Kuendelea kupata matukio mengine zaidi,tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:- Facebook : / gospeltvshow Instagram : / chomozanews KZbin : www.youtube.com... #ChomozaTv#MtumeMwingira#Corona
Пікірлер: 245
@jescakitomari59154 жыл бұрын
Wew ni zaidi ya mwalimu, zaidi ya kiongozi, una maarifa ya ajabu Mungu azidi kukutumia mtumishi wa Mungu kwa ajili ya Tanzania. Lv you daddy.
@Cryptostarz244 жыл бұрын
I lov you my Papa Mwingira,Tunaomba sasa umenifundisha vya kutosha 3 years now wacha ntumie maarifa hayo
@anjelinafute13854 жыл бұрын
Ahsante mtumishi wa mungu peke yetu hatuwezi bila mungu uliye hai
@datydon66764 жыл бұрын
Amina. Huu ndiyo utume, ndiyo unabii unaolenga kuwaponya wana na binti za mungu. Barikiwa Sana Baba Mwingira. Moyo wangu unaniambia Tanzania yangu, Gosheni yangu.
@lazarusismael36394 жыл бұрын
Amen baba ni kweli hata mimi nimepewa ujumbe kama huo mwaka jana, lakiki janga hill ambalo unasema mimi alisema ataachia njaa katika dunia yote pia, NI KWELI MUNGU ANAACHIA HAYA KWASABABU YA DHAMBI KUZIDI, KIKUBWA NI KUWAAMBIA WATU UKWELI NA SIYO KUWAFICHA.
@nancyfamilysharesmoments76344 жыл бұрын
Kabisa na mengine mengi yakutisha yaja makubwa zaidi ya corona neema ya Mungu yahitajika zaidi
@stephbilkim65744 жыл бұрын
Masihi yu aja jamani, huu ndo mwanzo wa utungu tu. Ni wakati wa kutengeneza maisha yako na Mungu, ishi kwa utakatifu ili siku ile uione raha ile tunayoingojea. Repent and believe the gospel.
@eunicehezron34814 жыл бұрын
Ninaomba hata leo nilkuwa naomba kabisa MUNGU ALIYE HAI aponye watu Wake haswa walioitwa kwa jina lake. Na wengine pia maan yeye ni MUNGU wa wote wenye mwili AMEN
@tshirima88864 жыл бұрын
Asante sana baba...kwa kusema nasi...Mungu akubariki na azidi kukuhinuwa
@levispaultitus86234 жыл бұрын
yes! profet mwingira Mungu akubariki kwa ufafanuzi huo.
@janeyphersuma39824 жыл бұрын
Nimefurahi kukuona baba japo sisali kanisan kwako Ila napenda sana sana mahubiri yako yanajenga na kuweka tumaini jipya moyoni ubarikiwe sana sana
@veronicashirima31794 жыл бұрын
uzidi kubarikiwa na mungu
@happylemah37044 жыл бұрын
Mungu naomba utukumbuke Tanzania kama ulivyo mkumbuka rahel🙏
@isaackamando84844 жыл бұрын
Amina Baba, well said, ni ujumbe mzuri ambao unatia moyo na unaonyesha njia ya kwendea, pongeza kwa Rais JPM kwa kumtanguliza MUNGU, WATANZANIA tuombe sana maana kuna janga kubwa linakuja mbele yetu, kubwa zaidi ya corona, haijulikani siku wala saa, ila tuombe, pengine hilo linalokuja inaweza ikawa ndo unyakuo, nobody knows, tuombe na tudumu kwenye utakatifu
@shaddybmc83424 жыл бұрын
Mungu akubariki sana na azid kukutumia zaid baba
@henrytomohty65934 жыл бұрын
Msikilize mtumishi wa mungu km humwelewi acha kashfa tulia na imani yako
@myself41284 жыл бұрын
Acha ujinga wako wewe ulimuona Mungu wakati anamtuma???? Hakuna aliye juu zaidi ya neno la Mungu!!
