😃😃😃😃🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hapo kwenye yebo yebo tangia nov yaani huyo ni mimi
@rizikiabdalla33082 жыл бұрын
Yani hata nikichwa sijitiii usingo mazaaaa loo sijitwishii majukumu loo pooo Ahsante kaka angu
@OmanOman-um1ct2 жыл бұрын
Vipenzi vyamungu niwachamungu nawale wanao tubia kila wakikosea.
@mariamalex89342 жыл бұрын
Umetisha kak
@lillianbarongo28072 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣Prof Kumbuka
@evaristkiiza50712 жыл бұрын
Doctor kumbuka io mada naomba please uirudie tena uiongelee kwa mapana zaid yan wanawake wanatunyanyasa kwa watt wetu tunapowahtaji kuwa nao kwa mda mchache,, nakukubal doctor
@MohammedAli-rh5si2 жыл бұрын
Wanaume wa sasa wapo kwa ajili ya mbegu tuu
@stelamwakatulile1742 жыл бұрын
Asante kumbuka umenigusa sana Leo kunywa soda nitalipa
@donmonda71502 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣.... Thumps up. Sisi wanaume tuko
@ashudahiza78712 жыл бұрын
Wakwangu nachukulia.t kashakufa hajui mtoto anakula nn wala kaamka vip wala kala nn hajui.hivyo mm najihesabia. mtoto wangu ni yatima.hana baba yuko na mama yake tunaish tumewaacha watu wale bata
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Tuko wengi ndugu
@jamilahabdalah62282 жыл бұрын
On points
@mozasaid38692 жыл бұрын
Kumbuka bhana eti hicho kisamvu chako cha kutia kitunguu swaumu!😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
@nowelaraymond5986 Жыл бұрын
Maneno kuntuu🧐🧐
@sylviermuhonjah84112 жыл бұрын
Kuna wanaume wengine hata salamu za bure hawaleti itakua robo ya unga
@MohammedAli-rh5si2 жыл бұрын
Hao wanaume wa ivyo walikufa zamani kumbuka leo hapana kumbuka siungi mkono zay wa ughaibuni
@junuferjinu14442 жыл бұрын
Nakuna wanaume ambao unawaachiq watt lakini ukimtaka mtt mbinde