Ulisema Ruto atakuwa president but wakenya tuombe Sana na ukatuonya mala ya pili.God bless you.
@Mjakazisafi83619 күн бұрын
Amen Amen hapo ni kweli ulisema nakuambuka ukituambia wakenya lakini hatukusikia Amen
@DanielMukora-jx1bh9 күн бұрын
Haya uliyasema kweli,Mungu aikumbuke nchi yetu kenya 🇰🇪 pamoja na Africa
@Redeemed-oTL5 күн бұрын
Mtume, ume hama Marekani kabisa ama utarudi? Mimi bado niko huku lakini najipanga kurudi Africa. Nakumbuka prophecy zote ulizo peana kuhusu Kenya. Pia nakumbuka prophecy zote warning Africans in the US wajenge kwao na warudi nyumbani. Tafadhali endelea kutuombea, *TUTOKE HUKU MWAKA HUU* Thank you for speaking the truth, servant of God. Ruto ni JOKA na pia Samia wa Tanzania ni lishetani likubwa sana - Washindwe kwa Jina la Yesu! Amen @ 9:56 Hata mimi mtu aki nipa land Tanzania for free, siwezi kuchukua na siwezi kuishi huko. Rotten country!!! Afrika yote ime oza but Tanzania ni mbovu kuliko zote.
@calebmuchiti13578 күн бұрын
Amen,ahsante saana mtumishi wa Mungu Meshack Mungu akulinde na akupe amani katika jina la Yesu kristo
@user-ef4dh2gg3j9 күн бұрын
Amen mtume MaliyaBwana,Kama Kuna kitu Mimi ufuatilia na sisahau Ni unabii,huwa Niko makini Sana na unabii,kitu ambacho unishida Ni kuomba Sana,naomba Mungu aniuhishe kwa upande wa maombi Niweze kuomba.ubarikiwe mtumishi wa Mungu aliyehai.
@susanireri82288 күн бұрын
Shalom Nabii. Asante kwa kulia na sisi,na kutuombea Kenya inafagiliwa na Mungu sasa Kenya lazima ipangwe ili kutimiza unabii wa ufufuo Kweli tulipubazwa Uhu muoba shetani Mungu atuondolee Kenya imeshauzwa kwa madhabahu ya Giza na Ruto,Biden and Obama,King charles #OnTheKneesForKenya
Everything you said is happening right now brother, be bless and may the Almighty God continue to bless you with more AMEN.
@judithhemali15699 күн бұрын
Amen, hallelujah. Thank you servant of God. More grace and blessings.
@sophy1128 күн бұрын
Lakini mtume wakati ulisema president n Ruto tulikuambia Sio mzuri n mbaya Sana Mungu aturehemu...asante Kwa ujumbe wako mwema mtumishi .. God bless you 🙏🏽
@CHRISTOPHERKIMWAGA9 күн бұрын
Kweli kabisa unaesema mtumishi wa mungu Samia analiuza taifa letu
@mwaminimwangaza7 күн бұрын
Mupendwa anza na herufi kubwa M kumwandika Mungu wa mbinguni ili kumutofautisha na miungu na pia kumheshimu hata ndani ya biblia Mungu sio mungu
@angel542239 күн бұрын
Amen, Barikiwa sana Mtume,
@queenesther26399 күн бұрын
Shalom Shalom MtumeMaliyaBwana
@elizabethmbithe79549 күн бұрын
Amen Amen mutumishi mali ya BWANA umeongea ukweli MUNGU akumbaliki na tinakuitaji tena kenya kalimbu tena
@KnjueLawremuresh-uf9sz7 күн бұрын
Amen, I have been following you, and sincerely your prophecy come to pass, still you teaching is absolutely true... Amen
@nestorypesambili73419 күн бұрын
Amen, ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
@patriciachangawa17549 күн бұрын
AMEN MTUMISHI ATA MM NAKUMBUKA SANA UKI TABIRI KUHUSU RUTO BWANA ATUPE NGUVU YAKUPAMBAN KIMAOMBI
@silvianyangai19039 күн бұрын
Very true. I listened to you before kenyan elections about ruto and indeed kenya is in pain.
