM
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Kabudi ni mzalendo❤
@ngwegwenurdin4318 Жыл бұрын
Wasomi wa kitambo.
@JILBERTDaniford2 ай бұрын
I WILL NEVER FORGET HIM. JPM YOU ARE OUR SWEET LEGEND IN OUR LEFT GENERATION
@titus_maridhia Жыл бұрын
Nakubaliana na utafiti. Imenikumbusha maisha mazuri tuliyoyaishi kipindi chake JPM
@kisangageorgethomasi2830 Жыл бұрын
Maisha yapi?
@paulhando6286 Жыл бұрын
Hata Mimi bado nawapenda sana, hasa zaidi Waziri mkuu, Kabudi Polepole ahh wote tu.
@maulidimuhammed7851 Жыл бұрын
Huyu Kabudi na Poleople wanafiki wakubwa wasiosimamia misimamo yao Hao ni wanasiasa vinyonga hawaaminiki na hawakubaliki.
@scolasticakaduma514311 ай бұрын
Hii timu iliyowekwa na JPM tunaitaka sasa hivi. Mama Samia tunakushangaa na hizi takataka ulizoziweka kipindi hiki. Mambo mengi yamezorota sana.
@marymchina655711 ай бұрын
Eh! MUNGU Tukumbuke Watanzania uwainue wakina MAGUFULI wengine Amen
@gagalinodenatrick165211 ай бұрын
Tatizo lenu wa tz hamna shukran kabisa
@vwctvtanzania Жыл бұрын
Kilekipindi cha JP haukuwa unatamani uikose taarifa ya Habari , na taarifa ikiisha unaona Kama imeisha mapema ,lakini wakati huu mtu unashindwa kuangalia unaona wazi waliopo wengi Wana muumiza Mama yetu mpendwa Rais , kwani akiongea wanaitikia kuwa nita fanya sintokuangusha mh lakini kesho huyo huyo anaharibu wananchi wanona mambo,na wanalia Wana uchungu kwenye mioyo wanahitaji kutibiwa majeraha Yao , je Nani atakae watibu, tunaweza kusema Mungu atawawatibu maumivu ya moyo nikweli ,lakini Mungu anatumia Mtu kumponya mtu aliye jeruhiwa kwa maisha nk, Kama alivyo mtumia JP, Kama umeelewa ujumbe huu, like yako yamuhimu kuwa umenielewa,
@ktznews9250 Жыл бұрын
Naunga mkono hoja
@najmamussa11 ай бұрын
Hats magazeti dada mne. Yamekwisha
@najmamussa11 ай бұрын
Hata magazeti. Saa nne. Yamekwisha
@ReubenRaymond-zh4yw2 ай бұрын
Hongera kwa uchambuzi huo
@SamB-vd1vl Жыл бұрын
Ndugu Jaffo umemsahau. Alikuwa top 10 kipenzi. Ni mchapakazi kwa kweli
@EdinaMwakitwange-x2l2 ай бұрын
Samia apna 😢😢
@oscarkasalile3966 Жыл бұрын
Ally happy hakika nakupenda sana
@thomaskwibonelwa9240 Жыл бұрын
Best than any other. Kuwapoteza Ni kupoteza taifa.
@stephanokanyika6321 Жыл бұрын
Kiukweri mimi nashukuru sana mtangazi kwa kunikumbusha hili nimekumbuka mazuri mengi ya uongozi wa magufuri
@philojia27442 ай бұрын
D2N hongera Sana kutupatia stori nzuri ,ubarikiwe Sana.
@-TECHNICIAN11 ай бұрын
MIMI HAO WOTE UMEWATAJA NAKUBARI WALIPEDWA SANA NA MAGUFURI BROTHER UKO VIZURI KWA UCHAMBUZI
@emmanuelnzaligo6262 Жыл бұрын
Duuuuuuuu!!!! Yaaani Sina mashaka na utafiti wako.nimependa.
