Am very happy I swear!!!!wasafi tunasonga mbeleeee
@aboyfrompemba78244 жыл бұрын
Sijutii kushabikia good bless my friend my brother mond platnumz
@ladymashaallahilikeuaadvis9974 жыл бұрын
MASHA ALLAH, nimefurahi sana ,mabrook kwa mond naona wasafi ina vigogo vya wana habari Masha ALLAH
@nshonabdll93634 жыл бұрын
Dida ht ss wt WAchama la wasafi ww kuingia Chamani ukipata nafasi wasafi yn bonge la dili piga kz mama
@azzamahamdu70394 жыл бұрын
Dida yuko fire.nampendaga❤alkua mc wa kitchen party yangu alinogesha hatar✔🤗WASAFI CHAMA LAO✔🙌
@ferouzmasoud47414 жыл бұрын
Nawakubal sanaaaa WASAFI media MUNGU wabark 🙏
@stevenmaketa80514 жыл бұрын
Siimbaaaaa hongera sn diamond cozz unaleta watu ambao wNaitajika haswaa ktk jamiii god bless u
@anthonynyange59304 жыл бұрын
Kwahyo sasa ivi kila kitu wasaf Yan 😇😇 full blessed ,
@shadyamuksin50434 жыл бұрын
dimond anaakili sana anajuwa kuitafuta pesa kwani nawanaomchukia ni wivu tyu wa maendeleo lakini badae wataelewa zaidi 🎤🎤
@starfordalex41394 жыл бұрын
Diamond tusambazie Radio Tanzania nzima
@muniraahmed6244 жыл бұрын
Hongera sana madam❤.
@babawatotobabu72294 жыл бұрын
hongera sana wasafi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@halimabakari50784 жыл бұрын
Love Didah piga kazi dadaake😚😚
@leonardmavele11484 жыл бұрын
Fanya kaz mamaaaaaa We love ú
@hassan02564 жыл бұрын
Hahahhahahahah kwa mwendo huu mpaka December tutaelewana tu
@8pistons1944 жыл бұрын
Kafanana na amber rutty
@shimammymammy52984 жыл бұрын
Leo mnasema katoka kwa baraka ila tunasubiri tutayaskia baadae
@hamisiharuna30994 жыл бұрын
Tafuta KZbin utaona alipokuwa anawaga na mkurugenzi wa times fm alikuwepo na akapewa baraka zote na wakasema yeye siyo wa kwanza kupitia hapo waliwataja wengi tu
@thamiyuucute70984 жыл бұрын
Ungewajibu asopenda pesa nani??watu wanafata naslahiii..sihurumaa au mazoweyaaa laa hashaaaa...pigakazi
@sadajuma57954 жыл бұрын
Nakukubali sana dida❤️❤️
@nyatindwagerald46074 жыл бұрын
Wow kwel habari njema
@خسنموس4 жыл бұрын
Dida nakupenda na nlikua na ww tangia mwanzo mpka munaliza show ya masham sham big up sana.
@gloryisaac14774 жыл бұрын
waooh welcom dida wasafi oyooooooo......
@videlialabeka48994 жыл бұрын
Wasafi oyeeeeee
@aminajuma56644 жыл бұрын
Oyeeeeeeeee
@zenombele17984 жыл бұрын
bado lili omy
@leticiarmartin73104 жыл бұрын
Dadeki mambo ni motoooo washa washa dida tulisongeshe gurudum l wasafi wataelewa tuuuu.
@explicit4life654 жыл бұрын
Napenda hizo zako 😍
@nurumanyota19574 жыл бұрын
Karibu sana Dida wasafi ndio baba lao
@starfordalex41394 жыл бұрын
Tulijuwa miaka 10 ya Diamond utatuletea Radio nyumbani Kigoma
@benjaminfataki68984 жыл бұрын
Starford Alex shukruni kawajengeya miskiti
@zabibunduwimana46124 жыл бұрын
Wasafi🔥🔥🔥
@tousihhhh67654 жыл бұрын
dida tams imekufa dada😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@neemaberny35984 жыл бұрын
Duuh..mpaka wewe dida!!me nilitegemea sasa hivi ungekuwa level za Zamaradi..sio kuwa chini ya mtu tena!we legend dida miaka 18 kwenye game!!
