SAKATA LA UTEKAJI DAR: KITWANGA AFICHUA SIRI/ NINAAPA KWA HILI..!/ SITAKUBALI HADI KUFA

  Рет қаралды 70,420

Dar24 Media

Dar24 Media

Күн бұрын

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#utekaji #kitwanga #magufuli

Пікірлер: 113
@jareengeorge5478
@jareengeorge5478 2 жыл бұрын
Hongera Sana mwandishi,sijui mtangazaji.tungekua na watangazaji kumi Kama wewe.kwakweli hii nchi ungekua super sana.lkn tunawatangazi ambao kila ukilala ukiamka.wako bize nawakina ambaruth.mara wanawahoji wadada ambao wamefanywa nyuma.yaani iusenge mtupuuuuu.nawachukia Sana washenzi wale.Mungu akulinde kaka songambele.
@geofreymsigala9181
@geofreymsigala9181 2 жыл бұрын
Tukiwa na wanahabari 40% tu kama wewe!!!! Tanzania Tanzania itakuwa imezaliwa Mara ya pili........... Very smart and talented Man
@godsson5954
@godsson5954 Жыл бұрын
aise INTERVIEWER unastahili kufanya kazi BBC SWAHILI you got everything it takes God bless you🙏🏻
@gebokilembe
@gebokilembe 2 жыл бұрын
My brother nafurahishwa sana na kazi yako safi sana
@yuathmtenzi2114
@yuathmtenzi2114 Жыл бұрын
I enjoyed the Exclusive. Congratulation dar 24
@danielsimwanza1046
@danielsimwanza1046 2 жыл бұрын
Labat mtu Sana wew kaka unjua kuuliza maswali mpka sisi tunaosikiliza tunakosa swali
@amiribakari2528
@amiribakari2528 2 жыл бұрын
Mwandishi pia upo bomba unaifaham kazi yako..big up.
@muddyville
@muddyville 2 жыл бұрын
We Jamaa ndo MWANAHABARI. Uko very talented yaani.
@beautyofnaturetz0131
@beautyofnaturetz0131 2 жыл бұрын
The best presenter in Africa. your talent is extraordinary brother keep it up I always appreciate your interviews, very attractive way of asking questions and moderating the interview
@brightergermanus2163
@brightergermanus2163 Жыл бұрын
IMEANDIKWA MANENO YENU YAWE NDIO NDIO, SIO SIO YANAYOZIDI HAYO ,YATOKA KWA YULE MWOVU AMEEN???
@michaelbwoma2760
@michaelbwoma2760 2 жыл бұрын
Kwenye kitwanga hapo umetishaaa..
@ShimboPastory
@ShimboPastory 2 жыл бұрын
This is professionalism at its best. Well done bro.
@farijimwangosi8202
@farijimwangosi8202 2 жыл бұрын
Akimaliza kukiandika naomba hata mie nikipate mkuu,nimetokea kumuelewa sana mzee wangu huyo(Nukuu Failure is not An Option)👏🏻😂😂
@kidodosimichael349
@kidodosimichael349 2 жыл бұрын
Mr Kitwanga is a genius indeed 👍
@mubarakatwaha7776
@mubarakatwaha7776 2 жыл бұрын
Mr Kitwanga unajielewa nami nakuelewa sana, lkn pia ww muandishi siku nikiwa na media yangu utakuwa Director wa media
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 2 жыл бұрын
LOTS OF BULLSHIT, KWA HOYO POLISI NI SAFI ILA WATANZANIA SIO WAADILIFU. PUMBAVU SANA HUYU
@nestor384
@nestor384 2 жыл бұрын
Mwandishi uko na professionalism ya hali ya juu sana. Mhe. Kitwanga anajua who is/was serious among the previous.
