Yaani hii Crown big up jamani ,Wasafi wakasome ,hawajamaa hawachambui mpira kimapenzi .Endeleeni hivyo hivyo.Kule Wasafi Kitenge na baba Levo wanaiharibu .Big up sana,sana Crown.
@daudmpemba50862 сағат бұрын
Ww hans moyoni unaumia sana Simba kushinda ww ni yanga tunakujua naikiwezekana ujitangaze hadharani ww yanga
@GodsonGidioni2 сағат бұрын
Hansi sio penati osumani imechambua sio penat
@frankmaria6717Сағат бұрын
Hans alisema Simba hawashindi na hawaendi makundi kwamba yao imefika mwisho baada ya sare ya libya@@daudmpemba5086
@shukuboythespecial9168Сағат бұрын
unaweza pongeza bila kutaja brand nyingine, maoni mazuri lakin.
@aminahhuawei113340 минут бұрын
Wasafi kazi yawo kubwaa niumbea tu nakufuatilia familiaa zawatu namambo yasowahusuu ila crown clauzi wako poa sana wanajuwaa mpaka wanajuwaa tenaa🙌❤❤❤❤❤
@clarencemeena16282 сағат бұрын
Crown mko vizuri sana, mnajua jinsi ya kuchambua soka
@ElyrehemaMartin4 сағат бұрын
Huyo mkai ni yanga ndiyo maana maada zake hazina kichwa wala miguu
@RahimaMct-ik8mr2 сағат бұрын
Yanga razima waumie mama siliipiku simba vrabu bora arfka sasa kichaka kiko pale pale
@sayeedmsct42553 сағат бұрын
Hii ndio radio raha sana
@isacksimonmahungilo3 сағат бұрын
Kwani jemedali alihamah
@kamanda77032 сағат бұрын
Hans itabidi ufanye maamuzi unataka furaha au mafanikio. Ukitaka furaha endelea kuchambua ki ushabik kama unataka kufika mbali na mafinikio acha mapenzi kazini.
@ANICIALUMALA2 сағат бұрын
Hans umechambua Vizuri Sana Ila ulipofikia hatua ya kusema kwamba TRIPOLI walinyimwa Penati hapo umeleta Uyanga
@cathbetsolomon3151Сағат бұрын
Jamaa anaboa sana hajui tuu😂....anachuki na simba mchz
@BadMaradonaСағат бұрын
Jamani kwann uyanga kwa usingida amna acheni kukalili
@IsaacParuz18 минут бұрын
Hans we ni mchambuzi mzuri ila balance ushabiki. Wengi wanaoku point sio kwamba hawajui ubora wako kwenye kuchambua. Unajua ila balance ushabiki jifunze kwa wakina mbwaduke
@SeifHemed-p5p3 сағат бұрын
Ateba ni baada ya emanuel okwi siku zote tulikuwa tunabahatisha
@chriskudilla53553 сағат бұрын
Leo Fadru anajua kuliko Hans?
@DeusRichard-e9w3 сағат бұрын
Hans yy alitaka simba ifungwe ili aonekane anajua kuchambua kuliko but not in reality
@bbclondonulimwenguwasoka612610 минут бұрын
Alicheza mpira halafu hata jana Tripoli walipaswa wapige kadi nyekundu , Debora alichezewa vibaya mbona hiyo huisemei
@AbuuThabiti3 сағат бұрын
Wewe hansi hujui mpira unatupigia kelele
@mnyongeiddi24543 сағат бұрын
Wote Hawa wanafiki wanaonekana wa mana sababu simba kashinda lakin kama mnyama angefungwa ndio ungeona upuuzi wanausema
Mnanifurahisha uchambuzi wenu, mnachambua vizuri kweli. Lakin Kuna Hans humo anachambua kwa hisia za mapenz ya YANGA ndo maana akichambua Jambo Leo kesho linambana kulieleza. Hii ni kuchambua kwa hisia kukwepa ukweli
@selemanmcharazo2 сағат бұрын
Kama Jemedar anavyochambua na Gef ki u Simba zaidi ukimwangalia Hans basi aanza kumkosoa Jemedar na Gef.