@aliymwazoa305111 ай бұрын
Ummy mwalimu pia alipendeza sana katika jicho la mhe
@MaryStambuli-r4p Жыл бұрын
Tutamkumbuka daima milele. RIP JPM
@Japhary-sx3je11 ай бұрын
Kama unaelewa utakumbuka sana rais huyu anapenda wachapakazi
@EdwardCharles-hm4fz2 ай бұрын
Mmejitahidi kutengeneza safu vizuri kweli
@salumhassan430911 ай бұрын
Kama walikuwa wanaiba lakini kazi inayo fanywa ilikuwa inaonekana
@StephenMundi-hv1lv11 ай бұрын
Hapa umepatia mzee 👏👏ila magu alikuosea kwa makamu wa Rais tu
@NeemaIssah2 ай бұрын
Hilojopo ndilo lilikuwa jopo lawazalendo wapenda nchiyao
@JeanMuzaliwa-bs6qh2 ай бұрын
apana kbs
@aminaomary55673 ай бұрын
Mimi nampenda sana makonda:majaliwa: polepole:samia:jaffo: chalamila:sendega Rc Manyara:Ali happy❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@FrankNgadallah Жыл бұрын
Uchambuzi mzuri sana barikiwa kwa kazi yako
@ZenaUsangi2 ай бұрын
MAKONDA MPAKA LEO TUNAMPENDA MUNGU AMLINDE LEO NA KESHO
@karimmveyange2558 Жыл бұрын
Hii ndio team iliyo ipaisha TZ mahala pa juu saana na heshima kwa Taifa. Lakini kwa akili za kiTanzania,aaaah! Hawafaiii. Leo hii unaona mahali Taifa lilipo? Ni aibu tupu
@lilianHigilo6 ай бұрын
Hata mimi niliwapenda sana
@JohnSilaja11 ай бұрын
Hata mm hiyo list ni naion🎉a ndo ilikuwa injini ya JPM .WoTe walikuwa ni watu wa hapa kazi tu.maua yenu bhana.
@msafiriomary893 Жыл бұрын
JPM arikuwa anapenda uchapa kazi
@HellenNkweraАй бұрын
Wewe baba ungetuwekeagaa ataa mwinyii awe makamoo wakoo😢
@vincentakulumuka4961 Жыл бұрын
Excellent job bwana Zungu upo vizuri
@salumsalim7564 Жыл бұрын
R.I.P mzee hatokei km ww
@lucaskashimwita6386 Жыл бұрын
nimejikuta nalia sana .Daa jpm rip baba yetu
@bonnymakuke31532 ай бұрын
Bila jafo hakuna ki2 hapo jafo alipendwa Sana!
@prospermsemwa143310 ай бұрын
Hapo nchi ilikua salama kwa mapinduzi ya utqwala bora maisha bora nchi isio dona g County
@tuntufyemwaitebele2 ай бұрын
Magufuli chuma kweli kweli
@JamesLongooyАй бұрын
pumzika kwa amani Dkt JPM
@millitarybattalion7515 Жыл бұрын
Nimependezwa sana na Uchambuzi wenu .. hakika mnastahili 5star
@hamismbwani465510 ай бұрын
Wow big up Uncle MAGU
@georgemedeye3469 Жыл бұрын
Mngesema watu walioaminiwa sana, maana kuna wengine kama Kijazi hawakua wanasiasa
@ngwegwenurdin4318 Жыл бұрын
Bila ya kumsahau S.Jafo
@Ambagaye Жыл бұрын
Uchambuzi wako mzuri sana. Ninaona kama Mama Samia ametumia nafasi yake ya sasa kumdhihaki Magufuli sana; akutukanaye hakuchagulii tusi.
@nassorbinfundi1196 Жыл бұрын
Kumdhihaki nin sasa, hautafit vizur
@alhamiibrahim1289 Жыл бұрын
Akili Huna baada unqualified hapo ulipo unaelekewa jnawaza yaliipita Usifosi viongozi wafanane
@Ambagaye Жыл бұрын
@@alhamiibrahim1289 Wewe ndiwe huna akili kama umeshindwa kuelewa uchambuzi wa aliyeleta video hiyo; mimi sikuitengeza video hiyo
@dj26number2 Жыл бұрын
Sipati jibu kwanini mama kamtupa kabudi🥲🥲🥲🥲🥲🥲🥲
@marcokaroje8980 Жыл бұрын
Alitukana na kuidhalilisha ya wasomi kusema alitolewa jalalani yaani kuwa profesa wa chuo kikuu ni umaskini na wasomi wengine kama yeye ambao wako nje ya mfumo was Magufuli wako jalalani na vijana wote wanaopita vyuo vikuu hapa nchini ni majalala aliwakosea sana wasomi anatakiwa kuwaomba radhi
@aishaalbalushaishabalush8291 Жыл бұрын
sababu kabudi sio mwizi ye kayachagua majizi menzie mengine yalikua yamesha staaf kayarudisha kwa lazima ili waibie watanzania
@calabash4221 Жыл бұрын
@@marcokaroje8980 umepotosha alichokisema Kabudi...yeye alikuwa tayari mstaafu...na ndicho alichofananisha na jalalani....
