MRISHO GAMBO ANAHUSIKA KUMPA SUMU RC MAKONDA? - HAJAITWA KUHOJIWA POPOTE - UKWELI UPO HIVI...

  Рет қаралды 86,092

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

MRISHO GAMBO ANAHUSIKA KUMPA SUMU RC MAKONDA? - HAJAITWA KUHOJIWA POPOTE - UKWELI UPO HIVI...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 112
@globaltv_online
@globaltv_online 2 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@RACHAELMALALE
@RACHAELMALALE 2 ай бұрын
Mungu atakuponya boldozer makonda <a href="#" class="seekto" data-time="0">0:00</a> ❤
@isamoo736TV
@isamoo736TV 2 ай бұрын
KICHWA CHA HABARI CHAKO KINATIA HATARUKI BRO
@simonkaaya1220
@simonkaaya1220 2 ай бұрын
Naomba tuombe kila mtu kwa IMANI yake amuombee kwa MWENYEZI MUNGU AMPONYE. Bado Taifa linamuitaji. Mapungufu yapo kwa kila binadamu ata YESU alituhumiwa na Kusalitiwa.
@Allyhujjat
@Allyhujjat 2 ай бұрын
Kila jambo lina mwisho wake kama rizki yetu kwa makonda imeisha tutashukuru mungu na kama bado pia tutashukuru mungu akuna atakae ishi milele cha msingi ni kwamba kama kiongozi wetu yuko likizo apumzike vema arudi kwa nguvu kutumikia wana arusha mungu akubariki mdogo wangu makonda
@RACHAELMALALE
@RACHAELMALALE 2 ай бұрын
Pole rc makonda
@RACHAELMALALE
@RACHAELMALALE 2 ай бұрын
Mungu atakuponya boldozer makonda <a href="#" class="seekto" data-time="0">0:00</a>
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 2 ай бұрын
Unatuletea story!!! Tunamtaka Makonda!!!
@ZainaJuma-t5g
@ZainaJuma-t5g 2 ай бұрын
Ee mungu amnusuru makonda wetu na mabalaa hayo, amjaalie awe kiongozi mkubwa zaidi ya hapo❤❤
@Pixxmoleli
@Pixxmoleli 2 ай бұрын
Mungu husika
@kiliantereba6502
@kiliantereba6502 2 ай бұрын
Mungu mnusuru Makonda. Maelezo yako ni pumba tu. Rafiki wa karibu ananafasi ya kukufanyia chochote kuliko hata adui. Makonda akidhurika, wanaotuhumiwa wachunguzwe
@nickb3289
@nickb3289 2 ай бұрын
Mwenyez Mungu amponye 🙏
@SesiliaYustini
@SesiliaYustini 2 ай бұрын
Eee mungu Kwa nn tukipata chapa kazi Wana yeyuka Kuna nn? Kwani tusadie tuu mungu wambingu na araz 🙏🙏🙏
@bmajesky63
@bmajesky63 2 ай бұрын
Makonda will not die watakufa wapuuzi wengine mpaka Mungu atakaporuhusu Makonda kufa
@Mutako-ig1ik
@Mutako-ig1ik 2 ай бұрын
Huyo baba wawatu makonda akifa aiseee watanzania mutakuwa watu wa ajabu sana nitawachukia milele japo wanaangu pia ni wa Tanzania iweje kila kiongozi imala na mwenyekujali masirahi ya nchi na mupambaniq haki tzd anadhulikq
@FadhiliMgalla
@FadhiliMgalla 2 ай бұрын
Nduguyangu mimi kila ninavyo angalia hizi kilipu nazidi kuto kuelewa kabisa Yani ngoja tusiongee kwanza
@Mutako-ig1ik
@Mutako-ig1ik 2 ай бұрын
@@FadhiliMgalla Mungu amulinde huyo baba wawatu namupenda sana jamanii mie siyo mutanzania ila wanaangu ni wa Tanzania wakipataga kiongozi mzuri najikuta namupenda sana kuliko maelezo nilimupenda Magufuri wakamuondoa nikamupenda Majaliwa wakamukalisha kimya saa hivi hana kauri amekuja Makonda wanataka kumupoteza aiseee sjui wana Mashetani gani ila kabla Kikwete na Mwiguru hawajaondoka duniani hii nchi haitakaa ipate kiongozi bola ata siku moja
@tomsijohni
@tomsijohni 2 ай бұрын
Wachunguzeni hao wote waliousika kumpa sumu Makonda kama ni Watanzania wa kweli na kama sio wafukuze wote
@khadjamhozya
@khadjamhozya 2 ай бұрын
Wafukuzwe Nanani usinichekeshe
@DAVIDJOSEPH-u8r
@DAVIDJOSEPH-u8r 2 ай бұрын
Hii inch imewekwa . kwaajiri ya watu wachche. Ndiomaana akiwepo kiongoz mwenyewe haiba na uchungu wawatu wachin..anapotezwa.
