We love you semaji la FIFA Hii yanga hii ni balaa jingine
@yuzomaneno2 сағат бұрын
Semaji anajuwa sana boli 🙌🙌🙌YANGA bingwa🇯🇲🙏
@Sumaiyafisoo54 минут бұрын
Hongera semaji Ali kamwe 🎉🎉🎉🎉🎉
@SuzoBaltazar3 сағат бұрын
Kaz nzr
@abdallahabdul10382 сағат бұрын
Eeh aah limeona aibu kweli
@rukaya-jg7hj2 сағат бұрын
Semaji la caf champions
@ChenchiKingСағат бұрын
Semaji La Mabingwa Wa Muda Wote💚💛💚💯
@sadahamad6158Сағат бұрын
Semaji mwenye akili nyingi Ally kamwe ❤❤🎉🎉🎉
@SubiragaKabango2 сағат бұрын
Ally KAMWE wakati mwingine unaongea point sana magori mengi ya nini mmekuwa wadada wa Netball? Acheni kujiuza! Tanzania ni Taifa takatifu, Hatutaki mipira ya hasira mnaidharirisha Nchi yangu! Hongereni na poleni sana!
@SurprisedAlien-bj6ip2 сағат бұрын
Umeumia eeee simba haooo makundi
@edinamwanasenga158416 минут бұрын
Semaji letu yanga mbigwa🎉🎉🎉
@GodfreyMhando-gn7okСағат бұрын
sawa
@BaltazarNyaky-c9v2 сағат бұрын
Mateso kama mateso na bado hujateseka
@Yuleyule-u6c2 сағат бұрын
Kuhusu magoli umeongea sawa lakini kwamba eti wamefungwa mechi zote hizo kwamba HAWANA bahati hapo unatuyayusha.
@hamadabdullah97022 сағат бұрын
Hamn jipy nyie mumecheza na vibonde hamn ishu
@DenisMusa-g5z44 минут бұрын
Ata Azam ilienda klab bigwa na akatolewa mapema kwahiyo yanga siajabu kukutana na Tim zenye uwiyano sawa na Azam
@BITEBOKHALIDСағат бұрын
Wewe Mdomo wa bata mavi utasema sana mwaka huu
@richardmakweta8875Сағат бұрын
Kuna maneno mazuri ya hekima ambayo unaweza ukaya tumia lakini siyo unavyo bwabwaja ,inaonekana Kama huja Soma
@JumanneMfinanga7 минут бұрын
Musikae kae bila kazi njooni mucheze
@AnthonyDcosta-f3q2 сағат бұрын
Bila kuwasema Simba hulali
@KaungaDori11 минут бұрын
Anhaaa nyie mlishamaliza point bila kumtaja bingwa yangaa?
@roberttagaya90982 сағат бұрын
Haka kajamaa kwakupenda hesabu za kujumlisha tu, haka jambo. Eti tumefuzu kwa jumla ya magoli kumi na saba.
@HusseinAli-i9n26 минут бұрын
Ni kweli goli kumi na saba hasemi uongo
@matrida.lunyilija519656 минут бұрын
Waambie hao madunduka na kombe lao la waliofeli
@AnnoyedFlowerPot-mr2psСағат бұрын
Ligi kuu hakuna ulimbwende wako Kila timu ni Bora si utopolo
@VailethBeautus2 сағат бұрын
YAANI UWOM E USIZALIWE NJITI UTAKUWA NA AKILI KAMA ALI KAMWE YAANI SIMBA INAMUUMA CJUI KWNN
@dominickiungulia101626 минут бұрын
Ali Kamwe siku yake yaja!
@AdrianaRobert-o4kСағат бұрын
Ni mtoto anaejielewa, kuliko mkubwa anaeiga na kuwapotosha wanasimba
@SaidMkome20 минут бұрын
Njiti awezi kuwa na akili sawa
@mariamyussuf8882 сағат бұрын
Sasa si bora aliyevua shati lipo karibu kuna yule wenu huvuaga soksi na anatoa gadi napiga simu jee😅😅😅
@R10_Rajab54 минут бұрын
Hahahh masikini weee mcheza aji kitendo cha kuvua gurd hata sekunde mbili hazifiki au bado unajua wachezaji wa sasa bado wanavaa gadi za kina Pele na Maradona?😂😂😂Hawa ndio walikuja kuvamia upenzi wa mpira wa miguu baada ya ujio wa Maximo
@RahmaShona14 минут бұрын
Ire simu anepiga muda anawapgia nyi vibonde wake anawataka Tena Kira chuma nyau we
Kombe la la mchuzi wazeee hao kombe la mabingwa mtajuta kwaka huuu kikia ifs .mnapewa pasi mfunge mnashindwa ,mwacheni semaji la kafu liongee
@pacomezouzoua9175Сағат бұрын
Tofauti ya boka na SGR ni mafutu tu😂😂😂 Jamaa anajua sana
@davibamwe641911 минут бұрын
Ukiongea kama msemaji uwe na akiba ya maneno husiibeze au kuidharau simba SC nyie kipimo mmepewa kidogo sana kwenu msimalize maneno mtapata aibu siku moja
@SaidMkome20 минут бұрын
Umecheza na nan
@abdullatifushambe44352 сағат бұрын
Bwabwa hilo
@abdulgyver8636Сағат бұрын
Simba mnajisahau kama mlikula nyingi😅😅😅 Vibonde ni kina nani
@davidsimbeye1548Сағат бұрын
Yaani utopolo kuanzia viongozi mpaka mashabiki wote malimbukeni tu, mwaka juzi mlicheza shirikisho mkasema mmepanda viwango vya bora CAF hadi nafasi ya tatu, eti anabeza kombe mashindano yale mliyokuwa mnasifia. Mmeshiriki misimu miwili tu mnajiona wakuuuubwa wakati wenzenu tumeishi huko misimu mitano. Hata hizo gori tano mnazojivunia wachezaji wengi waliocheza mechi hiyo wako kwenu.
