RAIS EMBALO ATINGA TRENI YA SGR ALICHOKIKUTA HIKI HAPA

  Рет қаралды 19,665

Daily News Digital

Daily News Digital

Күн бұрын

Пікірлер: 51
@geraldgogadi7054
@geraldgogadi7054 3 ай бұрын
Gone but never be forgotten, Keep on sleeping True son of Mama Africa JJPM
@yayananajota5838
@yayananajota5838 3 ай бұрын
One men must be remembered, king JPM, well done rest in peace,,
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 3 ай бұрын
Hongera sana Mama SAmia kwa kuendeleza maono ya JPM na kuyafikisha mahali pake. You are supper woman! Tunakupenda sana. Endelea kuwasweka ndani wala rushwa na wanaotaka kuturudisha nyuma. TRC mkiongozwa na mchapa kazi ndugu Masanja Kadogosa mnafanya kazi nzuri sana. I feel proud of my country. Keep it up
@MeenaHassan-fd9vv
@MeenaHassan-fd9vv 3 ай бұрын
wasukuma wachapakazi we siunaona jpm miaka 6 tuu tanzania 🇹🇿 imeshafunguka AWAMU zingine miaka 10 hakuna lolote nilirudi bongo 2015 barabara zilikuwa kama ulimi wa nyoka hicho kilikuwa kipindi cha jakaya kikwete ilikuwa noma, Home boy we kaa nje ya Tanzania kwa miaka mingi kid0go harafu rudi bongo kabla ya kipindi cha jpm huwezi amini jinsi utakavyoiona bongo utafikiri haina viongozi bongo tupo nyuma kimaendeleo " jpm humfananishi na kiongozi yoyote waliopita hapo Tanzania labda Nyerere tuuu rais mwenye uthubutu, kikwete anasema yeye ndiyo alitoa wazo la kujenga reli ya treni ya umeme lakini hakujenga so ni alikuwa anafurahi nafsi yake lakini chuma toka chato akajenga na hskuna stori
@bekabakari7394
@bekabakari7394 3 ай бұрын
Gone but not forgotten Rest easy jpm Ulikua na maono Hatukusahau kwa alama hi Mama samia kazi iendelee
@ellamsakafu60
@ellamsakafu60 3 ай бұрын
Kazi mzuri mama Tanzania. Kwanza namsifu JPM kwa maono yake mazuri. Hadi alipotuacha alikuwa ameacha reli ya SGR katika vipande (lots) tatu; Dar - Moro, Moro - Dom na Mwanza - Isaka (stage ya mwanzo). Lakini SSH alipoingia madarakani siyo tu alisinzia bali kasi ya ujenzi iliongezeka ktk lots hizo. Lkn pia alianzisha lots zingine kama; Dom - Tabora, Tabora - Isaka, Tabora - Kigoma na Kigoma (Uvinza) - Msongati (Burundi). Ukiangalia utaona SSH amepiga kazi zaidi. Viongozi wote wanastahili pongezi. Big Up.
@bogoheidaso2628
@bogoheidaso2628 3 ай бұрын
Magufuli alisema mpaka wazungu waje kungalia kazi anayo fanya
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 3 ай бұрын
Magufuli alibezwa wakati anaazisha ujenzi.
@ZainaRashid-t3m
@ZainaRashid-t3m 3 ай бұрын
JPM Mungu akulaze Mahalo panapokustahili kwa maono yako nitakukumbuka maisha yangu yote natamani ungekuwepo na mengine ungeyaanzisha hongera piano mama kwa kuyaendeleza
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 3 ай бұрын
RIP JPM 😭😭😭
@ibrahimobedi4498
@ibrahimobedi4498 3 ай бұрын
Wachumi kupamba watu sijui mradi ulianza mbali no tunaemjue siye Ni Dr John Pombe Magufuri yeye ndiye muhasisi wa mradi mpeni mtu kongore zake
@tinayotham9035
@tinayotham9035 3 ай бұрын
Hakika umeongea, JPM atabaki kuwa Muasisi wa SGR hamna na wala hatatokea mwingine. Rest In Peace Papa.