@chandengao8795
@chandengao8795 2 жыл бұрын
Nchi hii inamipango isiyosimamiwa. Mfano binafsi nilisoma Kibaha sec.yaani ni mmoja ya watu wenye uwezo wa kufikiri Ila serikali haituangalii kwa jicho la ufuatiliaji Baada ya masomo imezidi Sana kupewa ajira au tuko mtaa na life limetupiga hata mawazo hayafanyi kazi zake
@shadymoses5813
@shadymoses5813 2 жыл бұрын
Mdau leta mawazo yako
@gracemima5234
@gracemima5234 2 жыл бұрын
Ameogopa kumutaja Hayati Magufuli. Magufuli agekuwepo Kungekuwa na hope kuwa kama Singapore.
@rashidubruhani8981
@rashidubruhani8981 2 жыл бұрын
Umeona ee
@francisrobert9652
@francisrobert9652 2 жыл бұрын
mh kitwange upo vizuri sana umauwezo mkubwa sana kuwa kiongozi ila mnakuwa wapi wakati mkiwa madarakani
@robertnoel5232
@robertnoel5232 2 жыл бұрын
Hongera Kiongozi Charles Kitwanga
@stanslausbernard5950
@stanslausbernard5950 Жыл бұрын
Wewe kitwanga unataka kujipendekeza kwa rais Samia. Wewe ulitajwa na. Ulihusika katika hujuma ya rasilimali za serikali ukihusisha kampuni ya lugumi, badoi hatujakusahau.
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 2 жыл бұрын
MFANO UMEENDA HOSPITAL UNA MGONJWA YUPO HOI,NA ILI UPATE HUDUMA DAKTARI ANATAKA RUSHWA,KAMA NI WEWE UTAFANYA CHAGUZI GANI KATI YA HAYA 1.USITOE RUSHWA MGONJWA AZIDI KUWA KWENYE HALI MBAYA 2.TOA RUSHWA MGONJWA AHUDUMIWE 🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 2 жыл бұрын
Kwa kumsaidia au kumuunga mkono mheshimiwa kuhusu camera security hii inafaida kubwa sana yaani dubai wana kusanya kodi za magari kwa kutumia camera kuna kitu kinaitwa Salik na road camera mzee kama hauna ishu ya msingi town basi ni bora usije au upande train (metro) maana ukivuka kutoka home kuja town inakata ukirudi inakata inategemea utapita mara ngapi ktk ilo eneo serikali inaingiza kipato kikubwa sana kwa kila siku na sisi tuhamke 💪🇹🇿🇦🇪
@jamalahmed7057
@jamalahmed7057 Жыл бұрын
Security camera hata zikiwekwa wakitaka kufanya yao wanachomoa tu halafu wanazichomeka mwendazake aliweka Security camera mirerani kwenye mgodi lakini bado watu wanapiga
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 Жыл бұрын
@@jamalahmed7057 basi tutaendelea kuwasindikiza wenzetu kutusua maisha 💪🇹🇿🇦🇪
@paulmatikila6241
@paulmatikila6241 2 жыл бұрын
Ameanza vizurii, mwishoni kwenye utekaji amezinguwa mzee! anajuwa watekaji, hanajipya nae huyoo ndo wale wale!
@emahliypix7942
@emahliypix7942 2 жыл бұрын
Mtangazani upo makini kwny maswali ila kwenye kutekwa kwa watu hayo matukio mzee hajawa transparent kbs..Matukio ni makubwa na anayajua vzrii tangu yupo madarakani..!!
@mwana4599
@mwana4599 2 жыл бұрын
Hebu taja watu watatu waliotekwa.
@emahliypix7942
@emahliypix7942 2 жыл бұрын
Mo dewj,,ben saa nane..Roma..!!
@fimboezekiel9654
@fimboezekiel9654 2 жыл бұрын
Unajua sanaaa
@victorlashikoni-ji3js
@victorlashikoni-ji3js Жыл бұрын
Huyu ni aina ya Magufuli hafai kabisa
@dominicfrancis4073
@dominicfrancis4073 2 жыл бұрын
Mzee wetu uyo safi sana
@wilsonkaseha2034
@wilsonkaseha2034 2 жыл бұрын
Safi sana host. Ila Kitwanga kateleza anamuogopa mama😂
@Fred-Ma
@Fred-Ma 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@godypatrick6485
@godypatrick6485 Жыл бұрын
Hapo kwenye watekaji sijalizishwa na majibu yako
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 2 жыл бұрын
Gud job somo ur real professional
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 2 жыл бұрын
huyu mheshimiwa kitwanga kichwa sana.