@Stellastella-yi5vuСағат бұрын
Dogo tulia huna jipya, hujui kitu
@abdillahissa35362 сағат бұрын
Shida inakuja pale mjane anapo olelwa,akawaona wari wote hawana fura zaid yake,elewa neno mjane ni simbaa
@SaidiMohamedi-o2jСағат бұрын
yani nyie kina Hawa mnamatatizo kwer😮
@amekindamba1643Сағат бұрын
Ww fala kweli na ww ungelivua chupi tako ww
@wilsongeorge13532 сағат бұрын
Tarehe ngapi hiyo gemu waungwana
@asifznzСағат бұрын
CBE NAO WALICHUKUA 7 JUMLA😅😅😅😅
@abasingawile-h3f23 минут бұрын
Sio wambeya sema Wana mbeya😂😂😂😂
@dominickiungulia101617 минут бұрын
Anatuboa !
@GLIPNEXT56 минут бұрын
Yanga tung kuwa na alhamed ally tunge kuw pakubwa ila tum Winn 6 akuna shid
@KaungaDori17 минут бұрын
Ana nn Cha pekeee comedian au?
@JosephzakayoPius2 сағат бұрын
Mnamkbali shoga huyo
@TwahaAliMtumbi2 сағат бұрын
Mitoto iliyochangia humu yato ni Vikoba fc makolo fc madunduka fc Ubaya Ubwela fc makolo bwanji fc nyie ni watu wa hovyoo sana
@othmanhamad7887Сағат бұрын
Kinakuwasha tu, huridhiki km hujaiongelea Simba,kwani si ulisema mtafuzu makundi peke enu sasa ilo kundi la shirikisho ni lipi tena?Shubbaastedi
@NurudinihamadСағат бұрын
Koko ulipigwa Tano ila adabu hauna akir hauna kolo
@FikiriniShaali2 сағат бұрын
Muulizeni waandishi acheni kujizima data alisema Tim itakayokwenda makundi ni yanga tu Sasa kiko wapi
@sailoo57222 сағат бұрын
Kazi ya msemaji nibkesema kitabiri ni mambo mengine
@youngblack69172 сағат бұрын
Kwaiyo wewe unatakaje
@EliyaPaulo-uf6hh2 сағат бұрын
Shirikisho mlikuwa mnaliponda saivi mnashangilia kuingia makundi khaaaaa yaani nyie ni ndunduka kweli😂😂😂
@HappyBarnOwl-ug5kt2 сағат бұрын
@@EliyaPaulo-uf6hhmakolo hata hayaelew yanataka nn
@aminaomari2312Сағат бұрын
Hayo maneno ndio yaliyofanya simba ajikaze aende makundi,utani ni mzuri unasaidia hizi timu zipae kimataifa.
@abdulgyver8636Сағат бұрын
Kama CBE ni kibonde wewe team yako ilifungwa ngapi😂😂😂😂
@calvinmazaginza54222 сағат бұрын
We yanakuhusu nn akivua shati?we ongelea yako cyo kila cku huwezi kuongea bila kuitaja Simba
@chrysanthushakaunga6560Сағат бұрын
Yanga hakifunga timu yeyote eti makolo wnasema mbovu sasa timu gani itakuwa siyo mbovu ukutane na yanga siyo mbovu? Kwanini usiseme kuwa yanga ni bora ?