@marcokaroje8980 Жыл бұрын
@@calabash4221 kwa hiyo wastaafu wako jalalani?bado na wewe unaungana na lugha za wanaojikomba wasionacho waendelee kuumia
kwenye safari ya WANAUME ukiweka MWANAMKE hamfiki salama, huo ndoo ukwel.
@shinipapaya846 Жыл бұрын
😂😂kabisaa
@boniphacepastory9898 Жыл бұрын
Hawa walikuwa ni viongozi huo ndo Ukwelii
@josephatdunda1937 Жыл бұрын
Hiyo haipingiwi, na watabaki kuwa bora daima maana walifanya kazi kwa uzalendo mno sijuw huyu kwann kawaweka mbali
@MatayoLekitonyi2 ай бұрын
Pole sana ndugu yangu watanzania naomba sana Mheshimiwa Paulo
@OscarEdward-tl2gi10 ай бұрын
makonda is the best for all
@bobdee3395 Жыл бұрын
mmemsahau mabeyo tuu sem yeye sio mwana siasa
@adrofuzakariamwaihoyo2957 Жыл бұрын
Nazani Leo nimekuwa MTU wa kwanza
@ernestpsimone2430 Жыл бұрын
Tanzania mbarikiwa kuwana watu wazuri, yaani viongozi Bora
@yonaidris8305 Жыл бұрын
Katka uongoz mbov uliowah kutokea ni awamu ya 5.
@asteriashios1852 Жыл бұрын
@@yonaidris8305 mbovu sana wengine ni mabomu humu ndani ni hatari Kwa nchi
@oscarkayuni9086 Жыл бұрын
Wewe unayewaita hao 15 na watano washenzi wewe umewahi kuitendea Nini nchi tangu uzaliwe .umethubutu kuifanyia Nini Tanzania.Utampata wapi mtu kama kasim Majaliwa.kama Maghufuri alimteuwa mtu maana yake walikuwa wote na Samia.wote hao tuliwapigia kura siku Moja na wote Samia na magufuli walipata kura sawa kama mgombea mwenza wa magufuri . Na viongozi wote hao waliwekwa na Mungu na sii vinginevyo.kuna watu wamezaliwa na mambo ya ajabu Sana.wamezaliwa na karama za KULALAMIKA na hakuna anachokifanya hata Kwa ndugu zake mwenyewe. Magufuri na Samia walikuwa kama BAba na mama ndani ya nyumba Moja (TANZANIA) wote waliongozwa na Sheria mbili tu kati a ya nchi na Ilani ya ccm na itabaki hivyo ndani ya miaka 💯 ijayo. Na wengine mnaowatukana hao mmefikishwa hapo mlipo na ccm hiyohiyo .nashangaa inakuwaje mtoto unamtukana mzazi wako kiasi hiki.viongozi wanapoteua watu msiwatukane Bali waombeeni Kwa Mungu ili watende vema.Tuwaombee Kwa mora wetu wateule wote badala ya kuwalaani na kuwakejeli .
@salimalaquimane3077 Жыл бұрын
We miss you papa 😭😭😭😭😭
@GabrielMwakasege-sx9wv Жыл бұрын
Hii timu ndio tunayoitaji mpaka saizi
@erasmusaloyce439817 күн бұрын
Kwenye list Yako muondoe ndugai mweke jafo, muondoe mtaka mweke Biteko.
@von-zs4rw11 ай бұрын
Nimependa jinsi unavyofafanua taarifa.. hongera sana
@lordsm.k-db3wy Жыл бұрын
Uko vizuri mtangazaji piga kazi
@nasrahassan734611 ай бұрын
Nami nawakubali wote❤
@bensabuni5319 Жыл бұрын
Yaan kiukwel nimekumbuka sana jaman magufuli alikuwa anajua sana sidhani kama nitapata tena rais kama kama magufuli kwa sasa sina hata hamu ya kuangalia taarifa ya habari bas2 naumia mpk leo but hakuna namna jaman😭😭😭😭
@shinipapaya846 Жыл бұрын
😂😂mm ndio kabisaa ni bora kuishi bira kujua kama kuna Rais
@banguha11 ай бұрын
Ni bora kuish bila kuwa rais kuliko tulivyo sasa is daah
@simonmadiba2053 Жыл бұрын
Very interesting
@AmosiAdolf-vk9ux6 ай бұрын
Saww lkn kwa makonda mwamba wa kanda ya ziwa msukuma huyu is best for all makonda for prisedent anafaaa sana
@sumaKaya-rd7ms Жыл бұрын
Hongera kwa kutukumbusha haya nimefurahi
@johnmbwambo8204 Жыл бұрын
Nakukubali sana
@D-Man.B-Free Жыл бұрын
Makonda alikuwa noma
@raybirry3816 Жыл бұрын
Makonda kapora magari ya watu kwa nguvu,jambazi mdanganya majina,DAUDI ALBERT BASHITE.
