DIAMOND AFUNGUKA ISHU YA MANGE KIMAMBI - "NIMEMFANYA NINI?, KILA SIKU ANANI-ATTACK"

  Рет қаралды 166,320

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

DIAMOND AFUNGUKA ISHU YA MANGE KIMAMBI - "NIMEMFANYA NINI?, KILA SIKU ANANI-ATTACK"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 184
@henrytumain1496
@henrytumain1496 2 жыл бұрын
For the first time in my life I appreciate Diamond.
@eddykenya9631
@eddykenya9631 2 жыл бұрын
Ww ndo msanii pekee unayeajiri wapinzani wako kwa sababu hawakuwez. Nakukubali sana diamond platnum
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 2 жыл бұрын
Yaani kumbe ww jembe. Kwa hii interview nimekuelewa, salute mno . Big brain
@fatumatandika5849
@fatumatandika5849 2 жыл бұрын
Uko juu Diamond roho yak8 safii,Mungu atakulinda
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 2 жыл бұрын
Nakupenda mwanangu una moyo wa ajabu. Ndiyo maana Mungu anaendelea kukuongoza.
@dianajames2180
@dianajames2180 2 жыл бұрын
Love you diamond 😘
@channyshabani2906
@channyshabani2906 2 жыл бұрын
😥😥😥 vip uyu mtu mbona ivi anamoyo gani Mungu akuifadhi
@judywambui3409
@judywambui3409 2 жыл бұрын
Diamond much respect napenda kabisar
@ramadbanihamis1055
@ramadbanihamis1055 2 жыл бұрын
Weye ni njia kwetu so don't be upset bro you are the beginning and the end of our music
@NowerSekabanka
@NowerSekabanka 3 ай бұрын
Namupenda mondi
@bibisalima9828
@bibisalima9828 2 жыл бұрын
Diamond we kichwa kwa this interview
@mamiimohamed5671
@mamiimohamed5671 2 жыл бұрын
Hongera
@ivanmalele9504
@ivanmalele9504 Жыл бұрын
Respect
@sakinaamani1486
@sakinaamani1486 2 жыл бұрын
Mmmmmmmmm aiyaaa mungu ndo anaijua nia yako siyo cc
@aminakupila3079
@aminakupila3079 2 жыл бұрын
Kabsa sema Kaka sio kila mtu akikutukana anakuharibia mwingine anatengeneza 🤣🤣🤣🤣wape wape Bila wewe tusingejulikana kimuziki Duniani for that I love you star 🌟 💫✨wetu wa Tanzania 🇹🇿 the only one ☝️ japo kuwa mambo mengine kinyonge but we love you from Tanzania 🇹🇿 to Netflix our super moon 🌝 star ⭐️ 💫✨❤️❤️❤️❤️🥂🍾.
@catherinegordian8109
@catherinegordian8109 2 жыл бұрын
Much respect ✊🏾
@vanessastafford5120
@vanessastafford5120 2 жыл бұрын
Nafurahi unajuwa jinsi ulivyo mkubwa kwenye Hii Tasinia.
@rithaurassa
@rithaurassa 21 күн бұрын
Umaarifu siutaki tunasikia mengi mioyo inaumia sana. Vijana WETU wanaharibiwa San jamani
@chizashungu1236
@chizashungu1236 2 жыл бұрын
DIAMOND HAPA EAST AFRICA TUMESHATOKA,LET'S GO AND GET IT.