@kassidpandu8662 сағат бұрын
wacha utoto wako kitongoza Mademu ndio lugha gani mbele ya kioo
@alexisndaniel211658 минут бұрын
Bro uje taratibu Acha Usinich Mnacheza Na team za Bank Cbe Ni team ya Mtaani mzeee Al Hilal tripor Ni Big team Kufungwa 3 na simba team inayojijenga usi take simple bro Ww Unafanya vzur Sasa ikiwa Simba Hayuko Bado fit bro i swear Utakuja Lia 😢Simba wanakuja vzur Kaa kwa kutulia
@braayoo1632 минут бұрын
povu
@alexisndaniel211624 минут бұрын
@@braayoo16 Kaa kwa kutulia Kjna
@ShafiiKikopa2 сағат бұрын
Yaaan madunduka ubongo umeyumba yaan yanga amecheza na kibonde tar 8 August 2024 Simba alikuwa kibonde,,,, hahaha 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 dundukaaaaa mtakuwa na udunduka mpaka kiyaama
@SakinAthumanСағат бұрын
Hahahaha aaaaaaaaaaaaaaaa imekukera
@esthersamwel79182 сағат бұрын
Kwanza ulicheza na team kibonde 😂😂😂😂
@MikidadyAbdu2 сағат бұрын
Vibonde wapo kombe la looser /kombe la wamama
@yuzolove71202 сағат бұрын
club bingwa hua hakuna vibonge tambua wale wote wanao cheza caf champions ni mabigwa
@chuchumeta83742 сағат бұрын
Al Ahly Tripoli ni 245 katika ranks za caf
@HamadRamadhaniKamote27 минут бұрын
Wewe ally kamwe hamna kitu BADO saaana mpaka kumfikia Ahmed Ally Nenda tu kamuoe PAMELLA wa SHETANI .....Toka hapa ujui kuongea utaua mpira wa Yanga.uto
@Mumlion26242 сағат бұрын
Ahmed ally atabaki kuabora ,
@MikidadyAbdu2 сағат бұрын
Kwa kip
@EmmanuelMrimi-v1r36 минут бұрын
Mbn hata nyie Simba ni vibonde kwetu ila hatusemi,, au unabish km unabisha mbn kila sku nkuchapa bc kubali kuw kila timu ikaj vby mbele y yanga itakuw tuu vibonde,, hahahaha
@DenisMusa-g5z47 минут бұрын
Hela la mama mnazichukuwa bure maan yanga mpewa vilabu via walevi alafu mnajiita mabingwa ooooovioooo
@KaungaDori15 минут бұрын
Na Simba ni waleviii?
@naomjoseph47662 сағат бұрын
Wewe ni mtoto sana kwa Alhamed ally kwanza hujui kuongea kila ukicheza unacheza na kibonde
@gaspanpetro67442 сағат бұрын
Sas huyo ahamed bbake si n Ally utasemaje Ally n mtot
@HappyBarnOwl-ug5kt2 сағат бұрын
Kibonde namba moja ni ww my wetu
@songombingo108Сағат бұрын
Naomi bhana. Nyoko sana😂😂
@nesmoskanyuto6715Сағат бұрын
Simba ni kibonde😂
@HekimaMhema-c2yСағат бұрын
Sasa uyo alhamed Ally anajua kuongea hua anaongea nini cha maana hafu sisi tunajijua kila timu ikicheza na yanga inakua kibonde kwahiyo msitufokee na timu yetu na katoto ketu ka Ally kamwe
@NasibuAlban3 сағат бұрын
Alisema watafuzu wenyewe linaona aibu sasa
@gersonsakalani20692 сағат бұрын
Hiyo tabia yako ni yakike
@MikidadyAbdu2 сағат бұрын
Kama ulisikia vizuri alisema YANGA pekee ndio watafuzu caf champions league hay timu yako imefuzu wapi
@franccoz94Сағат бұрын
Kigoli kimoja umecheza na kikosi cha sh ngapi,au unafikiri wale n vitalo o na cbe, vitalo o n cbe wote kwa pamoja hawafikii thaman ya mabululu
@EmilyKiganjaСағат бұрын
Au simba😂😂😂😂
@SwaumuMalau-jh1hb2 сағат бұрын
Mbona wewe ulizimia
@lydiathomas29052 сағат бұрын
Hatujacheza na Vitaloooo😂😂😂, wala CBE. Wachezaji wa laki laki😂😂😂
@chuchumeta83742 сағат бұрын
Umecheza na timu 245 katika rank za CAF
@atambitotzmagari71002 сағат бұрын
Muulize kitu gani kilimfanya ajambe pale benjamini mkapa hadi akapelekwa hospital
@LindaMbilinyi-n3nСағат бұрын
😂😂😂😂😂
@esthersamwel79182 сағат бұрын
Wivu utakuua ww ndo hunenepi
@mariamelia8688Сағат бұрын
Lini alikwambia anashida ya unene,kuandika kwenyew hujui
@SubiragaKabango2 сағат бұрын
Kama mna Dhiki na pesa semi tutawachangai! Lakini za Gori la mama huo ni UROHO! Mechi 4 85ml Tshs je je wanafunzi huko shuleni wale nini ambao ni watoto wenu?