No video

JAMBAZI SUGU LAFUNGUKA/ TULIFUNGWA NA TUNDU LISSU/ALINIKATAA/ BABU SEYA NA WANAWE!/ UKATILI GEREZANI

  Рет қаралды 62,074

Dar24 Media

Dar24 Media

Жыл бұрын

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#ukonga #jela #mahakamani

Пікірлер: 105
@dar24media
@dar24media Жыл бұрын
kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na jumatano saa nne kamili asubuhi, kama una mkasa au simulizi wasiliana nasi kupitia simu namba..#0653127761
@abdulnasrikhatibu7568
@abdulnasrikhatibu7568 Жыл бұрын
kaka wakati unafanya kipindi hakikisha sauti inakuwa inayosikika vizuri
@antonyvallerian1718
@antonyvallerian1718 Жыл бұрын
I'll l look see ll
@SaidMatimbwa
@SaidMatimbwa 10 ай бұрын
​@@abdulnasrikhatibu7568❤❤❤❤q
@fadhilimsafiri216
@fadhilimsafiri216 9 ай бұрын
Maongezi mengi sana kupoteza muda mwingi.
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu Жыл бұрын
Only in Tanzania, Nchi Nyingine Ujigambe Ulipiga M2 Mapanga Ukafanya Nyanganyiwa wa silaha LEO wafuatilie Wakute ni Kweli Hilo tukio lilitokea, Utakamatwa. Na Hiyo itachukuliwa kama Comfession to a Crime
@milnertv8079
@milnertv8079 Жыл бұрын
Huyo anayejiita mwana kondoo kama hayo ndiyo aliyoyafanya basi atubie sana kwa mungu
@florianmodest6215
@florianmodest6215 Жыл бұрын
Hatari sana maisha ya ujambazi sio tuishi kwa utaratibu na kumuomba mungu aepushe mambo haya.
@justinkihongo-ou1up
@justinkihongo-ou1up Жыл бұрын
Inchiiiii ihiiiii bwanaaa
@biblicalchristianassemblies
@biblicalchristianassemblies Жыл бұрын
Huyu mpuuzi kweli kweli, yaani hajutii aliuowafanyia wengine, ila anajutia aliuofanyiwa. Mpuuziiiiiiii
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 Жыл бұрын
Dupa mdupange nikiaza kukusikiliza huwa najipanga mdogo wangu chechemua Salut kwako story mbona kama hunailushalusha bregedia 🇹🇿🇬🇷😁👍🙋‍♂️✊✊✊✊
@ayoubmwanawima1820
@ayoubmwanawima1820 Жыл бұрын
Brigedia analia
@christopherrobert1948
@christopherrobert1948 Жыл бұрын
11:53 miaka ya 90 alikua anakaba wahindi anawachukulia simu na ela. 😂😂😂😂 muda mchache mbele anakwambia simu amna simu amna.
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Жыл бұрын
Nimewaza kwa sauti, miaka ya 90 cm hazikuwepo😢
@nikyhassan9394
@nikyhassan9394 Жыл бұрын
Congratulations bro Dumpa
@amosmahona433
@amosmahona433 Жыл бұрын
Mtangazaji hajui kuhoji
@user-vi3xx5ew5i
@user-vi3xx5ew5i Жыл бұрын
Kwani huko mbongo hakuna machine ya X ray. ? Inaonekana bodo tupo ktk karne ya 18
@Yussuf1996-ew5gj
@Yussuf1996-ew5gj Жыл бұрын
Hiiii nilikuwa naisubr kwa hamu dupaaaaah
@bensonjohn9633
@bensonjohn9633 Жыл бұрын
Huyu Jamaa ana siri nzito sana sana.
@kingkendrickk
@kingkendrickk Жыл бұрын
Ndani ya mbanga mpya
@saimonjohnsumley9198
@saimonjohnsumley9198 Жыл бұрын
Wanaiga wicked ya Kenya lakini haibambi ki viile
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu Жыл бұрын
Huyu Mpumbavu labda Ukute stori za Uwongo, Lakini kama Ni Kweli anazungumzia Kumpiga Mtu mapanga Bila hata Kuonyesha Majuitio, He need to Be Arrested!
@RwachiryoraWema
@RwachiryoraWema Жыл бұрын
This is a confession but without strong evidence it's his words against state and that's period
@ukhtyzainab7254
@ukhtyzainab7254 Жыл бұрын
Thanks
@abdulswamdenyambuka1902
@abdulswamdenyambuka1902 Жыл бұрын
