Mabruki by Maquis Original

  Рет қаралды 104,078

Dekula2 Band [official]

Dekula2 Band [official]

Күн бұрын

Пікірлер: 42
@hamisidale2704
@hamisidale2704 3 жыл бұрын
Mziki mzuri suruali zimekaza viunoni,Dunia ya kizazi ilichojitambua Mungu awarehem wengi wao hatunao tena duniani,wametuachia hazina kubwa ya muziki wenye mashairi safi,Hamisi Dale USA
@mwaitamlanga1485
@mwaitamlanga1485 7 жыл бұрын
Hii nyimbo mtunzi ni ilunga banza mchafu nikama alimtunga baba yangu tulikua tukiishi nyumba moja mtaa wa mikumi.. Jina alilotumia la arafa ni la mama yangu wa kambo alikua anaishi na baba na hiyo watoto wanne tulikua wanne sisi watoto mimi na wenzangu wawili baba yetu alikua huyo aliyemfumbia kwa Jina la maburuki alafu mama yetu wa kambo alikuja na mtoto mengine ambaye akuzaa na baba yetu na pale nyumbani tulikua kweli tumepanga
@mapimwankemwa6778
@mapimwankemwa6778 6 жыл бұрын
sasa unambishia Vumbi yaan we bana
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 5 жыл бұрын
Hatar sana polen sana
@SaidMohamed-j2v
@SaidMohamed-j2v Жыл бұрын
Duh aisee. mziki unaweza kukupeleka kumbukumbu za mbali sana
@mpunga40
@mpunga40 Жыл бұрын
Wow, nami najiona kama Mabruki wa Dar. Mwaita hope umetokezea
@patricksagai7093
@patricksagai7093 Жыл бұрын
Tumba ilipigwa na Siddy Mori🪘🪘
@MrSinafungu
@MrSinafungu 14 жыл бұрын
wimbo mzuri , ujumbe bado una nguvu ktk dunia yetu ya leo, ingawa wimbo una miaka mingi, ahsante kwa kazi nzuri bro, huu ni urithi wetu acha hizi nyimbo za nailon za bongoflavam unatungwa leo kesho umeyayuka
@msponab
@msponab 2 жыл бұрын
That song touches my soul heart so much. I am Nigerian an African Daughter. Could you please tell the Song Mabruki is saying🙏
@msponab
@msponab 2 жыл бұрын
@datch mkally That song touches my soul heart so much. I am Nigerian an African Daughter. Could you please tell me what the Song Mabruki is saying🙏
@shabaniabdallahmwendi-h8r
@shabaniabdallahmwendi-h8r 6 күн бұрын
Natoa macho tu
@bensonmero8919
@bensonmero8919 Жыл бұрын
Nyimbo nzr sana
@twilamtumbi2647
@twilamtumbi2647 11 жыл бұрын
maburuki miaka 10 ya kazi hata msingi huna hatari kwa family, hili kweli selebuka chekecha rumba limetulia
@isayamazani22
@isayamazani22 3 жыл бұрын
Nakumbuka mwaka 1987 mwezi June siku nimefika nyumbani likizo ya muhura wa kwanza F1 Kantalamba nilipokelewa vizuri sana na baba nazi r.i.p
@christophermpanji2961
@christophermpanji2961 2 жыл бұрын
Dah hiyo likizo ya f1,,,umenikumbusha nami likizo ya f1 kigonsera sec 1993,, baba alinihusia sana,,,RIP mzee mwl mpanji
@twilamtumbi2647
@twilamtumbi2647 9 жыл бұрын
Da poleni sana, pole na mimi pia sababu mi mpenzi mkubwa wa Tumba,dada Grece, Dekula2 kahanga na wana maquis du zaire. lakini kazi kweli ni nzuri imefanyika.
@bcamerounne
@bcamerounne 13 жыл бұрын
I can hear the voice of Kasongo Mpinda Clyton, big up Dekula
@kudramasoud2694
@kudramasoud2694 7 жыл бұрын
Kwenye saxophone namuona king maluuu
@mbujifrancis5860
@mbujifrancis5860 7 жыл бұрын
Sidi Moris R.I.P ni habari ingine ati
@THEGSMGSM
@THEGSMGSM 11 жыл бұрын
Nazikia hizo Tumba zilipigwa na mjomba wangu marehemu Siddy Moris.
@victormkongewa235
@victormkongewa235 10 жыл бұрын
ooo pole sana kumpoteza mjomba wako hua mimi nachanganyikiwa na hizo tuma
@PatricksagaiSagai
@PatricksagaiSagai 8 жыл бұрын
nikweli Morris six ndo aligonga hizo thumba
@PatricksagaiSagai
@PatricksagaiSagai 8 жыл бұрын
Namkumbuka sana mjomba wako Morris sid kwenye rumba alikuwa vzr
@patricksagai7093
@patricksagai7093 3 жыл бұрын
Nikweli siddy Morris alikuwa fundi kweli na hapa naitikia mikito ya Tumba
@pambasr2345
@pambasr2345 10 жыл бұрын