@MohammedAmour-nf9wq3 сағат бұрын
Kaka wewe niki geu geu
@shilladickson385224 минут бұрын
Tuta la wapi ..chura churani
@ElyrehemaMartin4 сағат бұрын
Nyie hamna lolote
@jastinedaudi-qi9vr2 сағат бұрын
Hans we kuma muong
@jacksonmtenga12762 сағат бұрын
Haka kajamaa ka uto mlikatoa wp ile ilikuwa penalty wakati Chemalone alicheza mpira?
@mirajichima9693 сағат бұрын
Hans ana Matatizo yaani anaumia Simba kushinda 😅😅
@RahimaMct-ik8mr2 сағат бұрын
Kwer Kisha wanaumia sananasana😂😂
@GodfreyJames-zt6ig3 сағат бұрын
Jemedali upo sawa lakn mwambien ansi tutakuja kumfanya kitu kibya kuma huyo anaendekeza njaa kuliko kaz kuma huyo
@SeifHemed-p5p3 сағат бұрын
Mukwala kibu na ateba ndiyo suluhisho la simba kwa sasa
@EdwardKyabon51 минут бұрын
Hapa kuna mnafiki hans anasimamo na kisema alisema tunatolewa leo
@ChijaLugola-xe5tnСағат бұрын
Hansi unajitetea kwa jemedari alikuwa wazi??
@Nufaila4422 сағат бұрын
Sema ongezeni Busta ya usikivu wa Redio tunapata taabu sana
@saidymbagalla66222 сағат бұрын
Ktk wachambuzi wasenge kuwahi kutokea tangu Dunia iumbwe ni huyu Matako Hans hajui mpira anachambua kwa mahaba na mitazamo yake na sio uhalisia na mbaya zaid akitabir na matokea yakija tofaut analazimisha iwekama alivyotaka ni aibusana
@AnaniaKileoСағат бұрын
we hans unataka tu matusi ila we njaa imekuzid ulisema simba itafungwa
@abdulkarimnassor28429 минут бұрын
Huyu Hans anazidi kujiharibia eti wamenyimwa penati ya wazi,huyu bado kwenye sheria za mpira hazijui
@DanielChaula2 сағат бұрын
Kutokushanga ndio uchambuzi Gani sasa huo unazingua
@hamisiyoyo58472 сағат бұрын
Mmeaibikaaa kengele nyie hiyo ndio SIMBA BABA LAO mmekomeshwaa yamewashukaa
@anoldmbarama9853 сағат бұрын
Kuna uchambuzi na kuzungumzia mpira hanz ni mchambuzi na jemendar ni legend wa mpira wa Tanzania mchambuzi ni mshehereshaji kulingana. Na mtazamo wake ila unapozingumzia mpira unazungumzia fact za mpira uchambuz wa hansi huwa na mihemko sana na kutaka kuaminisha wengi kulingana na mtazamo wake
@selemanmcharazo2 сағат бұрын
Jemedar pia anazungumzia kishabiki pia ila Hans unamuona anazungumza kishabiki Kwa kuwa hayupo upande wako
@mussahamad4042 сағат бұрын
@@selemanmcharazounajuwa km jemedari ni ynga
@fredylucas24842 сағат бұрын
@@mussahamad404Hata Haji Manara ni Simba ujue
@michaelsokko10902 сағат бұрын
Mukwala na ateba wacheze pamoja mutale akae benchi
@kitururuelisa83025 минут бұрын
🤝🤛Bro, unajua sana
@princetanzaniaСағат бұрын
Huyo hans sio mchambuzi wampira
@cathbetsolomon3151Сағат бұрын
Niggah anachotofautiana na baba levo yeye ni anajificha kujifanya mchambuzi, ila huyu hans ni yanga dhahili hamna mchambuzi hapo aweke waz tumuhesabie km mshehereshaji wa kipindi