@applepunch9676
@applepunch9676 2 жыл бұрын
Achana na kitabu mzee, kama tu umepata kigugumizi juu ya utekaji, utaandika nini sasa kwenye nkitabu
@ishengomanelson
@ishengomanelson Жыл бұрын
Tafuta watu serious next time. We need serious development conversation. Tunataka watu walio critical na wasio na woga
@TradersEasyWay
@TradersEasyWay 2 жыл бұрын
China kuna camera kila sehemu, unaweza draw pesa ata saa nane usiku kwa ATM akugusi mtu maana camera kila kona. Bongo pia kukifungwa camera itasaidia kupunguza hualifu.
@ellymaz2187
@ellymaz2187 2 жыл бұрын
Hizo camera nazo zitaibiwa kwa Bongo hii
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 Жыл бұрын
Bongo haina dawa kwa chochote wala camera hawatakamtwa wana ujuzi tofauti hawa waizi
@jeunajuatv817
@jeunajuatv817 Жыл бұрын
@@ellymaz2187 kamera zinakuwa na seriel number alafu kamera nying zinalindana huwez kuiba kirahisi
@victaboy7273
@victaboy7273 2 жыл бұрын
Mwandishi huyu , anatakiwa kufanya Kazi kwenye shirika kubwa kama BBC, DW, AU angalau Azam tv kwa tanzania. Ni bonge la mwanahabari,
@aidanwilliam14
@aidanwilliam14 2 жыл бұрын
Huyu Mtangazaji namuona mbali sana i wish BBC wakuone
@gracemima5234
@gracemima5234 2 жыл бұрын
Katika wana siasa niliowasikiliza wakihojiwa,. Charles Kitwanga ni mwanasiasa mwenye akiri sana ambaye angeweza kulifikisha taifa hili mbele. Badala yake watu 🎉kama Nape ndiyo wanapewa uongozi. Tanzania bwana
@msafirindalu122
@msafirindalu122 2 жыл бұрын
Yupo vzr kwakuwa hajatumia kilevi na kwa ustaarabu hatupaswi kuruhusu mtu atumie kilevi akiwa kazini hata Kama atakuwa na mawazo mazuri tunapaswa kuwa na mashaka na mawazo yake
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын
Alikuwa humo humo serekali kafanya nini hao wakikosa vyeo ndio wanakuwa na akili wakiwa kwenye nafasi zao wanaakili tofauti na unavyo waona nje
@shedrackdamian2870
@shedrackdamian2870 2 жыл бұрын
Nimeipenda Sana hii🤸🤷🤷🤷😍🥰🤷🥰😍🥰😍🥰
@alladinmaskin6684
@alladinmaskin6684 2 жыл бұрын
Camera ni sahihi hapa dubai Kwa madereva wanafuta Sheria sababu ya camera zinakudaka fasta ukifanya uzembe barabarani na faini inakuja Kwa wakati kupitia plate number ya gari yako
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 2 жыл бұрын
Tupo pamoja kaka hapa dubai ya manzese midizini
@peterkichochi7510
@peterkichochi7510 2 жыл бұрын
Huyu mwandishi alipaswa na yeye apewe nafasi. ila huyu waziri ni kivuli
@godypatrick6485
@godypatrick6485 Жыл бұрын
Kwenye sensa na mipango yako uliyo taka kuendeleza wizala ya ndani
@Bob-ev2fi
@Bob-ev2fi Жыл бұрын
This ex cop chief does he real believe police is an army when the slogan is utumishi kwa wote.
