Hakuna ubishi,kama vile umeimbwa jana tu! Hongera zao Sikinde na RIP wote waliotangulia mbele ya haki,hakika kazi yao inaendelea kuishi mioyoni mwetu wapenzi wa Muziki wa Sikinde.
@henrymwatwinza5824Ай бұрын
na Maquis band.
@SaidiJumamhina7 күн бұрын
Sanaa sio tu 2024 bali nisiku zote na miaka yote ijayo utakuwa na maana uzito usio punguwa
@MohamedChilllo-ru8vg6 ай бұрын
Nakumbuka mbali sana kipindi hicho Tanzania ikiwa na maadili ya kutosha ,mtoto ni wa wote yaani ni wa Jamii yote akikosa yeyote anamkataza na kumchapa ,kipindi wazazi wanatoa malezi bora kwa wototo siyo leo hii wazazi wanatoa matunzo kwa watoto
@henrychaula1174Ай бұрын
Wazazi sisi tujirekebishe
@rmarushacoffeelodgeelewana96945 ай бұрын
Nakumbuka mbali sana huzuni na raha vyote kwa pamoja miaka inakwenda kasi nakumbuka miaka ya 80 mwisho na early 90s,mungu ni mwema bado nipo
@julithamuhale72714 жыл бұрын
Kweli Sasa nimekua naona shida nyingi duniani! Wakati kazi yangu ilikuwa kucheza na kupika ugali wa tope! Asante Sana Maquis original!
@ochiengokoth1097 Жыл бұрын
Those days life was good yawa
@omaniwomen75634 жыл бұрын
Daaaa namkumbuka sana marehemu baba yang alikuwa anaimba hadi rahaa huku mm nikiwa nacheza ewe mola wangu mpunguzie adhabu za kabrii baba yngu na wote walotangulia mbele za haki amiin amiin
@kennedyangaya84975 жыл бұрын
Miziki hii huwa yanikumbusha mbali saaaaaaana. Enzi ambazo maisha yalikuwa ya gharama ndogo, ugaidi ulikuwa nadra saaana na watu walikuwa na umoja saaana.
@hurumagideon173 Жыл бұрын
😢
@alphoncealmack924010 ай бұрын
True kabisa my friend
@newtonsimba79309 ай бұрын
Kweli. Mambo yalibadilika. Shida tu.
@Baba-JJ4 жыл бұрын
Nani mwingine anasikiliza mwaka 2019? Huu ndo muziki, nakumbuka miaka ya 80 tulikuwa tunakaa maeneo ya Mafiga, Morogoro. Mara nyingi ilikuwa tukimaliza kucheza kombolela, jioni tunaanza kushindana kuimba nyimbo hizi. Udogo, raha sana! Stress free
@abbassalum18643 жыл бұрын
Yeah Old is Gold🥇
@timmusumba5846 Жыл бұрын
"Hata Baba Mungu pia aliumba dunia, binadamu na viumbe vingine, alifanya kazi"
@egnokinunda4539 Жыл бұрын
❤❤❤
@claudmwakisole12555 жыл бұрын
Nakumbuka mbali sana nikisikiliza nyimbo hizi maisha yametufanya tupotezane na Jamaa tuliokuwa nao pale kijini ndugu tuliokula pamoja sahanimoja kulala pamoja kwenye mkeka nakumbuka sana Nyumbani
@Blandina2493 жыл бұрын
Timeless one. Takes me back to the days of Billy Omalla of then VoK. He always played this song and we sat back to enjoy it. May his soul rest in peace.
@mwinyikadhi57086 жыл бұрын
Machozi yananitoka Jaman nikiwakumbuka mrehemu wazazi wangu. Mungu aweke mahali pema na kuwasamehe mazambi yao.. Mm nimekua kiongoz wa familia dah Dunia kweli mapito
@henrychaula11744 жыл бұрын
Pole Mwinyi Kadhi
@fatmahussein60853 жыл бұрын
My father made me addicted with such kind of songs☺️😊 any body at 2020?😅😅 hiz nyimbo zina rakha yake buana😍
@daglaskiberenge1062 жыл бұрын
Wewee am 1 of them on my 40s!.
