DIDAH:NIMEFURAHI KUJIUNGA WASAFI/DIAMOND ANANIKUBALI NI MDOGO WANGU/SIJAONDOKA VIBAYA

  Рет қаралды 154,848

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 151
@zeynabomar7151
@zeynabomar7151 4 жыл бұрын
mm nimefraaah didaaah htwar wasafiiiiii baba lao
@videlialabeka4899
@videlialabeka4899 4 жыл бұрын
Am very happy I swear!!!!wasafi tunasonga mbeleeee
@aboyfrompemba7824
@aboyfrompemba7824 4 жыл бұрын
Sijutii kushabikia good bless my friend my brother mond platnumz
@ladymashaallahilikeuaadvis997
@ladymashaallahilikeuaadvis997 4 жыл бұрын
MASHA ALLAH, nimefurahi sana ,mabrook kwa mond naona wasafi ina vigogo vya wana habari Masha ALLAH
@nshonabdll9363
@nshonabdll9363 4 жыл бұрын
Dida ht ss wt WAchama la wasafi ww kuingia Chamani ukipata nafasi wasafi yn bonge la dili piga kz mama
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 4 жыл бұрын
Dida yuko fire.nampendaga❤alkua mc wa kitchen party yangu alinogesha hatar✔🤗WASAFI CHAMA LAO✔🙌
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 4 жыл бұрын
Nawakubal sanaaaa WASAFI media MUNGU wabark 🙏
@stevenmaketa8051
@stevenmaketa8051 4 жыл бұрын
Siimbaaaaa hongera sn diamond cozz unaleta watu ambao wNaitajika haswaa ktk jamiii god bless u
@anthonynyange5930
@anthonynyange5930 4 жыл бұрын
Kwahyo sasa ivi kila kitu wasaf Yan 😇😇 full blessed ,
@shadyamuksin5043
@shadyamuksin5043 4 жыл бұрын
dimond anaakili sana anajuwa kuitafuta pesa kwani nawanaomchukia ni wivu tyu wa maendeleo lakini badae wataelewa zaidi 🎤🎤
@starfordalex4139
@starfordalex4139 4 жыл бұрын
Diamond tusambazie Radio Tanzania nzima
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 жыл бұрын
Hongera sana madam❤.
@babawatotobabu7229
@babawatotobabu7229 4 жыл бұрын
hongera sana wasafi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@halimabakari5078
@halimabakari5078 4 жыл бұрын
Love Didah piga kazi dadaake😚😚
@leonardmavele1148
@leonardmavele1148 4 жыл бұрын
Fanya kaz mamaaaaaa We love ú
@hassan0256
@hassan0256 4 жыл бұрын
Hahahhahahahah kwa mwendo huu mpaka December tutaelewana tu
@8pistons194
@8pistons194 4 жыл бұрын
Kafanana na amber rutty
@shimammymammy5298
@shimammymammy5298 4 жыл бұрын
Leo mnasema katoka kwa baraka ila tunasubiri tutayaskia baadae
@hamisiharuna3099
@hamisiharuna3099 4 жыл бұрын
Tafuta KZbin utaona alipokuwa anawaga na mkurugenzi wa times fm alikuwepo na akapewa baraka zote na wakasema yeye siyo wa kwanza kupitia hapo waliwataja wengi tu
@thamiyuucute7098
@thamiyuucute7098 4 жыл бұрын
Ungewajibu asopenda pesa nani??watu wanafata naslahiii..sihurumaa au mazoweyaaa laa hashaaaa...pigakazi
@sadajuma5795
@sadajuma5795 4 жыл бұрын
Nakukubali sana dida❤️❤️
@nyatindwagerald4607
@nyatindwagerald4607 4 жыл бұрын
Wow kwel habari njema
@خسنموس
@خسنموس 4 жыл бұрын
Dida nakupenda na nlikua na ww tangia mwanzo mpka munaliza show ya masham sham big up sana.
@gloryisaac1477
@gloryisaac1477 4 жыл бұрын
waooh welcom dida wasafi oyooooooo......
