MashaAllah,imani inazidi kunijaa dhidi ya dini ya Allah mmoja,nawapenda walim wangu na Allah awazidishie upambanuzi wa maswali ya mitego mitego
@saidmasoud90042 ай бұрын
Maashallah Sheikh Shafii uko vizuri sana
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
Shafii yuko vizuri sana
@AliHassanAli-jd9ru2 ай бұрын
maskini ndacha amwagika povu hana jipya🤣🤣🤣🤣
@ZakiyaAnwar-w1r2 ай бұрын
MashaAllah Allah awabariki sana kwa kazi zenu inshaAllah
@HamimuRashid2 ай бұрын
Allahumma amyn
@MohamedMohamed-u3t1n2 ай бұрын
Ustadh saidi juma kinyogoli Maasha Allah
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
Kinyogoli yuko vizuri sana
@Maarifa_Film2 ай бұрын
Ndacha Hana Hoja maskinibkang'ang'ania Andiko lake ilo ilo la wema uliokufikia na Ubaya, hajui hata ayo Maneno Mungu alikua akikwambia Mtume kwamba Ndivyo Makafiri walivyokua wakimwambia Mtume hivyo😂😂
@JanethAnton-fx1mk2 ай бұрын
Hapo sio mungu anaongea bali ni mtu anamsemea mungu kwenye hio aya.
@Maarifa_Film2 ай бұрын
@@JanethAnton-fx1mk Ukisoma kwa kudokoa Andiko huwezi kujua Maana ili Upate Ukweli halisi Kasome chanzo Cha mtiririko wa hyo Aya, mbona ikowazi2,, Hyo Aya Mungu anasema kumwambia Muhammad kuwa hao Mayahudi iweje waseme Wema unaokufika utoke kwa Mola wako Bali ukipatwa na Mabaya waone Umetoka nafsini mwako bac wambie Mazuri na Mabaya yote yanatoka kwa Mola wako👈
@brightzone.2 ай бұрын
@@Maarifa_Film na ndio maana Allah anakupangia uende Jehanam au Pepo. Hata ufanye nazuri vipi Allah kama amekupangia moto utaupata. Kwa Allah mazuri yako au mabaya yako sio kitu kinachoeleza utaenda wapi bali ni jinsi atakavyokuamulia.
@Maarifa_Film2 ай бұрын
@@brightzone. Ndivyo ilivyo icpokua ww hutambui undani wa hayo Maandiko nakupa Mfano mdogo unapopatwa na Maradhi ni Mazuri au Mabaya?unapopatwa na msiba ni Kheri au Shari? Hyo yote inatoka kwa Mungu naye ndiye Mpangaji wa yote na hapangiwi Wala Hana makosa ktk Maamuzi yake 👈 Hiyo ndio mana ya Aya ya Qur'an 4:78-79 Mema na Mabaya yote yanatoka kwa Mwenyezi Mungu, ila nyinyi hamuelewi Maandiko kwakua ni wakanushaji hoja za Mungu Kuna mnazozipokea na kuzikanusha kuwa hazikutoka kwake👌
@selemanihamisi-yu5uw2 ай бұрын
Masha-allah masheikh wetu, Allah awajaalie elimu zaidi na awazidishie ufahamu
@omariselemani65782 ай бұрын
Shafii Leo umetushusha hadi kutokuwepo online kwenye debate hii hadi tukaenda ku online zingine Waliochukizwa na hili like hapa
@felixgitonga67832 ай бұрын
Daniel mungu akubariki zaindi kwa elimu yako
@MohamedMohamed-u3t1n2 ай бұрын
Ustadh shafii Maasha Allah Allah baarik
@paulmushi24282 ай бұрын
Ndacha 💪💪💪💪💪💪💪🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@innocentndikumana89282 ай бұрын
Mashallah uwislam nuru ❤❤
@SalimZahor-y1j2 ай бұрын
Mashaallah tatizo lenu mnatangaza na uganga homo humo muigeni Ramadhani kuria
@omariselemani65782 ай бұрын
Wanaomkubali video hii ya sheikh Shafii online tv haipo quality like hapa
@omariselemani65782 ай бұрын
Kesho jumamosi na jumapili Shafii online tv hakikisheni tv na video ziwe quality
@rayaalhabsi17252 ай бұрын
Sauti sio safi
@MohamedMohamed-u3t1n2 ай бұрын
Maulana Alahabshy Maasha Allah
@anwarabdallah70952 ай бұрын
Hawa sio makafiri ni zijikafiri makafiri nikina firaun nakina Amana nakarun Hawa hawana kitu ni ma mbumbu tu Muhammad kiboko yenu ngojeni kiama mtajuwa hujuwi? 😂😂
@paulmushi24282 ай бұрын
Maamuma msujudia Jiwe jeusi Al hajar Al aswad lililoko Makka unaumia kutoka pande zipi?😂😂😂😂
@JanethAnton-fx1mk2 ай бұрын
Hapo sio mungu anaongea bali ni mtu anamsemea mungu kwenye hio aya
@dullahbatuf92232 ай бұрын
Hahah kwa iyo ndacha kautaka sio
@ShebbyTheparadiso-hf6fz2 ай бұрын
Mm nilisema ndacha abadilishe hii hoja ni ngumu sanaa kwake
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
Ndacha ashindwi kitu
@Hamis-ks1sy2 ай бұрын
Yaani nolivyomuona Sule2 kwenye mhadhara mood ya kutazama ikaisha
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@saiddgsmg2 ай бұрын
Wewe ni munafiki ndo mana muddy ikakuishia,muislamu.hamchukii muislamu mwenzie,lakini wewe ni munafiki.