@elizabethmburu22102 жыл бұрын
Yaani nikisijiliza hizi nyimbo Zazamanni na mwona babangu na wazee waeika yake wakidance kweli hunipeleka nbali
@henrychaula11744 жыл бұрын
Kweli ningekuwa mdogo nisingejua hata tatizo la COVID - 19, Mungu awabariki popote kina Nguza, Kitima na wengine
@greenlifetrees Жыл бұрын
I'll forever miss my late father. Whenever I hear this I see him.
@henrychaula11743 жыл бұрын
Nzuri sana, inanikumbushana mbali sana, Mungu wabariki wanamuziki hawa popote walipo.
@selemanmadege88294 жыл бұрын
Namkumbuka JULIUS NYAISANGA (UNCLE J)na kipindi cha MISAKATO akitoa nyimbo mpya zilizochezwa hadi soksi kuvuka na kiatu kubaki palepale
@henrychaula11743 жыл бұрын
It is 9th January,2021, 16 years since I got a very bad bus accident but survived and listening to this golden old music of Marquis Original 80's. It reminds me the primary school life.
@fadhiliakida86095 жыл бұрын
Sijui nini kiliusibu muziki huu wa dansi wa aina hii mpaka kufa dah naumia mwenzenuu
@mohdbesta Жыл бұрын
What a time that was. I was a clueless innocent kid and my dad used to play these songs on his National Memory Q cassete player
@PamelaMakwesa5 ай бұрын
Wakati nikiwa mdogo sikuwa na jali shida wala raha hizi nyimbo unaweza kuishia kulia ..aloot of memories......
@rankzkate5 жыл бұрын
I remember the days my Father used to listen to such songs on his Philips radio .Now he is dancing with the angels.You are greatly missed dear Dad
@andrewmaranga23354 жыл бұрын
memories
@mikeboyo1282 жыл бұрын
Don't say more my sister. I can relate to this like it was yesterday. Phillips 📻 was the word. Rest with the angels to our dads
@noahkoech55072 жыл бұрын
Their was a a radio station called Rwanda- Burundi playing this songs.,.that was in1979.….my father had redio sanyo chui.
@jacksongathura76642 жыл бұрын
@@andrewmaranga2335ama Look
@isabellamigwi2 жыл бұрын
2022 still bado inavuma
@mamarhodah90185 жыл бұрын
This is the best music ever, when I'm down I switch on to this kind of stuff and it brings back my whole self. Old is gold.!!!
@sammylwendo1496 Жыл бұрын
Nakumbuka enzi hizo Njombe tunaishi maisha mepesi sana, so innocent!Tunakusanyana the whole family tunaisunguka radio kusikiliza these kind of musics!Nostalgic!If only I could turn back the hands of time…….!
@mainamunene2193Ай бұрын
Niko Kenya na nakumbuka huo wimbo nikiwa shule ya msingi na ni kweli sikuwa najali maana baba na mama walikuwa wananichunga. . .lakini sasa niko mzee wa miaka 57 na nimepitia mazito na ya kuvunja moyo lakini ni kawaida. Najikuta sasa nategemewa vile nilivyotegemea marehemu baba na mama. Tuliwapenda Marquis Original
@mwithigastephencontractor69974 жыл бұрын
Wakati nilikuwa mdogo sikujua kama kuna shinda wala sikujua kama kutakuwa na BBI.Reminds Mr M.D.J Eddy Fondo. Radio rhumba DJ
@christineoumanabwire64382 жыл бұрын
We played this song on that sad afternoon, on 6th March 2021, we had just laid dad to rest. I lost hope and felt unbearable grief, yet today I am still here. Learning to live with the loss and navigating a new life in the USA. Muziki wa zama unavuma.
@christineoumanabwire6438 Жыл бұрын
It's been two years.....na kuepuka siwezi..usinicheke...