@jimsonndituzya12094 жыл бұрын
Idriss kitaa usafini 💥💥
@peterblessing79684 жыл бұрын
First viewer nipo Kenya kama unamkubali harmonize tia alama konde gang for life
@barakamathias40784 жыл бұрын
WCB unaleta pigo za kiwaki za hamornaze apah we kuchaaa nn acha Shobo za Wasafiii huku kama hauwelewi mada dingiii utanyonywa huku wasafiiiii 🎤🎤🎤🎤 mondi babalaooooo simbaaaaaa
@greatnessmagubika67064 жыл бұрын
Hapa hapakufai utakereka zaid
@hellyally43954 жыл бұрын
watafuta nn uku kuma ww kamxhabikie huyo kundu boy kwenye paji yake uko
@jumayasini93404 жыл бұрын
Kuma wew unaleta habari za harmonize hapa nenda kwenye akaunt yake mamae wew,
@abuuramadhanramadhan25564 жыл бұрын
Kuma ww
@titogodwin43384 жыл бұрын
Good
@hamzamoshi82754 жыл бұрын
Didah we mzuri sana nakupenda sanaaaaaa❤❤❤❤❤
@fatnahsaleh8604 жыл бұрын
Penda sana😍😍😍😍❤❤❤❤ Nida
@deotv5034 жыл бұрын
Duuh unaonekaanan haujafungiwaa line ndo maana unapendaa nida
Yaani dogo anazidikuwakera kweli,kama anaplani yakuvunja redio zote
@mariamramadan61544 жыл бұрын
Kalibu dida DDD dida😍😍😍
@dastunluswaga51824 жыл бұрын
Duh..sasa hzo kope mbona kama zinafumba macho
@musakhamis69064 жыл бұрын
Ooohooooooooo
@abdallahhussein59974 жыл бұрын
Mkunaji kapewa jipu uchungu lisilo iva kazi kwako dida
@ramadhanathuman9404 жыл бұрын
Timembakiza LiliOmmy nae atakuja tu kwenye chama welcome bro LiliOmmy
@mosesvpajitv66444 жыл бұрын
Uyu Mtoto wa tandale ana nia gani na izo media za zamani duuuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@joycemallema42784 жыл бұрын
Hiyo ni biashara baba
@devothamedia51774 жыл бұрын
Safi sana dida, haya jamani karibuni kwenye chaneli yetu ,bonyeza picha , itakuleta kwenye chaneli yetu kupata habari zote za insta na zinazotrendi🤣🤣🤣🤣
@JugoMedia4 жыл бұрын
poaaa nakuelewaaaa
@williamugodfry28464 жыл бұрын
Nakubali
@yusufuhalfanseti71184 жыл бұрын
Hapa ndio kwenu haujapotea njia
@paulmawirakinyu26884 жыл бұрын
Watakereka zaidi...
@NonoNono-qp3zu4 жыл бұрын
Huko times kunani jmn mbona mapicha picha
@djdon97064 жыл бұрын
Aliwah sema hata iweje hawez ondoka times FM what happened hahahahaha Doh wasafi hawa, heti usipo nawa utayaoga
@SIMULIZIZONE4 жыл бұрын
Kama unapenda simulizi za kihistoria, karibu kwenye channel yetu
Kwa matatizo ya ngozi, uzazi,michirizi,makovu,nyama uzembe,kuongeza shape,hips,n.k Dawa zipo, karibu ofisini, sms/whatsap 0693_330284
@nasmafarmsltd91464 жыл бұрын
dida kakae ufikirie mara mbil mbil unaajiriwa ñà mtu mwéńýë miaka 10 kwenye industry we una miaka 18 kwenye industry nilijua ukitoka tm fm unaji ajir akil kum kichwaa maana çò kum ubongoo ñďò hukoo
@bjzee19814 жыл бұрын
Hii mikorogo jamani wanawake WA Dar mnakaa Kama samaki wa kupaka
@abasanjayusufu72664 жыл бұрын
Hahahaha
@mardinhalfany14134 жыл бұрын
😂😂😂😂
@hjhj62304 жыл бұрын
😃😃😃
@saidnozo13804 жыл бұрын
😂😂😂😂
@MrMtulivu4 жыл бұрын
Mbona amefanana na Mo music wahuko bongo. Ama mimindio naona vibaya?
@magrethjorde65664 жыл бұрын
piga kazi dida
@Twende8284 жыл бұрын
Karbuu nyumbn
@safarikikaadrien1084 жыл бұрын
Sasa asiependa pesa nani?unatumika miaka nenda miaka rudi mushahara hakuna kuongezewa,maisha yenyewe magumu angefanya je, sio eti atakujarisi baadae
@melishmekae47544 жыл бұрын
Aliyesikia neno hainishitui gonga like hapa
@peterblessing79684 жыл бұрын
Nimekuelewa mwanangu say konde gang for life
@juniorcx01144 жыл бұрын
WCB chama kubwa
@youngmaninstruments77904 жыл бұрын
Duh embu like hapa
@thenextmvp85684 жыл бұрын
Kiniunga wcb tu au wasafi tayari umesha kua mtu maarufu
@emanuel41484 жыл бұрын
Wasafi Media inazidi kukua kwa Kasi ya ajabu sana
@championboy3894 жыл бұрын
Tunahtaji wasaf FM mikoan jaman chonde chonde
@shimammymammy52984 жыл бұрын
Ubaya wasafi hawachukui vipaji vipya wanachomoa kwa wenziwao
@chicharitoronaldo59504 жыл бұрын
Hii ni business lazima watu wapate faidaa...