@joshuasimon34144 жыл бұрын
Mungu uturehemu sisi tu watenda dhambi kila siku ee mungu baba.
@celinakingu30974 жыл бұрын
Your so amazing Dady Your so intellectual You bless me through out . I love you DADY
@tulibumisalu88124 жыл бұрын
Well said mtumishi wa Mungu.Maombi ndio silaha pekee. Asante sana kwa kutukumbusha.
@diamondgeyser79874 жыл бұрын
Ujumbe wa muhimu kwa wakati muhimu. Let's pray Mungu wetu ni mwingi wa huruma ataturehemu na kutuokoa na majanga haya.
@pinochio54654 жыл бұрын
😂😂😂👍🏾👍🏾👍🏾.... mtumishi wa mungu amen I fanya nikumbuke lile pambio ....🎶🎵🎤 jambo ni lile lile kuomba, jambo ni lile lile kuomba🎹🎻🎷. Tusiache kuliombea Taifa letu, raisi wetu, viongozi na sisi kwa sisi kama raia wema wa 🇹🇿 Tanzania na Mungu aliye wa rehema atatuponya tusiangamie na wanaoangamia ... 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽. Ubarikiwe Sana mtumishi wa Mungu apostle & prophet J.E Mwingira
@leaherasto56863 жыл бұрын
2021 Mungu tusaidie Rest In Peace Rais Magufuli
@henrytomohty65934 жыл бұрын
Wenzangu na mm ambao hamjui msiingilie imani za watu na kuchangia ujinga endelea na imani yako mtajipatia laana zingine sisizo wahusu so kaa kimya
@ellysilwani92874 жыл бұрын
Janga hili litapita mtumishi Wa Mungu,na mengine yote yatapita pia,kwani damu ya Yesu imetufunika sasa ,na kesho na hata milele.Aminaa...
@shibalubela65004 жыл бұрын
Amen
@askofupeter23294 жыл бұрын
Thank you, be blessed
@simonjnrmabula37854 жыл бұрын
Ni muda wa kuomba TOBA ya kweli inayomaanisha kuacha dhambi. Mungu anapendezwa na TOBA. Maombi bila kutubu na kuacha njia mbaya hayana maana.
@innocentndabukakiye61004 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu,Neno lako limeugeuza moyo wangu,hakika Sasa nitamwelekea Mungu Aliye juu Sana!
@shabamuhidin6343 жыл бұрын
kuna watu watapigwa na butwaa Yesu akija na kusujudu kama kawaida yake pamoja na waislam
@bahatimayala64944 жыл бұрын
Hakika mtumishi wamungu wanane uko sahihi mataifa yaliyo shangiria na kupitisha mambo ya ushonga leo ndo yanateseka sana na kutahabika hasira ya mungu imeishukia dunia watanzania tuenderee kumtihii na kumwabudu na kumulilia hakika yeye ndo kila kitu kwetu aminaah
@clivonmwachola22864 жыл бұрын
Watanzania Mwenyezi Mungu awalinde kwani Rais wenu anamjua Mungu,kwani aliruhusu watu waendelee kumwabudu Mungu,sisi Kenya tumefungiwa makanisa,Barkiweni sana watanzania na JPM.
@mbokamtafya5354 жыл бұрын
Tunamshukuru Mungu kutupa JPM. Poleni ila endeleleni kuomba humohumo ndani
@justinamusyoka49864 жыл бұрын
But the Kenyan church just like many globally have offended the Most High ELOHIM YHWH,they teach a different gospel,prosperity gospel. Thats why Corona is sweeping believers and non believers in equal measure.