@lizokoth6556 Жыл бұрын
Pole Christine
@henrychaula1174 Жыл бұрын
Pole sana jipe moyo mkui
@MosesAkungwiАй бұрын
It's a great song
@MosesAkungwiАй бұрын
Nabwire reminds me of a neighbour mumias
@meleniafrancis94624 жыл бұрын
Mungu awaweke mahali pema peponi amina
@ernestnjogholo14725 жыл бұрын
Utunzi uliosakafiwa kwa ufasaha, Madoido na mbinu za hali ya juu.
@davidrandu36425 ай бұрын
Ndugu sote tunaozikumbuka nyimbo hizi tumushukuru sana Mungu,kwani wenzetu wengi ulishatangulia.
@mwinyikadhi57086 жыл бұрын
Namkumbuka marehemu mama yangu asia darueshi alikua akiimba bend hii mungu amsamehe makosa yake na amuweke mahali pema amin
@mbarukhamad77804 жыл бұрын
Mwinyi Kadhi amiin
@happybalo51884 жыл бұрын
Ameen
@magrethurembo18344 жыл бұрын
@@happybalo5188 Amen duh dunia mapito ndugu yangu
@benminabo2170 Жыл бұрын
This takes me back to the good old days when my father was alive,,with his Sanyo Box radio...when life was ❤❤❤
@godffreyolali50846 жыл бұрын
Reminds me of Voice of Kenya (VOK) in the 80s. Watangazaji waliobobea zama hizo kama akina Sophie Clay, Gladys Erude, Amina Faki, Elizabeth Obege, Eddy Fondo, Anunda Sakwa na wengine
@bintuweel6 жыл бұрын
GODFFREY OLALI nilikuwa nasikiliza sana Radio Kenya KBC umenikumbusha mbali na majina hayo. Best ya muziki imekwisha sasa ni kelele na matusi .
@davidmahende75765 жыл бұрын
Safi sana nakumbuka miaka ya 1980
@dominicmaluki52425 жыл бұрын
Exactly my thoughts.Thanks Godfrey
@jason26335 жыл бұрын
Wacha tuu
@jason26335 жыл бұрын
Kina sofi ikeye
@abbassalum18643 жыл бұрын
Saxophone🎷🎷 🎷 na trumpet 🎺🎺🎺 nazo zimeongea sana 🙌🙌🙌
@John-jq1wt11 ай бұрын
Riminfs me of My late parents! Playing this song in aphilips kinanda!
@jamesmatoke2355 жыл бұрын
Am a parent now I used to like the music so much upto nowadays
@engineervictorvudinda59444 жыл бұрын
2020 still hitting airwaves, dedication to my late father and elder brother, you made me addict to such music RIP
@erickmwiti12634 жыл бұрын
Memories, are made of this when radio was the only entertainment
@collinsopiyo96994 жыл бұрын
Erick Mwiti ....ni mimi wenu Omuga Kabisae...nikiwaletea muziki wa adhuhuri....nostalgia bro!
@engineervictorvudinda59442 жыл бұрын
@@collinsopiyo9699 Muziki wa adhuhuri, I miss those programs.
@KelvinPatrick-qb5st9 күн бұрын
Vijana wa 1995-2000 mnapendana hizi nyimbo tujuane
@henrychaula11744 жыл бұрын
Power Nguzo nakushukuru sana jinsi unavyotuburudisha na kutukumbusha enzi zetu sisi wa 45+. Sasa nisaidie kutuwekea wimbo wa TOT Band (Achimenengule) chini ya marehemu Banza Stone,jina nimesahau ila walikuwa wanaimba "SINA UKOO MIMI SINA NDUGU WA DAMU WALA KABILA WALA UBINI ....."
@judemuyoma41322 жыл бұрын
Seasons pass but such pieces survive for eternity
@jeffnanume24046 жыл бұрын
This song win mind joy and it takes my memory back in early 90s nilikuwa namsikia mama yangu akiimba sana wimbo huu mara nyingi akiwa anajifanyia kazi zake. Baadae nikawa nausikia kwenye kipindi cha lala unono from RTD.
@monicapaulmarwa45466 жыл бұрын
Duniani tunapita,,tutawakumbuka daima,,utunzi ulijaa ukweli,nimekumbuka mbali sana miaka hiyo tukiwa tunaishi Mtibwa Sugar.......
