Gone but never be forgotten, Keep on sleeping True son of Mama Africa JJPM
@yayananajota58383 ай бұрын
One men must be remembered, king JPM, well done rest in peace,,
@temuemanuel46713 ай бұрын
Hongera sana Mama SAmia kwa kuendeleza maono ya JPM na kuyafikisha mahali pake. You are supper woman! Tunakupenda sana. Endelea kuwasweka ndani wala rushwa na wanaotaka kuturudisha nyuma. TRC mkiongozwa na mchapa kazi ndugu Masanja Kadogosa mnafanya kazi nzuri sana. I feel proud of my country. Keep it up
@MeenaHassan-fd9vv3 ай бұрын
wasukuma wachapakazi we siunaona jpm miaka 6 tuu tanzania 🇹🇿 imeshafunguka AWAMU zingine miaka 10 hakuna lolote nilirudi bongo 2015 barabara zilikuwa kama ulimi wa nyoka hicho kilikuwa kipindi cha jakaya kikwete ilikuwa noma, Home boy we kaa nje ya Tanzania kwa miaka mingi kid0go harafu rudi bongo kabla ya kipindi cha jpm huwezi amini jinsi utakavyoiona bongo utafikiri haina viongozi bongo tupo nyuma kimaendeleo " jpm humfananishi na kiongozi yoyote waliopita hapo Tanzania labda Nyerere tuuu rais mwenye uthubutu, kikwete anasema yeye ndiyo alitoa wazo la kujenga reli ya treni ya umeme lakini hakujenga so ni alikuwa anafurahi nafsi yake lakini chuma toka chato akajenga na hskuna stori
@bekabakari73943 ай бұрын
Gone but not forgotten Rest easy jpm Ulikua na maono Hatukusahau kwa alama hi Mama samia kazi iendelee
@ellamsakafu603 ай бұрын
Kazi mzuri mama Tanzania. Kwanza namsifu JPM kwa maono yake mazuri. Hadi alipotuacha alikuwa ameacha reli ya SGR katika vipande (lots) tatu; Dar - Moro, Moro - Dom na Mwanza - Isaka (stage ya mwanzo). Lakini SSH alipoingia madarakani siyo tu alisinzia bali kasi ya ujenzi iliongezeka ktk lots hizo. Lkn pia alianzisha lots zingine kama; Dom - Tabora, Tabora - Isaka, Tabora - Kigoma na Kigoma (Uvinza) - Msongati (Burundi). Ukiangalia utaona SSH amepiga kazi zaidi. Viongozi wote wanastahili pongezi. Big Up.
@bogoheidaso26283 ай бұрын
Magufuli alisema mpaka wazungu waje kungalia kazi anayo fanya
@michaelndilima62103 ай бұрын
Magufuli alibezwa wakati anaazisha ujenzi.
@ZainaRashid-t3m3 ай бұрын
JPM Mungu akulaze Mahalo panapokustahili kwa maono yako nitakukumbuka maisha yangu yote natamani ungekuwepo na mengine ungeyaanzisha hongera piano mama kwa kuyaendeleza
@yustomwaisomania25873 ай бұрын
RIP JPM 😭😭😭
@ibrahimobedi44983 ай бұрын
Wachumi kupamba watu sijui mradi ulianza mbali no tunaemjue siye Ni Dr John Pombe Magufuri yeye ndiye muhasisi wa mradi mpeni mtu kongore zake
@tinayotham90353 ай бұрын
Hakika umeongea, JPM atabaki kuwa Muasisi wa SGR hamna na wala hatatokea mwingine. Rest In Peace Papa.
@marwajoseph80603 ай бұрын
Magufuri aliona mbali vizuri huwa havidumu
@HansChuma3 ай бұрын
Rip mzee wangu Magufuli😢😢😢
@roberttarimo49563 ай бұрын
RIP JPM
@fransicmushenyera93023 ай бұрын
R.I.P.JPM
@tanzaniakwanza16993 ай бұрын
Wapuuzi. Ni MAAMUZI YA MAGUFULI KUIJENGA RELI, UMEME, FLYOVERS ETC. VIVA MAGU VIVA
@marcomathew84393 ай бұрын
Viva JPM
@chuchumeta83743 ай бұрын
Mbeba maono ni Magufuli,
@edsonnelson44643 ай бұрын
Mbeba maono ni Kikwete na Jpm msisahau, halafu mtekelezaji ni Magufuli
@emmanuelkahangamabula65273 ай бұрын
Magufuli apewe maua yake huko aliko❤
@Mpakauseme3 ай бұрын
Muendeleze sio wanakujakuwatembelea arafu baadae hao hao wanakuja kuwapita kimaendeleo kwani yametokea hayo , fanyeni kwa vitendo zaidi ya hapo, manake wabongo maneno mengi vitendo sifuri
@nicholausnyello15773 ай бұрын
R.I.P JPM
@MashakaKalamba3 ай бұрын
Magufuli - alikuwa na maono makubwa. Mungu amlaze mahali pema peponi.