@videlialabeka4899
@videlialabeka4899 4 жыл бұрын
Wasafi oyeeeeee
@aminajuma5664
@aminajuma5664 4 жыл бұрын
Oyeeeeeeeee
@zenombele1798
@zenombele1798 4 жыл бұрын
bado lili omy
@leticiarmartin7310
@leticiarmartin7310 4 жыл бұрын
Dadeki mambo ni motoooo washa washa dida tulisongeshe gurudum l wasafi wataelewa tuuuu.
@explicit4life65
@explicit4life65 4 жыл бұрын
Napenda hizo zako 😍
@nurumanyota1957
@nurumanyota1957 4 жыл бұрын
Karibu sana Dida wasafi ndio baba lao
@starfordalex4139
@starfordalex4139 4 жыл бұрын
Tulijuwa miaka 10 ya Diamond utatuletea Radio nyumbani Kigoma
@benjaminfataki6898
@benjaminfataki6898 4 жыл бұрын
Starford Alex shukruni kawajengeya miskiti
@zabibunduwimana4612
@zabibunduwimana4612 4 жыл бұрын
Wasafi🔥🔥🔥
@tousihhhh6765
@tousihhhh6765 4 жыл бұрын
dida tams imekufa dada😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@neemaberny3598
@neemaberny3598 4 жыл бұрын
Duuh..mpaka wewe dida!!me nilitegemea sasa hivi ungekuwa level za Zamaradi..sio kuwa chini ya mtu tena!we legend dida miaka 18 kwenye game!!
@jimsonndituzya1209
@jimsonndituzya1209 4 жыл бұрын
Idriss kitaa usafini 💥💥
@peterblessing7968
@peterblessing7968 4 жыл бұрын
First viewer nipo Kenya kama unamkubali harmonize tia alama konde gang for life
@barakamathias4078
@barakamathias4078 4 жыл бұрын
WCB unaleta pigo za kiwaki za hamornaze apah we kuchaaa nn acha Shobo za Wasafiii huku kama hauwelewi mada dingiii utanyonywa huku wasafiiiii 🎤🎤🎤🎤 mondi babalaooooo simbaaaaaa
@greatnessmagubika6706
@greatnessmagubika6706 4 жыл бұрын
Hapa hapakufai utakereka zaid
@hellyally4395
@hellyally4395 4 жыл бұрын
watafuta nn uku kuma ww kamxhabikie huyo kundu boy kwenye paji yake uko
@jumayasini9340
@jumayasini9340 4 жыл бұрын
Kuma wew unaleta habari za harmonize hapa nenda kwenye akaunt yake mamae wew,
@abuuramadhanramadhan2556
@abuuramadhanramadhan2556 4 жыл бұрын
Kuma ww
@titogodwin4338
@titogodwin4338 4 жыл бұрын
Good
@hamzamoshi8275
@hamzamoshi8275 4 жыл бұрын
Didah we mzuri sana nakupenda sanaaaaaa❤❤❤❤❤
@fatnahsaleh860
@fatnahsaleh860 4 жыл бұрын
Penda sana😍😍😍😍❤❤❤❤ Nida
@deotv503
@deotv503 4 жыл бұрын
Duuh unaonekaanan haujafungiwaa line ndo maana unapendaa nida
@angelinacharles4587
@angelinacharles4587 4 жыл бұрын
Safi tupo pamoja dida
@johnenosi2267
@johnenosi2267 4 жыл бұрын
Safiii
@deapple781
@deapple781 4 жыл бұрын
Dida na💖💖💖💖
@barakamakarami6641
@barakamakarami6641 4 жыл бұрын
Ahsante chibu
@tunusefu2018
@tunusefu2018 4 жыл бұрын
Dida mama lao
@wilyjulius4679
@wilyjulius4679 4 жыл бұрын
Wasafiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii babalaooooooooooooooooooooooooooooooooooo simbaaaaaaaaaaaaaaa babalaooooo
@safarikikaadrien108
@safarikikaadrien108 4 жыл бұрын
Yaani dogo anazidikuwakera kweli,kama anaplani yakuvunja redio zote
@mariamramadan6154
@mariamramadan6154 4 жыл бұрын