@mbismarckredpenperfect43802 ай бұрын
Yaaani ninavyo kumiss
@onesmoakwilini9666 Жыл бұрын
Umemsahauje Suleiman Jafo
@MwetemboSadiki2 ай бұрын
Mwenyezi mungu amuweke mahali pema peponi Amina
@claudianokiwone8998 Жыл бұрын
Umesahau Makonda alipopiga marufuku wabunge kuonekana Dar wakati wa vikao vya bungee na waliufyata
@ramamtanga3482 Жыл бұрын
Awakufyata acha uongo wakina zito walikuwa dar kila siku
@hemeddyrajabu Жыл бұрын
😂😂😂
@karimhgau9020 Жыл бұрын
Umemsahau mzee wilbrod slaa
@abeidsabuni5026 Жыл бұрын
Viongozi hao walikua makini sana hawakuwahi kulea ujinga kabsa....
@ramadhanichuka3583 Жыл бұрын
Daah kumbeistolia haifutiki bhana
@epimackjohn461 Жыл бұрын
MAJALIWA NA MTAKA HATA BILA KUPENDWA NA MAGUFULI WANAFAA NI WACHAPAKAZI WASIOJIKOMBAKOMBA MPAKA SASA .
@robinsonjoseph8119 Жыл бұрын
Bila kumsahau yule mkuu wa mkoa wa Bukoba( chalamila)
@martinchambala9399 Жыл бұрын
Umemsahau Albert Chalamila
@alfredbomani8047 Жыл бұрын
Asanteni sana. Tuseme nn zaidi. Ingawa orodha ni ndefu kuna akina Kalemani,Biteko,na kitana Ukinizingua nami nitakuzingua. Wote hao walikuwa watumishi wa watu. Mola ampumzishe kwa Amani mpendwa wetu.❤
@WinifridaJonathan-cq2nwАй бұрын
Kikosi cha maana kabsa
@Mushidebb Жыл бұрын
Mm makonda na jpm ni vipenzi vya moyo wangu katika viongozi wote hawa wameukonga moyo wangu
@marcokaroje8980 Жыл бұрын
Awe rais wa familia yako siyo TZ
@fatymnyama2839 Жыл бұрын
Nami namuongeza mmoja wanaonifurahisha ni pamoja na kabudi wanao kejeri achana nao
@juliusntandu4302 Жыл бұрын
Asante kutukumbusha hizi tunu za Taifa letu tutawakumbuka Kila mara
@NehemiaZakeo2 ай бұрын
Daah kweli sasa hivi watuhawa hawasikikitena jamani duu
@soloartist_ivanvespalusind1609 Жыл бұрын
Akili za watanzania zinanichanganya, sijajua kamazinapambanua vizuri jema na baya. Mungu atufumbue macho
@emmanuelchiza7733 Жыл бұрын
Kilaza mwingine wewe😂😂😂😂😂
@JILBERTDaniford2 ай бұрын
Mungu umpe pumziko la aman magufuli
@deograciousrugambwa2054 Жыл бұрын
Everything looks real, may his soul keep resting #Mrpresident
@kokinojilana2 ай бұрын
Ahsante sana mchambuzi wethu kwakupa Armani yaukweli naconfidence kuhusu trust habari Dr rpm kuhusu haha kiongozi kupambana nawezi wakuchelewesha maendeleo yawatanzania na Africa kuwafungua macho naviongozi wabaralethu la Africa kwanamna yakuongoza nakuandalia kijana kuhusu maadui walnut mweusi duniani
@ramahzedon6688 Жыл бұрын
Kijazi ndo alipaswa awe namba 1
@kirwaisa8772 Жыл бұрын
Talk of Ally Hapi,Mwanri,Makonda,Lukuvi,Kabudi and Kijazi. They can for unbeatable government
@africayetutv329 Жыл бұрын
Kwa uchambuzi huu leo nimeipenda chanel hii, kwa kutuonesha watu wanaoweza kutuvusha tena Japo Jpm hayupo
@erastuskajuna8122 ай бұрын
Umesahau Mfugale wa Tanroad ambaye hata flyover ilipewa Jina lake. Alipenda wachapa kazi kama yeye