@marwajoseph8060
@marwajoseph8060 3 ай бұрын
Magufuri aliona mbali vizuri huwa havidumu
@HansChuma
@HansChuma 3 ай бұрын
Rip mzee wangu Magufuli😢😢😢
@roberttarimo4956
@roberttarimo4956 3 ай бұрын
RIP JPM
@fransicmushenyera9302
@fransicmushenyera9302 3 ай бұрын
R.I.P.JPM
@tanzaniakwanza1699
@tanzaniakwanza1699 3 ай бұрын
Wapuuzi. Ni MAAMUZI YA MAGUFULI KUIJENGA RELI, UMEME, FLYOVERS ETC. VIVA MAGU VIVA
@marcomathew8439
@marcomathew8439 3 ай бұрын
Viva JPM
@chuchumeta8374
@chuchumeta8374 3 ай бұрын
Mbeba maono ni Magufuli,
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 3 ай бұрын
Mbeba maono ni Kikwete na Jpm msisahau, halafu mtekelezaji ni Magufuli
@emmanuelkahangamabula6527
@emmanuelkahangamabula6527 3 ай бұрын
Magufuli apewe maua yake huko aliko❤
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 ай бұрын
Muendeleze sio wanakujakuwatembelea arafu baadae hao hao wanakuja kuwapita kimaendeleo kwani yametokea hayo , fanyeni kwa vitendo zaidi ya hapo, manake wabongo maneno mengi vitendo sifuri
@nicholausnyello1577
@nicholausnyello1577 3 ай бұрын
R.I.P JPM
@MashakaKalamba
@MashakaKalamba 3 ай бұрын
Magufuli - alikuwa na maono makubwa. Mungu amlaze mahali pema peponi.
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 3 ай бұрын
Arusha To Nairobi,Dodoma Arusha Dododoma Mbeya to Tabora mikoa yote ingunanishwe na pia viwanja vya ndege vyote vikubwa itapendeza sana .
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 ай бұрын
Hongereni saana shirika la Reli
@mawazoaliselemani
@mawazoaliselemani 3 ай бұрын
Guinea Bissau IPO mbali sana mheshimiwa
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 3 ай бұрын
😭😂😂😂😂😂😂 kiongozi mkubwa hajui Guinea Bissau ipo upande gan wa Afrika et Central Africa 😂😂😂😂😂 maskin Kodi zetu
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 3 ай бұрын
Inatokea hiyo wala sio tatizo hata wao watu magharibi hawana mpango na sisi hawajui tu Tanzania ipo wapi, nilishakutana na wa cameroon zaidi ya watatu kwa wakati tofauti wananiuliza Tanzania iko wapi, mmoja alisema tumepakana na south Afrika mwengine alithubutu kusema majirani zetu ni algeria sababu accent ya lugha yetu inakaribia kama kiarabu au kifaransa mwengine aliniuliza kama tupo karibu na ethiopia at least nowadays Nigeria huitambua Tanzania ipo karibu na Kenya tena hasa sababu ya kipindi cha covid tulijulikana sana kimataifa sababu mjomba Magu, dunia iliweka brake down yeye alifungua na Kenya wakafuata hivyo wengi wakaanza kuifuatilia Tz na hasa raisi magufuli na misimamo yake, ndio maana nchi kama Jamaika wenye asili ya Afrika ila wapo bara la America waliomboleza msiba wa magufuli tena kitaifa.
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 3 ай бұрын
@@nassercurtis9579 Lakini huyo n Msomi amesoma iweje ashindwe kutambua kitu ambacho hata Mdg Wang wa darasa la tatu anakijua 😂😂😂😂😂😂😂
@kwisa4899
@kwisa4899 3 ай бұрын
Huyu kiongozi nilijua ziro siku alipo sema system za malipo zina sumbua na kashindwa kusimamia foleni nikajua tu huu mradi kutoboa ni ngumu