@agathamugure17139 күн бұрын
Shalom ,pia wewe Mungu akubariki
@chekaelia42829 күн бұрын
Shalom kaka Mungu anakutumikisha kabisa maana mimi nilisikia unabii wako nikweli unatimia mungu asaidie inchi ya Kenya na incho zote za african
@DaHasha20259 күн бұрын
Amina
@user-gm6pt9qm3i7 күн бұрын
Asante sana mtumishi wa mungu zidi kuombea inji yetu ya Kenya tena ombea sana awa vijana wetu mungu apitie kwa awa vijana waogoe Kenya
@Deboraclementgm9 күн бұрын
Amen amen ubarikiwe pia Na Mungu
@user-bg4uw3gr3u9 күн бұрын
Amina MTUME MALIYABWANA AMINA CONTINUE OF MAFUDISHO YAKO NA BWANA YUPO PAMOJA NAWE AMINA
@adylineamutamwa9599 күн бұрын
Amen God bless you too
@chaleetch93949 күн бұрын
Amen Amen mtumishi
@suvenkanyolo61049 күн бұрын
Amen baba ❤❤❤
@christovercomers9 күн бұрын
Amen. So you were here and I never new you.
@dfc85587 күн бұрын
amen amen yesu ni bwana
@user-oq5cy9rc4s6 күн бұрын
Amen 🙌🙏 Mungu akubariki sana Amin Amina 🙏
@IsaacNdalu-r5q9 күн бұрын
Amen,,,, mtumishi wa Mungu
@hellenmnyazi2207 күн бұрын
Amen barikiwa sana mtumishi Mungu azidi kukufunulia na Mungu airehem inchi yetu ya Kenya
@jkconsolata26728 күн бұрын
Ubarikiwe pia unapo fanya kazi kwenye mwili wa Kristo. Kweli Meshack nilisikia unabii wako ruto alipochaguliwa ulisema ooi wakenya ombeni sana sana maana yajayo mmmh huwezi sema....
@judithmelvinealuchio89688 күн бұрын
Hallelujah Amen 🙏🙏🙏💞
@asminmakoha68899 күн бұрын
Nawe pia ubarikiwe
@leahenockmrina538120 сағат бұрын
Amen Amen Amen
@asminmakoha68899 күн бұрын
Amen nikweli mtume MALI YABWANA
@christovercomers9 күн бұрын
I never knew that you were here. I could have come
@babybossfr7 күн бұрын
May God bless you servant of God 🙏🏽🙏🏽🙏🏽❤
@GodisOne-JesusChrist9 күн бұрын
Amen, wrong choices without prayer. Huruma
@marympochela79039 күн бұрын
Amen mtumishi wa MUNGU
@queenesther26399 күн бұрын
Wasiomkubali waangalie unabii alioutoa kuhusu Kenya na sasa Kenya kukoje!
@leticiamakoye48718 күн бұрын
AMINA BWANA YESU kiristo wa nazaleti akulinde baba (zekaria 2:8)
@chekaelia42829 күн бұрын
Mungu atusaidie sana
@luhelusonline6829 күн бұрын
Amen Amen mtumishi wa Mungu
@JUMAMwambeule9 күн бұрын
Amen daddy
@EstherChadi-xe7se9 күн бұрын
Amen Amen
@tumainipeter4587 күн бұрын
Amina mungu aupe upeo zaidi
@suluchristina64876 күн бұрын
Amen 🙏🏻 🙏🏻 🙏🏻 🙏🏻
@susankitaga7587 күн бұрын
Amen 🙏
@faithe40638 күн бұрын
Kama wewe ni mtumishi wa Mungu wa kweli kakangu usiwe unahukumu mtu kwamba ni wa shetani kwa sababu huyo shetani umjui wewe jiangalie mwenyewe kwa maana huu ni nyakati za mwisho ata Yesu alisema kwamba hayo lasima itimie kwa hiyo basi ubiri injili ya Yesu watu waokoke sio kuita wakubwa shetani au wewe ni agent wa shetani?
@rusiafrancoise23969 күн бұрын
Shalom shalom
@adelesifa22577 күн бұрын
Bwana Yesu ahisaidie Afrika zima mana hatujii tufanye nini na tuseme nini Ee Bwana Yesu
@florarwegerera80256 күн бұрын
Mtu anaeita watu ni washetani inawezekana yeye ni agent wao wameshindwana kwenye ulimwengu wa roho. Mungu akusamee unatakiwa kufanyiwa cancelling
@ELIZABETHMTAITA-nr4vp9 күн бұрын
Mungu awalinde kwa kweli
@irenekaran53259 күн бұрын
Amen
@GestinaKuya-xv6qy5 күн бұрын
Jamani mimi sina maana mbaya juu ya huyu mtumishi anainena kweli ya Mungu ila mimi huwa ninamaswali moyoni juu ya mwonekano wake sasa ona amefuga rasta mimi ananichanganya
@JulieniKashindi9 күн бұрын
🙏🙏🇺🇸
@kellyroselwinga79999 күн бұрын
Ameeen AMEN
@queenesther26399 күн бұрын
Waaaaà!