@josiahmuthemba1156 жыл бұрын
Wadungu wenzangu, kila wakati ninapo u sikia wimbo huu akili urundi reverse mpaka mwanzo wa maishani wakati nilikua mdongo. Haki nampa huyu Makumbele Lulembo marks mengi zaidi kwa utunzi wake kibao. Bado pia naulumbuka wimbo wake "Makumbele na pia Makumbele no 2 habao naupenda sana. Makumbele juu juu zaidi
@ashrafabasi3950 Жыл бұрын
Daah nimekuja huku baada ya baba yangu kunambya nije kuiskiliza kwel nimekuwa sasa nayaona ya dunia
@bensonthuo820911 ай бұрын
My dad used to listen this song 🎵 when I was a young boy and interestingly I also loved it! But most of the children in todays life only 2% can recognise this as good music; but the fact remains.... old is good, and even gold sometimes 😂
@aggreychoreh9937 Жыл бұрын
Them days, so emotional na mafunzo kibao
@davidmanyoni46514 жыл бұрын
majuto huja nyumae because you think when young depending others later you will also pay back either sorrows or happiness!!!!!
@wasongakowino69355 жыл бұрын
Pure gold. From the golden era of East African music 👏🏿👏🏿👏🏿🔥🔥🔥🔥🎺🎺🎺👌🏾👌🏾👌🏾👍🏾👍🏾👍🏾
@kiturselassie96934 жыл бұрын
Kwa vijana wa jana
@framur86683 жыл бұрын
When music was music
@rubamann8 жыл бұрын
Kila nisikilizapo hizi nyimbo huwa nakumbuka Enzi zile tunatengeneza magari ya waya, matairi ya ndala. Enzi zile tunatengeneza mipira ya manailoni. Enzi zile tamu, Enzi zileeeee RTD is the big thing in town. Mungu wangu nasikia machozi yanakaribia kunichuruzika..
@omand17617 жыл бұрын
😂😂😂😂😉
@charlesnjau82527 жыл бұрын
Kweli kabisa hayo magari ya waya!
@cityofglorychurchinternati46356 жыл бұрын
Umesahau namalingi
@anclemshana6616 жыл бұрын
John Lunyamila . Sana.lakini Mimi wakati huwo naishi Dar kinondoni mwaka 1992 nafanya Nazi ZAMCARGO
@abdi51466 жыл бұрын
Umesahau magari za mikebe pia,kandanda na mipira za nylon kweli umenirudisha miaka ya themanini.wazee hukumbuka.
@charleskoech.k97254 жыл бұрын
Aaaah.Sauti nyororo.Maneno mazuri.Tulikua tukiskiza kwa KBC Radio.muziki kweli chenye nashika roho.!!!!! Siku hizo mungu alikua karibu nasii.Leo hii janga tupu.!!!!!
@amanam27355 жыл бұрын
Ujumbe na ala. Sio leo mwendawazimu anaingia studio na kutoka na kitu kinachoitwa muziki
@kibabumwenyewe4 жыл бұрын
Udogo wangu miaka ya 80 hapo kizingo Mombasa baba alikuwa akifungulia RTD mwendo wa saa saba mchana baada ya Habari nyimbo ni hizi. Kweli walikuwa wanamuziki wa kweli.
@williammarube56724 ай бұрын
Ukweli mtupu. Usinicheke ni wimbo una mawaidha ambayo yako valid even decade to come.
@masetomuhafiwa4546 Жыл бұрын
bongo music started long ago,that's why even today they are ahead!
@timmusumba5846 Жыл бұрын
Exactly! They must have got their skills from these golden songs of the past!