Though by that time nilikuwa sihudhurii kumbi za dansi kwa kigezo cha umri ,bado hizi nyimbo zinanikumbusha mbali sana mkuu,nakumbuka baba yangu mdogo(now retiree army man) na Shangazi Zahra(R.I.P) alikuwa akija kutoka zenji kufata hizi mambo almost kila mwisho wa mwezi
@ibrahimmwasambili9799
@ibrahimmwasambili9799 5 жыл бұрын
Safi sana Hawa jamaa walikuwa ni shida ya mjini jama i
@michaellimu2332
@michaellimu2332 6 жыл бұрын
Mafunzo tosha.
@gilbertmasaki2965
@gilbertmasaki2965 7 жыл бұрын
Asante kwa hizi Nyimbo za mawaida.
@twilamtumbi2647
@twilamtumbi2647 11 жыл бұрын
Grace huyu mjomba wako bado yupo hai? kama yupo mpe hongera kwa kazi nzuri,
@twahamtumbi7823
@twahamtumbi7823 3 жыл бұрын
@@Dekula2 kwa kweli kaka Dekula kazi mlifanya yani mnastahiri pongezi zote bila kupepesa Macho. Dekula mola akupe maisha marefu..
@patricksagai7093
@patricksagai7093 3 жыл бұрын
Alisha tangulia mbele ya haki
@patricksagai7093
@patricksagai7093 3 жыл бұрын
Alisha tangulia mbele ya haki
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 5 жыл бұрын
Nilikuwa nasemaga Jina la Arafa halijawahi tumika kwanyimbo 😂😂😂😂
@patricksagai7093
@patricksagai7093 Жыл бұрын
🎉
@senatormwinyi9065
@senatormwinyi9065 9 жыл бұрын
@Grace nakumbuka marehemu Mjomba wako Sid Moris Marquis walimtoa Msondo kisha ilipokuja kuanzishwa bendi ya The Mk Group akaamia huko Ngoma za maghorofani
@patricksagai7093
@patricksagai7093 3 жыл бұрын
Thumba ilipigwa na sid mpaka raha
@johnmundo816
@johnmundo816 11 жыл бұрын
Enzi hizo kule kwetu kusini mwa Pwani ya Kenya radio zote stesheni ilikuwa RTD na Idhaa ya Biashara tu.Miziki ni kama hii kwenye vipindi kama vile -wakati wa kazi,mchana mwema,jioni njema,mziki ni upendao,club raha leo,kipindi cha majani chai cha idhaa ya biashara,.......Watangazaji mahiri kama vile uncle J Nyaisanga,Khalid Ponera,Samadu Hassan,Sarah Dumba .......bado wapo kweli?
@bernhardtpaulmlisumwandu6673
@bernhardtpaulmlisumwandu6673 7 жыл бұрын
john mundo kumbe Samadu Hassani ni mkongwe?
@gilbertmasaki795
@gilbertmasaki795 7 жыл бұрын
Hata Mimi nilikuwa napenda vipindi hivyo via RTD
@gilbertmasaki795
@gilbertmasaki795 6 жыл бұрын
Nilikuwa napenda hivyo vipindi vikiletwa na hao watangazachi
@jeniferruta3675
@jeniferruta3675 6 жыл бұрын
john mundo - Uncle J alishatangulia mbele ya haki
@yusuphmligiliche8353
@yusuphmligiliche8353 5 жыл бұрын
Hivi nani anamiliki masters za hawa waheshimiwa?Nani ana mamlaka ya publishing?
Mokili/ Orch.Maquis "Telemuka Chekecha"
7:07
Dekula2 Band [official]
Рет қаралды 191 М.
Orchestre Maquis Original - Wakati Nilikuwa Mdogo
6:21
Power Nguzo
Рет қаралды 756 М.
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН
How to treat Acne💉
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 108 МЛН
Don’t Choose The Wrong Box 😱
00:41
Topper Guild
Рет қаралды 62 МЛН
It works #beatbox #tiktok
00:34
BeatboxJCOP
Рет қаралды 41 МЛН
Usia Wa Baba
7:06
Bongo Records
Рет қаралды 50 М.
Field Marshall Nguza Ft  Papii Kocha Niwewe Pekee
4:48
Field Marshall Nguza
Рет қаралды 1 М.
Bozi Boziana & l'Anti-Choc - Influence Lunda
6:56
makengoprod - Rigo Makengo Productions
Рет қаралды 2,4 МЛН
Promotion by Tshimanga Assosa & Orch.Maquis Original(Ogelea Piga Mbizi)
5:41
Dekula2 Band [official]
Рет қаралды 61 М.
Dunia
5:26
Lady Isa - Topic
Рет қаралды 128 М.
Nasononeka
7:39
Release - Topic
Рет қаралды 133
Penzi Halina Umaarufu (feat. Vijana Jazz Band)
7:35
Bongo Records - Topic
Рет қаралды 11 М.
Dora Mtoto wa Dodoma/Orch.Maquis "Kamanyola Bila Jasho"
8:17
Dekula2 Band [official]
Рет қаралды 72 М.
Angelou/Clayton Kasongo Mpinda & Orch.Maquis Original
7:09
Dekula2 Band [official]
Рет қаралды 247 М.
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН