MUNGU AKUBARIKI SANA MT. WA MUNGU NAPOKEA KUTOKA MOC'AMBIQUE , AMENI.
@Nyota1-en4oq8 ай бұрын
amen
@perrywanjiru27542 жыл бұрын
Amen
@Deborakasa10 ай бұрын
Amen sana
@annamkilo3133 Жыл бұрын
Najutia sana makosa yangu Naijona si kitu kabisa mbele Za Mungu
@christeternallifetv5959 Жыл бұрын
Ubarikiwe mtu wa Mungu
@muthonijgatia4350 Жыл бұрын
Asante Mungu mbarikiwa sana
@HabilyTech2 жыл бұрын
Mungu azidi kukupa neema ya kutufundisha vitu, vya uzima wa milele
@truphenayossi9852 жыл бұрын
Aki nimekuona leo nimefwatilia haya mafunzo yana Roho was kweli Mungu anisaidia aki
@UKWELIWAYESUKRISTO2 жыл бұрын
Asante sana kwa chakula. Mungu abariki mtumishi wake.
@kweliyakristoyesu2 жыл бұрын
Amen Amen mtume meshak Mungu atunze nakuilinda sana huduma hii maana wengi tunawekwa huru
@ivonaevarista46542 жыл бұрын
Bwana Yesu na atukuzwe sana kwaajili yasomo lake na Mungu akubariki sana kakangu
@liesharehema51932 жыл бұрын
Amina mtumishi wa mungu barikiwa sana
@angelanaftael79652 жыл бұрын
Asante mtume wa Mungu asante sana kwa kazi hii kubwa baba.Mungu azidi kusema nawe
@marypeter45842 жыл бұрын
AMEN BWANA TUREHEMU, TUPE MIOYO YA NYAMA YENYE KUKUBALI MAONYO
@kituzakalembire20722 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mutumishi wa Mungu
@apazmunisi21332 жыл бұрын
Ameen, YESU WANGU NISAIDIE KUAMUA KUKUFUATA WW TU KWA MOYO WANGU WOTE NA ROHO NA NGUVU ZANGU ZOTE.
@suvenkanyolo61042 жыл бұрын
Mungu atusaindiye sana kabisa Ee Mungu wangu utusaindiye mutuombeye
@philomenanzisa4685 Жыл бұрын
Nashukuru kwa mafunzo mema ya roho mtume mungu akumbariki na akuongezee
@Sara-ne3xl2 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwaajili ya watumishi wake kama huyu anayeongea ukweli,Mungu azidi kukutumia na akubariki sana.
@marykassanga53742 жыл бұрын
Amen Mtumishi wa Mungu aliye hai mungu akubariki sna kwa kumtii Mungu na kupokea mafunuo toka kwake na kutufundisha kweli hii yote.
@emmashariff66222 жыл бұрын
Ameeeen Ameeeen eeh Mungu nisafishe kwa damu yako Bwana uniwezeshe kuacha dhambi uinuliwe juu yangu barikiwa sana
@samweliishiabwe29862 жыл бұрын
Amena
@shantal60302 жыл бұрын
Shalom shalom mtume wa mungu mungu azidikukulinda na kukupanguvuili unidirectional kutuhonya na kutuweka kiroho mimi ninakuwamini wewe nina again yakuongeya na wewe please 🙏
@christinaisanguisangu2974 Жыл бұрын
Duh naogopa sana ole wangu mimi
@lindakapongo84212 жыл бұрын
asante kwa huďuma ya kweli ya MUNGU
@SawasingshOzilVeronick-dj6ky2 ай бұрын
Wewe utaenda mbinguni kwa ajili ya matendo mazuri
@FurahaExpress2 жыл бұрын
Asante kwa neno Mungu akubariki
@tatumluv60542 жыл бұрын
Amen Amen barikiwa sana Mtume wa BWANA
@theopistamlelwa11672 жыл бұрын
MUNGU nikumbuke nikutumikie ktk Roho na kweli
@queenesther26392 жыл бұрын
Eeh MUNGU Baba Utusaidie sana tunakusihi
@kizajacqueline85832 жыл бұрын
Amena alleluia
@odiliaamnaay44292 жыл бұрын
Mtume wa Mungu Bwana azidi kuku paka mafuta mabichi. Mtume niombee ninaumwa Nina uvimbe mkubwa mwilini na kutoa damui Mara kwa Mara.