@sulimankarusi83452 ай бұрын
Very poor audio and picture quality. Echo bouncing. Tomorrow, you need to correct the mentioned features.
@MusinHamad2 ай бұрын
Mbona mnarusha matangazo vbya mnatumia vifaagani au mnarecodi kwa nokia tochi
@kusweymohamed2 ай бұрын
Aya ulio soma inasema wata kuja manabii wa uwongo sio na bii so hiyo aya inawachapa nyingi wa kiristo kwenyu nyingi ndio Kuna manabii niwangapi kwenyu nn wanaitwa manabii
@MusinHamad2 ай бұрын
Nimecheka sn jamni mtoto kautaaa
@ramadhanishabani16442 ай бұрын
Mikiritso kama walisomea wapi uwa sielewi upeo wao ni mdogo sana
@Ibrahimsalim-z4r2 ай бұрын
Hakuna mtume hata mmoja alie pewa utume kwa kukabwa nimhadi tuu mashaka sana
@AliHassanAli-jd9ru2 ай бұрын
ww kasome inshallah utakua muislam
@HamimuRashid2 ай бұрын
Wakrsto wawe wanaacha tu mabishishano hawana hojaa.
@felixgitonga67832 ай бұрын
Kuna haya kwa Quran Allah ametuma mwamendi tua hio?
@SaideAliSaide-d4o2 ай бұрын
Kuweni makini na utowaji wa sauti
@shafimussa63212 ай бұрын
Very poor audio and picture quality
@kijanamwepesi69972 ай бұрын
Rekebisheni sauti mhadhara unaongea mara mbili mbili
@hashimksuedi76572 ай бұрын
Quality Mbovu Sana.
@ramamabinda50632 ай бұрын
Kwa dunia ya sasa na maendeleo ya technologia yaliopo kwa sasa, sijawahi kuona video iliorekodiwa hovyo zaid kuliko hii kwa mwaka huu wa 2024, kwa video zilizorekodiwa na kusimamiwa na vyombo maalumu. Kuanzia sauti hadi picha.
@kusweymohamed2 ай бұрын
Ndacha wata urongo zicha za mohamed na makafiri ni kuwakachaza kuabudu masanamu kama mohamed angekua ana abudu sanamu a hangekua na vicha na makafiri
@JanethAnton-fx1mk2 ай бұрын
Afu mbona huwa hamuweki full kama ilivyo hadi mkate kate vibande vingine muondoe nyie waislamu wajanja sana mbona chanel ya ndacha anawekaga yote na huwa anakuwa live
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
Kaangalie kwa ndacha
@EricManirakiza-g6d2 ай бұрын
Ndacha unapoteza pumuzi bule😅unaelimisha ao umezaniya nindani ya kanisani,ila Batu banakuskia 🤷
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
Bandugu huyambo
@mwinyiswaleh83882 ай бұрын
Nndacha unacho kifanya chakumpiga Mohammad kilifanyika kitambo na watu waliokua na uwezo.hawakuweza wewenina.