@marymremi12414 жыл бұрын
Tuko pamoja mtumishi wa Mungu tutaomba toba kwa kila mtanzania tuvae magunia tumuombe Mungu wetu yeye Ni mwenye rehema na huruma natamani Tanzania nzima siku moja tufunge na kuomba
@mrjohnson_official98144 жыл бұрын
Amen kwa yote ambayo Mungu amesema na wewe hakika naamin watanzania watayafanyia kaz
@imanuelzakayo87034 жыл бұрын
Amen sana Ubarikiwe sana Mchungaji
@yonachitema4 жыл бұрын
Amen, tunaomba na Mungu ni mwema ataendelea kututetea
@phineking39114 жыл бұрын
Amina Mtumishi Wa Mungu, Tunashukuru Kwa Maneno Yenye Hekima Na Busara. Tunapaswa Kuomba Haswa..
@nancyfamilysharesmoments76344 жыл бұрын
Naamini ni kweli kunajanga kubwa mbele yetu zaidi ya corona Mungu atupe kushinda katika hilo, Mungu atusaidie sanaa kipindi hiki chamaandalizi
@nassirray70964 жыл бұрын
Apo nimeelewa ni mwanadamu kama sisi🤝
@ericamwakyokile18894 жыл бұрын
ubarikiwe baba! asante sana.JPM ni rais ambaye amesimama mbele za Mungu kwa ujasiri.Mungu analiangalia neno alitimize.tunaomba mtume.! Barikiwa baba
@gracepeter86854 жыл бұрын
Asante Baba yangu wa kiroho
@amanimgao64682 жыл бұрын
Amina
@rehemaradhid57164 жыл бұрын
MUNGU tunaomba tupunguzie hasira😭😭😭tunaomba toba😭
@nivatz31694 жыл бұрын
Rais wetu. Mungu ambariki sana kwa nafasi ya kumkadhi Mungu kua ndio tabibu wetu.
@japhetyanania85894 жыл бұрын
Chai za ikulu alisema kakobe, hata huyu ndo maana kuwaamini hawa. Nikujitia hasira mbele za Mungu. Vzr kumwamini Mungu peke yake.
@queenjema58874 жыл бұрын
Asante sana mutumishi wamungu. 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@filbertcarlos29464 жыл бұрын
Asante sana mtumishi tutaomba pamoja na litakwisha
@magdalenamatiko99954 жыл бұрын
Hata Mimi ndo nimemkubali Mungu alimleta kama esta ndani ya nyumba ya mfalme
@elisanteelisante1724 жыл бұрын
Ameee Wengine wanataja farasi wengine vyeo wengine fetha Tanzania tuna liita jina LA Mungu alie juu yaani Yehova
@eunicehezron34814 жыл бұрын
AMEN
@henryndosi11144 жыл бұрын
Na iwe hivyo
@graceambilikile74424 жыл бұрын
Halleluya
@berniemakule25814 жыл бұрын
Amen #Yesu atosha
@samwelikaiga30964 жыл бұрын
I believe in Jesus
@kakaakioko60314 жыл бұрын
Corona will end when God says.its better to humble before God for healing.
@christinewomanoffaith54794 жыл бұрын
Ila nasema watu mrudieni Mungu laa sivyooo....Yesu anarudi jamani!
@justinamusyoka49864 жыл бұрын
Isaiah 26:20 "Go,my people,enter into your interior rooms and shut your doors behind you. Hide yourself for but a moment until the denunciation passes over ".
@charleskitundu76394 жыл бұрын
Justina Musyoka 9
@anitaeustad5224 жыл бұрын
❤❤❤❤❤nakupenda dady
@ebensaul28793 жыл бұрын
yec Dad we love you
@harunyusuf42294 жыл бұрын
Amen,tukumbuke sisi Wakenya mnapo omba
@kingdomabel64264 жыл бұрын
Mungu haitaji watu wanaopendwa na wengi bali wenye msimamo wa imani pasipo kujali mtu yupo mwenyewe Au la AMENI MWINGIRA
@shelamsongwe85004 жыл бұрын
Mungu ailinde nchi ya Tanzania juu ya maovu yote
@stephenpaul86794 жыл бұрын
Si kwa akili zetu wala kwa nguvu zetu bali kwa uwezo wako Mungu tutavuka
@raphaelsamwel26404 жыл бұрын
Jamaniii! Majigambo ya nini??? Kuna nchi hazina kesi hata moja!! Na bado corona haijaisha!! Kutangulia si kufika!!!!!
