MAPYA YAIBUKA KIFO CHA MEMBE: USALAMA WA TAIFA WATAJWA/ ALITAMANI MAKUBWA/ NI HATARI TUNAKOKWENDA!

  Рет қаралды 82,307

Dar24 Media

Dar24 Media

Күн бұрын

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#nyerere #membe #tanzania

Пікірлер: 39
@Tango696
@Tango696 Жыл бұрын
Uko vizuri kaka.
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 Жыл бұрын
Zamani Ujasusi ulifanyika kisiri sana,wala haukuwahi kuwaletea hofu watanzania Bali usalama ulikua mkubwa kwasababu uovu ulithibitiwa kabla ya kutekelezwa waivu walitiwa nguvuni. Kila idara na mkusanyiko,makazini, palikua na jasusi. Leo hii ujasusi umekua tishio,uko kisiasa zaidi, unatumika kukomoa watu kwa itikadi zao,au mawazo mbadala badala ya kuzuia biashara haramu,ugeni haramu,na kulinda usalama wa ndani ya nchi!
@miye2215
@miye2215 Жыл бұрын
Sio kweli, basi utakuwa haujui kuhusu ujasusi. Kama ujasusi ungekuwa umepoteza dira yake basi hata nchi isingekuwepo tena. Hakuna nchi inaweza kuendelea kuwepo na kutawalika kama hakuna ujasusi au umepoteza, hakuna mtu anajua kuhusu ujasusi wa nchi hata jasusi mwenyewe hakuna anachojua nje ya kile anachoagizwa kufanya na kazi yake.
@khajiussi6588
@khajiussi6588 Жыл бұрын
So kweli.
@andrewlimbe-vo8tg
@andrewlimbe-vo8tg Жыл бұрын
Ck hz vijana weng usalama wa taifa hupenda sifa,,hii n shida sana
@Baso1968
@Baso1968 Жыл бұрын
Ndugu zangu tupeane vyeo kindugu kila sehemu ila Usalama wa taifa tuogope sana ila kulinda sera za chama tawala na wananchi. 😢
@jkifutu7936
@jkifutu7936 Жыл бұрын
Nakukubali sana bullaza
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 9 ай бұрын
Bullaza 😅😅😅
@lujobilz7482
@lujobilz7482 Жыл бұрын
💪
@LukindoMbuleti
@LukindoMbuleti 19 күн бұрын
Mmmmhhh!!,eti msoma vitabu😂😂😂😂
@BetreceTimoth-dd7lw
@BetreceTimoth-dd7lw Жыл бұрын
Mmmmh
@sjosephmashany-eu6rf
@sjosephmashany-eu6rf Жыл бұрын
Maswala ya kiusalama si vema kuyaweka wazi kwa sababu mtu anapokufahamu siyo rahisi kukupa tarifa za kihalifu au kiuhatalishi katika nchi pia watu hawatakuwa marafiki na hawatakupa taarifa pia kujiweka wazi kunahatarisha usalama wa mtoa taarifa na mpokea taarifa .pia combo cha usalama nibora kiwajibike kisiri na uwazi
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Жыл бұрын
Upo sahihi kabisaaa. It's confidential
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 Жыл бұрын
Mbona huyu anafanana na Hayati Nyerere?
@LukindoMbuleti
@LukindoMbuleti 19 күн бұрын
Kaka huyo mwenyewe ni wale wale😅😅
@amenmushi5945
@amenmushi5945 Жыл бұрын
Poleni
@wakwetu2444
@wakwetu2444 5 ай бұрын
Ni kweli wa Hindi ni wabinifu wa Biashara.
@machoguhamery3731
@machoguhamery3731 Жыл бұрын
Damu ni nzito kuliko maji; hujui hilo?
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 Жыл бұрын
Yaani Kwanza Nicheke tu..😅😅yaani Intelligent kujianika..hivi hivi..? Maadili ya wapi haya labda huko dunia ya 30...
@bethkatunx7677
@bethkatunx7677 Жыл бұрын
Du wanadamu wanadamu tu subili histolia itaongea hata kama hatutakuwepo sote kwa hili mungu yu juu ya yote mweza Wa yote
@meshackbinde1944
@meshackbinde1944 Жыл бұрын
Huyu jamaa kweli anafahamu sana masuala ya kijasusi, anafafanua hasa Kwa wasiojua masuala haya!
@nestor384
@nestor384 Жыл бұрын
Hii umaajabu wa membe uko wapi jamani
@ramlaibrahimu-zw5hr
@ramlaibrahimu-zw5hr Жыл бұрын
Jaman me nataman Chama pizani wachukuwe nchi jamaniiiiiiiiii
@zamberimturi5593
@zamberimturi5593 Жыл бұрын
Haka kajamaa kako vizuri kwa kuelezea
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 Жыл бұрын
huyu jamaa muongo muongo snaa😅😅😅
@saidyussuf2291
@saidyussuf2291 Жыл бұрын
Hhhhh kwann
@dicksonwanyama1689
@dicksonwanyama1689 Жыл бұрын
Sana
@flova7022
@flova7022 Жыл бұрын
Hahahahahaha
@anytime5685
@anytime5685 Жыл бұрын
Imeisha hiyo vijana wa sasa wanasema Muda ni shahidi mwaminifu
@bizmangwimo5823
@bizmangwimo5823 Жыл бұрын
Aende2
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 Жыл бұрын
Kweli alikua mtaalamu hasa mazungumzo ya kijasusi
@honestlebisa1373
@honestlebisa1373 Жыл бұрын
Umesau krimu inayo aminika GPM
@jumaamartin7929
@jumaamartin7929 Жыл бұрын
wanazengo huyu jamaa ni mjukuu wa hayat mwalimu nyerere?au ndio hivo tena binadam tuna kufanana.
@machoguhamery3731
@machoguhamery3731 Жыл бұрын
Hana uhusiano wowote na Mwalimu kindugu
@mamachacha6478
@mamachacha6478 Жыл бұрын
Mtangazaji huulizi maswali Bali unapiga soga maneno meeengi.
@denismugisha2
@denismugisha2 Жыл бұрын
Sasa unataka kutuambia wewe una elimu hiyo ya usalama??
@wakwetu2444
@wakwetu2444 5 ай бұрын
Hatuwezi kuepuka mageuzi.
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Жыл бұрын
RIP MEMBE MTAALAM WA MIKAKATI. AKA JASUSI
@yazidusaidi8843
@yazidusaidi8843 Жыл бұрын
Yericko Mbinguni na Ahera unapajua wewe?😀😃😄, acha basi kusimulia kama wale matranslator wa video za vibanda umiza🤣😂, hatahivyo, nafurahia masimulizi na uchambuzi wako👋
Офицер, я всё объясню
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 6 МЛН
Ozoda - Lada ( Official Music Video 2024 )
06:07
Ozoda
Рет қаралды 23 МЛН
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 78 МЛН
Pete Buttigieg on 2024 and the ‘Crank Realignment’
57:48
New York Times Podcasts
Рет қаралды 980 М.
Tazama Chief Odemba Akimhoji  Maswali Magumu Kamanda Muliro
28:34
The Chanzo
Рет қаралды 103 М.
Офицер, я всё объясню
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 6 МЛН