Jamaa sio mzuri kwenye kusimulia... anarukaruka sana na kuchanganya matukio... ila story yake ni nzuri sana... ila baharia balozi alitisha sana ktk kusimulia
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Жыл бұрын
Story ya kukata watu mapanga ndio unaiona ni nzuri, hii ni story ya kusikitisha hivi ingekuwa wewe umepigwa mapanga au ndugu yako ungeona hiyo story ni nzuri
@nururaymond5
@nururaymond5 Жыл бұрын
Mtangazaji unaongea Sana, una maswali ya kijinga unamkatisha katisha Sana unaboaaaaaaa
@user-mv1vn7oj4w
@user-mv1vn7oj4w Жыл бұрын
1991 SIMU GANI ULIKUA UNAIBA WEEWE,ACHA UONGO
@josephkavindi3666
@josephkavindi3666 Жыл бұрын
Msela wakizamani 😂😂😂Wengi wamekufa keko mwanga na jangwani 😂😂
@ManaseJubilate-kk2gz
@ManaseJubilate-kk2gz Жыл бұрын
Kwani huyu alifikiri ataotesha mahindi avune maharage?huo ni mshahara wa maasi yake
@ibnmoses979
@ibnmoses979 Жыл бұрын
Balozi bado ni msimuliaji bora kwa 2023 labda atokee mwengine
@hansmsangi9828
@hansmsangi9828 Жыл бұрын
Tulikuwa tunawachukulia simu hela kwenye dakika 11 46 mpk 11 47 alafu mbele tena unasema mlikuwa hamchukuwi simu kipindi hicho simu hakuna kwenye dakia 12 35 ss tunashindwa kuelewa hizi story za kutunga au mtuweke sawa hapo tunatumia MB zenye hela ndani
@mwaka43
@mwaka43 Жыл бұрын
Nafikiri alikuwa anaelezea matukio yote aliyoyafanya kuanzia kabla na hata baada ya Simu kuingia miaka ya 2000 mwanzoni, Mara ya Pili alizungumzia matukio yake Specific kabla ya simu kuingia....Huyu bwana amefanya matukio kabla na baada ya simu kuingia
@martinmuthii1900
@martinmuthii1900 Жыл бұрын
@@mwaka43 hapo umetafakali vizuri
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Жыл бұрын
Huyu ni kichaa kabisa
@silvesterrichardhelenya1319
@silvesterrichardhelenya1319 Жыл бұрын
Mbona humpi nafasi ya kueleza ulimuuliza shule aliyosoma ukarukia ukamwambia alifikaje kwa hiyo hatujui alisoma wapi na ni mtoto wa ngapi kuzaliwa kama ulivyikuwa umemuuliza awali
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu Жыл бұрын
NAWASHAURU TU POLISI LABDA HUYU MJINGA AWE ANATUNGA, KAMA HAYA MATUKIO KWELI YALITOKEA. MKAMATENI HARAKA!
@panafricanmawesa2555
@panafricanmawesa2555 Жыл бұрын
Heri yako mwenye Akili ombea wenzako mema ,maisha ni siri hujui kesho yako
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 Жыл бұрын
Mtangazaji usiongee sana tumsikilize huyu muhusika
@emmamatemu8225
@emmamatemu8225 Жыл бұрын
Mtangazaji unaongea sana humpi muda wa kutosha kila neno unatia neno lako ulisomea wapi
@machaggechacha243
@machaggechacha243 Жыл бұрын
Sasa nini kama mlifungwa? Upumbavu wenu uliwaponza na utazidi kuwaponza kama hamkujifunza gerezani.!
@byabatotv3283
@byabatotv3283 Жыл бұрын
Mkishazeeka nguvu zimeisha ndo mnajifanya watakatifu..
@eliasrobert6255
@eliasrobert6255 9 ай бұрын
Bado sana huyo jamaa
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 Жыл бұрын
HAYO NDO MAMBO,,TULISHAMCHOKA YULE MWANENU
@ibnmoses979
@ibnmoses979 Жыл бұрын
We acha bwana Balozi ni next Level
@innocentrichard9316
@innocentrichard9316 Жыл бұрын
pamoja saana dupa mdupange
@silvesterrichardhelenya1319
@silvesterrichardhelenya1319 Жыл бұрын
Nazima data mtangazaji unaboa
@hamismahamdu2334
@hamismahamdu2334 Жыл бұрын
Mtangazaji unaongea sana, punguza maneno
@davidpaschal778
@davidpaschal778 Жыл бұрын