@rodsconehenry4249
@rodsconehenry4249 2 ай бұрын
Sasa hii story ndo ya kuichunguza why global ndo mnamsafisha?amewatuma au?
@ALBERTMWEMEZIBATAMUZI
@ALBERTMWEMEZIBATAMUZI 2 ай бұрын
hao ni marafiki mungu awabariki
@loishiyesamwel1374
@loishiyesamwel1374 2 ай бұрын
Sema alipo Makonda acha Mboyoyo 😂😂🎉🎉
@Nandymsophe
@Nandymsophe 2 ай бұрын
Kaka hatutak maneno meng sis tunamtaka makond. Wet tu akiwa mzim wa afya
@Richforever66
@Richforever66 2 ай бұрын
Yani Rais jamaniii amsaidie makonda coz daaaa
@mazongeshomari8032
@mazongeshomari8032 2 ай бұрын
Hatamimi naamini maneno yamsimuliaji
@VailethVee
@VailethVee 2 ай бұрын
Hatutaki maneno mengi kaka waambie tunamtaka makondaa wetu akiwa na afya
@philomenastephen3364
@philomenastephen3364 2 ай бұрын
YUDA ISKARIOTE HAKUWA MBALI NA YESU. NAYE ANGEPEWA NGUVU ZA KIROHO ANGEJUA ATAKAYE MSALITI.
@novatusmakunga3030
@novatusmakunga3030 2 ай бұрын
Superb 👍👍👍
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 2 ай бұрын
Na ole wenu iwe kweli tunamtaka Makondaaaa😢
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 2 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢
@emmanuelqaday6949
@emmanuelqaday6949 2 ай бұрын
Wahuni wanataka kumchonganisha gambo na makonda
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 2 ай бұрын
WATU WANAONGEA UJINGA SANA KITU KAMA HIPO HAKIPO
@MatidoniFasitini
@MatidoniFasitini 2 ай бұрын
Hii mitandao na yenyewe inachangia kuvuruga aman ya nchi yetu mamlaka ya mawasiliano ifanye kaz yake tunataka taarifa zinazoeleweka
@ashakomba8034
@ashakomba8034 2 ай бұрын
Mnachokitafta mtakipata 😢😢
@ramadhanchonya9497
@ramadhanchonya9497 2 ай бұрын
Tunamtaka makonda
@adolftimanywa2709
@adolftimanywa2709 2 ай бұрын
Ameñ
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 2 ай бұрын
Jamani hii ni Inchi ya ajabu kwanini wasituambie tujue yupo wapi kuliko hizi taharuki Mungu Mwenyezi tunaomba utusaidie ili mja wako arudi kutupambania
@AmosSija
@AmosSija 2 ай бұрын
Haya mambo yanasikitisha kusikia viongozi wanawekewa sumu ukweli si jambo jema
@AyubuMsindo
@AyubuMsindo 2 ай бұрын
Daaaaaaaa jamani <a href="#" class="seekto" data-time="91">1:31</a>
@TeddyDickson-w5p
@TeddyDickson-w5p 2 ай бұрын
Kama mke anaweza muwekea sumu mumewe itakuwa rafiki ?
