Mungu awape munganiko mzuri kati ya haji na ali Amin
@wisdomfolks2 ай бұрын
Yanga noma sana kila mtu ansajiliwa mwenzake mpaka injinia kapewa mzee magoma
@ezrayohana35412 ай бұрын
Ahahahahahaha 😂😂😂
@mohammedkidody56182 ай бұрын
😂😂😂
@Mhabeshi.Madayi2 ай бұрын
Safi sanaa ffanyenyeni kazi kwa pamoja shirikianeniii acheni na maneno ya wauza sanda pigeni kazi kazi tuh.
@MrTop-wj7no2 ай бұрын
Huyu ndo mwenye usemaji wake sasa 🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
@JoshuaMollel-k8h2 ай бұрын
Hongera Semaji Kama Semaji ❤❤❤ Karibu Tena
@Shebe_traLove2 ай бұрын
Safi sana kazi kazi yanga Africans kwanza yangine yote nyuma tujenge upendo uku kwenye habari tuta zidi kuwa imara
@simonmalekela-ce6ix2 ай бұрын
Just wooow Wananchiiii🎉🎉🎉
@kalingavictor70682 ай бұрын
Inginia Hersi tafadhali, tunamtaka Ali kamwe kafanya vizuri sana
@chidyblake10172 ай бұрын
Welcome Back Brother....Msemaji ni Mmoja tu...
@MwazambaMicrofinance2 ай бұрын
MANARA Msemaji mzuri sana lakina Hana Socialisation na wananchi
@AliAli-b4j4n2 ай бұрын
Safi cn msemaji wetu htr
@allymagwesi21472 ай бұрын
Mwenye mji wake
@IsmaliBakali2 ай бұрын
Kalibu san sana semaji lakimataifa haji manala
@mariaerenest56322 ай бұрын
Yanga timu yenye upendo asante bugati
@SharifuWaziri-e7f2 ай бұрын
Welcome brother moyo wangu umepoa
@RobertManyenye2 ай бұрын
Bugati tulikuwa tumekumiss saaaaaaanaaaaaaa mwamba tunakupenda sanaaaa ligi ilikuwa imepoa sana❤
@japhetkahindi47912 ай бұрын
Semaji la ulimwengu karibu Sana MANARA
@samweledward76642 ай бұрын
Yanga Bingwa ✅
@HusseinMustapha-n2n2 ай бұрын
manara unajuwa bana🎉🎉
@LameckAnthony-m2e2 ай бұрын
Nakupenda Sanaa yanga kipenzi changu
@shaibusaady24202 ай бұрын
Allaah Akbar
@LupimoclinicBlogspotsanitarium2 ай бұрын
Nimependa sana hii kufanya kazi kwa pamoja Ally kamwe na Haji manara naomba uongozi wa yanga hawa wawili waganye kazikwa pamoja i apendeza sana wote mpo vzr yanga hoyeeee
@empafricatv2 ай бұрын
🎉🎉kwa kweli mpira mmeupiga
@MgetabarakaBukori2 ай бұрын
Wa kwanza leo nipeni like hata 10
@YasinSheikika2 ай бұрын
Manara tumekumis sana
@AlmasMbogo2 ай бұрын
Sema.baba
@janethmsangah83742 ай бұрын
Karib manara tulikumiss sana
@SudiMjaidi2 ай бұрын
Hii imeenda mzee
@OnesmoEmmanuel-c9x2 ай бұрын
semaji la team
@PeterSevere2 ай бұрын
Kaka usiape kisa soka lakini karibu sana fanya kazi na kijana ally kamwe muwe na hakiba ya maneno naombea yanga ushindi
@RaphaeliAdamu2 ай бұрын
Together
@MonicaNathanael2 ай бұрын
Tuko live na hatuogopi lolote 💛💚💛💚
@GosbertJohnson2 ай бұрын
Nakuku bali sana manara aise sema baba
@jovinusmutabuzi46472 ай бұрын
Ningumu sana kufunila nafasi ya ally kamwa.
@AslyAdam2 ай бұрын
❤
@yusufmohamed84282 ай бұрын
We need ally kamwe back plz😢
@mwajabuYusuph2 ай бұрын
😢😢😢😢 Alikamwe saivi amesha kuwa mkubwa sasa amekuaaa aliiii y Tambaaaaa mwananguuu vimbaaaaaa
@godfreymakau39322 ай бұрын
💛💛💛💚💚💚
@LucyLyimo-yt9ln2 ай бұрын
✌️🔥🔥🔥🔥🔥
@TwahSeifu2 ай бұрын
Daimambele nyuma mwiko!!!
@abubakaliyahaya29682 ай бұрын
Semaji la cuf
@AbdallahMussa-u2q2 ай бұрын
Noma sana bungati
@KasimuNamkuna2 ай бұрын
frexh broo tumekupat
@KHAMISJAA2 ай бұрын
Very good 😅😅😅
@pambaboniface11992 ай бұрын
Mechi tatu ndani ya wiki moja na mabilion ya pesa
@petro80102 ай бұрын
Red arrows itakula goli nyingi mno
@SuleimanJuma-dv8gt2 ай бұрын
Sijapenda, likuwa mulete team kutoka Arabuni.
@Purity-l2v2 ай бұрын
😊
@marymoshi5722 ай бұрын
Mtu wa maana kabisa 😅
@fihirishemaadihussein61242 ай бұрын
Kumekuchaaaaaa Bugattiiiiii
@marketing_storetz12572 ай бұрын
Mwenye maiki zake karudi mjini😂😂😂
@MattaAwd2 ай бұрын
Oy
@NashonMc2 ай бұрын
Bingwa
@jopahesule20242 ай бұрын
Nam.nina surprise for my team viongizi naomba mnipe nafasi plsee i have something.
@Kuminamoja19952 ай бұрын
Bugatti kama Bugatti Semaji la kimataifa
@abeidmbano60772 ай бұрын
Zailisa pambana
@PROPHILI.B.PROTASE2 ай бұрын
Muwe na muunganiko mzuri ktk kazi yenu wewe na Kamwe. Msilete malumbano mtatuaibisha kwa makolo mkifanya malumbno