@AdilHadad-storyteller2 ай бұрын
Tulikua na hamu lkn sauti imetuchosha
@SaideAliSaide-d4o2 ай бұрын
Kuweni makini na sauti
@SukariSukari-sq9tf2 ай бұрын
Imagine hyo ndacha anatafuta umaarufi na wahadhri wa Tanzania. hapa kenya wanafunzi wa wakislamu na debate na yeye wakristo wanaingia kwa dini ya haki. Yeye anabki ubishi kuchunga mfuko wake.
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
Labda hajaelewa vizuri uislam
@rashidimahmud86052 ай бұрын
Sauti mbona ninyingi?
@davidbarnabas-e8f2 ай бұрын
si muwataje walio mtuma mbona chenga nyingi
@earlyali88952 ай бұрын
Poor sound quality rekebisheni
@ahmadhaji60382 ай бұрын
Jifunze kujua tofauti ya jini na shetani ndo uingie kwny hoja
@ahmadhaji60382 ай бұрын
Anakataliwa Muhmmad Kama Mtume kupitia kitabu alichokuja nacho ni Muhammad, Du! Nadhani akili zinahtaji kukombolowa
@jumaamsuya52 ай бұрын
Kiukweli kanisa wamedondokea pua awanahoja
@mustafaamade78362 ай бұрын
Shekh sauti na video, aviko ki ubora tunaotaka inapasa ku edited kutowa izo sauti za pembeni.
@MusaBashir-p5l2 ай бұрын
kama muhamadi ali wasilimisha majini 😮 inabidi mtu ujiongeze tena mpaka alimsilimisha shetani
@ZakiyaAnwar-w1r2 ай бұрын
Haina tofauti ju hayo majini yalikuwa na yesu wakimnyenyekea na pia shetani alikuwa mwanafunzi wa yesu sometimes muelewe wacha kudakia mambo huyajui
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
Jini si shetani dumb dumb dumb
@ZayyanaBamuni2 ай бұрын
😂inaonesha wakristo munawapenda sana majini ndio maana miaka yote mnalalamika wameslimu
@SebastianKisokola2 ай бұрын
Hakuna mtume wa mungu wa kweli eti mwarabu
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
Kwahiyo hao kina mwamposa ndiyo wa kweli
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
Ila wanyakyusa ndiyo watume wa kweli wa mungu
@brightzone.2 ай бұрын
@@Catherine-mh8sw Upeo wako wa kufikiri ni mdogo sana.
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
@@brightzone. kama wewe mkristo
@SebastianKisokola2 ай бұрын
Baada ya yesu muhamed andiko gani hivo yesu ndio mwanzo na mwisho usituletee elimu yako yasikitin wewe vitabu vyote vilivyotangulia havimjui muhamed ni kuruan tu cjui kwanza ilitoks wp
@princematumbo2 ай бұрын
Acha usenge,,yesu hata hujuwi jina lake
@abdullahmasakata1702 ай бұрын
Utabiri sio lazima itaje Jina bali sifa zake anae kuja atakuwaje na atafanya nini.
@brightzone.2 ай бұрын
@@abdullahmasakata170 Quran inasema muhammad ametajwa kwa Jina. Quran 61:6 Mtuoneshe sasa wapi ilo jina limetajwa kwenye vitabu vilivyotangulia. Mkionesha tu - Quran itakua ni ya kweli
@abdullahmasakata1702 ай бұрын
@@brightzone. Jina la MUHAMMAD S. A. W ni lugha ya kiarabu lenye maana ya mkweli na mwaminifu kwa kiswahili sasa tafuta utabiri wa nabii alie tabiriwa kwa jina hilo la ukweli na uaminifu. Ingekuwepo biblia ya kiebrania au Aramaic ungeliona jina la Ahmad ambayo ni sawa na MUHAMMAD S. A. W, Shida huna maandiko ya asili ya manabii bali ulicho nacho ni tafasiri na sio maandiko halisi kama ilivyokuwa wakati Wa manabii na mitume. Ndio maana hata Jina Yesu sio kiebrania wala kiaramaiki bali ni Kiswahili lakini asili ya jina Jesus Christ ni Yehoshua ambalo limetoholewa kiswahili na kuitwa Yesu. Hili Jina Yesu sio jina la asili ila ni mchongo maana malaika Gabriel hakumpa Jina hilo, Shida Wewe unabiblia ambayo hata manabii na mitume hawaijui isipokuwa wewe na wazungu wako na ndio maana hata torati hamna ila mna kumbukumbu la torati na sio torati yenyewe asilia.