@akidahamad142
@akidahamad142 Жыл бұрын
Hapo hakutaka kusema ukweli ccm ndyo iliyo ikiteka watu magu sasa c alkua ni nani c rais tena ccm hebu kua mkweli mm ndugu yangu alitekwa na watu wa usalama
@abdulsinga2464
@abdulsinga2464 2 жыл бұрын
Huyu waziri kuna maswari amejibu vizur..kuna maswari..kayakimbia...😀😀
@frankfrancis5736
@frankfrancis5736 2 жыл бұрын
Mzee Kitwanga Mcheshi sana 😂😂
@frankngoloka2589
@frankngoloka2589 2 жыл бұрын
Mwongo huyo anajua kila kitu
@francistadayo1569
@francistadayo1569 2 жыл бұрын
👏👏👏👏👏
@amenaameeena3317
@amenaameeena3317 2 жыл бұрын
Ivi Ayo mawazo mawazili WA CCM awawezi kuyachukua maana wakiweka camera rushwa watapataje nchi zilizoendelea kila sehemu kuna camera ndio sababu barabarani akuna polis wengi kama Tz kila Kona polis wamejaa kujikusanyia rushwa
@heripaulo1008
@heripaulo1008 2 жыл бұрын
Mm hata leo nikipelekwa polisi vibaka wote nawamaliza mapema maana kazi ya kukamata vibaka naifanya sana tena mchana na usiku bac siyo bahati kwa hilo
@lulujidahbrighton5148
@lulujidahbrighton5148 2 жыл бұрын
Huyu alikua Waziri wa Mambo ya ndani alisemwa na Magufuli eti amelewa namsemaji ni Makonda
@habibukitwana1552
@habibukitwana1552 2 жыл бұрын
Kweli alilewa bungeni au hukuona, siyo kwamba hakusema
@charlesngwembele4541
@charlesngwembele4541 2 жыл бұрын
Hakulewa rais alidanganywa
@frankdanford8245
@frankdanford8245 2 жыл бұрын
Huyu mtangazaji namkubali sana
@hono1232
@hono1232 2 жыл бұрын
Huyu ndiyo mwandishi mwenye kiwango bora cha juu Tanzania kwa sasa.asipoteze muda kwenye vikampuni uchwara
@edwinernest2012
@edwinernest2012 2 жыл бұрын
Jamani c aongee Kiswahili!!
@ritchiemuta1092
@ritchiemuta1092 2 жыл бұрын
kushindwa kujua nani aliyekua anafanya utekaji wakati magari ya polisi au usalama wa taifa yamekuwa yanatumika na sabaya sasa ana kesi mbaya sana kujikosesha UADILIFU wa dating hivyo yote aliyosema bw kitwanga hayana maana maana HANA KWELI ndani ya moyo nime stop kumalizia hayo maojiano yamekosa authentic ukweli
@byesigwafabian9255
@byesigwafabian9255 Жыл бұрын
Mungu aliibariki Nchi yetu ya Tanzania kwani inawatu wengi wenye vichwa vizuri sana lakini kuna sehemu fulani tumekwama. Hii nchi inavichwa sana lakini nadhani tuendelee sana kumuomba Mungu azidi kufungua ufahamu wetu, watu wajenge moyo wakujisomea vitabu vya watu waliofanikiwa, maitafa yalioendelea yenyewe yalitokaje. Taifa liwatafute watu wenye uwezo mkubwa wa kufikiri kusudi mawazo yao yatumike kujenga Taifa na nchi yetu. Bado hatujashindwa kusonga mbele bado Afrika tunahitaji viongozi ambao wako siriasi yaani vyombo vyenye maamuzi vikiwa na maamuzi kwamba sasa yatosha lazima tuvuke hapa na kuweka vipaumbele vizito kwamba miaka 50 au 100 inayokuja lazima tuwe mahala fulani hakika inaeezekana. Mungu awasaidie viongozi wetu na watu wenye maamuzi sahihi.