@pmulevu2 жыл бұрын
when music was real
@tusekileambokile63975 жыл бұрын
Muziki moja mzuri sana. Mungu ilikuwa katikati yao hawa wataalam
@vicenthenry56474 жыл бұрын
Hongera sana
@mwapiiddi39805 жыл бұрын
Zina ishi, maana alitunga kwa kuzingatia matukio halisi sio ya kufikiria kama sasa,wali beba uhusika ktk swala zima la utunzi na kigezo kikuu ni nidhamu kilihusika,vija wa sasa wame kosa ubunifu wame baki kuwa wakalilifu tu vya wenzao na uvivu wa kufikiri
@maryamayitsa61813 жыл бұрын
wau mmziki ulio pelekwa shule, mziki umekomaa,
@rensonanyangu57095 жыл бұрын
wakati nilikuwa mdogo. those days growing up. the gmaes, the adventures and nothing to worry about. oh how time flies, machozi yananitoka
@mohammedkitumbi49705 жыл бұрын
Nakumbuka Lang'ata
@masakuuzubery99734 жыл бұрын
Hi
@robartvyumavyuma8715 жыл бұрын
Jamani kweli siku hazigandi nikikumbuka enzi hizo weacha kabisa
@rotichphillip54076 жыл бұрын
mazee hii nyimbo inanikumbusha nikisoma nrb racecource primary 80s wakati wa eddie fondo maquis u make my day sisemi zaidi.
@factualfactory7027 Жыл бұрын
R.I.P Mama Siprosa Odero. You made love these songs.
@petermwidima83577 жыл бұрын
miaka hiyo ya 80's nilikuwa biharamulo.mama yangu alikuwa anaipenda Sana hii nyimbo.
@mwengwamwengwa26335 жыл бұрын
Mimi nipo manyoni
@harunmunala40914 жыл бұрын
utunzaji shupavu,wimbo wavuma na bado uko na ladha hadi wa leo
@josiahmuthemba1156 жыл бұрын
Basi huu ni utunzi wake Makumbele Lulembo baada ya kuhutunga wimbo makumbele. Kweli alikua hodari kwa hutunzi wa nyimbo. Basi kazi kwenu kwa kuzikiza
@waryobamahunyo49905 жыл бұрын
Kazi ni uhai kwa kila binadamu toka enzi na enzii eee !!!!! Mziki mtamu sana!
@totidatutadu19186 жыл бұрын
Sikia sauti zilivyotamu, vyombo vilivyopangika halafu ujumbe murua kabisa. Nilikuwa Sumbawanga miaka.hiyo kipindi km mchana mwema, jioni njema dah hizi zilikuwa golden days
@ahamadarashid8797 Жыл бұрын
WAKATI MUZIKI UNGALI MUZIKI..
@henrychaula1174 Жыл бұрын
Power Nguzo, we thank you so much for taking us back to our childish memories, though now we are grown up we witness the reality. God bless you. However, if you can give us the list of those involved in preparation and production of this great work we will be thankful.
@roseosero463 Жыл бұрын
This song makes me cry.
@lucasmabula3909 Жыл бұрын
Ilikuwa raha sana enzi hizo
@rafaelsimba64297 ай бұрын
Gone are the days, back in 2003
@kiturselassie96934 жыл бұрын
Hii muziki dawa ya roho, moiben Eldoret Kenya , December 1989
@alexanderayuoyi35714 жыл бұрын
RTD idhaa ya taifa, na idhaa ya biashara,. Heko kwenu
@pamelauisso64847 жыл бұрын
Nyimbo zinakumbusha mbali sanasana...jmn napenda kuzisikiliza nyimbo hz.Dah walifanya kazi nzuri sn
@chachamadini93726 жыл бұрын
Nikisikiza nyimbo hizi natamani kuvunja hii micd yahawa wendawazimu wasasa wanaimba matusi tu
@bintuweel6 жыл бұрын
chacha Madini Kweli kabisa matusi yamezidi bila aibu utupu umezidi bila haya kelele tupu .
@shentembakivuvu4885 жыл бұрын
chacha Madini kabisa nyimbo zilikua zamani
@irenekambi47055 жыл бұрын
Kweli kabisa siku hizi matusi tu
@abdi51466 жыл бұрын
The great maquis in its days,when music was done by real musicians,good old days indeed.tribute to vumbi dekula,nguza vikings n the rest of the team
@victorondu18553 жыл бұрын
Great composition, great vocals, great arrangement......
@TalibHamad-bf1sn5 ай бұрын
Ama kweli sasa nimekuwa ndio naona shida nyingi duniani hawa Maquiz Waltona mbali
@muokiken2 жыл бұрын
I think is one of best songs.