@EdwardYohana-nj9ky
@EdwardYohana-nj9ky 2 ай бұрын
Acheni kuchafua jina la gambo nnacho taka kujua mkonda yuko wapi basi
@linusmmassy9730
@linusmmassy9730 2 ай бұрын
Siasa za Arusha ni ngumu MNO mno
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 2 ай бұрын
Ninyi mbwa wakubwa mrisho Gambo atahusikaji wakati makonda na mrisho Gambi nimarafiki wa siku nyingi
@khadjamhozya
@khadjamhozya 2 ай бұрын
Kikuracho Kiko ndani mwako
@isacksimonmahungilo
@isacksimonmahungilo 2 ай бұрын
Rafiki yako ndo adui yako
@luckygmdegela8477
@luckygmdegela8477 2 ай бұрын
Tunamtaka mtoa uzushi ,huyo ndio anajua alipo makonda , sisi tunamtka makonda kamata huyo aje aseme ukweli.
@prospermsemwa1433
@prospermsemwa1433 2 ай бұрын
akiludi aachane na hio kazi
@bnztechnologies2676
@bnztechnologies2676 2 ай бұрын
Mmmhhhh gambo huyuuuu sio
@gilbertmchai2490
@gilbertmchai2490 2 ай бұрын
Akujuae ndio akumalizae
@jizzotheking9238
@jizzotheking9238 2 ай бұрын
Ni zaid ya upuuzi kabisa
@RukiaTanzania
@RukiaTanzania 2 ай бұрын
UNaesema hawezi ndie rahis kuweza
@onesmomwakasege5215
@onesmomwakasege5215 2 ай бұрын
Mbona mnaleta makelele msituletee izo habari mlizusha kuhusu makamu wa rais kafa ikawa uzushi msituletee uzushi wenu mmeshajibiwa kuwa yupo likizo
@IssaMsangi-ro7qr
@IssaMsangi-ro7qr 2 ай бұрын
Jmn
@hanifamziray277
@hanifamziray277 2 ай бұрын
Ila wabongo tuache uzushi jamani
@jameskilasi5131
@jameskilasi5131 2 ай бұрын
Hujatoa jibu bdo yupo wapi makonda
@nickb3289
@nickb3289 2 ай бұрын
Waiting
@jonasimwanzi
@jonasimwanzi 2 ай бұрын
Kinana kajiuzuru CCM kuna kitu kinaendelea jamani vijana 2000 tuamuke maana awa wasitucheze
@gigoyrn4394
@gigoyrn4394 2 ай бұрын
😂😂 Sasa kujiuzulu Kwa kinana sisi tuingie mtaani
@jumanyanda9740
@jumanyanda9740 2 ай бұрын
Nani mwenye ushaidi wa hilo na je ni nani mwenye ushaidi kuhusu makonda alipo na je nani mwenye ushaidi wa kweli makonda kapewa sumu?
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 2 ай бұрын
Heeee
@MaulidNdunda-cl3gz
@MaulidNdunda-cl3gz 2 ай бұрын
Huo ni uwongo gambo na makonda ni marafiki sana tangu enzi za magufuli na ni marafiki sana hawana shida hao wawili hizo ni mbinu za watu wachache kumtengenezea gambo ubaya but gambo yuko vzur hanashida
@Sweetnaah
@Sweetnaah 2 ай бұрын
Je wajua kwamba kikulacho kinguoni mwako?
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 2 ай бұрын
​@@Sweetnaahhajui mtu wakwanza mwenye kukudhuru ni mtu wako wa karibu
@SirajiAbdalah
@SirajiAbdalah 2 ай бұрын
Raha na shida vinalingana
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 2 ай бұрын
Uzushi kila kukicha! Mnamzulia Makonda kupewa sumu, mbona hamji na ushahidi na uthibutisho? Mnamzulia Gambo kumpa sumu makonda, tupe ushahidi na uthibitisho. Tunachoka na waandishi makasuku na makanjanja wasitofanya juhudi utafiti kutafuta facts wanabaki kuwaaminisha watu uvumi na uzushi! Acheni uhasidi!