Kalibu dida DDD dida😍😍😍
@dastunluswaga5182
@dastunluswaga5182 4 жыл бұрын
Duh..sasa hzo kope mbona kama zinafumba macho
@musakhamis6906
@musakhamis6906 4 жыл бұрын
Ooohooooooooo
@abdallahhussein5997
@abdallahhussein5997 4 жыл бұрын
Mkunaji kapewa jipu uchungu lisilo iva kazi kwako dida
@ramadhanathuman940
@ramadhanathuman940 4 жыл бұрын
Timembakiza LiliOmmy nae atakuja tu kwenye chama welcome bro LiliOmmy
@mosesvpajitv6644
@mosesvpajitv6644 4 жыл бұрын
Uyu Mtoto wa tandale ana nia gani na izo media za zamani duuuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@joycemallema4278
@joycemallema4278 4 жыл бұрын
Hiyo ni biashara baba
@devothamedia5177
@devothamedia5177 4 жыл бұрын
Safi sana dida, haya jamani karibuni kwenye chaneli yetu ,bonyeza picha , itakuleta kwenye chaneli yetu kupata habari zote za insta na zinazotrendi🤣🤣🤣🤣
@JugoMedia
@JugoMedia 4 жыл бұрын
poaaa nakuelewaaaa
@williamugodfry2846
@williamugodfry2846 4 жыл бұрын
Nakubali
@yusufuhalfanseti7118
@yusufuhalfanseti7118 4 жыл бұрын
Hapa ndio kwenu haujapotea njia
@paulmawirakinyu2688
@paulmawirakinyu2688 4 жыл бұрын
Watakereka zaidi...
@NonoNono-qp3zu
@NonoNono-qp3zu 4 жыл бұрын
Huko times kunani jmn mbona mapicha picha
@djdon9706
@djdon9706 4 жыл бұрын
Aliwah sema hata iweje hawez ondoka times FM what happened hahahahaha Doh wasafi hawa, heti usipo nawa utayaoga
@SIMULIZIZONE
@SIMULIZIZONE 4 жыл бұрын
Kama unapenda simulizi za kihistoria, karibu kwenye channel yetu
@nicholasandrew7599
@nicholasandrew7599 4 жыл бұрын
Wasaf ndio chama lao,
@erickbaraka1968
@erickbaraka1968 4 жыл бұрын
Wcb Chama la wana
@mkwenyachristopher9310
@mkwenyachristopher9310 4 жыл бұрын
Duuh Times fm ishakufa tena
@rahmaali4009
@rahmaali4009 4 жыл бұрын
Dida tunakupenda
@aishayasini9053
@aishayasini9053 4 жыл бұрын
safiiiii
@drmti9595
@drmti9595 4 жыл бұрын
Nasema hiviii...nitakukera zaidiiiiiiiiiiiiii....hahahaaaaaaaa
@asmaally8353
@asmaally8353 4 жыл бұрын
Kwa matatizo ya ngozi, uzazi,michirizi,makovu,nyama uzembe,kuongeza shape,hips,n.k Dawa zipo, karibu ofisini, sms/whatsap 0693_330284
@nasmafarmsltd9146
@nasmafarmsltd9146 4 жыл бұрын
dida kakae ufikirie mara mbil mbil unaajiriwa ñà mtu mwéńýë miaka 10 kwenye industry we una miaka 18 kwenye industry nilijua ukitoka tm fm unaji ajir akil kum kichwaa maana çò kum ubongoo ñďò hukoo
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
Hii mikorogo jamani wanawake WA Dar mnakaa Kama samaki wa kupaka
@abasanjayusufu7266
@abasanjayusufu7266 4 жыл бұрын
Hahahaha
@mardinhalfany1413
@mardinhalfany1413 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@hjhj6230
@hjhj6230 4 жыл бұрын
😃😃😃
@saidnozo1380
@saidnozo1380 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@MrMtulivu
@MrMtulivu 4 жыл бұрын
Mbona amefanana na Mo music wahuko bongo. Ama mimindio naona vibaya?