@justinamusyoka49864 жыл бұрын
Tell them please.
@mvangabalele32604 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe Sana
@lonyorilaizer85074 жыл бұрын
No tuchuje maneno watumishi,,Tanzania si takatifu kuliko mataifa yanayoangamia cha msingi ni kumshukuru MUNGU Kwa neema na si kusema wenzetu wana dhambi kuliko sie, mnamkosea MUNGU kwa vinywa vyenu jamani
@lov32164 жыл бұрын
Mungu tusaidie ss wanao
@paulstephano88294 жыл бұрын
Hakika tusikufuru wenzetu tuzidi kumuomba mungu na si kujigamba hatuna dhambi
@lonyorilaizer85074 жыл бұрын
Thanks
@esteribrahim80174 жыл бұрын
Tanzania kuna ushoga? Tanzania kuna casino zinazoruhusu watu kucheza uchi? Pigia mstari hayo utajua
@jonassaid40014 жыл бұрын
Ameen sasa nimeelewa Baba
@rosaliamwidege18034 жыл бұрын
Asante baba.
@bahatishemu8304 жыл бұрын
yes, we need God now more than EVER👌
@yusuphkayoka54524 жыл бұрын
Aksante Baba
@jackobende9754 жыл бұрын
Good TV
@naomysamuel67993 жыл бұрын
Daah
@norahwagody60924 жыл бұрын
Good mtumishi wa Mungu, barikiwa mnoo 🙏
@rehemaradhid57164 жыл бұрын
Nampenda sana Mwingira Mungu akulinde akupe nguvu mara elfu
@jescamsechu43774 жыл бұрын
Amen dady be blessed
@rahelnambi53404 жыл бұрын
Eeehh...Bwana Yesu tutue nguvu tuzungumze na wewe kwa akili na fahamu zetu si rahisi...wapendwa na tuombe👀
@violethkisonga56404 жыл бұрын
Ni wakati wa kutubu YESU anakuja yuko njiani.
@dastanadriani45184 жыл бұрын
amen Baba
@respiciouszacharia29244 жыл бұрын
Tunaye baba efatha tunajivunia good dady mwaaa😇
@rehemaradhid57164 жыл бұрын
Kweli my
@doubleportionnetwork38404 жыл бұрын
Amen
@t7zkc5tpxgim284 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi
@rofinavalence57904 жыл бұрын
Amen dady
@rehemaradhid57164 жыл бұрын
Namuombea Raisi wangu tz MUNGU amhimarishe vema
@kingyehoshafatitvbornerys24964 жыл бұрын
Amina Mungu ni mtukufu HAKIKA ..tutapona...hafi mtu...kwa jina la MUNGU
@sylvestermhojaaron96594 жыл бұрын
Ulizi wa kwanza ni DAMU YA YESU yatosha
@samkalinatours65404 жыл бұрын
Ubarikiwe umeleka mtumishi
@severinmmassy76274 жыл бұрын
Tenaaa
@musokedios81624 жыл бұрын
Well said man of God,
@enockbruno85664 жыл бұрын
I catch you
@enockbruno85664 жыл бұрын
If God be with us who Can be Against Us !? .....