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 2 ай бұрын
Wanaozusha wanataka wasidhaniwe ni wao😣😣
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 2 ай бұрын
Lisemwalo lipo mbona atajwe yeye tu
@elinurukitomali6008
@elinurukitomali6008 2 ай бұрын
Hivi jamani wanao toa taharifa za uongo c, wachukuliwe hatua
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 2 ай бұрын
Yuko WAPI mkuu wa mkoa Paulo Christian Makonda4
@khadjamhozya
@khadjamhozya 2 ай бұрын
Makondakana watamuuwa kama magufuri nitahama nchi hii
@kibemassao6478
@kibemassao6478 2 ай бұрын
Acha mbwembwe
@jacklinakinabo6479
@jacklinakinabo6479 2 ай бұрын
Trust nobody
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 2 ай бұрын
Makonda mzima bwana mnataka kusema kikulacho au nini😮
@philemornmutta1597
@philemornmutta1597 2 ай бұрын
Leteni majibu sahihi yuko wapi Makonda acha maneno mengi
@emmanuelmasatu
@emmanuelmasatu 2 ай бұрын
Hawa watu wanao waua viongozi vipenzi vya Watanzania ni kinanani.? Na wanatuchukuliaje watanzania.!
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 2 ай бұрын
Ole wako gambo awe ndio yeye maana rafiki anaweza kuwa adui mkubwa
@jacksongidione-yo8vg
@jacksongidione-yo8vg 2 ай бұрын
😢
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 2 ай бұрын
MBONA NI KAMA UNARUSHA UTETEZI?
@ClementMmuru
@ClementMmuru 2 ай бұрын
Jamani watanzania ninani aliewaloga?kila kiongozi shupavu anatafutiwa mauti je hiiitakua ninchi ya kidicteta au huo ndio uzalendo watanzania? Duh hii Sasa ningumu kumeza jamani
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 2 ай бұрын
Yani inaumiza mno mwisho watu wataogopa kutusaidia Raia
@ReginaSimkonda-vb7pz
@ReginaSimkonda-vb7pz 2 ай бұрын
Q11 is
@edrickniwamanya5665
@edrickniwamanya5665 2 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢
@BarakaRwegoshora
@BarakaRwegoshora 2 ай бұрын
Tuombe subira kwa kila mtu tusitaarukishe taarifa na lawama. Tuamini lile tunalolipokea kutoka kwa serikali ndo kuna taarifa sahihi
@jennifersirikwa7449
@jennifersirikwa7449 2 ай бұрын
BIASHARA ya kuamini rafiki inatoka wapi. Rafiki Ndio snitch mkubwa
@JudyUrio-zy7ri
@JudyUrio-zy7ri 2 ай бұрын
Tutampa ubunge Arusha anatufaa
@AmenMushi-j2j
@AmenMushi-j2j 2 ай бұрын
Mmm
@SelijusMalambo
@SelijusMalambo 2 ай бұрын
Tunaomba mtuambie amelazwa hospital gani 2 inchi gani alikopelekwa ,leo siku yangapi tangu amelishwa sumu na niaina gani ya sumu ,3 chakula alichokula kikiwa na sumu nichakula gani
@RukiaTanzania
@RukiaTanzania 2 ай бұрын
Anekudhuru ni wako
@FrankSamson-r6s
@FrankSamson-r6s 2 ай бұрын
😁😁😁😁me nachekaga tu na siasa za tz
@WilfredKuyonza-jz2nj
@WilfredKuyonza-jz2nj 2 ай бұрын
Tunachotaka sisi ni kumuona makonda akipiga kazi basi
@JustinMkumbwa
@JustinMkumbwa 2 ай бұрын
Tunakuoma kama mmbeatu watu wanatakakujua Hali ya MAKONDA na alipo acha kutuletea mboyoyo kwani gambo hawezikuongea mpaka wewe
@florencebudoya3814
@florencebudoya3814 2 ай бұрын
Never trust anyone.Tena mtu wako wa Karibu ndo anakudhuru kirahisi kabisa.