Mtangazaji fara anataka kuongea linamzuia iri tuje tuangalie 2
@ibraton4071
@ibraton4071 Жыл бұрын
yaaan jamaa analalamika kama alikua mtu...halafu ana bahati hajauliwa sabab enzi zake walikua wanaua balaaa
@ramadhanmido3679
@ramadhanmido3679 Жыл бұрын
Punguza maelezo kaka unakula mda wa watu kujifunza kipindi ni kizuri ongera
@ambokileasheengai1140
@ambokileasheengai1140 Жыл бұрын
Huyu anaonekana na anavyoongea hajatubu...yaani aliokuwa anafanya kwa wengine kwake ni sawa tu,,,,,pumbavu zake,,,angefungwa life
@user-im9ly7vt6b
@user-im9ly7vt6b Жыл бұрын
Mwaka 1991 alichukua simu baada ya muda mfupi anasema simu zilikua hamna mwongo
@fredytarimo9107
@fredytarimo9107 Жыл бұрын
Mbaga huwezi kuhoji vizuri na story zingine zinarukwa rukwa tu hivyo story hainogi kabisa. Ni kama vile umbea fulani hivi
@eugenyraphael4334
@eugenyraphael4334 Жыл бұрын
Mfano pale mke alipojifungua,Kule hosipitali
@sirajbakari104
@sirajbakari104 Жыл бұрын
Duu hii ya leo kali
@shamsaelbeity8250
@shamsaelbeity8250 Жыл бұрын
Wanarudiaga hao
@chezariboy
@chezariboy Жыл бұрын
Huyu,, jamaa mwonekano tu inaonyesha bado hatabiriki,, tundu lisu anaangaliaga haki yako imekaa kwenye mstari vinginevyo Mungu alihusika jamaa apate mafunzo gerezan maana uluonea watu sana.
@matthewjohn5108
@matthewjohn5108 Жыл бұрын
😂😂😂
@hashimrashid6380
@hashimrashid6380 Жыл бұрын
Ndugu mtangaj utangulizi t nusu saa 😅
@kelvintiba9412
@kelvintiba9412 Жыл бұрын
Anaongea sana aisee.😂
@jumahalifamkindi2175
@jumahalifamkindi2175 Жыл бұрын
Host jitahidi ufupishe maelezo unakera
@bensonmwita-vv7pb
@bensonmwita-vv7pb Жыл бұрын
Punguzeni basi music basi Daaaahhh
@muokiones2761
@muokiones2761 Жыл бұрын
huyu mjinga bado analia eti alifungwa bure. ye haoni maisha ya watu alivyoyadhuru.
@davidpaschal778
@davidpaschal778 Жыл бұрын
Maelezo meng
@joshuajacksonbatholomeo3408
@joshuajacksonbatholomeo3408 Жыл бұрын
H!
@saimonjohnsumley9198
@saimonjohnsumley9198 Жыл бұрын
Mtangazaji acha mtu aflow too much interuption
@davidpaschal778
@davidpaschal778 Жыл бұрын
Stor za kiwak
@yusufulimo5737
@yusufulimo5737 Жыл бұрын
Umekwepesha vitu vingi sana hi story ina ukweli asilimia ndogo mno umekua muongo kwa kifupi.
@jafarimohamedi7900
@jafarimohamedi7900 Жыл бұрын
Katoe story yako ya ukweli
@saimonjohnsumley9198
@saimonjohnsumley9198 Жыл бұрын
Kuna kitu Anatafuta huyu
@dennymkumbala5748
@dennymkumbala5748 Жыл бұрын
Mwongo uyo
@firegun9443
@firegun9443 Жыл бұрын
Mkweli wewe basi
@masanjamasaga5498
@masanjamasaga5498 Жыл бұрын
dhuruma haidum
@yusuphkassimu227
@yusuphkassimu227 Жыл бұрын
Ww mwandishi unaongea Sana
@allymoshi2053
@allymoshi2053 Жыл бұрын
Hujatenda kosa mpumbavu ww wakat ulkuwa unakaba watu yani watu wa HV ningekuwa askar ukiletwa kituoni n kpigwa t sindano ya sumu
@jovintosssi3287
@jovintosssi3287 Жыл бұрын
Usihukum kabla hujahukumiwa 🙏🙏
@allymoshi2053
@allymoshi2053 Жыл бұрын
@@jovintosssi3287 yy mwnyw s kasema alikuwa anakaba watu anawakata mapanga sasa unataka tuseme nn pita HV mzeee
@simbabbq4427
@simbabbq4427 Жыл бұрын
Jambazi huyo angefungwa maisha alimpiga babayake mdogo kisu sema kama katubu niborayake a anisjfu kua jambazinamtakia maishayake mapya...
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu Жыл бұрын