@Reginajohnson198846 күн бұрын
Mungu atusaidie Tanzania, maana yule mama nilimkataaa rohoni
@GodenBMDaniel9 күн бұрын
Bwana atukuzwe milele Amina
@immaculateforchrist35188 күн бұрын
Yametimia kwa kweli.Mungu atabaki kuwa Mungu tu.tuhurumie eeh yesu kristo
@joannekesa18359 күн бұрын
Amen amen
@raphaelzama47489 күн бұрын
Ni kweli na kumbuka
@aimemuharabu30039 күн бұрын
amen amen vyote vimetimiya kabisa
@Sara.111488 күн бұрын
Ruto na mke wake walijificha kwa kanisa weeeh kuna wakati rachel aliombea maji ya sewage ilikuwa nyuma ya nyumba yao eti hiyo maji ya sewage ilingeuka ikawa maji safi ya mineral water😂 hiyo miracle ni kali sana.
@Mwasame_Official19 күн бұрын
Ni ukweli kabisa mtumishi wa mungu
@alzawahirabdallah22997 күн бұрын
Pumbavu ushakula bangi unajiita mtume
@user-ge1zy8fj6s9 күн бұрын
AMENA SANA NDUGU KATIKA KRISTO .
@ledeajoasu31199 күн бұрын
Mungu atatusaidia wakenya tutapenya shalom Kenya
@irinenanciebarasa55669 күн бұрын
😭😭yes oooh ruto ni mtu wa shetani kabisa 😢😢MUNGU atukumbuke ruto achelewi kanisani damu ya wakenya itembea na ruto, amekaa 2years Adi zake ya uwongo mtumishi wa MUNGU ooooh more blessings nakufuata nikiwa Kenya 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@faithe40638 күн бұрын
Ni vizuri ukanyamasa kwa sababu ujui shetani wala Mungu alafu sio wewe unaye hukumu ni mwenyezi Mungu pekee cha muhimu ni kujiombea wewe na ichi yako. Bado ujekudhua kwamba ni nyakati za mwisho? Basi heri ukatulie usiwai hukumu mtu kwamba ni shetani au anaabudu shetani na ujui shetani anakaa aje heshimu maneno yako kabla ujetoa
@Izo31028 күн бұрын
Am in great shock 😲..., Mungu atusamehe
@irinenanciebarasa55668 күн бұрын
@@faithe4063 dadangu sitanyamasa nitasema ukweli wangu unichukie Sana Shetani alitupwa Hapa duniani kuharibu Kama huyo ruto wako mzuri Sana na wewe swali yangu uliona wapi president wako ameokoka Sana anasema uwongo Shetani usema uwongo ruto wako ameleta nini Kenya kwa miaka 2?? Mm niniko na dhambi kubwa Sana lakini siwezi sema promise ya uwongo sitaki Shetani aniongozea na uwongo mtoto wa MUNGU usema ukweli uwongo ni washetani umesikia Ata Shetani uomba Sana twagalia moyo Safi dadangu
@irinenanciebarasa55668 күн бұрын
@@Izo3102 yes MUNGU atusamehe Sana...wakiristo wengi utumia uwongo ni wa shetani lazima tuseme ukweli lazima kusema na kufanya ruto na uwongo wake hafanyie wakenya huruma amsamehe na MUNGU uwongo mwingi Sana hakuna lolotea nimekiona kwa taifa la Kenya maisha iko juu masikini wainbea wapi ?
@gracekariuki2367 күн бұрын
Tulikanywa vikali na Raisi mstaafu Uhuru Kenya, hatukusikia.