@MiriamJoel-z2w
@MiriamJoel-z2w 2 ай бұрын
Acheni uongo kumchuria mtiu kifo shindwa
@athanaswilliam6940
@athanaswilliam6940 2 ай бұрын
Hamna akili nyie,... Mnaleta taharuki kwa kivuli Cha uzushi.... Kama uzushi kwanini muiweke tusikie. Mbaafu
@nickb3289
@nickb3289 2 ай бұрын
Kama n kwel
@naqiahmad26
@naqiahmad26 2 ай бұрын
kikulacho...
@oswardjaphal-cd6np
@oswardjaphal-cd6np 2 ай бұрын
Kikulacho kiko nguoni mwako. Wajuwakwamba. Baba ana weza kuwua mwanae wakumuzaa. Atashindwaje. Kwarafiki yake. Lisemwalo lipo fanya ucunguzi
@OmaryRamadan-m8v
@OmaryRamadan-m8v 2 ай бұрын
Shida yetu sisi so maelezo shida yetu ni makonda tumuone basi😢😢😢😢
@MastarKuntuabaharia
@MastarKuntuabaharia 2 ай бұрын
Rafiki yako mkubwa ndio adui wako mkubwa chukua hiyo usiwe bwege
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 2 ай бұрын
Kumbe nyinyi macha-demu ndiyo mlioandika uzushi huo...
@section8ight174
@section8ight174 2 ай бұрын
Huwezi kuwa panda zote mbili, haiwezekani! Ni eidha rafiki ama adui
@GeorgeJusto-y4v
@GeorgeJusto-y4v 2 ай бұрын
Unaongea vitu vya uongo wewe umelewa nini
@daudimichael7338
@daudimichael7338 2 ай бұрын
Sawa, umejitahidi kukanusha kwa niaba ya mtuhumiwa labda kakutuma.
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 2 ай бұрын
Yote ni yote tuombe Mungu ampe uponyaji popote alipo arudi akiwa hai bado tunamhitaji sana sana.
@bushbabytz
@bushbabytz 2 ай бұрын
AENDEE TU...KAMA ALIUAWA KINA BEN SAANANE HIYO SUMU ITAMUONDOA...
@JELSONMAUKI
@JELSONMAUKI 2 ай бұрын
Mhmhmhm 😮😮😮😮
@SelijusMalambo
@SelijusMalambo 2 ай бұрын
Ok ukiitwa ushahidi unao au nimkurupukaji
@WilfredKuyonza-jz2nj
@WilfredKuyonza-jz2nj 2 ай бұрын
Sikuhuzi watu wanaweza kufanya jambo kisha wakakaa kimya na kuziacha media walizozilipa pesa ziwasemee ili wao waendelee kubakia kwenye safe zone. Ni mtazamo wangu kwa uelewa wangu wa mambo tumia akili kulitafakari jambo linaloongelewa au uvumi wa namna yoyote ile.
@onesmomwakasege5215
@onesmomwakasege5215 2 ай бұрын
Mbona mnaleta makelele msituletee izo habari mlizusha kuhusu makamu wa rais kafa ikawa uzushi msituletee uzushi wenu mmeshajibiwa kuwa yupo likizo
@SirajiAbdalah
@SirajiAbdalah 2 ай бұрын
Raha na shida vinalingana
MTOTO WA MRISHO MPOTO AWALIZA VIONGOZI KWA UCHUNGU
17:36
MrishoMpoto
Рет қаралды 200 М.
Seja Gentil com os Pequenos Animais 😿
00:20
Los Wagners
Рет қаралды 28 МЛН
"كان عليّ أكل بقايا الطعام قبل هذا اليوم 🥹"
00:40
Holly Wolly Bow Arabic
Рет қаралды 9 МЛН
버블티로 부자 구별하는법4
00:11
진영민yeongmin
Рет қаралды 20 МЛН
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36
MADALALI WAFANYA MAKONDA AVUE KOTI, AWASHUKIA KISAWASAWA
13:15
Millard Ayo
Рет қаралды 99 М.
Seja Gentil com os Pequenos Animais 😿
00:20
Los Wagners
Рет қаралды 28 МЛН