@saidimazengo9934
@saidimazengo9934 Жыл бұрын
"nchi huwa haiendelezwi na Mass "
@msafirikilongo7429
@msafirikilongo7429 2 жыл бұрын
Ushauri wa camera muite waziri mwenzio mpe hiyo ishu itamsaidia
@majaliwawilson9372
@majaliwawilson9372 2 жыл бұрын
Wanalijiwa Hilo lakamela toka zimewekwa kamela zile za soid hamsin lini mliona gali imekamatwa hivo wanajuwa wakiweka kamela hela hawata pata kwani tochi nying nizakubambikiwa hivo hawatakii
@barnabasdidas9409
@barnabasdidas9409 Жыл бұрын
Mzee umejificha utaki kusema ukweli
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 2 жыл бұрын
Ukitaja wote mtaje kwanza J.P.M maana alikupa muda wa kuongoza kwa bahati mbaya ukafeli
@godfreymasele8853
@godfreymasele8853 2 жыл бұрын
Hawezi mtaja JPM sababu JPM ALIKUWA MKWELI NA ALISIMAMIA UKWELI. Sasa yeye alifanya madudu akitegemea JOM rafiki yake atamlinda. Alivyomuondoa akajenga chuki dhidi yake.
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 2 жыл бұрын
@@godfreymasele8853 Kwa wa Tanzania ukiwajibishwa kwa uzembe badala ya kutafakari na kujirekebisha unaeka bif la kijinga!!!!
@KADALAtv255
@KADALAtv255 2 жыл бұрын
Nahisi kama wanaotoa comments ni polisi tu na raia wametembea mbele
@msafirindalu122
@msafirindalu122 2 жыл бұрын
Mlevi mlevi tu
@benderarulenge2477
@benderarulenge2477 2 жыл бұрын
Ajira ianzie kijijini ndiyo maana Askari walikuwa na nidhamu sana.lakini Sasa hivi changamoto itaendelea kuwepo tuu,
@enocksosthenes4505
@enocksosthenes4505 Жыл бұрын
Kwenye swala kubambikiza kesi naenda tofauti na unachoeleza. Nadhani siku yakikukuta utajua wanachokifanya hao unaowatetea. Askari wanaona wapi juu ya sheria kwa kuwa anakamata polisi, anapeleleza polisi, anaendesha mashitaka polisi na anayekuhifadhi sero polisi unadhani wewe kama kiongozi wa polisi unadhani haki kwa raia itapatikanane hapo.
@all4970
@all4970 Жыл бұрын
Namuona mlevi mlevi, asiyejua utendaji on the field wala uhalisia wa nchi yetu..! He is trying to copy from developed countries... Kichwa maji asiye na ubunifu kulingana na shida z wananchi wake! Mwandishi amemhoji vizuri saaan! He thinks he one of the thinkers in Tanzania while he is just a drunken stupid minister Magufuli alimtumbua, pumbavu zake
@enocksosthenes4505
@enocksosthenes4505 Жыл бұрын
Magari ya polisi kila likitokea tatizo huwa hawana mafuta hivyo nakumbuka usemi wa mpango sio matumizi
@shukuranipaul1415
@shukuranipaul1415 2 жыл бұрын
Muheshimiwa akili kubwa 😂
@samsonmwakikuti5318
@samsonmwakikuti5318 Жыл бұрын
Kitwanga ni kichwa kikubwa sana! I
@noveltamhagama4586
@noveltamhagama4586 Жыл бұрын
Mzee wa kupiga juice
@salmanmagwe222
@salmanmagwe222 Жыл бұрын
Ila huyu Kitwanga wa ajabu mno,ulipewa madaraka ukaishia kwenye ULEVI.kuongea ni rahisi kuliko kufanya.
@gaspercharles4242
@gaspercharles4242 Жыл бұрын
Aftika wenyeuwezo wakufikiri yaani thinkers hasaviongozi hupuuzwa nakusalitiwanawenzao wakishirikiana namanyonyaji yasikuzote nindoto sisikuchomokakwenyemakuchaya wanyonyaji kwakuwaniwashirika wawenyeji.
@bamurwakana5452
@bamurwakana5452 2 жыл бұрын
Mm mwenyew nilikuwa nakuchukulia poa kumbe kuna madini yakutosha
@asifiwekitunga4655
@asifiwekitunga4655 2 жыл бұрын
Umewaza kama mie
@kambamazig02024
@kambamazig02024 2 жыл бұрын
Wajina hapo kweli umesema, tungekuwa mbali sana kama tungekumbatia technolojia ili kuimarisha ulinzi wa miji yetu Tanzania!