Hakuna Kutubu, Kutubu Kwa Mungu, ANATAKIWA AKAMATWE, WAFUATILIE KAMA KWELI HAYO MATUKIO YALITOKEA, ICHUKULIWE KUWA AMEKIRI UHALIFU. NITAISHANGAA SANA SERIKALI KAMA HUYU MBWA HATAKAMATWA
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 Жыл бұрын
sasa unadhan angekuwa anaendelea na hayo matukio angejitokeza kushare mapito yake kwetu au angeendelea kujificha?
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Жыл бұрын
Alitakiwa avuliwe nguo zote hadharani kisha aingizwe kitu mkunduni
@panafricanmawesa2555
@panafricanmawesa2555 Жыл бұрын
We ni mkamilifu sana au sio
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Жыл бұрын
@@panafricanmawesa2555 wewe huwajuwi hao, jambazi ninkama nyoka hata ukimtoa meno bado ana madhara, huyo jamaa na shetani tofauti yao shetani haonekani yeye anaonekana. Anajisifu kukata watu mapanga alafu unaniuliza eti mimi kaka ni mkamilifu au jambazi mwenzio.
@brysonmandari5694
@brysonmandari5694 Жыл бұрын
Story ya uongo hiyo
@KatulebeJaphet-jr4br
@KatulebeJaphet-jr4br Жыл бұрын
Mwaka 1991 simu zilikuwa za aina gani mhhh
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 Жыл бұрын
​@@KatulebeJaphet-jr4br Philips, yalikuwa yanaitwa mche wa sabuni sababu yalikuwa makubwa
@KatulebeJaphet-jr4br
@KatulebeJaphet-jr4br Жыл бұрын
@@nantaembanusurupia5674 lakni hyo story ni ya mchongo
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 Жыл бұрын
@@KatulebeJaphet-jr4br 🤣🤣 acha yapite kama mengine😂
@allanothuman2941
@allanothuman2941 Жыл бұрын
​@@KatulebeJaphet-jr4br unauhakika na unalolisem eb leta ushahid wowot ule
@zenanassor7118
@zenanassor7118 Жыл бұрын
😅kaa nae mbari atakupiga ndosi huyo bado fuz imekata
@user-mf7tz4go2x
@user-mf7tz4go2x Жыл бұрын
Kaka story hii inaendelea lini tena
@ajantstudios2
@ajantstudios2 Жыл бұрын
Huyu Jamaa Kama Muongo Hivi🎃🎃
@RwachiryoraWema
@RwachiryoraWema Жыл бұрын
Hata wewe jina tu lako ni uwongo na confused haujui ni mnaija aw mbongo
@dennymkumbala5748
@dennymkumbala5748 Жыл бұрын
Mwongo jamaa aeleweki
@SudiKama-ok9eh
@SudiKama-ok9eh Жыл бұрын
😂😂😂
@ambokileasheengai1140
@ambokileasheengai1140 Жыл бұрын
unajipa jina brigedia ushukuru Mungu wenzako wote wako kaburini
@peterrulagora7403
@peterrulagora7403 Жыл бұрын
Bado muhuni tu
@nobilityofmind4784
@nobilityofmind4784 Жыл бұрын
Unaongea sana jifunze kumpa mtu muda aseme
@humoudseyd7310
@humoudseyd7310 Жыл бұрын
Huja fungwa bure bwege we... Umetesa watu sana ndo umelipa mungu alikuwa amekuwekea time yako ya kulipa ulivo watesa watu na kuiba mali zao pumbavu usilalamike umeonewa
@panafricanmawesa2555
@panafricanmawesa2555 Жыл бұрын
Hujafa ujaumbiika muombee kher tu maan ata ww apo sioo mkamilifu
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Жыл бұрын
@@panafricanmawesa2555 kwani ujambazi ni ugonjwa
@matthewjohn5108
@matthewjohn5108 Жыл бұрын
😂😂😂
Это реально работает?!
00:33
БРУНО
Рет қаралды 4,3 МЛН
Can A Seed Grow In Your Nose? 🤔
00:33
Zack D. Films
Рет қаралды 32 МЛН
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
00:16
Mini Katana
Рет қаралды 33 МЛН
Harley Quinn lost the Joker forever!!!#Harley Quinn #joker
00:19
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 22 МЛН
'Sikutoroka' - Dereva wa Lissu aiambia DW
16:33
DW Kiswahili
Рет қаралды 763 М.
Это реально работает?!
00:33
БРУНО
Рет қаралды 4,3 МЛН