@maganyarobert7008 Жыл бұрын
Pumzika kwa Amani babu yangu mzee Dotto Lubimbi ulinifanya nijue hiz nyimbo za mafundisho
@babyfrank88528 жыл бұрын
Yaaaani huu mziki Mungu auinue tena jaman walifaidi sana walioucheza wakati huo yani mama zetu ss japotulikuwa wadogo sana lakini mm hadi maini hunikatika nisikiapo nyimbo hizi haswaa marijaaaaaan mwana wa rajaaabu Acha tuiles,,,
@matiasimmanda79245 жыл бұрын
Baby Frank
@edsonalbert53805 жыл бұрын
luu
@harrymbanga104315 күн бұрын
Hizi ndio zilikuwa nyimbo mambo ya white house haya wee acha tu maisha hatua kibo njia panda ya msewe ck hizi garage
@jaredonsare1814 жыл бұрын
our good presenters in vok like, brother said ali matano, gladys erude, mdj eddy vondo, etl used to play these numbers especially during salamu za mchana.
@twilamtumbi9499 жыл бұрын
We acha tu haya mambo matamu mno. Kitambo kile daa maisha sio kitu chochote. Unaweza kulia
@abdinrwakibanda91686 жыл бұрын
ezi za Mwalimu.safi sana
@allykillenga61465 жыл бұрын
inanikumbusha mbali inapendeza
@irenekambi47055 жыл бұрын
Kweli kabisa
@matunduraray11744 жыл бұрын
It reminds me of my late dad na ile radio yake ya mbao
@bekabakari73943 жыл бұрын
Radio 277
@lizokoth6556 Жыл бұрын
Pole Ray
@chachamadini93726 жыл бұрын
Mungu awapumzishe Kwa amani, muziki wenu unadumu msiwe na shaka wazee
@josephmwanzui42448 жыл бұрын
This is the real music when men were men and money was money
@mussamasoud32336 жыл бұрын
Unaweza kulia ukisikiliza hizi leo hawa vijana hawajui muziki kwa kweli hatupati hisia zozote yani
@ferdinandmillimu78975 жыл бұрын
Ahhh!!! Jamani, huu muziki no way ukweli. Inanikumbusha Manisha yangu Mombasa Likoni. Nilipo Kuwait nikiishi na ndugu yangu mkubwa KIZINGO karibu na OCEANIC HOTEL.
@patrickwangila26885 жыл бұрын
Kweli. Mziki Ni kazi. Tarat oil bu Na furaha tuu Sana.
@monicawanjiku31327 жыл бұрын
This was when music was music strong message and great voices
@nuruazizi9983 Жыл бұрын
Hii ni Maquis original na sikinde yaani kwa yaani kwa Dunia ya leo ni kama diamond na ally kiba waungane watoe kitu. haiwezekani.zamani lkn zamani iliwezekana kwa wazee wetu .
@watitwaisaac84103 ай бұрын
I miss them days😢
@amossambu30533 ай бұрын
Muziki wa adabu huu. Memories of childhood laid bear
@alisabatia86125 жыл бұрын
Tufanye kazi. Kazi ndio uhai. Mawaidha mufti.
@fredricketabale93774 жыл бұрын
Fanya mambo kulinga na nawakati
@wilsonmalias312211 ай бұрын
Still listening today 06/11/2023 a Master piece,a classic one❤
@NeemaWilfred-hz3fx Жыл бұрын
Nzuri sana hii nyimbo inanikumbusha mbali sanaa
@joycemoses36936 жыл бұрын
kila ninapo sikia nyimbo hizi,,namkumbuka xana kaka yangu,fest bon,wetu,,kwa sasa hatukonae tena,,eee,,munguilaze roho za malehemu kaka zetu,, mahalipema peponi,,Amina,,
@anclemshana6616 жыл бұрын
Joyce Moses .Pole sana.MR.A.Y.MSHANA
@anclemshana6616 жыл бұрын
Joyce Moses . Mimi pia in First born kwetu na tuko9 Niko hai