@musokedios81624 жыл бұрын
😳😎😎😎
@grnifamgeni13094 жыл бұрын
Amina baba mwingila
@dr.phormenykishaija65084 жыл бұрын
Amen baba nakuelewa
@chescomwakipese34224 жыл бұрын
Amina baba
@marympemba88434 жыл бұрын
Amina mtumishi wa Mungu
@peninamzumbo70214 жыл бұрын
Ameni baba
@desderiamapunda13064 жыл бұрын
Ameen Baba, Tunaomba
@mosesagrey35904 жыл бұрын
Ninazidi kukuelewa kila siku
@esterswai78434 жыл бұрын
Asante Mungu mkuu kwa kutufundisha kupitia Mtumishi wako mteule ,,,endeleaa kututia nguvuu tuyafanye mapenzi yako katika haya uliyotusemeshaa .....Amina
@christophertarimo88774 жыл бұрын
CORONA bye bye janga kubwa ni MUNGU KULINYAKUA KANISA LAKE
@andrinisrael92894 жыл бұрын
Ni rehema tu kwa sasa
@godsonruben89364 жыл бұрын
Hii ni trela tu bado picha sawa na kusema yajayo yanafurahisha , KANISA lijitakase ili Bibi harusi asikutwe na mawaa TOBA kanisa
@christinewomanoffaith54794 жыл бұрын
Haswaaaa,bado ole na 2 ,3 sipati picha
@nancyfamilysharesmoments76344 жыл бұрын
Yes
@francisrukeisa62994 жыл бұрын
Ni kweli Mchungaji unayoongea na waelewa watafuata
@japhetdaud37814 жыл бұрын
Ahsante mtumwa wa Bwana kumwinua pia Rais wetu kwa kumtanguliza Mungu
@ausonjustinian20802 жыл бұрын
Na hilo ndilo Neno la Bwana.
@floramolel42834 жыл бұрын
Asante mtumishi
@charlesbarongo69224 жыл бұрын
Maombi na kinga tafadhari.
@paschalinamushi38824 жыл бұрын
Lakini katika mambo hayo yote tunashinda, na zaidi ya kushinda, kwa yeye aliyetupenda. Angalia Neno MAMBO YOTE na neno ZAIDI YA KUSHINDA utaelewa kufungia watu ndan hakusaidii kitu maana huko ni kuamini juu ya milango ambayo Yesu mwenyewe alilishinda jiwe lililowekwa kama mlango. Kulingana na andiko sio milango ndio inatupa ushindi dhidi ya COVID-19). Amina Baba Mwingira.
@lukiangwembe81064 жыл бұрын
Tuhulumie mungu wetu
@princesslaurian17584 жыл бұрын
Ee Mungu tusaidie
@godifreypaul94094 жыл бұрын
Mtumishi fafanua vizuri mandiko,hatujui tumekosea wapi,we ni mtume taja hiyo dhambi kama Daudi,maana wengine hatujui hiyo dhambi iliyoleta hayo mambo.Maana imeandikwa afichae dhambi, hatasamehewa.We una kibali taja tumefanya hivi na hivi ili na sisi tujue tunatubu nini.Na kama hujui muulize Mungu tupate majibu haraka.Maana wale panzi wamerudi tena.Funguka.
@estherkoya84104 жыл бұрын
Kwa yanayoendelea nchini kwetu, sote tunaona, ni mambo ni mabaya sana sisi tuombe toba
@justinamusyoka49864 жыл бұрын
Christmas and Easter are pagan and are in churches.
@estherkoya84104 жыл бұрын
@@justinamusyoka4986 inawezekana lakin MUNGU anaangalia moyo, watu kama moyoni mwao wamemaanisha kukumbuka kuzaliwa na kufa kwa Mwokozi wao bila ya kuhusisha mambo ya kishetan , hawez kataa, maana kila kwenye kitu cha MUNGU shetani naye hujiinua, ila kama umeamua kutosherekea uache lakin wanaosherekea kwa kumaanisha waache pia usihukumu
@happynessanga53534 жыл бұрын
Kama hujui dhambi muombe Roho mtakatifu atakujulisha na adhabu kama hii ni halali MUNGU kuiruhusu kwa sababu hatukusimama kukemea maovu yalipokuwa yakitendeka hivyo ni lazima tunyenyekee ktk toba ya kweli.