@atupelemsyani74117 минут бұрын
Hans acha uongo hakukuwa na penat pale huo ujinga huo
@HamzaMkumbange3 сағат бұрын
Tuta sio lazima ufunge
@DottoWacheСағат бұрын
Sasa robo fainali kwani simba ilikuwa pia inajiunga weee jemedali wacha ukoloboi uwo😂😂 simba mwaka huu ndio imekatika inajiunga unga tuone kama itafika robo fainali ya shilikishoo nipo pale 😅😅😅
@AllyRashid-q9m3 сағат бұрын
Umekosa la kuongea
@AllyRashid-q9m3 сағат бұрын
Hamna lolote nyie
@KelvinSarapi-bk1gr56 минут бұрын
Huyu Hansi cyo mchambuzi Labda Uchi wa mbuzi apunguze kujichua hawez kumiliki kichwa chenye akili mjinga huyu
@saidkilima648512 минут бұрын
Hawa ndio wachambuzi sio walio kuwa wasafi wao KAZI Yao umbea tu kuiponda simba
@athmanilatifu8648Сағат бұрын
Hiyo penati labda ungeweka ww
@daudmpemba50862 сағат бұрын
Hansi anaonekana kabisa kaumia simba kushinda jitangaze hadharani ww ni yanga tuache kabisa
@YusufuAliy-cd6dcСағат бұрын
Nchi nzima mchambuzi mjinga hns kaka acha ushamba fanya kazi kwaumakin iri ufanikiwe usiweke ushabiki wa yanga mbere au ww nichawa wa yanga mpzzz ww
@sangaelly85482 сағат бұрын
Simba ni moto wewe hujui mpira, Simba nikubwa
@JumaLulanje49 минут бұрын
Commet maana yake nimaoni sio matusi,
@SeifHemed-p5p3 сағат бұрын
Mara nyingi simba wanafelishwa na uvivu wa mabeki
@ce-082 сағат бұрын
😂😂😂 duuh
@weeknd_places3 сағат бұрын
Kijamaa kimeumia Sanaa Simba kushinda..😂
@nasibugunda79273 сағат бұрын
kama che malon alicheza mguu nini kilibadilisha direction ya mpira??
@abuumuhammad7133Сағат бұрын
Sasa kama angeshinda 1-0 jana sikapigwa 3-1 hivyo agg ingekuwa Simba 3 Al Ahli 2 siangepita Simba? Na hata jana sikuna goli la Simba la Ateba limekataliwa? Wewe mtu mweusiii hans km maguta ya bunduku acha ushabiki kwenye ulipoajiria ukaharibu kazi za watu wewe ukitoka hapo ndio weka ushabiki vijiweni
@athmanilatifu8648Сағат бұрын
Uwache ubwege wako nenda ukaishi libia kenge ww
@hamishatibu69932 минут бұрын
Hans ni mnafki tu wew usijitetee wew umelilia adi penati ya uwongo wa Tripol penati kwani lazima wazinde uyu hans ni mtoto bado anakipaji tu,
@bbclondonulimwenguwasoka612618 минут бұрын
Penalt gn hiyo, jamaa ni mpumbavu
@Joo2013844 минут бұрын
Mchambuzii unasema ilikuwa penalt tukio la che malone...? sasa wewe na refarii kazi nani anajua sheria zaidi...? mimi nilimsikiliza kwenye kipindi chake mpaka akamsifia refa wa mchezo..!! Fanya kazi yako tu kaka..... ushabiki tuachie huku tusio na mic.
@kulwampalashimpalashi722411 минут бұрын
Inakuumiza nn ww
@fredrickipembe8188Сағат бұрын
Hans wewe k kubwa
@ChijaLugola-xe5tnСағат бұрын
Wewe hans tatizo lako unapochambua unakuwa kama ndo unautafsri mchezo bdo muongo wewe ...penalt ipi uliiona wewe