@ktheboykajungilo5089
@ktheboykajungilo5089 2 жыл бұрын
Diamond Ni mfanya Biashara Na tabia ya mteja Anaweza kununua kwako Siku nyingine Ana nunua pengine kwahiyo huwezi kumchukia mteja We Bolesha biashara yako tu 🤗
@cecilebuhoro7763
@cecilebuhoro7763 2 жыл бұрын
Usikasirikiye Mange Simba ukiona mutu kama Mange anakusemasema juwa kazi iko sawa achana naye tena iskukwaze chapa kazi yako baba mimi natoka Congo akini tunamupenda sana achana nao tenda kazi tu nausichoke kutends mema Mungu anakujuwa naanaona jina Mange
@glorynanyaro7569
@glorynanyaro7569 2 жыл бұрын
Unaakili Ming San big up broo
@ShomarSalum
@ShomarSalum 4 ай бұрын
Kabisa kaka mkubwa
@kambiyusufu4994
@kambiyusufu4994 2 жыл бұрын
Love you daimondi
@irineanyango4868
@irineanyango4868 2 жыл бұрын
Haina haja ya makasiriko 😊🥰 in this world just mind your business
@marwawilliam3648
@marwawilliam3648 2 жыл бұрын
Kwani yeye ni nyako?!🤣
@tumlakimwaitumule
@tumlakimwaitumule 2 жыл бұрын
Jamaa we mzungu sana
@davidwatson6821
@davidwatson6821 2 жыл бұрын
Mond nimekukubali, hakuna kitu kikubwa duniani kama kusamehe, pia wanasema usilipe ubaya kwa ubaya, bali lipa ubaya kwa wema ukifanya hivyo utakuwa umempalia makaa ya moto kichwani kwake
@maigekelvin75
@maigekelvin75 2 жыл бұрын
Nampenda sana mond songa mbele brazer we nimti wenye tunda lazima usakamwe...saf majibu yako nmeyapenda bule
@sifamushi1747
@sifamushi1747 2 жыл бұрын
We Diamond, achana na uyo mangi fala tu.. tunakupenda Diamond.. We are ur brothers and sisters here in the 🇺🇲 States..
@paulhollela9493
@paulhollela9493 2 жыл бұрын
Kwani nyie ambao mnaishi marekani ni kwamba mnatafuta pesa au? ni sababu gani Kwasababu mimi nataka nije huko na mimi nikiwa mtu mzima na mke wangu nataka nije nae embu niambie
@marysilvester6240
@marysilvester6240 2 жыл бұрын
Binafsi nakukubali sana Mwanangu
@mwanaidimvungi9548
@mwanaidimvungi9548 2 жыл бұрын
Yani mond wewe piga kazi wanaokuchukia niwachache Sana tunaokupenda niwengi zaidi hatawakisema usimamishwe nap kwakura nyingi zako
@winydavid9373
@winydavid9373 2 жыл бұрын
U r so cool bro
@scarmkadinalitopic7766
@scarmkadinalitopic7766 2 жыл бұрын
I HOPE HE TEACHS HIS CHILDREN
@elizamkongwe7202
@elizamkongwe7202 2 жыл бұрын
Uko vizuri dogo
@kitambimwana4974
@kitambimwana4974 2 жыл бұрын
Weeee ni wa maana Sanaa ,, bnadamu Wana wivuu sanaaa,,,fanya yako nduguu
@gagedamoursarusaru8079
@gagedamoursarusaru8079 2 жыл бұрын
Very wise,SIMBA 🦁
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Good talking brother
@mwanaidimvungi9548
@mwanaidimvungi9548 2 жыл бұрын
Usishangae mti wenye matunda mazuri hupigwa mawe hasa mwijaku tunajua hakupendi Ila achana naye kwanza hawezi kulingana nawewe kamwe ainame ainuki hakuwezi
@KoreanDramaMoviesKiswahili
@KoreanDramaMoviesKiswahili 2 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@jfrankmusic1205
@jfrankmusic1205 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/jH63aXqifJiga8U
@emmanuelshavunza4314
@emmanuelshavunza4314 2 жыл бұрын
Ukiwa mtu wa kupotezea,, lazima Mungu atakuwa upande wako.
@mkamantare4421
@mkamantare4421 2 жыл бұрын
Mnyama mm nakukubal na interview zako ni fundisho sana unakua umetulia unajibu maswali vizuri yaani safiii brooo nakuelewa ila mm nipo nakaza one day tutakua wote,
@ramamwitason6705
@ramamwitason6705 2 жыл бұрын
Kizasi sana
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 2 жыл бұрын
FOA expensive forever
@mullahmasudy2622
@mullahmasudy2622 2 жыл бұрын
Mkubwa jalala, Endeleza Mapambano Chibuuuu💥🔨
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 жыл бұрын
Haya kazi kwenu vijana mitandaoni
@djosias227
@djosias227 2 жыл бұрын
One love
@musakogan6016
@musakogan6016 2 жыл бұрын
Uko Gud sana SIMBA
@dereva0
@dereva0 2 жыл бұрын
sisi sote ni wako kwel wanajigawa2
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 2 жыл бұрын
Milioni mia saba ushuru mhmmm hatari polee
@swalehesaad2692
@swalehesaad2692 2 жыл бұрын
Sasa kama huamini si uende tra ukaulize
@karasuyazidi8547
@karasuyazidi8547 2 жыл бұрын
siku ukiwa na pesa ndo utaelewa
@manafeassamo7216
@manafeassamo7216 2 жыл бұрын
unaongea pweti sana D
@Kagehaijanira9473
@Kagehaijanira9473 2 жыл бұрын
Diamond baba tiffah dangote Aramadhan imefika harasi vipi ule katika ndoa furahisha mungu diamond tafadhali
@saudahassan6667
@saudahassan6667 2 жыл бұрын
Siiiiimbaaaa weetu hana roho mbya jamn
@lwimikomwambene
@lwimikomwambene 2 жыл бұрын
simba 👍
@jfrankmusic1205
@jfrankmusic1205 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/jH63aXqifJiga8U
@jfrankmusic1205
@jfrankmusic1205 2 жыл бұрын
Thanks bro
@mwigakatumpula6852
@mwigakatumpula6852 2 жыл бұрын
Bora ulivo sema na wewe hapo ndio tulivyo binadamu hata ufanye mazuri Bado utaandamwa tu cha msingi nikusimamia kile ambacho unakiamini 👏👏😀😀🙌
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
Iyo micheni🤦‍♀️
@abdalmalikalhsani4080
@abdalmalikalhsani4080 2 жыл бұрын
Jembe 💪💪💪
@josephmabibi6379
@josephmabibi6379 2 жыл бұрын
UZIDI KUBARIKIWA TUU PLATNUM.
@mariamakungwa5391
@mariamakungwa5391 2 жыл бұрын
Njaaa mbaya ndio maana tunaenda mbele tunarudi nyuma upo sahihi mond
@happyfihavango4151
@happyfihavango4151 2 жыл бұрын
Mange alimsema zari mpaka kahama nyumba
@Amylotu
@Amylotu 2 жыл бұрын
Kweliiiiiiii ksbisaaa, mondi kakuwa kiakili.
@lusasimohamedmasungamasunga
@lusasimohamedmasungamasunga 19 күн бұрын
Mond nakukubali sana wanaokusinich ni k kamak wengine
@samwelyohana6973
@samwelyohana6973 2 жыл бұрын
Kaka ninaweza mpira sina wakuni saindia
@slimmuhabesh2400
@slimmuhabesh2400 2 жыл бұрын
FOA
@فاطمهمحمد-ن5ظ
@فاطمهمحمد-ن5ظ 2 жыл бұрын
Lazima azungumziwe vibaya kwasabb yeye ni msanii mkubwa kwahiyo mambo hayo lazima watu watamsema kwa mabaya
@chrisjacob4057
@chrisjacob4057 2 жыл бұрын
Ushuru M700 ? Na hiyo roserose yenyewe ndo bei gani mpaka kwan?
@ropamatz8492
@ropamatz8492 2 жыл бұрын
Samee tu mkuu
@jfrankmusic1205
@jfrankmusic1205 2 жыл бұрын
Wewe ni Simba akuna kenye inaweza kufanya
@rafikimedia804
@rafikimedia804 2 жыл бұрын
ni wivu tu inamsumbua
@aminatashaibu4211
@aminatashaibu4211 2 жыл бұрын
Binadamu ndivyo alivyo Kaka wachewalewe bila kukulamba sukariyako
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 2 жыл бұрын
Diamond tuache jmn kwann hv lakin ushuru million700
@mwanaally3236
@mwanaally3236 2 жыл бұрын
💕💕💕💕
@mustaphambwana7944
@mustaphambwana7944 2 жыл бұрын
Uyu jama kwa kujijikosha hajambo
@ramadbanihamis1055
@ramadbanihamis1055 2 жыл бұрын
Unajuaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@ramadbanihamis1055
@ramadbanihamis1055 2 жыл бұрын
Sasa mjiki wa Tanzania kiukweli Kama hatujakutaja tutajulikana vp Sasa brother
@lewinakilaja4658
@lewinakilaja4658 2 жыл бұрын
Achana nae huyo dada anaga kazi
@ShabaniShekwavi
@ShabaniShekwavi 12 күн бұрын
Ametufedhehesha
@ibrahimyuka3503
@ibrahimyuka3503 2 жыл бұрын
700 million taxes for a car
@raphaelbravo8432
@raphaelbravo8432 Жыл бұрын
Not just a car nonetheless Luxurious convoy.
@silvestersanga3583
@silvestersanga3583 2 жыл бұрын
upo top 3 est africa sa Tz ushindane na nanan kwel umeongea ila hapo nilipapenda
@aishamagoshi2852
@aishamagoshi2852 2 жыл бұрын
Umasamee wep shogawewe
@joshuajofrey9832
@joshuajofrey9832 2 жыл бұрын
Bob risky anakutaka vipi unasemaje hapo.