@geitandelwa299 Жыл бұрын
Pole Sana na MUNGU wa mbingu na NCHI AKUPONYE MAANA HATUNA MWINGINE zaidi ya MUNGU wetu mkuu
@mwinjilistimarcy83752 жыл бұрын
Amen 🙏 😭
@rosewacharo3336 Жыл бұрын
MUNGU wa mbinguni akulinde Ili uzidi kufunza ukweli
@leahenockmrina5381 Жыл бұрын
Mtume wa BWANA wetu Yesu Kristo naomba unifafanulie dhambi ya mauti ni ipi je ni kuua mtu au ni ipi tafadhali sana unisaidie hilo?
@alifridahocharo2 жыл бұрын
Let God bless you nilikuwa naomba kama nawesa nena na lugha and how can I start please pastor pray for me my legs are swollen at the ankle (oedema) it's now 20 yrs am living with this condition I have bè going yo the hospital but hakuna matumaini please please pray for me
@lightness1832 жыл бұрын
Amen Apostle. Naomba uliza je, ikiwa mtumishi mwenye karama za rohoni na ashakufuru Roho anaishi kwenye dahmbi, hv akiwa anawaombea kwa Mungu waumini wake Mungu anajibu maombi yake ? Na je km ni mhudumu Mungu anakueka utumike mahali, badae mtumishi anakufuru tayar na ur expecting ur deliverance there, utabaki hadi ufunguliwe au?
@justinministry001 Жыл бұрын
Nilikua sijajua hili Neno ambalo umefundisha nilikua najua kila dhambi inasamehewa...swali langu ni je Sasa Kwa kuwa nimejua Kuna dhambi ya mauti je naweza kusamehewa tena?....naomba unisaidie...
@holylostborn2 жыл бұрын
Amen 🙏
@failaprince9250 Жыл бұрын
Jambo mtumishi sasa tutajuwaaye mtumishi mzuri?
@nisetameena92762 жыл бұрын
Dhambi ya mauti ni kuuwa?
@failaprince9250 Жыл бұрын
Tutamujuwa aje mtumishi mubay namzuri?
@johnshirima99952 жыл бұрын
Dhambi ya kukufuru ni kama dhambi ipi?
@UkweliMinistries2 жыл бұрын
Dhambi ya mauti. Kuua, Uasharati, yaani dhambi zanazo hua nafsi ya mtu.
@chengeson Жыл бұрын
@@UkweliMinistries sasa mtu akitubu atasamehewa au
@JifunzeNenoLaMungu2 жыл бұрын
Mtumishi tuombee roho atujae tuwe na nguvu ya kukataa dhambi kila siku.. hii dhambi ya kumkufuru roho kila siku unatutisha sisi tunaojifunza kuokoka... Kwani tu wachanga tunaanguka anguku Kama mtoto ajifunzavyo kutembea... Haya masomo uandike ni specific kwa wachungaji na waliokomaa.... Sisi unatutisha unataka kutukatisha tamaa tunajiuliza Sasa tumeshapotea au bado tuko kwenye mstari... Vita ni vikali kwa sisi wachanga... Tuombee tupatee nguvu ya kutembea na roho wakati wote
@UkweliMinistries2 жыл бұрын
Hapana ndugu usiseme hivyo. Mungu anatambua uchanga wa mtu. Yaani sisi wote ni wachanga kwa kuwa sisi ni watoto wa Kristo. Somo zote zina lenga ku ngo’a mtu katika uchanga na kumuimarisha katika kweli. Yesu ndo huyo kweli. Nasi atutamuona katika uchanga bali kwa ukamilifu wa kiroho.