@magrethjorde6566
@magrethjorde6566 4 жыл бұрын
piga kazi dida
@Twende828
@Twende828 4 жыл бұрын
Karbuu nyumbn
@safarikikaadrien108
@safarikikaadrien108 4 жыл бұрын
Sasa asiependa pesa nani?unatumika miaka nenda miaka rudi mushahara hakuna kuongezewa,maisha yenyewe magumu angefanya je, sio eti atakujarisi baadae
@melishmekae4754
@melishmekae4754 4 жыл бұрын
Aliyesikia neno hainishitui gonga like hapa
@peterblessing7968
@peterblessing7968 4 жыл бұрын
Nimekuelewa mwanangu say konde gang for life
@juniorcx0114
@juniorcx0114 4 жыл бұрын
WCB chama kubwa
@youngmaninstruments7790
@youngmaninstruments7790 4 жыл бұрын
Duh embu like hapa
@thenextmvp8568
@thenextmvp8568 4 жыл бұрын
Kiniunga wcb tu au wasafi tayari umesha kua mtu maarufu
@emanuel4148
@emanuel4148 4 жыл бұрын
Wasafi Media inazidi kukua kwa Kasi ya ajabu sana
@championboy389
@championboy389 4 жыл бұрын
Tunahtaji wasaf FM mikoan jaman chonde chonde
@shimammymammy5298
@shimammymammy5298 4 жыл бұрын
Ubaya wasafi hawachukui vipaji vipya wanachomoa kwa wenziwao
@chicharitoronaldo5950
@chicharitoronaldo5950 4 жыл бұрын
Hii ni business lazima watu wapate faidaa...
@othinielkamyola7269
@othinielkamyola7269 4 жыл бұрын
Shida nikwamba Wasafii kuna mishahara mizuriiiii so hata wao hawana makosa
@benedictaloyce1825
@benedictaloyce1825 4 жыл бұрын
Anaua media nyinginee apo amna biasharaa tena
@othinielkamyola7269
@othinielkamyola7269 4 жыл бұрын
hii ni dunia ya ushindani so ukiogopa kushindana utaferiii huo ni usajiriiii kama team ya mpiraa
@immamanyogote2770
@immamanyogote2770 4 жыл бұрын
Simbaaa sambaza redioo tz nzimaaaa mkuuuu
@saloumshusko2798
@saloumshusko2798 4 жыл бұрын
Kama umesikia Hainistui like hapa.
@ollgfgv9872
@ollgfgv9872 4 жыл бұрын
sasa mbona siku ya kutambulishwa ukaanza mafumbo eti upande wa pili nini maana ya upande wa pili nitawakera zaidi nini maana yake bas we neng'eneka kipindi sun kitakufa ichooo 😜😜😜
@fikirirevocatus6626
@fikirirevocatus6626 4 жыл бұрын
kwani huyu dada alikuwa media gani wadau?
@luhanyamipawantobi6888
@luhanyamipawantobi6888 4 жыл бұрын
Times fm
@tedymwandara5480
@tedymwandara5480 4 жыл бұрын
Tatizo la kazi za private ukiacha kwao wao ndio wanaanzisha bifu nawewe, wewe ht km una nia njema kwako ya maslahi binafsi.
@saisaikalyasi5998
@saisaikalyasi5998 4 жыл бұрын
Mmeipania times fm
@dullahjuma6137
@dullahjuma6137 4 жыл бұрын
Dada dida tume Kumisi
@joycesilvesta3595
@joycesilvesta3595 4 жыл бұрын
Wasafi fm chama lao
@edsonerasto3951
@edsonerasto3951 4 жыл бұрын
Duh! Jonijoo,dida wote kule.... Wakimchukua na lil ommy watauaaaa
@madinahatta1874
@madinahatta1874 4 жыл бұрын
Makibw
@rashidysalimu7705
@rashidysalimu7705 4 жыл бұрын
Acha unafiki ww unataaa xn
@mariamramadan6154
@mariamramadan6154 4 жыл бұрын
Namuona issa apo😅😅😅
@emanuel4148
@emanuel4148 4 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@mathiaswambua7643
@mathiaswambua7643 4 жыл бұрын
Hivi Huyu Dida Ni mzungu ??????