@carolkosgei2549 күн бұрын
mungu akubarike
@mwaminimwangaza9 күн бұрын
Ukiandika Mungu wa mbinguni anza na herufi kubwa M ili kumtofautisha na miungu pia kumuheshimu
@godsfavour56658 күн бұрын
😮😮😮😮😮😮😮😮mmmmmh na vile Mimi husifiaga mama Samia🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔mungu aturehemu basi
@mwaminimwangaza7 күн бұрын
Ndugu jikaze ukiandika Mungu wa mbinguni anza na herufi kubwa M ili kumutofautisha miungu hata ndani biblia anaandikwa Mungu sio mungu
@user-tt7cu2et1x7 күн бұрын
Ukimsifia kwa mama gani anayoyatenda tzd😢😢
@user-tt7cu2et1x7 күн бұрын
Mema yapi ametenda mpka umsifiee😢
@margaretingasia63468 күн бұрын
Hata Ezekiel akienda hukoBado akuna raha
@linetkerubo53928 күн бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏 amen 🙏
@EvangelistMathayo26049 күн бұрын
Amina amina sifa na utukufu zimurudiye Mungu wa Mbinguni Bwana Yesu Kristo wanazareth
@Nani-ww8yg9 күн бұрын
Ulitoka Amerikani
@user-wl6ns9hb6j7 күн бұрын
Kweli kabisa hata mimi niliona hayo
@chekaelia42829 күн бұрын
Niwengi sana wenye kua na shida
@theresiakasandatedi53417 күн бұрын
Kwa nini nywele zako ziko hivo?
@gitongaz9 күн бұрын
Kaa congo hubilia wafrika sasa
@Reginajohnson198846 күн бұрын
Na uganda
@miriamwangari74177 күн бұрын
Hakuna mamlaka itokayo kwa shetani. Mamlaka zote hutokana na Mungu. Haya ni maandiko..Mungu huruhusu mamlaka zote... Mungu hakuahidi ya kwamba mambo yatakuwa rahisi kwa raisi na nchi ya kenya, lakini kwa yote Mungu atatupigania. Vita sio zetu, ni za Yehovah.
@scholasticakariuki67756 күн бұрын
Ulisema kabisa hatukuamini
@daudiskorei5987Күн бұрын
Nyoa hizo nywele kwanza
@doricemrema21779 күн бұрын
Amen Amen,,,tuzidi kuwaombea ndugu zetu.
@revojomo8 күн бұрын
Tanzania wote ni mashetani hamna shukrani, mtume kasema hatorudi tena Tanzania, kwani mlimfanyia nini Tanzania?
@InjiliyaUfalmetv8 күн бұрын
@@revojomoTubu maana Ufalme wa Mungu umekaribia ,Hao hao unaowaita mashetani watakutangulia kuurithi uzima wa milele usiwaite watu mashetani Ipo siku utatoa hesabu
@revojomo8 күн бұрын
@InjiliyaUfalmetv wewe umetokea wapi ndugu, au una using usingizi sikiliza hiyo crip Aliyesema watanzania wote nimashetani ni MTUME MALIYABWANA, siyo mimi ndugu, kasikilize hiyo crip yote alafu uje useme unayosema
@revojomo8 күн бұрын
Watanzania ni mashetani na Rais wetu samia ni joka ibilisi mkubwa, maneno hayo ameyasema MTUME, mimi nimenukuu tu,
@InjiliyaUfalmetv8 күн бұрын
@@revojomo Sawa Mpendwa nimekuelewa ,Inaumiza kuitwa mashetani inamaana mpaka watoto wadogo Ee Mungu atukumbuke
@RehemaMtono9 күн бұрын
Watu wamemkataa MUNGU ndo maana machafuko yataikumba hata tanzania
@Blessedpeace7 күн бұрын
eti Samia kweli vile umesema? mbona mimi namuhenzi kwa uongozi wake
@Sara-ne3xl9 күн бұрын
Ni kweli ulitoa unabii huo kuhusu Kenya na ruto
@saidabdalla89968 күн бұрын
Kweli ndugu Tanzania chafu kweli nimeliona ilo
@tabithambweka81798 күн бұрын
Huruma 16:03
@winnyrocha1908 күн бұрын
Yanatimia kweli yaliyo tabiriwa MUNGU aturehemu sana Africa na ulimwenguni kote.
@catherinemuoka13227 күн бұрын
Huyu ni ndugu ya aliyepata ajali hama Tena alifufuka?
@margaretingasia63468 күн бұрын
Mimi mdogo tafadhali nisaidie mimi haki kenya imeharibika
@rosekalu3098 күн бұрын
MUNGU akulinde na azidi kukutumia
@EzekyZacky-rr2hd9 күн бұрын
rudi kenya
@MobileDawat7 күн бұрын
Mtme gani wee Kenge we!!
@Niget-us1np6 күн бұрын
Kayoe njwer mjing wee
@juliettsori21088 күн бұрын
Unaongea ukweli mtumishi hii kitu nlinenewa kwamba ruto alileta finance bill ili asababishe umwagikaji wa damu mungu asaidie Kenya yetu