@arafamoshi1197
@arafamoshi1197 3 ай бұрын
Tz to guinea Bissau mbali Sana
@lucaskoisha2681
@lucaskoisha2681 3 ай бұрын
Safi sana
@johnabery-vn7eb
@johnabery-vn7eb 3 ай бұрын
Kichwa siyo kile kilichokua kinatangazwa mtandaon ap tumepigwa
@DaudiMede
@DaudiMede 3 ай бұрын
June 2024 but still
@gilbertwerema9870
@gilbertwerema9870 3 ай бұрын
Kadogosa anachanganya Guinea Bissau (Afrika magharibi karibu na Senegal) na Equitorial Guinea (Afrika ya kati karibu na Cameroon)
@fredrickkaaya6287
@fredrickkaaya6287 3 ай бұрын
Hatuwezi kumsifu mtu aliyeuza bandari zetu, misitu yetu na mbuga zetu za wanyama kwa wajomba zake waarabu. Kiama chake kimekwisha tabiriwa na manabii someni alama za nyakati. Tunamshukuru Mungu kwa maono mkubwa aliyompa J P M na Leo yametimia. Hatuna cha kumtukuza mwanadamu mwenzetu kwani reli imejengwa kwa Kodi zetu wenyewe.
@kwisa4899
@kwisa4899 3 ай бұрын
Train aiendi mwanza tena ni kigoma😂😂😂
@seifseifmohamed7118
@seifseifmohamed7118 3 ай бұрын
Kadogosa ndugu, Guinea Bissau iko Senegal bro. Wacha usijizongeshe chungulia map kidogo
@valerianrwebandiza754
@valerianrwebandiza754 3 ай бұрын
Guinea Bisau iko Senegal???? Kweli??
@alimuse6980
@alimuse6980 3 ай бұрын
Sio iko karibu Burundi
@User255tv
@User255tv 3 ай бұрын
Na wewe umechemsha!
@KamiliKapeta-yr3uc
@KamiliKapeta-yr3uc 3 ай бұрын
Magufuli mamboyalikua bilakwenda nnchi Za nnje wala mikopo
@apolnaryandrew4271
@apolnaryandrew4271 3 ай бұрын
Kwahiyo reli haiendi tena mwanza,? ni Tabora, kigoma hadi isaka?
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 3 ай бұрын
Pesa zitaliwa na wafanyakazi.
@FrankPatrickMangera
@FrankPatrickMangera 3 ай бұрын
Genius
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 3 ай бұрын
Msipo mtaja Magufuli nawaona ote kafala tu
@josephatmathiasgalagalabuh786
@josephatmathiasgalagalabuh786 3 ай бұрын
Jina lake mbona linawakosewa ni lipi sasa? EMBARO au EMBALO??
@vt-kn6qf
@vt-kn6qf 3 ай бұрын
Embalo
@deven.oauditx7547
@deven.oauditx7547 3 ай бұрын
Yote sawa tu.
@thadeusmarkiminja2282
@thadeusmarkiminja2282 3 ай бұрын
Aliyebuni huu mradi ni nani?Wanaomsema na waseme mi mtanzania namkubali kulikoni sitaki nimtaje jina najua alipo ana amami Tena kubwa aliiheshimisha nchi atakaekubali akubalianaekataa shauri yake
小丑家的感情危机!#小丑#天使#家庭
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 32 МЛН
She's very CREATIVE💡💦 #camping #survival #bushcraft #outdoors #lifehack
00:26
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 4 МЛН
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 127 МЛН
NYOMI LA STESHENI YA SGR DODOMA NI HIVI 🔥🔥🔥🔥🔥
10:13
Guinea Conakry: Life on the Edge | Deadliest Journeys
47:59
Best Documentary
Рет қаралды 2,4 МЛН
MFAHAMU PROF. KITHURE KINDIKI, NAIBU RAIS MPYA KENYA
3:00
Daily News Digital
Рет қаралды 1,4 М.
HII HAPA  SAFARI SGR  DAR HADI MORO, NDANI YA TRENI YA SGR
10:07
TRC RELI TV
Рет қаралды 40 М.
小丑家的感情危机!#小丑#天使#家庭
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 32 МЛН