@kalumunaanthony4203
@kalumunaanthony4203 2 жыл бұрын
Mzeee uko poa sema ulizingua
@asifiwekitunga4655
@asifiwekitunga4655 2 жыл бұрын
Yani hata uongeaji wako wa kilevi kabisaa 😂 but you have something in your brain
@hashimuuhehwa4252
@hashimuuhehwa4252 2 жыл бұрын
Huyu mzee mzushi hajui watu kutekwa Tanzania!!!
@victorlashikoni-ji3js
@victorlashikoni-ji3js Жыл бұрын
Huyu ni aina ya Magufuli hafai kabisa
@mamlomamlo9064
@mamlomamlo9064 2 жыл бұрын
No ccm no chadema but a bottle party
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 2 жыл бұрын
Kitwanga nilifikiri una akili kumbe ni akili za kukariri
@japhetnzunda99
@japhetnzunda99 2 жыл бұрын
Huyu mzee anazungusha sana majibu yake kwa mtu makina hana majibu yaliyo nyoka
@mussamsella8560
@mussamsella8560 Жыл бұрын
Mtu kama hawezi kukujibu open kama ndege anavomlisha kinda wake chakula mdomoni
@mussamsella8560
@mussamsella8560 Жыл бұрын
Mtu makini hawezi kukupa jibu open kama ndege anavompa kinda wake chakula mdomoni
@SKY-fk3fz
@SKY-fk3fz 2 жыл бұрын
Hata barabarani mkiweka
@zuenahamoud1532
@zuenahamoud1532 2 жыл бұрын
Kitwanga
@johnsanga9528
@johnsanga9528 2 жыл бұрын
Huyu mzee anajua sana!
@abdulqadirjuma7495
@abdulqadirjuma7495 Жыл бұрын
Nilijuwa mtangazaji anaongea na mtu kamili,kumbe ile pombe aliyotolewa nayo bungeni bado imo kichwani.kategwa kidogo tu na mtangazaji anajibu utumbo.eti hajuwi watu walikuwa wanatekwa na nani?mpumbavu mzee huyo.
@quentinsylvia3877
@quentinsylvia3877 2 жыл бұрын
Maswali yako kijana no mazuri mno...hats majibu ya Mr kitwanga no mazuri na ufafanuaji wake ....ila swala la utekaji watu tz aliwezi kufafanuliwa na kiongozi wa serikali...hata mmoja na sio km halitambuliki au hawajui tubakie hivyo kusikiliza na kukubali tuu
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️
@jumanesaidi7635
@jumanesaidi7635 2 жыл бұрын
Nadharia nyingi, na mzuri, lakini mwisho wake ni huo huo, ndio tunaumia.
@NiraSaire
@NiraSaire 2 жыл бұрын
Huyu mwandishi ni dhahabu
@AloisMosha-uv2fu
@AloisMosha-uv2fu 11 ай бұрын
Tunaishi mitaani unajipya
@aminahassan561
@aminahassan561 2 жыл бұрын
Nyumbani hakuna utaratibu mzuri wa kuhesabu watu huku wanafanya ila hawshesabu vitu wala Mali za watu hakuna nchi ambayo sensa haifanyiki wana hesabu watu ila sikwa malengo mabovu kaya huyo jambazi mwanamke
Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:20
Leisi Crazy
Рет қаралды 66 МЛН
Life hack 😂 Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:17
Leisi Crazy
Рет қаралды 37 МЛН
когда не обедаешь в школе // EVA mash
00:57
EVA mash
Рет қаралды 3,8 МЛН
OYUNCAK MİKROFON İLE TRAFİK LAMBASINI DEĞİŞTİRDİ 😱
00:17
Melih Taşçı
Рет қаралды 13 МЛН
Pesa imejificha katika vitu vinne - Sheikh Walid Alhad
20:37
Kalamutz
Рет қаралды 105 М.
Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:20
Leisi Crazy
Рет қаралды 66 МЛН