@Optionxll_Playz13 ай бұрын
Arusha To Nairobi,Dodoma Arusha Dododoma Mbeya to Tabora mikoa yote ingunanishwe na pia viwanja vya ndege vyote vikubwa itapendeza sana .
@ndukulusudikucho_3 ай бұрын
Hongereni saana shirika la Reli
@mawazoaliselemani3 ай бұрын
Guinea Bissau IPO mbali sana mheshimiwa
@yustomwaisomania25873 ай бұрын
😭😂😂😂😂😂😂 kiongozi mkubwa hajui Guinea Bissau ipo upande gan wa Afrika et Central Africa 😂😂😂😂😂 maskin Kodi zetu
@nassercurtis95793 ай бұрын
Inatokea hiyo wala sio tatizo hata wao watu magharibi hawana mpango na sisi hawajui tu Tanzania ipo wapi, nilishakutana na wa cameroon zaidi ya watatu kwa wakati tofauti wananiuliza Tanzania iko wapi, mmoja alisema tumepakana na south Afrika mwengine alithubutu kusema majirani zetu ni algeria sababu accent ya lugha yetu inakaribia kama kiarabu au kifaransa mwengine aliniuliza kama tupo karibu na ethiopia at least nowadays Nigeria huitambua Tanzania ipo karibu na Kenya tena hasa sababu ya kipindi cha covid tulijulikana sana kimataifa sababu mjomba Magu, dunia iliweka brake down yeye alifungua na Kenya wakafuata hivyo wengi wakaanza kuifuatilia Tz na hasa raisi magufuli na misimamo yake, ndio maana nchi kama Jamaika wenye asili ya Afrika ila wapo bara la America waliomboleza msiba wa magufuli tena kitaifa.
@yustomwaisomania25873 ай бұрын
@@nassercurtis9579 Lakini huyo n Msomi amesoma iweje ashindwe kutambua kitu ambacho hata Mdg Wang wa darasa la tatu anakijua 😂😂😂😂😂😂😂
@kwisa48993 ай бұрын
Huyu kiongozi nilijua ziro siku alipo sema system za malipo zina sumbua na kashindwa kusimamia foleni nikajua tu huu mradi kutoboa ni ngumu
@arafamoshi11973 ай бұрын
Tz to guinea Bissau mbali Sana
@lucaskoisha26813 ай бұрын
Safi sana
@johnabery-vn7eb3 ай бұрын
Kichwa siyo kile kilichokua kinatangazwa mtandaon ap tumepigwa
@DaudiMede3 ай бұрын
June 2024 but still
@gilbertwerema98703 ай бұрын
Kadogosa anachanganya Guinea Bissau (Afrika magharibi karibu na Senegal) na Equitorial Guinea (Afrika ya kati karibu na Cameroon)
@fredrickkaaya62873 ай бұрын
Hatuwezi kumsifu mtu aliyeuza bandari zetu, misitu yetu na mbuga zetu za wanyama kwa wajomba zake waarabu. Kiama chake kimekwisha tabiriwa na manabii someni alama za nyakati. Tunamshukuru Mungu kwa maono mkubwa aliyompa J P M na Leo yametimia. Hatuna cha kumtukuza mwanadamu mwenzetu kwani reli imejengwa kwa Kodi zetu wenyewe.
@kwisa48993 ай бұрын
Train aiendi mwanza tena ni kigoma😂😂😂
@seifseifmohamed71183 ай бұрын
Kadogosa ndugu, Guinea Bissau iko Senegal bro. Wacha usijizongeshe chungulia map kidogo
@valerianrwebandiza7543 ай бұрын
Guinea Bisau iko Senegal???? Kweli??
@alimuse69803 ай бұрын
Sio iko karibu Burundi
@User255tv3 ай бұрын
Na wewe umechemsha!
@KamiliKapeta-yr3uc3 ай бұрын
Magufuli mamboyalikua bilakwenda nnchi Za nnje wala mikopo
@apolnaryandrew42713 ай бұрын
Kwahiyo reli haiendi tena mwanza,? ni Tabora, kigoma hadi isaka?
@ndimimaskati36413 ай бұрын
Pesa zitaliwa na wafanyakazi.
@FrankPatrickMangera3 ай бұрын
Genius
@lameckbalekere19623 ай бұрын
Msipo mtaja Magufuli nawaona ote kafala tu
@josephatmathiasgalagalabuh7863 ай бұрын
Jina lake mbona linawakosewa ni lipi sasa? EMBARO au EMBALO??
@vt-kn6qf3 ай бұрын
Embalo
@deven.oauditx75473 ай бұрын
Yote sawa tu.
@thadeusmarkiminja22823 ай бұрын
Aliyebuni huu mradi ni nani?Wanaomsema na waseme mi mtanzania namkubali kulikoni sitaki nimtaje jina najua alipo ana amami Tena kubwa aliiheshimisha nchi atakaekubali akubalianaekataa shauri yake