@kambamazig02024
@kambamazig02024 2 жыл бұрын
Mange Kimambi angekuwa serious na maisha na kazi yake asingekuwa ankufatilia hivyo. Huyo ana ile tabia ya udaku daku ya Kiswahili. Huyo mama ana matatizo na maisha yake, aangalie familia yake kwanza kuna msemo "angeondoa bua jichoni kwake kwanza kabla ya kutaka kuliondoa la kwako". She is frustrated with her life that is why she has so much time on her hand to be so negative at everything.
@lelaabdala8108
@lelaabdala8108 2 жыл бұрын
Haiwezekani mtu akuseme buree. Nikua umemshinda binadamu balaa. Ukiwa tajiri mitihani ukiwa maskini mitihani mungu atustiri
@farajandres6393
@farajandres6393 2 жыл бұрын
😂😂😂💯yaani wote team Mondi ila kila mmoja upande wake.
@junenadine6512
@junenadine6512 2 жыл бұрын
Mange alianza kumuattack diamond tokea issue ya diamond kukataa mimba ya hamissa,lakini mange ni kama mwijaku ama Dr kumbuka
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 2 жыл бұрын
Mange ni hatari sana 🤔
@mwanaidimvungi9548
@mwanaidimvungi9548 2 жыл бұрын
Mondi upo juu hunaroho mbaya kwanza unahuruma Sana naumewasaidia wengi mno
@smithjones4099
@smithjones4099 2 жыл бұрын
paka mweusi kiboko yako harmonize
@kedyjohn1848
@kedyjohn1848 2 жыл бұрын
Ukomavu sana
@shedracksteven3183
@shedracksteven3183 2 жыл бұрын
Sikuping simba
@bujashidaniel5537
@bujashidaniel5537 2 жыл бұрын
I dont take it personal 😁 mond
@kasimmarko5513
@kasimmarko5513 2 жыл бұрын
Ushuru milioni 700
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
Ila Yule dada😂😂😂mi nampend sana
@aash4145
@aash4145 2 жыл бұрын
Huyo anawivutu achana naye,,,, kaz kuzungumza yawatu,
@barakakimambo4528
@barakakimambo4528 2 жыл бұрын
Simba tupe ajira kaka hii life imebana
@fridaherman976
@fridaherman976 2 жыл бұрын
ILA MIMI SIKUPENDII MAISHA
@joookahjokah8430
@joookahjokah8430 2 жыл бұрын
Simba
@idrissamustafabukenya6110
@idrissamustafabukenya6110 2 жыл бұрын
Diamond ana pesa hana wakati wa bifu
@samuelkamau9367
@samuelkamau9367 2 жыл бұрын
Kuna team A ba B but wote mashabik wake so yote freshiyu 🙆
@pendomarco8928
@pendomarco8928 2 жыл бұрын
Wcb for life
@anjelinakasembe845
@anjelinakasembe845 2 жыл бұрын
Acha akuattack watu wako wanavyomuatack Hamo Hamo kawafanya nini Tell us😕😕😕😕😕😕😕😕😕😕😕
@faridaomary5361
@faridaomary5361 2 жыл бұрын
Piga kz kaka
@meshakinelisoni1176
@meshakinelisoni1176 2 жыл бұрын
,mbona unamkazia mavoko
@lonelady3368
@lonelady3368 2 жыл бұрын
but huyu kijana Diamond. sauti yake ya fanana na ya mzee Abdul kabisa...atacama anaambiwa Abdul sio babake
@laurenceshadrack1742
@laurenceshadrack1742 2 жыл бұрын
Mange kimambi choko tu
@kapondamsita476
@kapondamsita476 2 жыл бұрын
Chibu baba lao
DIAMOND - "ALIKIBA NAMPA HESHIMA YAKE, UGOMVI WETU CHANZO NI HIKI"
5:58
Sigma baby, you've conquered soap! 😲😮‍💨 LeoNata family #shorts
00:37
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 130 МЛН
ADVOCATE AASHIR KHAN SPEECH SACH KA SAT ✅
20:58
helping hand foundation real
Рет қаралды 880
JINSI YA KUJISAJILI NA KULIPIA MANGE KIMAMBI APP |
10:41
Joyce Joe’s
Рет қаралды 7 М.