@othinielkamyola72694 жыл бұрын
Shida nikwamba Wasafii kuna mishahara mizuriiiii so hata wao hawana makosa
@benedictaloyce18254 жыл бұрын
Anaua media nyinginee apo amna biasharaa tena
@othinielkamyola72694 жыл бұрын
hii ni dunia ya ushindani so ukiogopa kushindana utaferiii huo ni usajiriiii kama team ya mpiraa
@immamanyogote27704 жыл бұрын
Simbaaa sambaza redioo tz nzimaaaa mkuuuu
@saloumshusko27984 жыл бұрын
Kama umesikia Hainistui like hapa.
@ollgfgv98724 жыл бұрын
sasa mbona siku ya kutambulishwa ukaanza mafumbo eti upande wa pili nini maana ya upande wa pili nitawakera zaidi nini maana yake bas we neng'eneka kipindi sun kitakufa ichooo 😜😜😜
@fikirirevocatus66264 жыл бұрын
kwani huyu dada alikuwa media gani wadau?
@luhanyamipawantobi68884 жыл бұрын
Times fm
@tedymwandara54804 жыл бұрын
Tatizo la kazi za private ukiacha kwao wao ndio wanaanzisha bifu nawewe, wewe ht km una nia njema kwako ya maslahi binafsi.
@saisaikalyasi59984 жыл бұрын
Mmeipania times fm
@dullahjuma61374 жыл бұрын
Dada dida tume Kumisi
@joycesilvesta35954 жыл бұрын
Wasafi fm chama lao
@edsonerasto39514 жыл бұрын
Duh! Jonijoo,dida wote kule.... Wakimchukua na lil ommy watauaaaa
@madinahatta18744 жыл бұрын
Makibw
@rashidysalimu77054 жыл бұрын
Acha unafiki ww unataaa xn
@mariamramadan61544 жыл бұрын
Namuona issa apo😅😅😅
@emanuel41484 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@mathiaswambua76434 жыл бұрын
Hivi Huyu Dida Ni mzungu ??????
@saymarsaymar46544 жыл бұрын
Mkorogo tu
@dalancydevin43024 жыл бұрын
@@saymarsaymar4654 😂😂
@aniphapaulo81794 жыл бұрын
Tatizo FM mbeya
@eddydauson75254 жыл бұрын
Nisaidieni huyu mama ana rangi gani? Kijivu au bluu sijaelewa mwenzenu🤗🤗
@eddydauson75254 жыл бұрын
@@naimayusuphu5864 kajichafua kinoma aisee
@williamkavuta80664 жыл бұрын
Hahahah
@chusecurrents43244 жыл бұрын
Kalbu usafini dada
@mmetansanya37644 жыл бұрын
Kiukweli nimefuhi sana dida kuja wasafi so am very angry...
@sultankivumbi99414 жыл бұрын
hakuna asiependa pesa katika kazi challenge zipo mtu unaacha ziwa la mama yako iweje kazi"" kazi sio kabila dida pambana achana nawavimba macho kazkaz#
@florianmbungu75394 жыл бұрын
Kuna jamaa alitaka abambie mwanzon ipa alachelewa
@adrianosutta28134 жыл бұрын
😂😂😂😂 du
@salmahamis7774 жыл бұрын
jumalolole hapendez kua ktk kipind lafudhi yake mbaya
@jumayasini93404 жыл бұрын
Huyu didah alikuwa media gan vle
@upendokomba10454 жыл бұрын
Juma Yasini times fm
@carolshiru43744 жыл бұрын
Times fm jameni mimi mkenya ila tz ndo nyumbani 🤣🤣🤣🤣🤣
@mussakeita88384 жыл бұрын
BBC
@venerandamwalimu164 жыл бұрын
Rudisha mtaa kwa mtaa za kiswazi
@lovvy8544 жыл бұрын
Dida nimekukubali manbo yako banbanbam yaani unatu nimetii
@ashatego47864 жыл бұрын
dida nakupendaga sana piga kazi achana na wajinga wasiojielewa