Sasa ndacha baada ya yesu ndy kaja nabii mohamad ndacha ana ng'ang'ania kua hakuna nabii aliyesema yesu si mwana wa mungu isipokua mohamad nataka ndacha aniambie baada ya yesu alikuja nabii gan mwengine ?
@brightzone.2 ай бұрын
Baada ya Yesu hakuna mwengine. Na ndio maana Yesu akasema Jiadharini na manabii wa Uongo.
@dkasfilmstudio46412 ай бұрын
Swala la Allah kua shahidi wamelielewa wafundisheni na hiyo nasi
@kautharBihaki-wv7kd2 ай бұрын
@@brightzone.pole yako mzee,utabiri anaoutoa yesu juu ya ataekuja kumalza kaz alioleta duniani ulikua wa nn km yy ndio wamwisho?
@samxx4112 ай бұрын
@@brightzone.Yesu hakusema Haji nabii lazima ujuwe kiswahili, amesema jihadharini na manabii wa uongo, it means watakuja ila wamo wa uongo na ametoa sifa zao...hizo sifa zote ni za mitume yenu wanaotoa Pepo
@brightzone.2 ай бұрын
@@kautharBihaki-wv7kd wapi yesu alitabiri atakuja Muhammad. Wapi katika biblia kuna utabiri wa muhammad. Ni jinsi gani quran ni uongo tena quran inasema yesu alitabiri ujio wa Ahmed. Kwaiyo Ahmed ndio muhammad? Swali. Nioneshe wapi katika Zaburi, Torati na Injili kuna hata sehemu moja ametajwa muhamad au hata nionesh Ahmed kama quran ilivyodai. Ni uongo Mtupu.
@SebastianKisokola2 ай бұрын
Dini ya shetani hy ndo maana magaidi
@samxx4112 ай бұрын
Umenuna 😂😂😂
@mobilespecialschool42162 ай бұрын
@@samxx411😂😂😂 asinune ndugu yetu Allah atakupa Nuru siku moja uingie kwenye dini ya Haq ya uislam raha❤
@salimMohammed-v5m2 ай бұрын
Ww jamaa huujuwi uislam kaa na ujinga wako maana hujuwi kitu unaropokwa tuu uislam ni ugaidi wakati nyinyi makafiri ndio mnauchafuwa uislam kwa kutengeneza makundi ya kigaidi kama kundi la Islamic state .mmchinjaji mkuu anaitwa John jihad
@samxx4112 ай бұрын
@@mobilespecialschool4216 tusigongane vichwa mie Muslim 100% ila rekebisha kauli dini ya magaidi ni ipi??
@mobilespecialschool42162 ай бұрын
@@samxx411 hata usimuulize kwa ukali siku akifungua moyo na kutafakari atayarudi maneno yake atajua ugaidi ni nini na nani hasa gaidi na ana agenda gani??
@JanethAnton-fx1mk2 ай бұрын
Hapo sio mungu anaongea bali ni mtu anamsemea mungu kwenye hio aya
@JanethAnton-fx1mk2 ай бұрын
Afu mbona huwa hamuweki full kama ilivyo hadi mkate kate vibande vingine muondoe nyie waislamu wajanja sana mbona chanel ya ndacha anawekaga yote na huwa anakuwa live
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
Sasa hapa unafanya nini Si ukaangalie kwa ndacha
@JanethAnton-fx1mk2 ай бұрын
Afu mbona huwa hamuweki full kama ilivyo hadi mkate kate vibande vingine muondoe nyie waislamu wajanja sana mbona chanel ya ndacha anawekaga yote na huwa anakuwa live
@JanethAnton-fx1mk2 ай бұрын
Afu mbona huwa hamuweki full kama ilivyo hadi mkate kate vibande vingine muondoe nyie waislamu wajanja sana mbona chanel ya ndacha anawekaga yote na huwa anakuwa live
@JanethAnton-fx1mk2 ай бұрын
Afu mbona huwa hamuweki full kama ilivyo hadi mkate kate vibande vingine muondoe nyie waislamu wajanja sana mbona chanel ya ndacha anawekaga yote na huwa anakuwa live
@JanethAnton-fx1mk2 ай бұрын
Afu mbona huwa hamuweki full kama ilivyo hadi mkate kate vibande vingine muondoe nyie waislamu wajanja sana mbona chanel ya ndacha anawekaga yote na huwa anakuwa live