Mabehewa yajaa, treni ya umeme ikianza safari ya kwanza Dar-Moro, yatumia dakika 114 kufika

  Рет қаралды 28,989

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Safari ya kwanza ya treni ya umeme kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro imekuwa gumzo ikiondoka Dar es Salaam ikiwa limejaa abiria katika mabehewa yote.
Safari hiyo imeanza leo Ijumaa Juni 14 , 2024 wakiwemo Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Reli Tanzania (TRC), Ally Karavina na Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo, Masanja Kadogosa.
Kama ilivyotangazwa, treni hiyo ilianza safari saa 12:01 asubuhi na inatarajiwa kutumia dakika 90 kufika Morogoro.
Mwananchi Digital itakuletea hatua kwa hatua za safari hiyo na kitakachojiri katika safari ya kwanza ya kihistoria ya treni hiyo.

Пікірлер: 138
The selfish The Joker was taught a lesson by Officer Rabbit. #funny #supersiblings
00:12
Funny superhero siblings
Рет қаралды 10 МЛН
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 10 МЛН
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 27 МЛН
President Ruto kunyihia andu aria maceraga thingira-ini wa Iregi.
30:28
KAMEME OFFICIAL PAGE
Рет қаралды 11 М.
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Fighting Spirit
Рет қаралды 6 МЛН
TAZAMA SIKU YA PILI ABIRIA WAKIWASILI DAR KUTOKA MOROGORO
3:27
TRC RELI TV
Рет қаралды 13 М.