@saymarsaymar4654
@saymarsaymar4654 4 жыл бұрын
Mkorogo tu
@dalancydevin4302
@dalancydevin4302 4 жыл бұрын
@@saymarsaymar4654 😂😂
@aniphapaulo8179
@aniphapaulo8179 4 жыл бұрын
Tatizo FM mbeya
@eddydauson7525
@eddydauson7525 4 жыл бұрын
Nisaidieni huyu mama ana rangi gani? Kijivu au bluu sijaelewa mwenzenu🤗🤗
@eddydauson7525
@eddydauson7525 4 жыл бұрын
@@naimayusuphu5864 kajichafua kinoma aisee
@williamkavuta8066
@williamkavuta8066 4 жыл бұрын
Hahahah
@chusecurrents4324
@chusecurrents4324 4 жыл бұрын
Kalbu usafini dada
@mmetansanya3764
@mmetansanya3764 4 жыл бұрын
Kiukweli nimefuhi sana dida kuja wasafi so am very angry...
@sultankivumbi9941
@sultankivumbi9941 4 жыл бұрын
hakuna asiependa pesa katika kazi challenge zipo mtu unaacha ziwa la mama yako iweje kazi"" kazi sio kabila dida pambana achana nawavimba macho kazkaz#
@florianmbungu7539
@florianmbungu7539 4 жыл бұрын
Kuna jamaa alitaka abambie mwanzon ipa alachelewa
@adrianosutta2813
@adrianosutta2813 4 жыл бұрын
😂😂😂😂 du
@salmahamis777
@salmahamis777 4 жыл бұрын
jumalolole hapendez kua ktk kipind lafudhi yake mbaya
@jumayasini9340
@jumayasini9340 4 жыл бұрын
Huyu didah alikuwa media gan vle
@upendokomba1045
@upendokomba1045 4 жыл бұрын
Juma Yasini times fm
@carolshiru4374
@carolshiru4374 4 жыл бұрын
Times fm jameni mimi mkenya ila tz ndo nyumbani 🤣🤣🤣🤣🤣
@mussakeita8838
@mussakeita8838 4 жыл бұрын
BBC
@venerandamwalimu16
@venerandamwalimu16 4 жыл бұрын
Rudisha mtaa kwa mtaa za kiswazi
@lovvy854
@lovvy854 4 жыл бұрын
Dida nimekukubali manbo yako banbanbam yaani unatu nimetii
@ashatego4786
@ashatego4786 4 жыл бұрын
dida nakupendaga sana piga kazi achana na wajinga wasiojielewa
这三姐弟太会藏了!#小丑#天使#路飞#家庭#搞笑
00:24
家庭搞笑日记
Рет қаралды 125 МЛН
МЕБЕЛЬ ВЫДАСТ СОТРУДНИКАМ ПОЛИЦИИ ТАБЕЛЬНУЮ МЕБЕЛЬ
00:20
Minecraft Creeper Family is back! #minecraft #funny #memes
00:26
Men Vs Women Survive The Wilderness For $500,000
31:48
MrBeast
Рет қаралды 99 МЛН
WAWILI WATIWA MBARONI KWA MAUAJI SINGIDA.
4:47
CALES TV
Рет қаралды 2,4 М.
KUOTA MTU ALIEFARIKI//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
5:05
Fauz Production
Рет қаралды 251 М.
VITUKO VYA MASAI NYOTA 3  KWENYE GOOD MORNING
6:10
Wasafi Media
Рет қаралды 472
这三姐弟太会藏了!#小丑#天使#路飞#家庭#搞笑
00:24
家庭搞笑日记
Рет қаралды 125 МЛН